Sasa mkuu kwa akili za kawaida timu ya wanachama inaingiaje mkataba bila kutaja price figure za huo mkatabaNyinyi subirini muda wenu ufike muanze kuuliza zilpowekwa bila nyinyi kuonyesha mlipoweka zenu, hiyo ndo kazi yenu kubwa.
Hela za Simba Sc zitakuwa ni za kufoji ila zenu zitakuwa ni halali, ni kawaida kabisa.
Nafikiri point ta msingi ni kwamba taarifa zitawekwa wazi ifikapo tarehe 1 August, ili kila mwanachama na shabiki ajue (hakuna sehemu waliposema kuwa itakuwa siri)Sasa mkuu kwa akili za kawaida timu ya wanachama inaingiaje mkataba bila kutaja price figure za huo mkataba
Hizi timu zetu zisitutoe akili mkuu
Maoni ya mdau mmoja kwenye PM yangu juu ya mkataba wa Simba na M -betNafikiri point ta msingi ni kwamba taarifa zitawekwa wazi ifikapo tarehe 1 August, ili kila mwanachama na shabiki ajue (hakuna sehemu waliposema kuwa itakuwa siri)
Au wewe ulikuwa unataka wakati wakuingia mkataba na hiyo kampuni kila mmoja (wanachama wote wa Simba sc hapa Tz) wawepo kwenye majadiliano?? Haya nyinyi yanga ni lini mlifanya hivyo, au niletee team yoyote duniani ambayo inasaini mikataba hivyo unavyotaka wewe.
Maoni ya mdau gani huko PM, vipi kama huyo mdau nae ana akili kama zako? Yani seriously unataka watu wazima na akili zao humu waamini unachokisema kwakua kuna mdau wako kakutumia maoni PM?Maoni ya mdau mmoja kwenye PM yangu juu ya mkataba wa Simba na M -bet
Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.
Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo
Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Niamini mm Mzee wangu.....watu tuna watu wetu kwenye hizi timu za kariakooMaoni ya mdau gani huko PM, vipi kama huyo mdau nae ana akili kama zako? Yani seriously unataka watu wazima na akili zao humu waamini unachokisema kwakua kuna mdau wako kakutumia maoni PM?
AU na wewe nae unataka kujifanya kuwa una connection kutoka bodi ya wakurugenzi na viongozi wa Simba Sc, kama mwenzako demigod ?
Hebu acheni utoto😂
Kwahiyo bei halisi ya huo mkataba ni shingapi?Niamini mm Mzee wangu.....watu tuna watu wetu kwenye hizi timu za kariakoo
BureAcha payopayo mkuuu,leta source ya taarifa yako kudhibitisha figure ulizotaja
Aisee kumbe eeeMkataba wa Simba na M -bet
Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.
Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo
Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Nchi hii imejaa wajanja mkuuAisee kumbe eee
Home una jirani mganga?Mkataba wa Simba na M -bet
Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.
Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo
Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Unapata nini kumuongopea mwenzako?Umewaza mbali sana, na ndivyo ilivyo
ya XMkataba una thamani kiasi gani?
uko sahihi mkuuNchi hii imejaa wajanja mkuu
Dogo sikia sportpesa walikuwa wanatoa bil 1.3 kwa mwakaMaoni ya mdau mmoja kwenye PM yangu juu ya mkataba wa Simba na M -bet
Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.
Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo
Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Twende M-BET🤣🤣🤣Kuanzia Leo sibet tena sport pesa kwanza nilikuwa ngumu kula from now nafuta application yao na nitawambia sitaki mnitumie meseji zenu za fixture sasa nipo Mbet ila chakuwapa ushauri Mbet waboreshe odd zao tu wengine tumehama rasmi sportpesa
Mkataba wa Simba na M -bet
Hawa Jamaa wanacheza na akili za mashabiki.
Mkataba wameingia tarehe 1 Julai, 2022.. Taarifa wanatoa After two weeks.. then wanakwambia taarifa zaidi watatoa tarehe 1 August, 2022.. mwezi mmoja toka wasaini Mkataba Huo
Asee hapa wanavizia waone SPORTPESA atatoa ngapi kwa Yanga tu ndio na wao wajue kama watatangaza waliyopewa ama watafoji foji ili waonekane kwamba wamewazidi Yanga Kudhaminiwa
Trust Me BroHome una jirani mganga?
Unapata nini kumuongopea mwenzako?