Simba tuendelee kuwaombea Njaa Etoile du sahel wako nafasi ya tatu ligi yao

Walicheza Wawa na Inonga Ila Inonga kipindi Cha pili alikata moto
 
Baada ya kuingia nusu fainali nadhani Es setif wameipita simba sc,habari nzuri ni kwamba hawana dalili ya kucheza champions league mwakani hali yao ni tete kwenye ligi ya ndani
 
Baada ya kuingia nusu fainali nadhani Es setif wameipita simba sc,habari nzuri ni kwamba hawana dalili ya kucheza champions league mwakani hali yao ni tete kwenye ligi ya ndani
setif kaingia nusu fainali gani?
 
Egpyt ... Al ahly na zamaleki (1&2)
Morocco... ( waydad&raja) 3&4
Mamelod , petro atletico na horoya... tayar mabingwa ( 5,6&7)
Mazembe wanaongoza Congo na Esperance anaongoza tunis ( 8&9) .

Berkane ,pyramid wapo top 10 wataenda shirikisho.

Simba tupo nafasi ya 14.
Sasa apo tunamuombea njaa no 11 etoile du sahel asifuzu nafasi mbili za juu kwenye ligi Yao au azidiwe na CS sfaxien au club African

Otherwise tutaanzia preliminary .
NB:
5 year ranking
Simba no 14.......... Point 28
Namungo no 56....... Point 2
Yanga no 75 .........point 0.5
 
Simba inacho takiwa iongeze kiwango Cha ushirikina maana katika eneo Ilo ata CAF inawatambua kwamba ni magwiji.
 
Hakuna sheria ya kuanzia makundi. Top ten zitaazia raundi ya pili. Ili kufikia kucheza hatua ya makundi kuna hatua ya awali na hatua ya pili, timu kumi bora zina skip hatua moja.
 
Baada ya kuingia nusu fainali nadhani Es setif wameipita simba sc,habari nzuri ni kwamba hawana dalili ya kucheza champions league mwakani hali yao ni tete kwenye ligi ya ndani
Setif wana point 43 kazidiwa michezo minne na anayeshika nafasi ya pili ambaye Kabyille wenye point 57 huku michezo mitatu wakibakiza Kabyille kumaliza ligi
 
Setif wana point 43 kazidiwa michezo minne na anayeshika nafasi ya pili ambaye Kabyille wenye point 57 huku michezo mitatu wakibakiza Kabyille kumaliza ligi
mkuu umeangalia table ya overall, angalia table ya champions utaona ES setif wana point 7 (saizi itakua 10 kama wameshinda leo)
 
Sibaishani na Wavaa Shanga aseee.
Nimeeleza wazi huo utaratibu hauna maana, hizo ranks za nini kwa klabu katika kuanzia hatua ya pili??
Wangetumua mfumo wa Ligi 12 6 bora au 10 bora zitoe timu 2 basi.

Huu ujinga wa kwamba time imepewa rank namba kadhaa ikashiriki kuanzia hatua ya pili ndio kitu ambacho kibadilishwe au ww Bi Fatma umeelewaje.??
 
UEFA wanaangalia huo UJINGA??
AMERIKA YA KUSINI mashindano yao pia huangaliwa hiv??
 
Ukiwa bingwa wa SHIRIKISHO huendi KLABU BINGWA AFRIKA??
 
mkuu umeangalia table ya overall, angalia table ya champions utaona ES setif wana point 7 (saizi itakua 10 kama wameshinda leo)
Source zote zinaonesha hivyo mkuu, na leo wamefungwa goli tatu hivyo wameporomoshwa hadi nafasi ya 10 wana vipolo vinne.
 
Hilo tusi la wavaa shanga ndilo unalolijua au kuna lingine mr DUNDERHEAD? ila ni furaha sana kuwa na wajinga hapa jukwaani maana inasababisha sisi ma genius tumshukuru Mungu kwa kutujalia akili nyingi
SASA NIKUULIZE SWALI MR UTOWPINYO: WAKATI SIMBA INACHEZA ROUND YA KWANZA MSIMU HUU LIGI YA TANZANIA ILIKUWA TOP TEN KWA UBORA???UNAJUA HATA KWANZA NI TEAMS 10 NDIZO ZINAANZA ROUND YA KWANZA?
HOJA YAKO YA LIGI BORA NI DHAIFU SANA KWA SABABU CAF INAHESABU LIGI BORA HADI NAMBA 12 NA NDIZO ZINAZOPEWA SLOTS YA TEAMS 4....KWA AKILI YAKO YA KIUTOPOLO UNADHANI ELITES TEAMS NI 12?
FICHA UJINGA WAKO KINABO WEEE
 
Source zote zinaonesha hivyo mkuu, na leo wamefungwa goli tatu hivyo wameporomoshwa hadi nafasi ya 10 wana vipolo vinne.
Setif? ila shida kubwa ni Etoile du sahel mkuu....sababu wao ,simba na setif ndiyo wanaweza ku grab hiyo nafasi moja iliyobaki ..Horoya na Petro atletico washapenya kiulaiini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…