SIMIYU: Levinus Kidanabi Jela miaka saba na faini mil 15 kwa kumkashifu Rais Samia

Kamkashifu kivipi mbona hamuwezi wazi, akipata wakili mzuri anatoka mapema asubuhi
 
Wasukuma hawajawahi heshimu mwanamke..ni dharau kubwa sana mwanamke kuongoza.

Obhonahe nkoko nhima engahelaga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ila mijizi na mifisadi serikalini hutasikia ikihukumiwa.[emoji34]
 
Sasa hapo ni miaka 7 au mi 3? Na ukijumlisha msamaha wa 1/3 ina maanisha atakaa ndani solid 2 yrs.

Hao mwananchi wame edit wakamvalisha kijani ili kuwapumbaza watu waogope kwamba hadi ccm wanashughulikiwa je sisi upande wa pili si itakuwa balaa.
 
Sasa hapo ni miaka 7 au mi 3? Na ukijumlisha msamaha wa 1/3 ina maanisha atakaa ndani solid 2 yrs.

Hao mwananchi wame edit wakamvalisha kijani ili kuwapumbaza watu waogope kwamba hadi ccm wanashughulikiwa je sisi upande wa pili si itakuwa balaa.
Ila akienda HC for Appeal Dogo amachomoka.

Mahakimu wengi Wa lower court Judgment zao haziko solid ni mihemuko.

Nina Uhakika Hyo Judgement Haina Hata Case citation Hata Moja
 
Siku hizi wewe ufanye tu kosa lolote lile dhidi ya mwanamke hata likiwa ni la kawaida tu, kisha upelekwe mahakamani ukutane na hakimu mwanamke..... baba/ kaka utajuta..., nasema utajuuuuta kuifahamu hii nchi au hii dunia!!
 
Naona Sukuma Gang wameanza kunyooshwa.

Huu ni mtifuano wa ndani ya CCM ndani ya magroup yao.

Sisi tuombe lile Group la AfroShirazi lishinde hao wanahuruma kidogo kwetu Wapinzani.
 
Hukumu imekaa kishabiki zaidi ingwa kashfa no mbaya lakini tungeambiwa alisema Nini ili tujiridhishe
 
:Lisu : Mama amefungua nchi sasa tuko huru.

Zito: Asante hali ya siasa ni nzuri mnoooooo, tuko huru kabisa kukosoa.

Wakati tunaonya kwamba mnawashangilia wachumia tumbo mlikuwa mnapinga na kutupuuza, haya jioneeni sasa.
 
wenye midomo ya kuharisha kaeni chonjo, vinginevyo mtaozea jela, jela pasikie tu bora ulale nje.
 
Tayari jamaa kadandia mtumbwi wa vibwengo tuheshimu mamlaka na viongozi kwa ujumla jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…