Simba yamtimua kocha Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho)

Huu sasa ndio ujinga wa soka la Bongo. Kocha anafukuzwa kazi kwa kufungwa na mtani.
Mazuri yote yake hayana maana kama asipoweza kumfunga mtani wa timu.
Soka letu linakwama namna hii.
Ndio siasa za mpira
 
Huyo Mgunda mnavyomlilia utazani ana kitu kipya,akipewa mkataba mtarudi hapa kumtukana.
 
Kwa tafsiri nyingine ni kwamba Yanga yamfukuzisha Kocha Objective na kusababisha kocha Kishingo au Profesa Nabi kurudi Tanzania
Nabi hawezi kuja kufundisha timu yenye wachezaji wabovu kama hawa, labda mpate ushauri wake msajili kwa msimu ujao aje na bench lote.la ufundi, sioni dirisha dogo uwezo wa kupata mchezaji mwenye kiwango
 

Kocha ndio jipu kubwa. Baadae vunja kikoso.
 
Kweli Simba hamnazo. Mnamfukuza kocha wakati Mangungu bado yupo pale Msimbazi. Hakuna rangi mtaacha kuona za 5G
 
Matola tena? Duh!

Mwiko wa Yanga unafanya kazi.
 


Magoli pekee yanayouma ni ya Yanga
 
Jamaa alikua ana plan nzuri
Kilichomuangusha beki za pembeni
Na watu wachache mbele pale
 

Mgunda yupo wapi?wampe timu
 
Kwenye migogoro na ubovu wa timu kufanya vibaya na kufukuza makocha Matola yupo na bado anapewa awe caretaker, huu ujinga Yanga tulishatoka huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…