Poleni wafiwa na majeruhiWatu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
--
Rais Samia atoa salamu za Rambirambi
''View attachment 2076839
====
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari la waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu akiwa eneo la tukio, Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
Amesema kati ya vifo hivyo kuna vifo vya waandishi wa habari wanne na dereva wa waandishi na watu wengine sita walifariki papo hapo
“Ni kweli ajali hiyo imetokea, watu 11 wamefariki kwenye eneo la tukio wakiwemo waandishi wa habari 4 na dereva na wengine sita waliokuwa kweneye gari lingine” amesema Zakaria na kuongeza
“Dakika chache majeruhi waliopelekwa kwenye kituo cha afya cha Nasa watatu walifariki, wakiwemo wale waandishi wa habari waliokuwa kwenye msafara”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyo, Blasius Chatanda yupo katika hospitali ambako majeruhi walikopelekwa akiahidi kuwa atatoa taarifa baadaye.
Chanzo: Mwananchi
======
UPDATES;
=====
Waandishi waliofariki kwenye ajali ya gari ni
1. Husna Mlanzi wa ITV
2. Vanny Charles wa Icon. TV
3. Johari Shani wa Uhuru Digital
4. Antony Chuwa wa Habari leo Digital
5. Abel Ngapemba Afisa habari Mwanza
6. Steven Msengi Afisa Habari Ukerewe
7. Paul Silanga Dereva wao
Miili yao imehifadhiwa katika Kituo cha Afya Nassa wilayani Busega mkoani Simiyu.
140km/hr kwenye barabara zetu ni kutafuta yaliyotokeaWatu wenye madaraka wakishindwa kutumia akili wanamlaumu shetani.
Ingetumika akili kidogo tu ya mwendo wa kiasi wafiwa wasingekua na maumivu kiasi hiki.
Lkn mkuu anawahi, speed hiyo v eite spiti Mia arobaini, Sheria za barabarani tupa kule as if wazungu waliozitunga hawana akili
Ajiuzuru?Ni vizuri mkuu wa mkoa akajiuzulu
Nawashangaaga hawa watu sijuwi wanawaigi wapi,maana wanakwenda na maspidiWakulaumiwa Ni huyo kiongozi.
Speed ya magari unaiona lkn uko kimya tu hukemei.
Mkuu wa mkoa angemuambia dereva wake apunguze spidi hakuna mtu ambaye Ange overtake gari la mkuu. Lkn mkuu mwenyewe yupoyupo tu anataka kuwahi. Sijui alichelewa wapi.
Unapaswa kuwa umeshakufa had sasa,sijui kifo kinafeli wapi kukuondoa!Kutokana na uwongona unafiki wa serikali hii ya kusema walioachwa ni kwasbsb ya kuwania urais ,, mwenyezi mungu kwa kukataa unafiki, leo ajali ya msafara wa mkuu wa mkoa umesababisha maafa ya watu 18 na majruhi wengi na waliathirika zaidi wakiwa ni waadishi wa habari. Bila kutubu dhambi zetu basi mwaka huu ukame utakuwa mkali na amamfa yatatuandama, kazi kwen
KabisaHuu utaratibu wa magari yaliyoko kwenye msafara wa viongozi kuendeshwa kama yanaendeshwa na vichaa ufikie mahali ufe.
Hakuna wanapowahi zaidi ya kaburini tu halafu utasikia "ni mpango wa Mungu".
Stupid fools.
Soma hapo umeandikiwa mbonaNina rafiki zangu kibao kwenye tasnia hiyo waliopo Mwanza. Natamani nifahamu majina ya waathirika, lakini nimeshindwa kuwapigia simu mmoja mmoja! Natamani niwatambue kwa njia nyingine!
Aliyepata majina, naomba atupatie!
Ukiangalia kosa lililomfanya Mzee mwinyi nyakati hizo kujiuzulu ni kama tone kwenye bahari ukilinganisha na hili.Ni vizuri mkuu wa mkoa akajiuzulu
Mkuu hizo Landcruiser 1HZ hazina ukubwa wowote pia hazina safety features yoyote ile ndo maana ikila mzinga kwenye speed kali maafa hua ni makubwa sana...Mimi ninashauri hawa madereva wa serikali wanunuliwe gari za kawaida kama za kwetu watu wa chini. Hizi gari zenye uwezo mkubwa zinawapa viburi na kujiamnini kukimbia mwendokasi wenye matokeo kama haya. Inatakiwa wapewe gari kama kirikuu (suzuki carry) ili tuone kama wataendelea na mwendokasi, wameonywa lakini hawasikii.
Kuna UPUMBAVU, NASEMA UPUMBAVU wa hali ya juu sana ktk nchi hii. Kila anayeendesha gari ya serikali anaamini sheria za barabarani hazimuhusu! Folish! Roho za watu zinateketea bila sababu.Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
--
Rais Samia atoa salamu za Rambirambi
''View attachment 2076839
====
Watu 14 wamefariki dunia baada ya gari la waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu akiwa eneo la tukio, Mkuu wa Wilaya ya Busega (DC), Gabriel Zakaria amethibitisha kutokea vifo hivyo.
