Simba na ndoto zao za Robo Fainali Mwisho leo. SImba akishinda leo ole wangu, niadhibiwe vibaya sana

Simba na ndoto zao za Robo Fainali Mwisho leo. SImba akishinda leo ole wangu, niadhibiwe vibaya sana

Ila mods wangekua wanaonyesha mfano...humu tuko watu na akili zetu huwezi kuta tunatoa matamko hovyo hovyo coz mpira unamatokeo yoyote sasa mtu kama huyu mpk dkk hii angekua ametupwa gereza la Ban...
 
Yaani mpaka sasa ubao unasoma Wydad 2 SImba 0..... na SImba wanajitahidi kupambana sana ili wapate hata Draw. Maalimu anasema hali ni Mbaya kwa Simba sababu majini yote kwa siku ya leo yanaonekana kuwa upande wa Wageni. SImba hapati kitu le ndo mwisho wake wa kuwa na ndoto za kuenda kucheza robo fainali

hawa SImba ni wachovu sana mpaka mwishowe tunawaonea huruma tu..... team haina kitu imejichokea haina pumzi haina mbinu .... utadhani Temeke Combine.

NIpo hapa Leo SImba akishinda nipigwe ban ya siku 3
Paw
Active
Kaomba ban huyu
 
Yaani mpaka sasa ubao unasoma Wydad 2 SImba 0..... na SImba wanajitahidi kupambana sana ili wapate hata Draw. Maalimu anasema hali ni Mbaya kwa Simba sababu majini yote kwa siku ya leo yanaonekana kuwa upande wa Wageni. SImba hapati kitu le ndo mwisho wake wa kuwa na ndoto za kuenda kucheza robo fainali

hawa SImba ni wachovu sana mpaka mwishowe tunawaonea huruma tu..... team haina kitu imejichokea haina pumzi haina mbinu .... utadhani Temeke Combine.

NIpo hapa Leo SImba akishinda nipigwe ban ya siku 3
Tunajua Yanga anaongoza kundi kwasababu ameshinda mechi zote siyo km hawa simba wachovu.

Sisi Yanga gumekusanya pointi 2 baada ya miaka 27 tuko vizuri, siyo km hao simba miezi 2 tu wana pointi 5.

Yanga klabu bingwa ndiyo nyumbani kwetu.
 
Yaani mpaka sasa ubao unasoma Wydad 2 SImba 0.....
hawa SImba ni wachovu sana mpaka mwishowe tunawaonea huruma tu..... team haina kitu imejichokea haina pumzi haina mbinu .... utadhani Temeke Combine.
NIpo hapa Leo SImba akishinda nipigwe ban ya siku 3
1703009133962.png
 
Back
Top Bottom