Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheGame ya kwanza draw na Dar mwarabu atapigwa 3
Hawana ubavu huoWakati huo ugenini mmeshachinyirwa goli 7
Al-masry huwal mukheefHawana ubavu huo
Mwezi wa nne tarehe mbili (2nd April)Mechi lini wakuu
GSM hana huo ubavu avizie tu timu twake twa huku alitotupiga muhuri.Hapa ndo ukisikia mtu mzima kusumbuka
Sisi wanasimba tulihitaji kale katimu ka South Africa Sasa tumepewa mwarabu
Kama Simba ataingia semi final atakutana na Zamalek au Stelleboch 🤣😅
Kimeumana
Hii imeniuma, GSM anahujumu hadi huko CAFCC
Tunawaalika mje kushangilia Al MasrySawa Mjomba. Muhimu tu mkitolewa, basi mkubali matokeo. Hakuna sababu ya kuwalaumu akina Mangungu, Matola, Joshua Mutale, Steven Mukwala, Shomari Kapombe, na mastaa wengine wa timu.
Tate MkuuTunawaalika mje kushangilia Al Masry
Na hadi leo wanajitambia nazo hizo shangamashindano ya akina mama ambayo mulifika final na mkavishwa shanga.
Sioni timu itayoisumbua simba labda zamalek hao wengine hakuna kituHapa ndo ukisikia mtu mzima kusumbuka
Sisi wanasimba tulihitaji kale katimu ka South Africa Sasa tumepewa mwarabu
Kama Simba ataingia semi final atakutana na Zamalek au Stelleboch 🤣😅
Kimeumana
Hii imeniuma, GSM anahujumu hadi huko CAFCC
SIMBA ndiyo timu pekee iliyofunga goli kwenye kila mechi kwenye michuano ya CAF msimu huu. Maana yake ni kwamba SIMBA huwezi kuwazuia wasipate goli. Kwenye ligi kuu SIMBA kafunga goli kila mechi kasoro mechi 1 tu.Sio kwa safu za ushambuliaji butu butu
Mtakula chuma tatu swaafi misriSio kufika, Tunabeba kombe. Lol
Shirikisho hucheza timu zilezile kila msimu?..Kabla ya kuingia fainali ulikutana na timu gani kati ya hizi?
ZAMALEK
BERKANE
USM ALGER
Hawachezi wale wale kwenye makundi ndio maana robo na nusu msimu huo ulikutana na vibonde,Shirikisho hucheza timu zilezile kila msimu?..
Msimu huo ulipigwa ngapi na yanga?Hawachezi wale wale kwenye makundi ndio maana robo na nusu msimu huo ulikutana na vibonde,