ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Jitu kama hili The Sunk ......stupid halijielewi kabisa ukitaka kulipata ww lipe mchuzi kidogo wa sato utalikuta limejaa mazima. I feel very sorry for this bulsheet blakamanAnaschaje kushinda kwa mambo makubwa na mazuri kama haya?π
chuki zako peleka hukoooooSamia ndiyo anaunua au soko la dunia ndiyo linaamua? rubbish
Ukisema hivyo kwa kuangalia bei ya pamba kwa mwaka 2022, je mwaka 2024 bei ya pamba ikishuka hadi 750 Tsh kwa kilo ITAKUWAJE KWA UCHAGUZI WA 2025 ?BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka TZS 1,800/kg kwa kilo wakati huu wa Mama Samia Suluhu Hassan,
Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" wao wanasema "NO CASH NO COTTON"
Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.
kwawale msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" tu,Yaani Ukimaliza na Pamba umeshinda Uchaguzi,
Huko nyuma, CCM imekuwa ikihenyeshwa karibu katika kila Uchaguzi huku kosa la CCM likiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " tu,
RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia TZS 1,800/kg ila tu ni kwa awamu hii ya Mhe Samia Suluhu,
Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida kwa Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba,
Lengo likiwa ni kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea TZS 700/kg ya Pamba atakayouza,
Pesa hii maranyingi ilikuwa ikiende kwa Mnunuzi kama faida ya maramia,
Leo hii Mama Samia ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"
Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,
View attachment 2253903
DuhKuongoza watanzania ni kazi nyepesi sana, na hapa ndo utakuja kujua kwamba ile kauli ya kwamba "waafrica ni wamoja isipokuwa mipaka tu ndo imetutenganisha" kuwa ni ya uongo, species za kenya tu hapa ambao tumepakana nao ni tofauti kabisa na hizi ndina za Tz, achilia mbali SA ambako mtasema ni mbali.
Kama sio katiba hata mimi natamani hii,Katiba ibadilishwe Mama Samia awe rais wa maisha!! Siku ya kutoka madarakani iwe ni siku anbayo tunakwenda kumzikaaaa!!
Endelea kuupiga mwingi Mama wa wanyongeeeeee
Anajitahidi mnoIla Samia anajitahidi kusema ukweli,
Haiwezi kushukaUkisema hivyo kwa kuangalia bei ya pamba kwa mwaka 2022, je mwaka 2024 bei ya pamba ikishuka hadi 750 Tsh kwa kilo ITAKUWAJE KWA UCHAGUZI WA 2025 ?
Na korosho nayo itapanda bei. Sio yule mwendazake aliye haribu soko.la hayo mazao hususani korosho. Aiseee Mungu ni.mwema kwetu wakulimaBEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka TZS 1,800/kg kwa kilo wakati huu wa Mama Samia Suluhu Hassan,
Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money" wao wanasema "NO CASH NO COTTON"
Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo.
kwawale msiofahamu,Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" tu,Yaani Ukimaliza na Pamba umeshinda Uchaguzi,
Huko nyuma, CCM imekuwa ikihenyeshwa karibu katika kila Uchaguzi huku kosa la CCM likiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " tu,
RC Kafulila anasema ,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia TZS 1,800/kg ila tu ni kwa awamu hii ya Mhe Samia Suluhu,
Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida kwa Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba,
Lengo likiwa ni kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea TZS 700/kg ya Pamba atakayouza,
Pesa hii maranyingi ilikuwa ikiende kwa Mnunuzi kama faida ya maramia,
Leo hii Mama Samia ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"
Msikilize huyu Mwamba Mpaka mwisho,
View attachment 2253903
Rais Samia amekuwa mama wa wanyonge,
Unga wa mahindi kilo ilikuwa 500 sasa 800.Dawa ya meno ilikua 3000 sasa 5000 wacha kazi iendelee!
CCM CHAMA,CCM MBELE KWA MBELE
Kwani soko la dunia halikuwepo kabla ya Rais Samia?Tuache unafiki wakuu, suala la kupanda kwa bei ya pamba ni juhudi za serikali au ni mabadiliko ya soko la dunia? kama ni juhudi za serikalibasi hata suala la kupanda kwa bei ya bidhaa tunapaswa kuilaumu serikali.Tuache unafiki.
Kumbe Soko lilimsubiri Samia?Samia ndiyo anaunua au soko la dunia ndiyo linaamua? rubbish