Kweli wangeweza, ila Yanga ni timu kubwa halafu tuna uadui na TFF. Sasa nyinyi fanyeni mnalotaka.Hawa ndo watu wa yanga wenye AKILI.
sio nyie mliohaidiwa UBINGWA NA GSM.
LAKINI KUCHEZA MPIRA WANAKIMBIA.
SASA HUO UBINGWA MTAUPATA VIPI?View attachment 1779483
Kweli wangeweza, ila Yanga ni timu kubwa halafu tuna uadui na TFF. Sasa nyinyi fanyeni mnalotaka.
Asiye na akili ni lahisi kumjua mwenye akili maana mwenye akili huamini yeye tu ni mwenye akili.Hawa ndo watu wa yanga wenye AKILI.
sio nyie mliohaidiwa UBINGWA NA GSM.
LAKINI KUCHEZA MPIRA WANAKIMBIA.
SASA HUO UBINGWA MTAUPATA VIPI?View attachment 1779483
Asiye na akili ni lahisi kumjua mwenye akili maana mwenye akili huamini yeye tu ni mwenye akili.
Huna akili.Wewe UNA AKILI?
Huna akili.
Huwezi kuhisi harufu ya pombe kama wewe umekunywa , kwa hiyo naona wewe hujavuta leo ndiyo maana unahisi harufu toka huko mnakovutiaga.SHIDA yanga inaongozwa na wahuni na wavuta BANGI.
Hata maamuzi yanakuwa ya KIBANGI BANGI TU
Huwezi kuhisi harufu ya pombe kama wewe umekunywa , kwa hiyo naona wewe hujavuta leo ndiyo maana unahisi harufu toka huko mnakovutiaga.
Kingereza kinakupiga chenga au umeamua kuropoka!?haya mnaobisha maamuzi ya yanga somen hiyo article no.19 inavyoonya serikali kuingilia shughuli za mpira.View attachment 1779525
Number 1Kingereza kinakupiga chenga au umeamua kuropoka!?
Wapi wamesema FIFA hawaimgiliwi na serikali!? Muulize Malinzi atakupa jibu.
Ukitaka kuona Simba wanaendesha mambo kienyeji, soma vizuri hiyo barua. Wanasema walipoambiwa mechi inasogezwa mbele, hawakupewa sababu na hawakuhoji. Ila walipoambiwa mechi imahairishwa, wanasema hawakupewa sababu ya msingi.Simba Kama wanatii maagizo na maelekezo ya TFF iweje tena wapinge maelekezo ya kuahirishwa mechi mpaka itakapopangiwa tarehe nyingine? Simba waache uoga na kutaka pointi za mezani ili kukwepa kipigo!
Unazijua affairs za TFF!?Number 1
Mkuu mimi na wewe hatukuwepo, ila kibongo bongo unaweza kuta kitendo cha Bodi ya ligi kutuma taarifa Yanga na kupokelewa, wamekitafsiri kama imekubalika.kama Yanga kweli walipigiwa wakakubali then wakademka na kudeka baada ya reaction ya mashabiki wao sioni namna ya deko hilo kutokuchukuliwa adhabu
na kanuni ya 31 inailinda TFF kuwa ikiona ni dharura yaweza ahirisha muda wa mechi
Tatizo ni kwamba kama yanga ilikubaliana na Bodi ya Ligi kama ni kweli siwaungi mkono
Mbona hamkuhoji sababu za kusogezwa mbele?Kuhairishwa Kwa sababu zipi?
[emoji28][emoji28][emoji28] barua ya Simba wakati naisoma, nilikuwa na imagine ni kama Manara anaongea na PressHakuna kifungu chochote kusupport hoja yake(sio yao). Nina uhakika huyo aliyeandika hiyo taarifa ni Manara. Pale Simba hakuna kiongozi mwingine mwenye elements za kujipendekeza kwa serikali zaidi ya Manara. Halafu eti anasema tulipewa taarifa za mapendekezo ya kusogeza muda wa mechi mbele tukakubali wala hatuhoji. Empty set.
"Each member association shall manage its affairs independently without influence from third part".Kingereza kinakupiga chenga au umeamua kuropoka!?
Wapi wamesema FIFA hawaimgiliwi na serikali!? Muulize Malinzi atakupa jibu.
Hizo mechi unazozitaja, muda ulibadilishwa mapema sana, sio ndani ya masaa 24.Usiwapambe sana Yanga hata wao wamefanya hivyo sababu wana visasi vyao na TFF, wameona hii mechi ndio ya kulipiza kisasi, mbona mechi za biashara na azam muda ulibadilishwa na wakacheza.
Unazijua affairs za TFF!?
Unajua TFF ipochini ya Baraza la Michezo Tanzania!?
Unajua TFF imesajiliwa kwa sheria za Tanzania!?
Unajua Baraza la Michezo lipo chini ya Wizara ya Michezo.
Hivi nyie yanga akili ziko kweli kichwani!?
Check View attachment 1779586
Unazijua affairs za TFF!?
Unajua TFF ipochini ya Baraza la Michezo Tanzania!?
Unajua TFF imesajiliwa kwa sheria za Tanzania!?
Unajua Baraza la Michezo lipo chini ya Wizara ya Michezo.
Hivi nyie yanga akili ziko kweli kichwani!?
Check katiba ya TFF
View attachment 1779586