Simba yamtangaza Barbara Gonzalez kuwa Mtendaji Mkuu wa Club

Mhindi kuna watu kawafanya misukule huko, uwezo wa ku reason umepotea kabisa

Kuifananisha Yanga ambayo ipo kwenye transition na mikia ambao wanajinasibu wapo next level ni umbumbumbu kama aliowahi kuutaja Rage miaka kadhaa iliyopita
Unawajua wahanga walioipinga GSM kwenye kamati ya utendaji ya Utopolo? Je kamati hiyo bado ipo?.Ina kazi gani?GSM wamehodhi kazi zote.
Mtaalamu Shija alijiuzulu kwa sababu ipi?
 
Hamisi kawafungua macho.ila mashabiki maandazi wengi hawatamuelewa.
 
Kuna watu wapuuzi sana... Kigwangala jamaa nae kumbe kichwani kweupe tuu yani alivyomind kuhusu yule CEO utadhani ana hisaa Simba lakini MO akajua tatizo sio UCEO tatizo ni PIKIPIKI...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na pengine ukimfatilia huyo Kigwa utakuta hata zile 51% hajatoa hata 500 alafu leo anapiga kelele, watu kama hawa wabinafsi sana anafikiria mambo yake hadi kuomba mkopo wa pikipiki, angechukua mkopo bank awekenze Simba tujue anauchungu na club
 
Na pengine ukimfatilia huyo Kigwa utakuta hata zile 51% hajatoa hata 500 alafu leo anapiga kelele, watu kama hawa wabinafsi sana anafikiria mambo yake hadi kuomba mkopo wa pikipiki, angechukua mkopo bank awekenze Simba tujue anauchungu na club
Mtu hana Mil 50 za kununue pikipiki 25 anataka mkopo alafu Leo ananyanyuaa Domo lake kumponda MO eti hajatoa Bil 20...!! Hao simba wanakula hela za MO kila sikuu...yeye mil 50 tu hanaa kazi kulia liaa..
 
Ushamba mzigo. Kisa senzo alikua mtu wa mpira basi ndio unaona kaweka standard. Haendi kuwa mtu wa technical bench. Ni ceo wa corporate!
 
Hahah Kigwa hela zake za mafao ya ubunge amegoma kuzinunulia Pikipiki za wajumbe lkn za Hela za MO ndio zinafaa kwa ajili ya Pikipiki za wajumbe.

Kweli huku ndiko to 'think out of the box' anayosemaga aisee.
Hawa watu wabinafsi sana, wanafikiria matumbo yao sio maslai ya wengi na wanatafuta kick kwa wasiojitambua. Hao ndio wanasiasa wa bongo.
 
Reactions: Tui
Good riddance!
Tunapunguza mashabiki wasiojielewa. Tukipata wengine kama wewe wa kushuka melini nafikiri tutafika salama zaidi tuendako.
 
Mhindi kuna watu kawafanya misukule huko, uwezo wa ku reason umepotea kabisa

Kuifananisha Yanga ambayo ipo kwenye transition na mikia ambao wanajinasibu wapo next level ni umbumbumbu kama aliowahi kuutaja Rage miaka kadhaa iliyopita
Transition ipi hiyo,?Hakuna anayefananisha. Unapokuwa unaiga halafu unafanya makosa ya kipumbavu unakuwa mijinga zaidi ya aliyejaribu mwenyewe na kufanya makosa kama yapo.
Kwa sababu wewe una mfano wa kuiga.
Halafu unakiri kwamba Simba ni another level.
Kukosoa kwako ni sawa na maskini asiyekuwa hata na baiskeli anamkosoa tajiri anayefanya investment.
Halafu ukimuuliza huyo fukara anakuambia ohh mimi maskini wewe tajiri.
Kwani wewe unapoikosoa Simba unailinganisha na timu ipi?
 
Na pengine ukimfatilia huyo Kigwa utakuta hata zile 51% hajatoa hata 500 alafu leo anapiga kelele, watu kama hawa wabinafsi sana anafikiria mambo yake hadi kuomba mkopo wa pikipiki, angechukua mkopo bank awekenze Simba tujue anauchungu na club
Kigwa alipigwa chini na gonzalez. Tunajua hilo. Sasa hivi ana wivu na Mo akiamini mo kamsoheza zaidi gonzalez karibu...
 
Kabla hajawajibu mpeni jibu kwanza je bil 20 zilishalipwa?
Kote huku ni baada ya kunyimwa mkopo, tuambie kwenye 51% umeweka kiasi gani acha siasa za mabomba kutoa maziwa
 
Kabla hajawajibu mpeni jibu kwanza je bil 20 zilishalipwa?
Jezi za msimu mpya zimeshawasili?
Uwanja wa Kigamboni vipi?Nani anaiongoza Yanga GSM au kamati bubu ya utendaji?
Msola ameacha kazi kwa Mo?
Mishahara atalipa nani?GSM wanadai wao wamesajili tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…