Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,517
Mhindi kuna watu kawafanya misukule huko, uwezo wa ku reason umepotea kabisa
Kuifananisha Yanga ambayo ipo kwenye transition na mikia ambao wanajinasibu wapo next level ni umbumbumbu kama aliowahi kuutaja Rage miaka kadhaa iliyopita
Kuifananisha Yanga ambayo ipo kwenye transition na mikia ambao wanajinasibu wapo next level ni umbumbumbu kama aliowahi kuutaja Rage miaka kadhaa iliyopita
Unawajua wahanga walioipinga GSM kwenye kamati ya utendaji ya Utopolo? Je kamati hiyo bado ipo?.Ina kazi gani?GSM wamehodhi kazi zote.
Mtaalamu Shija alijiuzulu kwa sababu ipi?