Litimu libovu[emoji23]Simba wanacheza mpira wa hovyo sana, aheri hata kuangalia Mbagala Market wakicheza.
Naona wewe kalio lako ni jepesi kupona, ile miko miwili ya mchana ila bado umepata nguvu za kuja kutambia wanaumwe tena?Mechi ya midebwedo sanko ni kituko anacheza segere siyo mpira.!
Litimu libovu[emoji23]
Ni wakati sahihi kumfanya wawa mchezaji wa akiba kama ilivyokuwa kwa Kamagi.Angalieni wawa alichokifanya
Timu mbovu bana pamoja na kujaza mastraika wenu ila mpaka saivi hamjafunga mngelikutana na kmkm sijui mngelikuwa na hali gani[emoji16][emoji16].Utopolo utakufa mdomo wazi kwa stress
Wanamikia Kama ya wazee wa mwiko nyuma!!Nimependa bukta zao zilivyo washepu huko nyuma [emoji23][emoji23]
Hivi bwana Franco anajiona nani? Huyu kocha aache upumbavu bangi zake aache hukohuko alikotoka kama anahasira sana ajiuzuru akalime viazi ulaya pumbaf