Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hiyo kawaida saana inatokea hata usiwazeNilisoma course ambayo sikuja kuifanyia kazi. 😢😢
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kawaida saana inatokea hata usiwazeNilisoma course ambayo sikuja kuifanyia kazi. 😢😢
Ulikosea Sana kushuka,Mimi wakinisimamisha nasimama mbele kidogo afu nasubiri wake,wakikaribia Ndio nafungua kioo, ukishuka kwenye gari ni ishara wanaona wao Ni wakubwaMshana Jr siwatetei polisi, wengi wao wamezoea kuzodoa watuhumiwa. And you can see huyu askali ana mprovoke dogo kwa matusi. Na nina uhakika dogo alidhalilishwa. Iwapo kama wangetumia hekima nadhani wasingefika huku. Ila ni kukosa adabu hao askali. Naamini watashughulikiwa hao askali ili wawe na maadili ya kazi. It happened to me kibaha with my private tupo na wanzagu mi ndiye nilikuwa dereva, askali kasimamisha nikamuambia the nikatoka kumfuata akaniomba lesseni nikamuambia ngoja niifuate kwenye gari akanitukana tusi na kuniambia anaenda kuniweka ndani. Nikamuambia kosa langu nini kukuambia naenda kuchukua leseni kwenye gari mpaka unitishie kuniweka ndani? Ikabidi niondoke nimuache kwa hasira ikabidi nimtume mwenzagu baadaye alikuja kuomba msamaha huku analia nimsamehe baada ya kujua mi ni nani. Hivyo hawa askali hawana adabu kabisa. Naamini jeshi la polisi liwachukulie hatua baada ya kufanya uchunguzi, kuna stori haijakaa sawa maana huwezi kumprovoke mtu kiasi kile. Na kuna askali mwingine nadhani yeye alifukuzwa kazi kwa huu upuuzi yaani anaambiwa ni mtoto wa kiongozi yeye alitaka rushwa na akawa eti unajifanya mtoto wa kiongozi. So askali baadhi yao hawajui maadili ya kazi
Wake mwenyewe aliwahi kuzingua mbona hakujiudhuru ? Huku yeye akisema Ni mnyonge,mwanae alirecord yupo na pesa nyingi,aliishia kumpiga tuRIp Magufuli. Sio wakati ule dogo angekula vitasa na baba angepumzishwa uwaziri. Yajayo yanafurahisha
Ni kweli ila bahati mbaya siku hiyo walikuwa wamesimamisha magari mengi mno hivyo nilipaki mbali na nilikuwa na haraka hivyo nikaona nitachelewa nikiwasubiri waje.Ulikosea Sana kushuka,Mimi wakinisimamisha nasimama mbele kidogo afu nasubiri wake,wakikaribia Ndio nafungua kioo, ukishuka kwenye gari ni ishara wanaona wao Ni wakubwa
Polisi wetu huwa Ni wajinga wajinga wanasahau maisha waliyonayo, Kuna mmoja huko Arusha alijidai mzarendo Sana ,Sirro akapita naye ,jamaa akaanza kutafuta wana Habari kuomba msamahaNi kweli ila bahati mbaya siku hiyo walikuwa wamesimamisha magari mengi mno hivyo nilipaki mbali na nilikuwa na haraka hivyo nikaona nitachelewa nikiwasubiri waje.
Tena hao askali hawana adabu wame mseti dogo baada ya kuomba rushwa ikashindikana na walipojua ni mtoto wa mkubwa basi wakaamua wamseti kabisa ili waonekane hawana makosaHapo waziri kaongea tu. Backdoor watamalizana.
Ni kweli. Ila kuna traffic wengine hata askali ni waungwana mno, tena wanakufanya mpaka utii sheria bila shuruti. Ila hawa wa mtoto wa Simbachawene walimseti dogo baada ya rushwa kugoma ili waonekane wao wasafi. Najua dogo ataenda kumpa mchongo mzima mama yake na ikifika kwa mzee wake hao polisi hawana chaoPolisi wetu huwa Ni wajinga wajinga wanasahau maisha waliyonayo, Kuna mmoja huko Arusha alijidai mzarendo Sana ,Sirro akapita naye ,jamaa akaanza kutafuta wana Habari kuomba msamaha
Hio ni tofauti na kugonga magari ya watu na kukimbia na kutukana polisiWake mwenyewe aliwahi kuzingua mbona hakujiudhuru ? Huku yeye akisema Ni mnyonge,mwanae alirecord yupo na pesa nyingi,aliishia kumpiga tu
Kutukana Askari ni kosa ambalo sio la kitrafficKwani kosa la traffic inahatua gani kali ya kuchukuliwa?
