Simba yatambulisha mshambuliaji mpya kutoka Ivory Coast Freddy Michael Kouablan

Hatujamwona Kramo vizuri ila Kramo bado ni kama 50/50 ,anaweza akawa mzuri au asiwe mzuri tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepata faili la Joseph mchezaji aliyetambulishwa jangwani

Aisee
 
Una SIMBA APP
mambo yapo kwenye SIMBA APP
pakua
Package yangu imeisha mwezi huu na sioni kama kutakuwa na exclusive nyingine ukuachana na huu msimu wa dirisha dogo ambao umetamatika leo

Kungekuwa na continuation exclusives ningelipia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…