Tetesi: Simba yacharuka, yazitaka saini za Pacome, Aucho Msimbazi!

Mtoa mada tushamstukia kitambo ni kolo mkubwa, Huwa anajifanya mwananchi kumbe siyo.

Sasa ni hivi ww mbumbumbu tarehe 19 Kono la nyani linakusu tena

Pakome na Aucho hawawezi kucheza umbumbumbuni
We unaumwa Nini?
 
Mtoa mada tushamstukia kitambo ni kolo mkubwa, Huwa anajifanya mwananchi kumbe siyo.

Sasa ni hivi ww mbumbumbu tarehe 19 Kono la nyani linakusu tena

Pakome na Aucho hawawezi kucheza umbumbumbuni
We unaumwa Nini?
Mkuu, mbona umefika mbali sana?

Mimi naleta habari kama ilivyo, siweki mahaba yangu binafsi.
 
Mkuu, mbona umefika mbali sana?

Mimi naleta habari kama ilivyo, siweki mahaba yangu binafsi.
Kuna uzi uliandika na matunduizi ukizungumzia matatizo ya afya ya akili. Simba na Yanga nazo ni chanzo cha watu kupata matatizo ya afya ya akili.
Mkuu Nifah huna baya wewe umetuhabarisha tu na wala haujaleta uchambuzi. Mwisho wa uzi umetoa source ya taarifa yako. Achana naye huyu anayeki dis
 
Asante Mkuu.
 
Pacome na Aucho wakafanye nini Simba?

Yani tumemuacha Chama halafu tuje tumchukue Pacome kweli?

Simba kama itaamua kufanya hivyo ni kwa lengo moja tu kuua chemistry ya Yanga lakini sio kwa mategemeo ya hao wachezaji waje kuwa mchango ndani ya timu.
Nitajie wachezaji wako wawili tu wenye uwezo kumzidi Aucho? Au Mzamiru?
 
Mnaleta propaganda ili mkipigwa mseme Pacome alipewa kishika uchumba...🀣🀣🀣🀣🀣🀣😏
 
Mnahasira sana wakati hizi ni tetesi na kwenye mpira tetesi ni kitu cha kawaida inaweza kuwa kweli au sio kweli.
 
Mnaleta propaganda ili mkipigwa mseme Pacome alipewa kishika uchumba...🀣🀣🀣🀣🀣🀣😏
Mahi, aliyenipa hii habari ni kolo mwenzio. Tena mwanachama hai wa Simba, pole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…