Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora Wameng'oa mtu gani hakuna Ushindi ni Draw na hajui kwamba Simba na Yanga ndo mechi alitakiwa angalau kutupoza Machungu ya Al Ahly halafu ndo anatuzidishia Mbuzi wahedi mkubwa akasalimiae kwao Chui wa kijani huyo.
Tulipowaambia papatupapatu sio nzuri mkaitetea haya sasa chupi la aibu kichwani limewaganda mnahangaika kulivua...😂Naomba iwe kweli, kocha simpendi kabisaaa.
Na dirisha dogo, Ntibanzokiza afurushwee.
Engineer roho mbaya imeanza lini?Naomba iwe kweli, kocha simpendi kabisaaa.
Na dirisha dogo, Ntibanzokiza afurushwee.
🤣 LimepoteanaSasa lile pira letu objective litakuwaje?
Huu utaratibu wa kuajiri na kufukuza makocha kila mwaka hauwezi kamwe kutengeneza utulivu ndani ya timu. Simba mnatakiwa kubadilika. Wapeni makocha wenu muda wa kutengeneza kikosi cha timu.Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).
Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.
Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.
Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.
Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.