Ukita kupata kichekesho hiki ubonyeze namba ngapi.
Msijidanganye hamna mchezaji wa kutoka nje ,eatakaye acha kupenda fedha then apende Simba na Yanga hamna.
Huyo Manzoki unajipa moyo ,hela aliyopewa Manzoki na Wachina ,hawezi kuipata hapo Simba hata acheze kwa miaka kumi.
Nyie msimu huu hela hamna na mtaendelea kuchemka kwenye battle za kusajili wachezaji, yule Ndala wa Azam mlichemka sababu hela hamna,Sopu huyu ndie mmefanyiwa umafia na Yusuph, kamchomoa mchezaji kambini mbele ya viongozi wenu,nyie mlienda mikono mitupu mwanaume kaenda na kitabu chake cha cheki.