Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Mshana Jr siwatetei polisi, wengi wao wamezoea kuzodoa watuhumiwa. And you can see huyu askali ana mprovoke dogo kwa matusi. Na nina uhakika dogo alidhalilishwa. Iwapo kama wangetumia hekima nadhani wasingefika huku. Ila ni kukosa adabu hao askali. Naamini watashughulikiwa hao askali ili wawe na maadili ya kazi. It happened to me kibaha with my private tupo na wanzagu mi ndiye nilikuwa dereva, askali kasimamisha nikamuambia the nikatoka kumfuata akaniomba lesseni nikamuambia ngoja niifuate kwenye gari akanitukana tusi na kuniambia anaenda kuniweka ndani. Nikamuambia kosa langu nini kukuambia naenda kuchukua leseni kwenye gari mpaka unitishie kuniweka ndani? Ikabidi niondoke nimuache kwa hasira ikabidi nimtume mwenzagu baadaye alikuja kuomba msamaha huku analia nimsamehe baada ya kujua mi ni nani. Hivyo hawa askali hawana adabu kabisa. Naamini jeshi la polisi liwachukulie hatua baada ya kufanya uchunguzi, kuna stori haijakaa sawa maana huwezi kumprovoke mtu kiasi kile. Na kuna askali mwingine nadhani yeye alifukuzwa kazi kwa huu upuuzi yaani anaambiwa ni mtoto wa kiongozi yeye alitaka rushwa na akawa eti unajifanya mtoto wa kiongozi. So askali baadhi yao hawajui maadili ya kazi
Ulikosea Sana kushuka,Mimi wakinisimamisha nasimama mbele kidogo afu nasubiri wake,wakikaribia Ndio nafungua kioo, ukishuka kwenye gari ni ishara wanaona wao Ni wakubwa
 
RIp Magufuli. Sio wakati ule dogo angekula vitasa na baba angepumzishwa uwaziri. Yajayo yanafurahisha
Wake mwenyewe aliwahi kuzingua mbona hakujiudhuru ? Huku yeye akisema Ni mnyonge,mwanae alirecord yupo na pesa nyingi,aliishia kumpiga tu
 
Ulikosea Sana kushuka,Mimi wakinisimamisha nasimama mbele kidogo afu nasubiri wake,wakikaribia Ndio nafungua kioo, ukishuka kwenye gari ni ishara wanaona wao Ni wakubwa
Ni kweli ila bahati mbaya siku hiyo walikuwa wamesimamisha magari mengi mno hivyo nilipaki mbali na nilikuwa na haraka hivyo nikaona nitachelewa nikiwasubiri waje.
 
Ni kweli ila bahati mbaya siku hiyo walikuwa wamesimamisha magari mengi mno hivyo nilipaki mbali na nilikuwa na haraka hivyo nikaona nitachelewa nikiwasubiri waje.
Polisi wetu huwa Ni wajinga wajinga wanasahau maisha waliyonayo, Kuna mmoja huko Arusha alijidai mzarendo Sana ,Sirro akapita naye ,jamaa akaanza kutafuta wana Habari kuomba msamaha
 
Polisi wetu huwa Ni wajinga wajinga wanasahau maisha waliyonayo, Kuna mmoja huko Arusha alijidai mzarendo Sana ,Sirro akapita naye ,jamaa akaanza kutafuta wana Habari kuomba msamaha
Ni kweli. Ila kuna traffic wengine hata askali ni waungwana mno, tena wanakufanya mpaka utii sheria bila shuruti. Ila hawa wa mtoto wa Simbachawene walimseti dogo baada ya rushwa kugoma ili waonekane wao wasafi. Najua dogo ataenda kumpa mchongo mzima mama yake na ikifika kwa mzee wake hao polisi hawana chao
 
Trust me,hakuna Polisi wa kufanya hivo,na hata wewe ungekuwa Polisi usingefanya hivo,nyie hamjui tu majeshi yanavoendeshwa

Hizo kubebwa juu juu Ni kina sisi tu, umpige mtoto wa Waziri ufukuzwe kazi ? Vyeo vya hao traffic vipo chini ya RPC so yeye Ndio Ana mamlaka ya kuwafukuza which means kutemeshwa kazi Ni fasta tu, Kwanza hapo lazima wafukuzwe kwa uzembe huu
Hao polisi ni wazembe wafukuzwe tu, hadi mtu anamchukua video mtoto wa waziri wao wamezubaa tu, hawajui hiyo ni aibu kwa taifa? Badala ya kuitetea nchi wao wanaanza kuivua nguo!

