Ngapi huko mkuu?Daaah Yanga chupchup
Bila bilaNgapi huko mkuu?
Ubaya ni kwamba hautaweza kupata refa ambaye si mshabiki wa team yoyote Kati ya hizo mbili,ni lazima atakuwa Yanga au Simba Sc.Shida inakuja kuwa, asilimia nyingi ya hizi derby huchezeshwa na marefa wa utopolo.Simba wamenyimwa Penalt halali kabisa, kadi ya niano kwa Chama sio halali
Na uwanja mbovu kabisa,
Refarii yupo upande wa Yanga
Uwanja mbovu pira bovu refa nae ile pressure ya tamko la yanga la kumkataa imemuathiri...anaogopa kukosea filimbi nyingi..Ule muda wa lawama umewadia. Akili, macho na masikio yote kwa sasa yameelekezwa Kigoma ambako leo Jumapili, kunapigwa pambano la fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC) baina ya Yanga na Simba itakayochezwa katika Uwanja wa Lake Tanganyika. Shilingi yako iko upande gani?
Kuwa nami kuanzia Saa kumi kamili jioni hii
==========
00' Kipenga kinapulizwa Lake Tanganyika na Yanga inaanza kufika langoni kwa Simba lakini linakuwa shambulizi mfu
01' Yanga inafika tena langoni mwa Simba, Ditram Nchimbi anagongana na Aishi Manula, Refa anaipa faida Simba
07' Ditram Anawekwa chini na Shomari Kapombe nje kidogo ya 18, Free Kick ya Yakuba inapokelewa barabara na Mlinda mlango wa Simba, Aishi Manula
12' Mwamuzi anatoa kadi ya njano kwa Chama baada ya kulalamika Luis Miquissone kufanyiwa madhambi ndani ya Box
22' Almanusura Simba waandike goli la kwanza lakini mpango wao unasimamishwa na Farook Shikalo
Zinaonekana waziwazi kabisa.Huyu mtangazaji wa azam kazi yake kutetea faulo za simba
Kweli kabisaUbaya ni kwamba hautaweza kupata refa ambaye si mshabiki wa team yoyote Kati ya hizo mbili,ni lazima atakuwa Yanga au Simba Sc.Shida inakuja kuwa, asilimia nyingi ya hizi derby huchezeshwa na marefa wa utopolo.
Ajabu anawabebaHuyu ndiye refa aliyekataliwa na Yanga?
SIMBA inashinda 3-1Ule muda wa lawama umewadia. Akili, macho na masikio yote kwa sasa yameelekezwa Kigoma ambako leo Jumapili, kunapigwa pambano la fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC) baina ya Yanga na Simba itakayochezwa katika Uwanja wa Lake Tanganyika. Shilingi yako iko upande gani?
Kuwa nami kuanzia Saa kumi kamili jioni hii
==========
00' Kipenga kinapulizwa Lake Tanganyika na Yanga inaanza kufika langoni kwa Simba lakini linakuwa shambulizi mfu
01' Yanga inafika tena langoni mwa Simba, Ditram Nchimbi anagongana na Aishi Manula, Refa anaipa faida Simba
Mechi ya awali si alicheza?Kosa tena kafanya kocha wa simba kamwacha Mzamiru nje!huyu Mzamiru ni afisa mvurugaji mzuri sn wa wapinzani unamwachaje nje?