We mdada hujambo? Nakuvizia kila siku kama umerudi
aah aaah aahAlishawahi kuwa simba msemaji zamani pia ni mwandishi mzoefu sema nimekumbuka kisa kimoja nimecheka sana, simba ilikuwa inafanya vibaya miaka hiyo ikatokea vurugu pale msimbazi jamaa alitimuka mbio vibaya sana akaruka ukuta huku nyuma kawaachia manyoya ila ilikuwa ile simba yenye shida za pesa hata mshahara ilikuwa shida
🤣🤣Umesomea QUBA ukatunukiwa shahada nyingine pale SAUT Mwanza ,si ndio mkuu ?!!Na Mimi ndiyo GENTAMYCINE tu Mkuu.
Akili Kubwa za 'Kiyahudi' zinanipa Jeuri.🤣🤣Umesomea QUBA ukatunukiwa shahada nyingine pale SAUT Mwanza ,si ndio mkuu ?!!
Simba ipo kitambo, tangu inaitwa Sunderland na ilishajitangaza,Manara pamoja na sifa zake, kajitahidi Sana kuitangaza Simba
🤣🤣Akili Kubwa za 'Kiyahudi' zinanipa Jeuri.
semaji sleeper agent la GSM sasa liko huru mnaweza kuliajiri hapo kwa injinia full time kwa milion 25Kwa masikitiko makubwa kwa moyo wa unyonge niseme tuu babra ana roho mbaya sana Sasa Simba umekuwa timu Mali ya mo na babra mbona wanachama hatukushirikishwa kwa hilo la msemaji wetu kipenzi haji😭😭😭😭😭
We bwege kweli... Utopolo mchukueni huyo aliyewaita takataka . Simba hatutaki watu wa aina yake.Manara hakua na msaada wowote kwetu amini nakuambia, mmetafuta tu sehemu ya kummwaga, jamaa alikua honest sana, tena kwa taarifa yako ushawishi wake uliwafanya hadi aweze kuwashawishi wachezaji baadhi waje kwenu,pale mmepoteza jembe mnajikaza tu
Thadeo Lwanga ule mwiko uliokuwa huko nyuma ameushindilia na kuuzamisha ndani kabisa ili usionekane tena asilaniWatani zetu Simba SC wameamua kuenenda KIPROFESHENI....
Wamesema ndg.Haji Manara ameomba kuachana nao na sikuona neno kuwa AMEONDOLEWA katika nafasi yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Kama jembe likongomekeni mpini mlitumie kwa raha zenu.Manara hakua na msaada wowote kwetu amini nakuambia, mmetafuta tu sehemu ya kummwaga, jamaa alikua honest sana, tena kwa taarifa yako ushawishi wake uliwafanya hadi aweze kuwashawishi wachezaji baadhi waje kwenu,pale mmepoteza jembe mnajikaza tu
Yeye si alizoea akina Shaffih dauda anajibizana nao kwenye social network. Ko alijua CEO atakua anamjibu. Ndo maana hata kwenye clip anasema kabsa nitaziweka hadharani hizi clipiIla yule CEO yupo smart amemjibu kwa barua tu, Manara alijiona Mungu mtu kwa mikia........japo simba imempa umaarufu ambao hawezi kufa njaa mjini.
Vita ya mikia tunawaachia mikia wenyewe
Simba inajitangaza yenyewe na ubora wake. Hebu akaitangaze Azam yenye matokeo mabaya tuoneManara pamoja na sifa zake, kajitahidi Sana kuitangaza Simba
🤣🤣Thadeo Lwanga ule mwiko uliokuwa huko nyuma ameushindilia na kuuzamisha ndani kabisa ili usionekane tena asilani