Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Ila JFK wa US alikuwa anag*nga sana malaya, kwa nini hakuachia ofisi?
Pasko hapa ametupiga pakubwa. Makosa ya mtu mwingine madamu ni mtu mzima yeye ndie atahusika. Muulize vipi kuhusu ile scandal ya Bill Clinton pamoja na vurugu zote lakini hakuachia ngome.
Acha kum attack Mhe. Simbachawene kwa nafasi yake amejitahidi pakubwa sana. Kongole kwake. Japo yaweza kuwa na vimakosa vidogo hili haliharibu au kubatilisha ukweli wa kuwa yeye kama yeye hakuridhishwa na tabia ya mwanae.
 
Nimekumbuka aliyowahi kufanya Prof. Kapuya Juma, zingekuwa nchi za waliostaarabika Kapuya mpaka sasa angekuwa anatumikia kifungo chake, lakini sasaaaaaa.... Hata huyu dogo, kwa kuwa tu anatoka first class citizens, nawaambia pamoja na baba yake kusema lakini hata wanaotakiwa kuchukua hatua HAWATACHUKUA kwani wanajua utamaduni wao ulivyo!
 
Mmmh mijitu imekaaa chobis kusubiri tukio kama hili

Ikumbukwe, Baba amesema mtoto sio mtoto tena na ana familia yake. Hivyo basi makuzi, cheo na vingine havina mantiki.
Kijqna ni mtanzania, na anawajibu kufuata sheria. Vilevile polisi wasikuze hili jambo kuonekqna wanafanya kazi bila upendeleo, tunawajueni. Nao wafuate sheria.

Haya mambo yakurekodiana yana sheria zake. Zipitiwe.
 
Nimekumbuka aliyowahi kufanya Prof. Kapuya Juma, zingekuwa nchi za waliostaarabika Kapuya mpaka sasa angekuwa anatumikia kifungo chake, lakini sasaaaaaa.... Hata huyu dogo, kwa kuwa tu anatoka first class citizens, nawaambia pamoja na baba yake kusema lakini hata wanaotakiwa kuchukua hatua HAWATACHUKUA kwani wanajua utamaduni wao ulivyo!
...Unamkumbuka yule Mheshimiwa ambaye ni Marehemu alivyomuua Derek be a Daladala Kwa kumtishia na Bastola yake Kwa kugongagonga Dirishani na Bastola ikapiga na kumuua kinda, na Mheshimiwa akachomoa???
 
Nilipenda sana life style ya Hayati Magufuli na familia yake.

Mzee yule hakupenda kabisa wanae wawe maarufu kama hawa watoto wa walamba asali.

Ukiachilia story za mtoto Jesca wengine wamekuja kuonekana msibani kwa mzee. Huwezi wasikia Popote sijui kunywa mvinyo Sinza au sijui kupiga piga mikamera na kutunisha misuli.

Ila hii imekuwa aibu sana kwa Mh waziri [emoji24] Halafu hao polisi mbona wamemstiri hivyo. Yaani walipaswa wamlambe makofi ya kupunguzia hasira za tozo aiseee enewei
 
Mshana Jr siwatetei polisi, wengi wao wamezoea kuzodoa watuhumiwa. And you can see huyu askali ana mprovoke dogo kwa matusi. Na nina uhakika dogo alidhalilishwa. Iwapo kama wangetumia hekima nadhani wasingefika huku. Ila ni kukosa adabu hao askali. Naamini watashughulikiwa hao askali ili wawe na maadili ya kazi. It happened to me kibaha with my private tupo na wanzagu mi ndiye nilikuwa dereva, askali kasimamisha nikamuambia the nikatoka kumfuata akaniomba lesseni nikamuambia ngoja niifuate kwenye gari akanitukana tusi na kuniambia anaenda kuniweka ndani. Nikamuambia kosa langu nini kukuambia naenda kuchukua leseni kwenye gari mpaka unitishie kuniweka ndani? Ikabidi niondoke nimuache kwa hasira ikabidi nimtume mwenzagu baadaye alikuja kuomba msamaha huku analia nimsamehe baada ya kujua mi ni nani. Hivyo hawa askali hawana adabu kabisa. Naamini jeshi la polisi liwachukulie hatua baada ya kufanya uchunguzi, kuna stori haijakaa sawa maana huwezi kumprovoke mtu kiasi kile. Na kuna askali mwingine nadhani yeye alifukuzwa kazi kwa huu upuuzi yaani anaambiwa ni mtoto wa kiongozi yeye alitaka rushwa na akawa eti unajifanya mtoto wa kiongozi. So askali baadhi yao hawajui maadili ya kazi
Kumbe mtoto wa kiongozi barabara, akitenda makosa ya usalama barabarani, hatakiwi kuchukuliwa hatua, kwa maelezo yako hasa huku mwisho.
Inaonyesha hata wewe hukuwajibu vizuri ndiyo maana mlitofautiana, kwanza askari amekusimamisha nini ushuke ndani ya gari.
Alafu siamini kama siyo kauli yako mbovu, inayojivunia cheo, ama madaraka yako, askari mwenye uniform akutukane tu, ni kweli wapo askari ni wagumu, ila haifukii kumtukana mtu.

