econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Azam kama wana akili ndio muda wa kumchukua huyu kocha, kwanza ana uzoefu na soka la bongo, pili azam wana wachezaji wazuri kuliko simba lakini pia kocha anawajua makolo nje ndani kwa hiyo wakikutana ni mwendo wa kuwapasua tu.
Kwa ule mpira objective , Azam watashuka daraja.