Sisi ndio waasisi wa haya matamasha, lengo halikuwa hilo unalowaza wewe, kaa tuliza fuvu ujue kwanini tulianzisha tamasha hili,.Moja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.
Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
Bora umesema, watu wanapiga afu hawajui maana yake!!Ndio shida ya kuigaiga kila kitu kutoka simba bila hata kujua maana na umuhimu wake. Unaijua historia ya simba day na kwanini ilianzishwa?
Simba day sio parade la kusheherekea ubingwa wowote. Simba day kama hujui kwa simba ina malengo matatu.
1. Kuwaunganisha mashabiki ili kuonesha nguvu ya simba.
2. Kupeleka ujumbe kwa wachezaji na viongozi kwamba wanapaswa kufanya majukumu yao kwa ufasaha na kuwapa hamasa.
3. Kuongeza kipato cha simba.
SASA KAMA NYIE MMEKURUPUKA TU KUIGAIGA MSIYOYAJUA MKAJIPANGE UPYA.
Usiwe mpumbavu hakuna mtu aliyeasisi sherehe! Tangu dunia inaumbwa watu walikuwa wanafanya sherehe labda kama wewe ni pagan usiye na dini hujawahi sikia!Sisi ndio waasisi wa haya matamasha, lengo halikuwa hilo unalowaza wewe, kaa tuliza fuvu ujue kwanini tulianzisha tamasha hili,.
NB ; huu ni mwaka wa 14 wa tamasha hili, usikaze fuvu uto wewe
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Sawa badala ya kusherekea mngekuwa mnaomboleza kwa kukosa makombe!Sawa mtani acha tamasha letu la Simba day lifane hayo makombe tutayabeba kuanzia msimu huu.
Simba aijawai kufeli.
Nguvu moja💪
Uko sahihi sherehe kubwa kombe sifur.Moja ya vituko vya mwaka 2023 ni kwa Simba kuandaa sherehe ya kukata na shoka wakiwa hawana kikombe wala taji la ndondo! Sasa sifahamu wanasherekea nini na mashabiki wao hata bila kuhoji wamo tu wanaruka ruka kama tumbili aliyeshiba mahindi ya wizi.
Kwenye sherehe kama hiyo Simba wanapaswa kuonyesha makombe na siyo maneno matupu!
Usinge mjibu walaa...Uko sahihi sherehe kubwa kombe sifur.
Lakini kama kweli we unafikira pevu twende sawa ujibu maswali yafuatayo;
1. Hii ni sherehe ya kusherekea mafanikio? au ni tamasha la klabu la kila mwaka bila kujali mafanikio?
2. Kama sikosei tamasha hili ni la 14 au zaidi, je, miaka yote hiyo simba alifanya akaonyesha makombe?
3. Klabu kama yanga iliyokosa ubingwa kwa misimu minne 2017-2021 ilifanya tamasha katika miaka hyo? Na kama ilifanya ilionesha kombe gani?
Ushauri
Hizi klabu za simba na yanga zimefanya matamasha haya kuwa tamaduni ambayo haijali wamefanikiwa kwa kiasi gani katika mwaka husika hivyo ni bora watu wakaficha weupe wao kifikra badala ya kulopoka kisa mpinzani wako kafanya vyema kwenye tamasha lake
List uliyoiweka haina timu kubwa za ulayaTeam bora ulaya haziwekuwemo kwenye mpango wa super league ndo maana wenzetu wakaona ni ushuzi wakapiga chini
Huku utakuta kolo linacheka kama nibishu kubwa
Man city
Psg
Atletico
Buyern
Leipzig
N.k
Hazikuwepo
Mpira ni burudani wala siyo uadui. Utazeeka mapema.Mnazungusha misimu miwili! Oneni aibu basi!
Labda nisaidie kufahamu ni lini mashabiki wa Makolo walitengana au kufarakana? Aidha ni wakati gani hawakutekeleza majukumu yao kwa ufasaha? Na mwisho mapato gani yameongezeka wakati watu wameingizwa karibu na bure kwa maelezo kuwa Simba inarudisha fadhila kwa mashabiki wake!
