myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Ndio siasa za mpiraHuu sasa ndio ujinga wa soka la Bongo. Kocha anafukuzwa kazi kwa kufungwa na mtani.
Mazuri yote yake hayana maana kama asipoweza kumfunga mtani wa timu.
Soka letu linakwama namna hii.
Sawasawa πKwani matola ndio kapewa timu, unipe taarifa pia, siungi mkono yeye kupewa timu.
Kama wamempa timu subiri tuone atafanya nini, ila kutimuliwa robertinho ni sahihi.
Huyo Mgunda mnavyomlilia utazani ana kitu kipya,akipewa mkataba mtarudi hapa kumtukana.Wamuombe msamaha Mgunda kwa kumuharibia wakati wake, bora mngemuacha na Coastal yake kuliko kumfanya kama karai la zege. Simba wakifanya mchezo, mechi zao zinazokuja watasulubiwa na kuwatoa kabisa kwenye mashindano yoyote wanayoshiriki.
Kocha siyo tatizo, tatizo jinsi timu inavyoendeshwa.
Utopolo mna taabu.Mbumbumbu
Nabi hawezi kuja kufundisha timu yenye wachezaji wabovu kama hawa, labda mpate ushauri wake msajili kwa msimu ujao aje na bench lote.la ufundi, sioni dirisha dogo uwezo wa kupata mchezaji mwenye kiwangoKwa tafsiri nyingine ni kwamba Yanga yamfukuzisha Kocha Objective na kusababisha kocha Kishingo au Profesa Nabi kurudi Tanzania
yaan kocha amefungwa mechi 1 TU katika ligi toka aje nchini lakn anatimuliwa bila hata haya
Kocha wa yanga NASREDIN NAB aliomba siku 90 za kurekebisha mapungufu ya kikos chake akavumiliwa lakn sisi kocha hajapewa hata nafas hyo
Wachezaji wetu wengi n mizigo kutokana na umri Kama kapombe na shabalala bocco saidoo na chama
Kuna tetes Kuna kiongoz alofosi MANULA aanze kwenye Derby bila kujua fitness ya mchezaji lakn lawama anapewa kocha
Hii timua timua ya makocha kila mwaka haitatufikisha popote kwan ngumu kwa kocha kuimplement falsafa zake kwa MDA mchache hivyo
Tatizo la Simba siyo kocha n Zaid ya kocha had uongoz unahusika
Kweli Simba hamnazo. Mnamfukuza kocha wakati Mangungu bado yupo pale Msimbazi. Hakuna rangi mtaacha kuona za 5GKlabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).
Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.
Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.
Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.
Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).
Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.
Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.
Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.
Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.
Wanamtoa Abdallah wanamuingiza DullahMatola tena? Duh!
Mwiko wa Yanga unafanya kazi.
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).
Vilevile tumefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wa kocha wa viungo Corneille Hategekimana.
Uongozi wa Klabu ya Simba unawashukuru Makocha hawa kwa mchango wao ndani ya klabu yetu na inawatakia kila la heri katika majukumu yao mapya.
Katika kipindi cha mpito kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha Daniel Cadena akisaidiwa na Seleman Matola.
Tayari mchakato wa kutafuta makocha wapya umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.
Atupisheje wakati Mangungu bado yupo pale Msimbazi. Kama Mangungu bado ni mfanyakazi wa Simba kumfukuza kocha hamjatatua tatizoNaomba atolewe haraka sana, atupishee.
ππππππππππ Tinho mmemuonea mkuu, mrudisheniUnaacha kupigani Yanga wajenge uwanja unahangaika na mzungu?
Naomba iwe kweli, kocha simpendi kabisaaa.
Na dirisha dogo, Ntibanzokiza afurushwee.
Uwanja ndio unakupa timu bora na kuchukua mataji?Unaacha kupigani Yanga wajenge uwanja unahangaika na mzungu?
Msiwe na tabia ya kurudisha wastaafu 5imba ndio maana mnafeli. Rejea kurudishwa kwa Luis Miquissone na Chama wameisaidia nini 5imba?Kishingo hapo sawa