Simba yamtimua kocha Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho)

Simba yamtimua kocha Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho)

Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).

Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.

Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.

Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.

Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.

Kafara hiyo.
 
Yanga sio kabisa.
Baada ya wanaSimba kupokea kichapo kizito kutoka kwa Yanga siku ya jumapili, kocha mkuu wa Simba, Robertinho ametimuliwa ili kupoza hali ya mambo na kuficha matatizo. Robertinho ametolewa sadaka ili wengine wapone.

Sasa wanaSimba tumeamua kama mbwa iwe mbwa, siku nyingine zijazo tukipokea kichapo kingine chochote kizito kutoka kwa timu yoyote, tunaondoka na Mo. Hakuna kucheka cheka tena.

Simba nguvu moja.
 
Huu sasa ndio ujinga wa soka la Bongo. Kocha anafukuzwa kazi kwa kufungwa na mtani.
Mazuri yote yake hayana maana kama asipoweza kumfunga mtani wa timu.
Soka letu linakwama namna hii.
Kwa pira lile bora tu alipofukuzwa,ishu siyo kupigwa na mtani bali pira la hovyo sana lilikuwa linachezwa.
Yaani simba wa kupaki basi kila mechi?
Simba inakosa clean sheet kweli?

Thank you Robertinho, see you next time.
 
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).

Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.

Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.

Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.

Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.

Tulitegemea, si mageni kwenye tasnia ya soka kwenye nchi zetu hizi.......
 
Kufungwa kwa Yanga na ihefu ndio kulimnusuru utege na hata makolo wenyewe wakaanza kujitapa huku wakisahau timu lao ni bovu ni tff na bi tatu malogo tu msaada kwao,makolo timu lenu ni bovu yan pale hamna hata mchezaji m1 anaeanza kwenye first 11 ya Yanga
20231107_013125.jpg
 
Back
Top Bottom