The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
Dk ya 69,simba 3 Haroon Athumani.....mtibwa 2
mimi niliwafatilia walipo kuja Arusha kwenye michuano ya Roling Stone wakiwa nchi ya Amri Said na Seleman Matola hakika wako vizuri...natamani mwakani hawa madogo ndo wapelekwe kwenye league halafu wale wakubwa wauzwe na kutolewa kwa mkopo kasoro Kapombe,Kaseja,Boban,Kazimoto,Okwi na ngassa.....wawasaidie tu uzoefu hawa madogo
Hii timu ya U-20 si mchezo,kwa wanaoifahamu na waliohudhuria mechi yao hata moja tu watakubaliana na mimi.....
,hawa simba ugonjwa wa diffence kama kaka zao
Kimenuka tena...Simba 4 na Mtibwa 3
kaka,KISS wamekata hapa matangazo yao......kweli au?
Safi sana vijana wanapigana kweli kweli.Kimenuka tena...Simba 4 na Mtibwa 3