Mpira ni burudani wala siyo uadui. Utazeeka mapema.Punguza kujielezea weka makombe mezani
Hayo makombe Yanga anayoringia, Simba ameshachukua sana. Ni kombe gani ambalo simba hajachukua?Hiyo misimu miwili kawekeni kioo pale jangwani muendelee kuangalia sisi tunachanja mbuga mbele kwa mbele
Acha kutetea ujinga! Ingependeza kama kungefanyika maombolezo kujutia kukosa makombe na hivyo kutoa ishara kwa wachezaji kuwa klabu ya mpira raha yake ni kushinda makombe na siyo kukata viuno na wasanii! Vinginevyo anzisheni klabu ya wasanii mkate viuno mpaka basi!Uko sahihi sherehe kubwa kombe sifur.
Lakini kama kweli we unafikira pevu twende sawa ujibu maswali yafuatayo;
1. Hii ni sherehe ya kusherekea mafanikio? au ni tamasha la klabu la kila mwaka bila kujali mafanikio?
2. Kama sikosei tamasha hili ni la 14 au zaidi, je, miaka yote hiyo simba alifanya akaonyesha makombe?
3. Klabu kama yanga iliyokosa ubingwa kwa misimu minne 2017-2021 ilifanya tamasha katika miaka hyo? Na kama ilifanya ilionesha kombe gani?
Ushauri
Hizi klabu za simba na yanga zimefanya matamasha haya kuwa tamaduni ambayo haijali wamefanikiwa kwa kiasi gani katika mwaka husika hivyo ni bora watu wakaficha weupe wao kifikra badala ya kulopoka kisa mpinzani wako kafanya vyema kwenye tamasha lake
Punguza maneno weka makombe mezani! Burudani ya klabu ya mpira ni kushinda makombe na siyo wasanii kukata viuno!Mpira ni burudani wala siyo uadui. Utazeeka mapema.
Simba haina medali, haina makombe wa ngao ya jamii. Msimu uliopita Yanga alichukua kombe na ngao.
Pamoja na hayo, kaangalie timu bora Afrika, simba ni ya ngapi na nyie wenye makombe na medali ni wa ngapi.
Acha kuteseka sana
Acha kutetea ujinga! Ingependeza kama kungefanyika maombolezo kujutia kukosa makombe na hivyo kutoa ishara kwa wachezaji kuwa klabu ya mpira raha yake ni kushinda makombe na siyo kukata viuno na wasanii! Vinginevyo anzisheni klabu ya wasanii mkate viuno mpaka basi!
Piga vita zero Simba!
Unateseka ukiwa wapi?Uko sahihi sherehe kubwa kombe sifur.
Lakini kama kweli we unafikira pevu twende sawa ujibu maswali yafuatayo;
1. Hii ni sherehe ya kusherekea mafanikio? au ni tamasha la klabu la kila mwaka bila kujali mafanikio?
2. Kama sikosei tamasha hili ni la 14 au zaidi, je, miaka yote hiyo simba alifanya akaonyesha makombe?
3. Klabu kama yanga iliyokosa ubingwa kwa misimu minne 2017-2021 ilifanya tamasha katika miaka hyo? Na kama ilifanya ilionesha kombe gani?
Ushauri
Hizi klabu za simba na yanga zimefanya matamasha haya kuwa tamaduni ambayo haijali wamefanikiwa kwa kiasi gani katika mwaka husika hivyo ni bora watu wakaficha weupe wao kifikra badala ya kulopoka kisa mpinzani wako kafanya vyema kwenye tamasha lake
Piga vita zero Simba!Tulia na mwiko wako huko nyuma, kama unategema Simba ifeli utaendelea kuumia mpaka utakapoondoka hapa Duniani. Njia peke ni kuhamia Simba
Sawa. TumekusikiaPunguza maneno weka makombe mezani! Burudani ya klabu ya mpira ni kushinda makombe na siyo wasanii kukata viuno!
Piga vita zero Simba!