Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea

Tunapotezewa target ya Ngorongoro
We kweli akili zipo? Yani watengeneze maandamano kisa Ngorongoro? Yani watengeneze scene inayoweza kutishia usalama wa taifa kuua yanayotokea Ngorongoro?
 
Ngoja nimtag jamaa yangu mmoja hapa Lucas Mwashambwa
 
Ndugu zangu wasukuma na matumizi sahihi ya akili ni vitu tofauti,hapo wakiambiwa waorodheshe watoto waliopotea, hawana
Wewe ndo hauna akili na kamwambie huyo shetani 2025 hapati kituuuuuuuuuuu woyooooooo
 
Ndugu zangu wasukuma na matumizi sahihi ya akili ni vitu tofauti,hapo wakiambiwa waorodheshe watoto waliopotea, hawana
We shoga, Wakoloni Waingereza walipotaka kuondoka watu waliowaona wenye akili wanaofaa kukabidhiwa nchi ni wawili tu, Msukuma Chifu David Makwaia na Mchaga Chifu Thomas Marealle.

Umewahi kujiuliza ni kwanini hawakumfikiria Chifu wako na Kikabila chako? Kilaza mkubwa we.
 
Walimwandaa nyerere muda tu na wakampa nchi, usukumani watoto bado hunya kuzunguka nyumba
 
Kama kichwa Cha habari kinavyosema sitokuja kutoa miguu yangu kuingia barabarani kuandamana tanzania hii Ili ufe wengine waishi Jana Kuna jamaa KAPIGWA risasi kafa lamadi raia wanawakimbia polisi ndio ujue Tanzania usijifanye kielele aliyechomwa picha ya raisi mbeya Nate wameshazika Kuna mizee ambayo ilichezea maisha ujanani kwao Sasa hivi inawaambia vijana waandamane hicho kitu hakipo Kila nikiangalia Salio langu bank Hala unakuta mjinga mmoja humu mtandaoni anasema vijana tuingie barabarani kisa yeye ana njaa hua namuangalia nasemahivi kweli anaakili timamu Tanzania ni ya kuandamana
 
Kwanini uandamana wakati kila kitu kiko sawa........
 
Ndio umaiti aliousema Kenyatta! Wewe ni maiti. WEWE NI MAITI, MAITI , MAITI
 

Attachments

  • KENYATTA.mp4
    3 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…