Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Unafahamu vyema adhabu ya makosa ya barabarani hata kama ukiauaYah!kikubwa wamshugulikie ipasavyo
Huyo dogo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafahamu vyema adhabu ya makosa ya barabarani hata kama ukiauaYah!kikubwa wamshugulikie ipasavyo
Huyo dogo
Ova
Polisi hawana haja ya kuagizwa kumshughulikia kijana mtukutu, waache uoga wafanye kazi bila kuvumia sheria.Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake….
Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA SHERIA … Binafsi naomba RADHI SANA kwa walioathirika na mkasa huo lkn pia kwa jeshi la polisi na Watanzania wote.
POLENI KWA USUMBUFU WOWOTE MLIOUPATA
George B. Simbachawene (mb).
View attachment 2329436
Unaijua Tz wewe? Huenda hata hajatamka kuwa ni Mtoto wa Chawane kwa ubaya, lakini ni vyema sheria ifuate mkondo wake na sio kuongezea maneno.Hata mimi nashangaa sana huyo kijana mwenyewe hakuna alipotamka kwa mdomo wake hayo maneno.
Watanzania tupunguze Wivu na Husda jamani, aliyekuzidi pambana naye kwa kutafuta zaidi yake lkn siyo kulazimisha umshusheeee. Huo ni Uchawi kama ilivyo Ulozi tu
Mkuu Pascal MayallaKwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake iitwayo vicarious liability ya malezi mabovu ya wazazi, hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment iliyosababishwa na makosa ya kijana wake, mzazi anawajibika kwa kosa la mtoto, mume anawajibika kwa kosa la mke, boss anawajibika kwa kosa la mtumishi wake, hata Ali Hassan Mwinyi alipowajibika ile 1976 akiwa Waziri wa mambo ya ndani kwa vifo vya wale mahabusu wawili, Masaga Makhula Mazengenuka na Isaack Ng'wana Ng'hohoboko, Mwinyi did nothing!, mahabusu hao walikufa kufuatia mahojiano na polisi eneo la Kigoto, na waliokolewa na RSO wa Mwanza, na vifo vyao vikamponza Mzee wa watu aliyewaokoa!. Aliyejiuzulu ni Mwinyi na hakuwa na kosa lolote.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Mkuu kwahiyo ulitaka Waziri aseme sio kijana wake?Kitendo cha Waziri kutoa tamko kwamba huyo ni kijana wangu, maana yake ni kwamba kuweni makini na mtakachomfanyia,
Akimwambia baba yake kuwa Kopro fulani kaninyanyasa, inakula kwa Kopro, na jamaa yuko sahihi anaposema kuwa hajawahi kupelekwa polisi, kumpeleka polisi mtoto wa waziri unajisumbua bure tu.
Naona unampinga wakili msomi🤣🤣Hapa kwenye tortuous liability kwa baba wa huyu kijana umetupanga bwana pasco.
Kwenye course ya Law of Tort kuna mapindi ulikua huingii darasani.
Watu wanakosea sana, Waziri amechukua dhamana ya kulinda jina lake ambalo limetumika kwa kosa la mtoto wake. Laiti kijana angejitambulisha kwa jina , mfano, '' Willian George S' waziri asingezungumzia.Mkuu kwahiyo ulitaka Waziri aseme sio kijana wake?
Arudi maktabaNaona unampinga wakili msomi🤣🤣
Anaitwa nan huyu dogo?Dogo alikwenda element kuponda tozo zetu elemet bia ya local Ni elf 5500 huyu kijana inasemekana katokea ememt muda huo sa imagine Ni tozo Kia's gani imetumika kwa night hyo Kali na ikumbikwe kuwa hakuwa pekeake
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa. Traffic wameamua ku revenge manake kinana amewapa za USOUliona zile video za mtoto wa Biden? Na bado Biden Yuko ofisini.
Muda mwingine mzazi unajitahidi Ila watoto hawasikii, hasa hiki kizazi cha hovyo!
CCM imeharibu nchi mpaka watoto wao na wameharibikiwanawasikitikia hao maafisa kuwa vibarua vyao vitaota mbawa.
Wameanza Mawaziri kututukana.
Wamefuata watoto wao bado wake zao na michepuko yao itumwagie matusi tukome.
Hii ni awamu ya makambale kila mtu ana ndevu.
Tutatukanwa mpaka tujute.
VX tamu kaka leave the office aache VXKwenye nchi za wenzetu zinazoheshimu uwajibikaji, this is an embarrassment kwa mzazi!, mwana unleavyo ndivyo akuavyo, Mhe. Simbachawene anawajibika kwa tortuous liability ya malezi ya kijana wake iitwayo vicarious liability ya malezi mabovu ya wazazi, hivyo Baba anapaswa kuwajibika kwa embarrassment iliyosababishwa na makosa ya kijana wake, mzazi anawajibika kwa kosa la mtoto, mume anawajibika kwa kosa la mke, boss anawajibika kwa kosa la mtumishi wake, hata Ali Hassan Mwinyi alipowajibika ile 1976 akiwa Waziri wa mambo ya ndani kwa vifo vya wale mahabusu wawili, Masaga Makhula Mazengenuka na Isaack Ng'wana Ng'hohoboko, Mwinyi did nothing!, mahabusu hao walikufa kufuatia mahojiano na polisi eneo la Kigoto, na waliokolewa na RSO wa Mwanza, na vifo vyao vikamponza Mzee wa watu aliyewaokoa!. Aliyejiuzulu ni Mwinyi na hakuwa na kosa lolote.
UK, US, Canada, Australia na Newsland, Baba, mama, mke na mtoto wa politicians ukifanya kosa lolote la embarrassment and put the public office into disrepute, mfano kukutwa na Wanawake wa barabarani, ukiacha mke, mtoto wako akifanya kituko, you immediately leave the public office!.
P.
Unaposema hivyo jiulize pia kama ingekuwa ni wewe ungefanya hayo ya kujiuzulu.Hili ndio alipaswa kufanya, kujiuzuru na kuiomba jamii samahani. Hizi nyingine ni story tu analeta.
Hapana, asingesema polisi wangemnyanyasa huyo kijana kama wanavyotunyanyasa sisi kajamba nani, kasema kumaanisha kwamba huyo kijana hajitapi bure, kweli ni kijana wake na atakae mgusa ajiangalie!Mkuu kwahiyo ulitaka Waziri aseme sio kijana wake?
Dah umenikumbusha mbali sana aiseee, hii kitu itanimaliza /tafuna maisha yangu yoteHapa kwenye tortuous liability kwa baba wa huyu kijana umetupanga bwana pasco.
Kwenye course ya Law of Tort kuna mapindi ulikua huingii darasani.
Kuna video zilivuja anapima unga, nyingine yupo na wanawake uchi....Ila dogo mashaallah, ana mzigo sio poa....Kama ndo like father like son basi Biden Yuko vizuri.🤣Mtoto wa Biden? Alikuwa anafanyaje?