Simba yatolewa kwa penati 4 - 3 | Orlando Stadium

Hahaha, kusema kweli leo zikiwa chache ni tatu bila. Kwa zile dakika kumi za mwisho walizocheza pale Lupaso nikiangalia na backline yetu na viungo wetu alafu lile pira walipige dakika tisini hakuna pa kutokea.
Tutarudi saa tatu usiku.
 
Kila la kheri Simba Fc [emoji91]
Nguvu moja
 
Mungu ibariki SIMBA
 
Leo ndio tunatoka rasmi kwenye michuano ya CAF kwa msimu huu...all the best Simba mmepambana kwa kiasi chenu!!
Watakutukana, watakukejeli! Lakini ulicho kiandika hapa, ndiyo ukweli wenyewe. Yaani ukweli mchungu.

Na wakirudi Bongo, wanakutana na kipigo kingine tena cha ✌️ bila, tarehe 30!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…