Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe alipaswa awe keshakufa kwa kunyongwa. Lisu angekuwa ughaibuni. Lema angekuwa anavuna matunda canada.Ukihitaji salamu njoo unieleweshe kwanza,tofauti na hapo utaula wa chuya!.
Hii nchi kila mtu yuko huru ili mradi asivunje utaratibu na sheria za nchi tulizojiwekea kwa utaratibu pendekezwa toka kwenye Katiba.
Kumpenda au kumchukia mtu ni hiari au matakwa ya mtu.
Mimi binafsi simpendi na si mkubali Rais Samia Suluhu Hassan kwasababu naona kama kwenye huu uongozi wake ndiyo amekuwa Rais wa ajabu kuliko waliomtangulia.
Binafsi pia nilikuwa simkubali Rais Magufuli lakini naona kidogo yeye alikuwa na uafadhali kwa raia wa Tanzania kuliko huyu Samia.
Sasa nahitaji mtu anayeweza kunieleza kwa facts aliyoyafanya Rais Samia tangu amekuwa Rais pengine naweza kumpenda kuanzia leo.
Mnakaribishwa wadau wa siasa
Jenga hoja acha Blah blahUsipompenda yeye anapungukiwa nini na wewe kwako nimi kinaongezeka
Kafanya nini cha maana,achana na mambo ya Kura kwanzaNdo maana kuna kura
Inamaana kuna watu kama nyie ambao hamumpendi itabidi mkubaliane nae tu
Deal with it
Asiyeona haambiwi tazama.Ukihitaji salamu njoo unieleweshe kwanza,tofauti na hapo utaula wa chuya!.
Hii nchi kila mtu yuko huru ili mradi asivunje utaratibu na sheria za nchi tulizojiwekea kwa utaratibu pendekezwa toka kwenye Katiba.
Kumpenda au kumchukia mtu ni hiari au matakwa ya mtu.
Mimi binafsi simpendi na si mkubali Rais Samia Suluhu Hassan kwasababu naona kama kwenye huu uongozi wake ndiyo amekuwa Rais wa ajabu kuliko waliomtangulia.
Binafsi pia nilikuwa simkubali Rais Magufuli lakini naona kidogo yeye alikuwa na uafadhali kwa raia wa Tanzania kuliko huyu Samia.
Sasa nahitaji mtu anayeweza kunieleza kwa facts aliyoyafanya Rais Samia tangu amekuwa Rais pengine naweza kumpenda kuanzia leo.
Mnakaribishwa wadau wa siasa
Mkuu Mbowe ni nani,hapa namuongelea Samia,Jenga hoja acha VirojaMbowe alipaswa awe keshakufa kwa kunyongwa. Lisu angekuwa ughaibuni. Lema angekuwa anavuna matunda canada.
Jenga hoja acha VirojaUmetumwa wew sio bure.
Hakuna hata kimoja, hivi Tanzania ishawahi kufika fainali za AFCON?Kafanya nini cha maana,achana na mambo ya Kura kwanza
Hao Tec ni kina nani?Asiyeona haambiwi tazama.
Asiyesikia haambiwi sikia.
Mimi naona TEc ndiyo peke yao wanaochapa kazi Tanzania hii, kazi yao wanaijuwa sana hakuna mfano, tena kwa mafanikio makubwa na matokeo tunayaona kila sehemu, hakuna siri.
Fainali za AFCON ilishafika,but inahusiana nini na alichofanya Samia?Hakuna hata kimoja, hivi Tanzania ishawahi kufika fainali za AFCON?
Mkuu nihame nchi utanipa kodi ya huku nitakako hamia?Hama nchi
TEC leo huwajuwi, hujasoma sunday school wewe?Hao Tec ni kina nani?
Namuongela Samia Rais wa nchi,unaweza kunidokeza kafanya yapi ya maana?
Kwamba anasafiri sana au kapunguza safari?safari za hapa na pale hili nalo sio jema kwako.
#maendeleo hayana chama
#mama anaupiga mwingi
Samia unamuongelea wewe, upo huru, mimi nimeuliza swali.Fainali za AFCON ilishafika,but inahusiana nini na alichofanya Samia?
Aliyekwambia humu wote tunasali Roma nan?TEC leo huwajuwi, hujasoma sunday school wewe?
Hivi kuna kijana Tanzania hii toka iumbwe kawahi kupewa eka kumi za shamba amiliki mwenyewe?