Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HowMbona hawa hawa FIFA walipelekeshwa na Serikali ya Marekanj na waliufyata
intelijensia ni niniukiambiwa na serikali usicheze muda huu kotokana na sababu za kiintelijensia ni lazima utii.
We ni miongoni mwa mbumbumbu by rageHata hii post yako imekaa ki snitch
Simba hawajielewi kile kidemu utakiambia mambo ya mpira kinajulia wapi?Huwezi kugoma pekeyako bwashee, lazima umshawishi na mwenzako sasa utopolo waligomaje peke yao, hii ilikua dharau kwa ssc.
Kwani mechi ilitolewa saa 11 kwenda saa 1 kwasababu zipi?Kuhairishwa Kwa sababu zipi?
Kwani mechi ilitolewa saa 11 kwenda saa 1 kwasababu zipi?Kuhairishwa Kwa sababu zipi?
Anzisha thread.Yanga ilifanya nini mwaka 2008 Kagame Cup mechi dhidi ya Simba? Kuna precedent kwenye tukio la jana
We ndo hujielewi kwel.Yaani mtu akibakwa asishitaki siku nyingne akibakwa akashitaki utajitea kwamba kwann hakushitaki mara ya kwanza?😂😂😂😂Usiwapambe sana Yanga hata wao wamefanya hivyo sababu wana visasi vyao na TFF, wameona hii mechi ndio ya kulipiza kisasi, mbona mechi za biashara na azam muda ulibadilishwa na wakacheza.
Pamoja na kwamba inamapungufu, Ila hawa watu hawajakurupuka na inaonekana wamekaa kikao na kukubaliana kabsa kutoa taarifa hii, kuna jambo bado tunafichwa, tusubiri tuone.
KUSOGEZA MBELE MUDA VS KUAHAIRISHA MECHI KUNA UFANANO HAPO.?
Ndio exactly ninachomaanisha.Mie nashangaa wanamuachiaje manara aandike ule upuuzi.
Kwani wange kaa kimya kulikuwa na shida gani.
Sio kila jambo linaulazima wa kulisemea.
Lini FIFA waliufyata kwa Marekani?Mbona hawa hawa FIFA walipelekeshwa na Serikali ya Marekanj na waliufyata