Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Utakufa kwa uchawi.Tupa tunguli hizo!Baada ya kupata point sita kwa vibonde Vipers mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
Kalpana shkamoo sisterNakupenda pia dear [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
kumbuka kibonde unaesema simba kapata point ame draw na rajaBaada ya kupata point sita kwa vibonde Vipers mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
Nakutafutaaaaa wee mtuuu, nyokooooooo zakoooooFuta huu uzi wako haraka! Wakitoka huko, umekwisha.
Amka Toka usingizini SIMBA KAUA 7 0000000Baada ya kupata point sita kwa vibonde Vipers mashabiki wanaamini leo watafanya vizuri.
Simba leo anafungwa na wakijitahidi Sana ni sare, matumaini ya kwenda robo fainal yanaishia hapa
Tukutane saa 3 baada ya mechi
Simba kwa mkapa anawezekana
Zinabakia zile khamsa tulizowachapa waoOk kwenye hizo mbili ulizotabiri itafungwa basi toa 7 inabaki ngapi? Je bado atafuzu au atakua ametoka?
duuuuh,we jamaa hizo bangi zinakuharibu, kama boss wa horoya alihaidi $10,000 kwa players na benchi la ufundi.sasa hizo 38mil ni kitu gani.jikite kwenye kulea wajukuuNAWAPA ZA NDANI KABISA
Horoya wamecheza chini ya kiwango
Nasikia mmeonga milioni 38 ili muende robo
Timu yenu bado mbovu
Muache uchawi chezeni kwa kiwango chenu mnaroga sanaa
Dah kweli una uso wa mbuzi.Yaani kweli umerudi kutetea ujinga wako.Yaani Horoya wachukue milioni 38 wakati wangeshinda na kuingia robo fainali wangepata Bilioni 1 na Nusu?NAWAPA ZA NDANI KABISA
Horoya wamecheza chini ya kiwango
Nasikia mmeonga milioni 38 ili muende robo
Timu yenu bado mbovu
Muache uchawi chezeni kwa kiwango chenu mnaroga sanaa
Mmiliki wa Horoya ni mtoto wa Rais anamiliki vitalu vya gesi na dhahabu,aliwaahidi Horoya kila goli milioni mia.NAWAPA ZA NDANI KABISA
Horoya wamecheza chini ya kiwango
Nasikia mmeonga milioni 38 ili muende robo
Timu yenu bado mbovu
Muache uchawi chezeni kwa kiwango chenu mnaroga sanaa
Marahaba young bro...Kalpana shkamoo sister