Au mnataka dogo ahukumiwe kwa sheria tofauti na traffic case?
Hao polisi ni wazembe wafukuzwe tu, hadi mtu anamchukua video mtoto wa waziri wao wamezubaa tu, hawajui hiyo ni aibu kwa taifa? Badala ya kuitetea nchi wao wanaanza kuivua nguo!Trust me,hakuna Polisi wa kufanya hivo,na hata wewe ungekuwa Polisi usingefanya hivo,nyie hamjui tu majeshi yanavoendeshwa
Hizo kubebwa juu juu Ni kina sisi tu, umpige mtoto wa Waziri ufukuzwe kazi ? Vyeo vya hao traffic vipo chini ya RPC so yeye Ndio Ana mamlaka ya kuwafukuza which means kutemeshwa kazi Ni fasta tu, Kwanza hapo lazima wafukuzwe kwa uzembe huu
Mtoto wa jiwe alijirecord na mihela? Yupi huyo? Maana picha zao tu tumekuja kuziona kwenye msibaHata mtoto wa jiwe aliji record na mihela, hizi Mambo hutokea tu
Kugonga gari ya mtu ni trafic case ndogo mno, yule nani sijui mwenye kikampuni kinaitwa sijui Ocean nini nini, aligonga akaua mtu lakini hakumaliza hata dk 20 kituoni kesi ikawa imeisha...Hio ni tofauti na kugonga magari ya watu na kukimbia na kutukana polisi
Sio kweli, afande aliyemkamata mke wa waziri mahiga alipandishwa cheoThis is Bongo mkuu. Hivi ulishawahi kujua wale traffic wanaowazinguaga madereva wa serikali kwa video huwa wanaishia wapi??? Hahahah huyo dogo kila atakaye mshughulikia be assured atapoteza cheo.
Traffic case hiyo,, no big deal,,,Kabla ya kuendelea naomba ninukuu maneno ya hekima ya wahenga yasemayo.. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo..!
Jioni hii habari kubwa sio ushindi wa watani wa jadi kwenye mechi zao bali clip zinazosambaa mitandaoni kuhusiana na kijana aliyejisanibu kama mtoto wa waziri Simbachawene , ambaye alisababisha ajali kisha akagoma kutii sheria kisa yeye ni mtoto wa waziri tajwa
Kijana kwenye clips za video anaongea shit sana...akionekana katoa lock hasa..baada ya hizo video kwenda viral mitandaoni.. Baba mtu kajitokeza na kumkana kijana wake huku akijivua lawama na kulitaka jeshi la polisi lichukue hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.
Kama mzazi kafanya vema sana lakini nyuma ya pazia kuna tatizo kubwa la kimakuzi kuliko karipio la baba.. Huku mitaani hawa watoto wa viongozi wanawapatisha tabu mno vyombo vya usalama na wananchi wa kawaida.. Wao wanajiona ni The untouchables.. Walio juu ya sheria
Sasa ni vema mzazi na waziri Simbachawene asimamie kauli yake na isiwe tu ni hasira na kujikosha mbele ya jamii.. Amaanishe sheria ichukue mkondo wake.. Na jeshi la polisi nalo LISIMAME KWENYE SHERIA BILA KUANGALIA SURA..
Video hizi hapa. Haitakuwa jambo la busara mzazi kwa influence yake arudi kwa mlango wa nyuma na kufanya patano lenye viashiria vya mlungula.. Aache sheria ichukue mkondo wake.. Asimamie kauli yake.. Na jeshi la polisi nalo lifanye kweli..View attachment 2329818
Kwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake iitwayo vicarious liability ya malezi mabovu ya wazazi, hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment iliyosababishwa na makosa ya kijana wake, mzazi anawajibika kwa kosa la mtoto, mume anawajibika kwa kosa la mke, boss anawajibika kwa kosa la mtumishi wake, hata Ali Hassan Mwinyi alipowajibika ile 1976 akiwa Waziri wa mambo ya ndani kwa vifo vya wale mahabusu wawili, Masaga Makhula Mazengenuka na Isaack Ng'wana Ng'hohoboko, Mwinyi did nothing!, mahabusu hao walikufa kufuatia mahojiano na polisi eneo la Kigoto, na waliokolewa na RSO wa Mwanza, na vifo vyao vikamponza Mzee wa watu aliyewaokoa!. Aliyejiuzulu ni Mwinyi na hakuwa na kosa lolote.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Comment of the year....Sawasawa alichofanya huyo Dogo,siwezi tetea mipolisi ya nchi hii,yenyewe si ndio iliinjinia kuwaweka walamba asali....Wacha wafu wazike wafu wao