Tuache vyeo vyetu na madaraka mbele ya kazi za wenztu, omba msamaha askari wetu ni waelewa, watakuonya na kukuacha uendelee na safari.
 
Drama ya kuwasahaulisha TOZO. Na Kama ujuavyo wabongo watajaa na kusahau maumivu ya tozo taratiibu!
Aisee unaweza ukawanyima watu wote maono lkn mmoja akaona mbali sanaaa.

Naungana na wewe mkuu katika hili🤣🤣
 
Twe
Maneno ya kwamba hakuna mtu wa kumuweka ndani coz ni mtoto wa waziri nayo unayachukuliaj

Umri wangu hauna umuhimu kwenye mada. Nilikuwa Advance akiwa O level. Mpira tulienda wote kutazama na alifanya mambo ya kawaida kabisa ya wanafunzi wengine.
Can you imagine first time nimefika dorm namtazama hivi namuona Simbachawene huyu hapa.
Ni private skull. Govt angekutana na maticha nunda angepigika tu
 
Umri wangu hauna umuhimu kwenye mada. Nilikuwa Advance akiwa O level. Mpira tulienda wote kutazama na alifanya mambo ya kawaida kabisa ya wanafunzi wengine.
Can you imagine first time nimefika dorm namtazama hivi namuona Simbachawene huyu hapa.
Mkuu kama nakuona mitaa ya kilambasi, kyara Dom 40 nadhan umenipata[emoji4][emoji4]
 
Mmmh mijitu imekaaa chobis kusubiri tukio kama hili

Ikumbukwe, Baba amesema mtoto sio mtoto tena na ana familia yake. Hivyo basi makuzi, cheo na vingine havina mantiki.
Kijqna ni mtanzania, na anawajibu kufuata sheria. Vilevile polisi wasikuze hili jambo kuonekqna wanafanya kazi bila upendeleo, tunawajueni. Nao wafuate sheria.

Haya mambo yakurekodiana yana sheria zake. Zipitiwe.
Kwa level/class of citizenship ya huyo dogo, sidhani kama ana uwezo wa kupambana na familia. Chawene katulisha matango pori
 
Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake iitwayo vicarious liability ya malezi mabovu ya wazazi, hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment iliyosababishwa na makosa ya kijana wake, mzazi anawajibika kwa kosa la mtoto, mume anawajibika kwa kosa la mke, boss anawajibika kwa kosa la mtumishi wake, hata Ali Hassan Mwinyi alipowajibika ile 1976 akiwa Waziri wa mambo ya ndani kwa vifo vya wale mahabusu wawili, Masaga Makhula Mazengenuka na Isaack Ng'wana Ng'hohoboko, Mwinyi did nothing!, mahabusu hao walikufa kufuatia mahojiano na polisi eneo la Kigoto, na waliokolewa na RSO wa Mwanza, na vifo vyao vikamponza Mzee wa watu aliyewaokoa!. Aliyejiuzulu ni Mwinyi na hakuwa na kosa lolote.

UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.

P.
Mzee wa nyuzi zenye maslahi ya taifa skuizi unanifurahisha sana yaani kuna watu mnamchokoza Mungu kwa unafiki siku akiwapa malipo mtabaki mnalilia

Inajulikana mvunjifu wa Sheria achukuliwe hatua iwe kwa sababu ya malezi au iwe kwa makuzi haijalishi, awe Baba kiongozi au ustadhi hali kadhalika, that has nothing to do na taifa hilo ni swala binafsi wala halihitaji uzi na majibu mareefu.

Lakini fasta tu umedakia na kuaadress kwa sababu unajua watakusikiliza lakini kwa maswala ya kitaifa ambayo ni unfavourable kwa CCM upo kimyaaaa kama huoni malalamiko ya watu kuhusu TOZO batili eti kwa sababu tu umeisha lambishwa tayari.

Nakwambia hivi Mungu anakuona na atakuonyesha In Shaa Allah kwa double standard zako !!!

Jua kua hiyo sauti uliyojaaliwa hukujipa wewe kama wewe, ulibarikiwa na Mungu sasa unapoidhulumu baraka ya Mungu maana yake unajitafutia laana

MAYALLA, MAYALLA, MAYALLA X 3

Kuwa makini na sauti yako unajitafutia laana shauri yako usije sema hatukukwambia hiyo asali ya CCM itakuponza
 
Back
Top Bottom