Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Hao ndio Wamatopeni walivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dharura ya msingi iliyoko hapo ni mvua,kufa kwa rais wa nchi,na kwa ulaya uwanja kujaa snow,nje ya dharura taarifa kubadilisha muda au kughairisha pambano inatakiwa itolewe ndani ya masaa 24
Usikaze kichwa Sana mkuu...TFF c wapo ,watakuja jibu mkuu relax....🤣🤣Kwani inahitaji kuwa msemaji wa simba kughamua hilo?
Kwani mechi ilitolewa saa 11 kwenda saa 1 kwasababu zipi?
Hujui kuandikaWe ni miongoni mwa mbumbumbu by rage
Daaah! Viongozi wa nchi mechi inatangazwa siku zote wanasikia kwanini hawakuomba ibadilishwe mapema, viongozi wachache wametia hasara watu wengiViongozi wa nchi walitaka kuangalia hyo mechi
Ulishawahi kuchunguza muda wa mchezo ulibadilishwa siku ngapi kabla?Usiwapambe sana Yanga hata wao wamefanya hivyo sababu wana visasi vyao na TFF, wameona hii mechi ndio ya kulipiza kisasi, mbona mechi za biashara na azam muda ulibadilishwa na wakacheza.
Daaah! Viongozi wa nchi mechi inatangazwa siku zote wanasikia kwanini hawakuomba ibadilishwe mapema, viongozi wachache wametia hasara watu wengi
Daaah! Viongozi wa nchi mechi inatangazwa siku zote wanasikia kwanini hawakuomba ibadilishwe mapema, viongozi wachache wametia hasara watu wengi
maana halisi ya wananchi ni kuonesha njia sio kukubali upupuHapana kosa NI la YANGA.
Kwanini walete ujeuri?.
maana halisi ya wananchi ni kuonesha njia sio kukubali upupu
Nenda kwenye page ya yanga au azam Utaona lini ilibadilishwa. Ndio maana mnaitwa mbumbumbu fc. Manara elimu yake ni madrasa tu, anakukalieni kichwani.Mechi ya Azam na yanga ilisogezwa mbele mara ngapi?.
HAO walichungulia mechi
Nenda kwenye page ya yanga au azam Utaona lini ilibadilishwa. Ndio maana mnaitwa mbumbumbu fc. Manara elimu yake ni madrasa tu, anakukalieni kichwani.
HUNA AKILI
Wewe UNA AKILI?