Simba yamtimua kocha Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho)

Simba yamtimua kocha Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho)

Viongozi wa simba wana akiki gani aiseee hivi unamrudisha matola unamuacha mgunda ina bidi nicheke tu
IMG_0760.jpg
 
Yani kufungwa mara moja tuu wamemfukuza kocha.
Mbona yanga wamefungwa 2-1 na team dogo wamechukuria poa tuu.

Yanga ina wachezaji wazuri ingekuwa wamefungwa ma 5 na mashujaa fc sawa.
 
yaan kocha amefungwa mechi 1 TU katika ligi toka aje nchini lakn anatimuliwa bila hata haya

Kocha wa yanga NASREDIN NAB aliomba siku 90 za kurekebisha mapungufu ya kikos chake akavumiliwa lakn sisi kocha hajapewa hata nafas hyo

Wachezaji wetu wengi n mizigo kutokana na umri Kama kapombe na shabalala bocco saidoo na chama

Kuna tetes Kuna kiongoz alofosi MANULA aanze kwenye Derby bila kujua fitness ya mchezaji lakn lawama anapewa kocha

Hii timua timua ya makocha kila mwaka haitatufikisha popote kwan ngumu kwa kocha kuimplement falsafa zake kwa MDA mchache hivyo

Tatizo la Simba siyo kocha n Zaid ya kocha had uongoz unahusika
 
yaan kocha amefungwa mechi 1 TU katika ligi toka aje nchini lakn anatimuliwa bila hata haya

Kocha wa yanga NASREDIN NAB aliomba siku 90 za kurekebisha mapungufu ya kikos chake akavumiliwa lakn sisi kocha hajapewa hata nafas hyo

Wachezaji wetu wengi n mizigo kutokana na umri Kama kapombe na shabalala bocco saidoo na chama

Kuna tetes Kuna kiongoz alofosi MANULA aanze kwenye Derby bila kujua fitness ya mchezaji lakn lawama anapewa kocha

Hii timua timua ya makocha kila mwaka haitatufikisha popote kwan ngumu kwa kocha kuimplement falsafa zake kwa MDA mchache hivyo

Tatizo la Simba siyo kocha n Zaid ya kocha had uongoz unahusika
Ndio tumeshammwaga sasa..
 
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).

Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.

Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.

Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.

Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.

Kanzu mpya shekhe ni yuleyule.
 
Huu sasa ndio ujinga wa soka la Bongo. Kocha anafukuzwa kazi kwa kufungwa na mtani.
Mazuri yote yake hayana maana kama asipoweza kumfunga mtani wa timu.
Soka letu linakwama namna hii.
Nilitaka kuongelea hili, uko 100%. Mimi naamini kila team ina malengo yake ya msimu na hili lisipofikiwa kunaangaliwa nini tumekosea na watu wanawajibika. Sasa sijui kufungwa na mtani ni moja ya mambo ya malengo? Maana team inaweza kufungwa lakini kesho wakachukuwa ubingwa, CAF wakafika mbali na mafanikio nje ya uwanja. Mimi sisemi kocha mzuri au hapana hiyo ni issue nyingine na kama mbaya basi waliomuajiri inabidi wawajibike katika hili pia. Kwa hili Simba ni kama wamewapa lingine watani kuongelea, tano na kocha mmefukuza😉
 
Bora Wameng'oa mtu gani hakuna Ushindi ni Draw na hajui kwamba Simba na Yanga ndo mechi alitakiwa angalau kutupoza Machungu ya Al Ahly halafu ndo anatuzidishia Mbuzi wahedi mkubwa akasalimiae kwao Chui wa kijani huyo.
Watu wanamtetea kocha lakini ukweli ni kwamba mbali na mechi hii na yanga mfumo wake tangu ashike timu ulishafeli,magoli tunayofunga ni papatu papatu hamna mfumo wa maana,hakuna mpira wa malengo ni kukimbia tu na pasi ndefu,he is a failure
 
Back
Top Bottom