The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Na viti hatutavunja mjomba,we Subiri show.Hivi mwarabu wa wapi alimtoa Yanga?Sawa Mjomba. Muhimu tu mkitolewa, basi mkubali matokeo. Hakuna sababu ya kuwalaumu akina Mangungu, Matola, Joshua Mutale, Steven Mukwala, Shomari Kapombe, na mastaa wengine wa timu.
Karibuni mjifunze kumfunga mtu na kusema kwa Mkapa hatoki mtu.