ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Dunia ina badilika mpira ni biashara huwezi kaa nyumbani yaani club yako kuichangia elf 10 unaona kazi baadae una kulalamika usajiriPR ya Simba imekaa poa ukweli PR ya Yanga bado iko chini na imejaa ujivuni
Tulitoa maoni kuwa kiingilio ni kikubwa na hamasa ni ndogo wakati mda ni mfupi lakini tukaishia kufokewa na kupewa mifano ya Manchester united au Liverpool tena walienda mbali na kutoa mfano wa real Madrid
Wasipojifunza kwa zama hizi za ushindani utashinda Kila kitu ila utaishia kupata mashabiki wachache
Okay sawa malengo ya Simba msimu uliopita ni yapi na lipi mmefanikiwa?Yanga timu kubwa yenye malengo ya kitoto na ya woga!! Timu iliyofika fainali kwenye kombe la losers haina ubavu wa kuweka malengo makubwa CAF champions league!! Malengo yake rasmi ni kufika hatua ya makundi basiii!! Je hapo wataweza kujilinganisha na Simba yenye malengo ya kufika nusu fainali? Mwenye macho haambiwi tazama!! Timu kubwa Tz ni wekundu wa msimbazi, ndio maana hawaanzii mchangani kama yanga kwenye CAF champions league 2023/2024!! Nawasilisha!!
Kwani vingilio ni shilingi ngapi??Viingilio vya Simba ni vya chini sana
Kwa kulitambua ilo mkuu, hukutakiwa kuweka comparison na Yanga.Hakuna ubishi kuwa lengomama la matamasha haya ya vilabu ni kukusanya fedha kwaajili ya klabu, hata ukimhoji Mzee Dalali aliyeanzisha Simba day atakwambia lengo lilikuwa kukusanya pesa. Simba kima cha chini ni Sh. 5,000 na Yanga kilikuwa Sh 10,000, hii ni kusema kama kuwa yanga walihitaji watu 20,000 ili kukusanya sh. 200,000,000 lakini Simba watahitaji watu 40,000 ili kukusanya kiasi hichohicho cha sh. 200,000,000, ni hesabu tu. Hii ni kusema inawezekana Simba wakawa wengi lakini wakazidiwa mapato ya mlangoni na Yanga wachache. Kitu kikubwa kwa Simba ni idadi kubwa ya wanasimba watakaokwenda kujitibu sonona kwakutumia furaha ya tamasha la simba day.
kuna mmoja kasema simba tayari imeshafanya documentary mwaka 1974. Yanga mnatutesa sanaYanga haishindani na simba
Simba ndo inashindana na Yanga
Jezi kileleni tushapeleka mkaiga
Rais tushakutana naye tayari simba nao wanasema wamepiga bao
Siku ya mwananchi yanga tayari simba ndo wanasindana
Sasa documentary ni j3 semeni mnaiga lini
Fungulia mbwa! f.c😂😅Viingilio vya tamasha la Simba vinaendana na status ya Simba.
Uwezi kuweka sawa viingilio vya timu kubwa kama Yanga sawa na Simba, Raha wanazopata wana Yanga zina endana na kiingilio walicho toa.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Yanga walifungulia wooh woohhh na bado hawakujazaWeak area Kivipi mkuu? Wakati unalinganisha na Yanga, ilifaa pia ulinganishe na kima Cha chini Cha kiingilio kwenye events zote mbili.
a malengo ya chini ni dalili ya kutojiamini!! Timu kubwa hata siku moja haiwezi kuweka malengo ya chini!!Okay sawa malengo ya Simba msimu uliopita ni yapi na lipi mmefanikiwa?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sawa last season mme fikia malengo yapi au lengo lenu ilikua ni kubaki ligi kuu?Kuwek
a malengo ya chini ni dalili ya kutojiamini!! Timu kubwa hata siku moja haiwezi kuweka malengo ya chini!!
Baada ya Yanga kuja na documentary Simba wamepeleka nao kumbukumbu zao kwenye makumbusho ya taifa kujibu mapigoSawa last season mme fikia malengo yapi au lengo lenu ilikua ni kubaki ligi kuu?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Imevuja: Baada ya mama kukubali mwaliko, Kuna watu wachache matajiri walizinunua tiketi nyingi sana na kuzigawa matawini bure kimyakimya ili kuujaza uwanja.Hongera mtani, naona mmeongeza kombe jingine kabatini. Kombe la kujaza uwanja
Bado vyura mnaugulia maumivu ya kibegiWenye tiketi halali za kujinunulia walibaki nje na wenye tiketi za boss walikuwa ndani. Tulijua Ile sold out ni ya mchongo
vip A na B unajua ilikuwa sh ngap?Viingilio vya Simba ni vya chini sana
Shabiki katoka Dodoma mpaka Dar kwa Sababu viingilio viko chiniViingilio vya Simba ni vya chini sana