Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Nyie sinndo mlikua mna hamu na derby, kila tukibishana oooh subiri tarehe 11 kuna mayeleHahaha kwa kuzuia mashambulizi maana fwd za yanga ni hatari onyango kala tobo kaona bora Kadi tu
Haya tarehe 11 ndio hii na mayele ndo yule uliyemuona pale, mipira inampita na mitege yake kama banio la ugali ana mbwera tu mamamake