Amesema kati ya vifo hivyo kuna vifo vya waandishi wa habari wanne na dereva wa waandishi na watu wengine sita walifariki papo hapo
“Ni kweli ajali hiyo imetokea, watu 11 wamefariki kwenye eneo la tukio wakiwemo waandishi wa habari 4 na dereva na wengine sita waliokuwa kweneye gari lingine” amesema Zakaria na kuongeza
“Dakika chache majeruhi waliopelekwa kwenye kituo cha afya cha Nasa watatu walifariki, wakiwemo wale waandishi wa habari waliokuwa kwenye msafara”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyo, Blasius Chatanda yupo katika hospitali ambako majeruhi walikopelekwa akiahidi kuwa atatoa taarifa baadaye.
Chanzo: Mwananchi
======
UPDATES;
=====
Waandishi waliofariki kwenye ajali ya gari ni
1. Husna Mlanzi wa ITV
2. Vanny Charles wa Icon. TV
3. Johari Shani wa Uhuru Digital
4. Antony Chuwa wa Habari leo Digital
5. Abel Ngapemba Afisa habari Mwanza
6. Steven Msengi Afisa Habari Ukerewe
7. Paul Silanga Dereva wao
Miili yao imehifadhiwa katika Kituo cha Afya Nassa wilayani Busega mkoani Simiyu.
Ni coincidence tu..Kutokana na uwongona unafiki wa serikali hii ya kusema walioachwa ni kwasbsb ya kuwania urais ,, mwenyezi mungu kwa kukataa unafiki, leo ajali ya msafara wa mkuu wa mkoa umesababisha maafa ya watu 18 na majruhi wengi na waliathirika zaidi wakiwa ni waadishi wa habari. Bila kutubu dhambi zetu basi mwaka huu ukame utakuwa mkali na amamfa yatatuandama, kazi kwenu
Boss! Akili za viongozi wetu ni MBOVU! Wanaotakiwa kuonesha ufahamu wa sheria za nchi ndo wasiotaka kufuata sheria za barabarani. Polisi, wanajeshi, uhamiaji, majaji, wabunge, mawaziri, n.k. wote wanaona sifa kutofuata sheria za barabara. Yaani kukiuka sheria nayo ni privilege! PUMBAVU Kabisa watu hawa! Siku hizi hata magari ya kampuni ya reli pia hayafuati, SU zote hazifuati!Kwa kweli umeongea jambo la muhimu sana.
Nimewahi kuwa mikoani kwa shughuli kadhaa zinazohusiana na ofisi ya mkuu wa mkoa, wilaya ama mkurugenzi.
Kwa kweli kama ni kwenda kukagua miradi, misafara ya magari kwenye ziara huwa inakiuka kwa wazi kabisa sheria za usalama barabarani katika maeneo yafuatayo:
1. Mwendo kasi - ni kama vile kwa kuwa tu mpo kwenye msafara basi hakuna anayejali tena kuhusu mwendo kasi uliopitiliza.( Hata maaskari wa usalama wa barabarani huwa hawafanyi chochote kwa kuwa tu ni msafara wa mkuu wa mkoa, wilaya ama mkurugenzi.
2. Matumizi ya ''Hazard'' - yaani kwenye hii misafara kitu madereva wanajua ni kuwasha taa za hazard kisha wanakuwa huru kufanya chochote barabarani.
Ni muhimu sasa kwa madereva na wale wanaokuwa kwenye hii misafara kuzingatia sheria za barabarani.
Alikuwa anenda Ukerewe iliyoko ndani ya mkoa wake lakini ili afike huko analazimika kupitia mikoa miwili ya Simiyu na Mara kwa njia ya kivuko cha Kisorya badala ya kivuko cha Mwanza Nansio/Ukara.Dah.... RC wa Mwanza ndani ya Simiyu...ziara ya kikazi..... Kama bi Mkubwa anashinda ndani ya ndege....Basi wengine Ni kina Nani hasa hata wasipende padiemu? 🤣🤣🤣🤣🤭
Mbona naona kama waliojitokeza hadharani kugombea urais (Januari na Mwigulu) 2015 ndiyo wamebaki kwenye baraza, na hawa ambao hawajawahi kujitokeza hadharani kutangaza nia hiyo ndiyo wametupwa nje akiwemo mzee wa K-VANT. Hii inakaaje?Kutokana na uwongona unafiki wa serikali hii ya kusema walioachwa ni kwasbsb ya kuwania urais ,, mwenyezi mungu kwa kukataa unafiki, leo ajali ya msafara wa mkuu wa mkoa umesababisha maafa ya watu 18 na majruhi wengi na waliathirika zaidi wakiwa ni waadishi wa habari. Bila kutubu dhambi zetu basi mwaka huu ukame utakuwa mkali na amamfa yatatuandama, kazi kwenu
Umefafanua vizuri.Walikuwa wanaelekea Ukerewe, kufika Ukerewe kuna njia mbili, moja ya Meli pale Mwanza, na nyingine kupitia Bunda ambako wangepanda kivuko.
Hao walipita hiyo ya Bunda ambayo unapitia Wilaya ya mkoa wa Simiyu.
Mama anahusikaje hapo?
Aiseee ameniuma huyu dada. Yaani hata mimi siamini.Ebana ee!
Husna Mlanzi amefariki?