Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

Polisi hawana haja ya kuagizwa kumshughulikia kijana mtukutu, waache uoga wafanye kazi bila kuvumia sheria.

Hii customer service ambayo polisi wameionyesha leo wawafanyie na wengine pia, kama angukuwa mlala hoi wangemkalisha kwe kiti?

Polisi, huo uungwana mlioonyesha uendelezeni kwa Watanzan8a wengine pia.

Vv

Vv
 
Unaijua Tz wewe? Huenda hata hajatamka kuwa ni Mtoto wa Chawane kwa ubaya, lakini ni vyema sheria ifuate mkondo wake na sio kuongezea maneno.
 
Mkuu Pascal Mayalla

With all due respect, kuna upotoshaji katika bandiko lako.

Awali ya yote nieleze kauli ya Waziri Simbachawene ikifuatiwa na rebuttal

1. Kwa utamaduni wetu wa kijinga Tanzania, inapotokea waziri akikiri kosa kufanywa na mtoto wake, ni jambo la kumpongeza hata kama tunajua yatamalizwa tu. Haitokei , amejitahidi sana kwa std zetu

Pili, Waziri kafanya kosa kutamka kijana wake ashughulikiwe, amechukua 'ownership'' ya tatizo
Waziri alipaswa kusema, ni kijana wake na sheria ichukue mkondo ni mtu anayejitegemea.

2. tortuous liability ina limitation ndiyo maana ya kuwa na umri. Mzazi anakoma kuchukua responsibility katika umri fulani kutegemea nchi. Kwa Tanzania ni miaka 18.
Wazazi hawastakiwi kwa dereva wa miaka 20 aliyelewa na kuua watu. Kwanini Simbachawene abebe dhamana milele?

3. kosa alilofanya kijana halihusiani na uzembe wa waziri hakutumia gari au kifaa cha kazi za waziri.
PM Boris Johnson wa UK alishtakiwa kwa kukiuka sheria za lockdown alizoweka kama kiongozi.

Laiti ile 'party' ingefanywa na mkewe bila Johnson kuhudhuria , metropolitan Police wasingemhoji Boris bali mkewe na Bunge lingemtaka Boris ajisafishe ''ethical Issue''

4. Vicarious liability inatokea sana kwenye kazi, ima boss au msimamizi au agent anachukua dhamana ya waajiriwa. Katika familia tunazungumzia tortious liability zaidi kuliko vicarious liability.
Ulipotuhumiwa kulidhalilisha Bunge, Marhum mzee Mayalla habebi chochote kati ya liability hizo mbili.

5. Mzee mwinyi alijiuzulu kuchukua responsibility za walio chini yake.
Ilikuwa ni lazima alikuwa Waziri wa serikali ya Nyerere. Serikali ilikiri kosa, kamaasingejiuzulu Nyerere angepaswa.

Dhana ya kujiuzulu ni kumkinga boss na dhahma ima kwa uzembe wa moja kwa moja au kupitia wa chini yako kwa kuonyesha kukiri kosa au kujutia.

Nimalizie, Waziri alichukua dhamana ya jina lake lililotumiwa na mtoto wake anayejitegemea.
Kijana wake anajitegemea na anawajibika kwa makosa yake.
Tortious liability imefika kikomo, sheria ichukue mkondo wake kwa Raia aliyetenda kosa si mtoto wa Waziri.

Akishtakiwa kama mtoto wa waziri tayari kuna ku 'compromise ' mfumo wa kutoa haki.
Waziri hapaswi kujiuzulu kwa hili!

JokaKuu Tindo
 
Mkuu kwahiyo ulitaka Waziri aseme sio kijana wake?
 
Mkuu kwahiyo ulitaka Waziri aseme sio kijana wake?
Watu wanakosea sana, Waziri amechukua dhamana ya kulinda jina lake ambalo limetumika kwa kosa la mtoto wake. Laiti kijana angejitambulisha kwa jina , mfano, '' Willian George S' waziri asingezungumzia.
Hapa waziri anatetea jina lake lililobeba mambo mawili, Uwaziri na heshima yake.
 
nawasikitikia hao maafisa kuwa vibarua vyao vitaota mbawa.

Wameanza Mawaziri kututukana.

Wamefuata watoto wao bado wake zao na michepuko yao itumwagie matusi tukome.

Hii ni awamu ya makambale kila mtu ana ndevu.

Tutatukanwa mpaka tujute.
CCM imeharibu nchi mpaka watoto wao na wameharibikiwa
 
VX tamu kaka leave the office aache VX
 
Ndugu Pascal, SO UNTRUE, Sio lazima kisheria ila huko unakosemea huwa opposition na Magazeti ndiyo yanayo fanya campaign ya kumfedhehesha mtu. But if you are above 18 n ukafanya kosa, basi ni lako na mfanya kosa ndiye atakaye wajibika.

Simbachawene kaomba radhi, na kawashauri polisi wafanye kazi yao ipaswavyo, lakini sisi kama wa TZ, tushaamua kuwa anatudanganya, Qe judge and sentence a man kabla hatujaua ukweli na mwisho wa kesi. How sad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…