Simba yamtimua kocha Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho)

Simba yamtimua kocha Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho)

political monger senior

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
1,827
Reaction score
5,994
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).

Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.

Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.

Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.

Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.

IMG_8980.jpg
 
Je; kweli Robertinho amepatiwa wachezaji wenye Quality ya kutosha?
Je, baada ya Simba kufungwa na Yanga, /simba watamfukuza Kocha wao anayelipwa mamilioni kwa Mwezi na kuishi jumba la kifahari Masaki?
  • -Miquisson ana-Struggle for fitness
  • -Kramo ana injury ya muda mrefu
  • -Onana anakosa confidence na Concentration ya mchezo.
  • -Moses Phiri ana matatizo yake na baadhi ya viongozi.
  • -Duchu na Kazi hatujui wako wapi.
  • Saido, Zimbwe na Chama viwango vyao vimeshuka baada ya
  • kutumika kwa muda mrefu.
  • Je Robertinho ana hao watu wa kufanya kazi?
  • lle midfield ya Yanga ina kila kitu &
  • Aucho ni Controller
  • Mudadhir ni defender
  • Aziz Ki ni creator kiwango cha FIFA.
  • Pacome ni holding Midfielder.
  • Maxi Nzengeli eye anau-speed-up mchezo.
Simba wanapoozesha sana mpira na kocha ana mbinu ya kukaba tu, ndio maana timu hata icheze na bingwa wa ndondo Cup haiwezi funga zaidi ya goli mbili.
simba imekuwa kama Mwantesa United.
Za Ndani kabisa , kuna mchezaji mmoja ni Kiungo mchezeshaji ana-kiwango bora ila anapiga puli hivyo hana nguvu uwanjani.
 
IMG_8980.jpeg
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).

Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.

Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.

Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.

Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.
 
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).

Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.

Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.

Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.

Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.
Aahaaaaaaa
 
View attachment 2806696
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).

Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.

Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.

Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.

Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.
Hii ni IGA.
 
Back
Top Bottom