Kazi hawana hao!
 
Hio ni tofauti na kugonga magari ya watu na kukimbia na kutukana polisi
Kugonga gari ya mtu ni trafic case ndogo mno, yule nani sijui mwenye kikampuni kinaitwa sijui Ocean nini nini, aligonga akaua mtu lakini hakumaliza hata dk 20 kituoni kesi ikawa imeisha...

Shida huyu dogo ni matusi kwa polisi, hata hivyo, hakukuwa na sababu ya kuweka video mitandaoni, wangemalizana nae tu, kwanza ana hela wenye magari yao angewalipa tu..
 
This is Bongo mkuu. Hivi ulishawahi kujua wale traffic wanaowazinguaga madereva wa serikali kwa video huwa wanaishia wapi??? Hahahah huyo dogo kila atakaye mshughulikia be assured atapoteza cheo.
Sio kweli, afande aliyemkamata mke wa waziri mahiga alipandishwa cheo
 
Kabla ya kuendelea naomba ninukuu maneno ya hekima ya wahenga yasemayo.. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo..!

Jioni hii habari kubwa sio ushindi wa watani wa jadi kwenye mechi zao bali clip zinazosambaa mitandaoni kuhusiana na kijana aliyejisanibu kama mtoto wa waziri Simbachawene , ambaye alisababisha ajali kisha akagoma kutii sheria kisa yeye ni mtoto wa waziri tajwa

Kijana kwenye clips za video anaongea shit sana...akionekana katoa lock hasa..baada ya hizo video kwenda viral mitandaoni.. Baba mtu kajitokeza na kumkana kijana wake huku akijivua lawama na kulitaka jeshi la polisi lichukue hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.

Kama mzazi kafanya vema sana lakini nyuma ya pazia kuna tatizo kubwa la kimakuzi kuliko karipio la baba.. Huku mitaani hawa watoto wa viongozi wanawapatisha tabu mno vyombo vya usalama na wananchi wa kawaida.. Wao wanajiona ni The untouchables.. Walio juu ya sheria

Sasa ni vema mzazi na waziri Simbachawene asimamie kauli yake na isiwe tu ni hasira na kujikosha mbele ya jamii.. Amaanishe sheria ichukue mkondo wake.. Na jeshi la polisi nalo LISIMAME KWENYE SHERIA BILA KUANGALIA SURA..

Video hizi hapa. Haitakuwa jambo la busara mzazi kwa influence yake arudi kwa mlango wa nyuma na kufanya patano lenye viashiria vya mlungula.. Aache sheria ichukue mkondo wake.. Asimamie kauli yake.. Na jeshi la polisi nalo lifanye kweli..View attachment 2329818
Traffic case hiyo,, no big deal,,,
 
Kigoto ilikuwa fire, duuu ukiona jengo tu na pori lake mwili unasisimka tumekula Sana mapera, machungwa na maparachichi kipindi hicho Cha utotoni
Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake iitwayo vicarious liability ya malezi mabovu ya wazazi, hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment iliyosababishwa na makosa ya kijana wake, mzazi anawajibika kwa kosa la mtoto, mume anawajibika kwa kosa la mke, boss anawajibika kwa kosa la mtumishi wake, hata Ali Hassan Mwinyi alipowajibika ile 1976 akiwa Waziri wa mambo ya ndani kwa vifo vya wale mahabusu wawili, Masaga Makhula Mazengenuka na Isaack Ng'wana Ng'hohoboko, Mwinyi did nothing!, mahabusu hao walikufa kufuatia mahojiano na polisi eneo la Kigoto, na waliokolewa na RSO wa Mwanza, na vifo vyao vikamponza Mzee wa watu aliyewaokoa!. Aliyejiuzulu ni Mwinyi na hakuwa na kosa lolote.

UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.

P.
 
Back
Top Bottom