Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Inashangaza Pascali,Mwandishi Mahili,Kuchanbua ishu ya ulawiti Kwa njia nyepesi hivyo,angalia upande huu pia.
1) Ni Maadili Mkuu wa Mkoa kuwa night club na huyo Binti? Rejea Mfano wa Mwl Nyerere,kuhusu Waziri wa uingereza,aliyefutwa kazi Kwa kuonekana tu mitaa ya makahaba.
2) Binti Kwa vile alikuwa Mhanga kwenye Tukio la kesi ya ubakaji,Hana Haki ya kimaadili ya kuwa mhanga wa kesi nyingine kwakuwa ataonekana anadanganya? Akifanyiwa unyanyasaji akae kimyaa kwakuwa alishawahi toa ushaidi ukamfunga mtu mwingine miaka 30? Kesi Ile na hii vina uhusiano wa aina yoyote? Angle uliyochagua inashusha hadhi yako uliyoijenga humú na kwingineko. Hii ni kesi mpya,usizuie Haki kutendeka kwaajiri ya Malipo mnayopewa kulinda PR iliyojimaliza,
3) Kazi ya Madaktari ni ipi,kama sio kutoa ushaidi utakaosaidia uamuzi? Ikiwa kulikuwa na Concesus,je ni legal? Or null and void? Obvious is immoral,ni null and void act.
 
Hapahitaji mafunzo kivile.
Bali high moral standards zinakuokoa kwa silimia kubwa. ( Kumuingilia mwanamke mbele au nyuma bila ridhaa yake ni makosa, kwamtazamo wangu aliye ingia kwa nyuma uadilifu wake upo chini zaidi ya aliye ingia mbele)
 
Mkuu,

Under 18 hata akikubali ni rape! Kwa hivyo hakuna alichosingizia. Hiyo ipo kisheria zaidi.

Kiuhalisia binti wa miaka 16 anafaa kwa matumizi (sio ndoa).

N.b. Huyo binti ana heka heka sana, mambo yake hayajanyooka, na chanzo ni ushawishi wetu wanaume.
 
Mkuu unakuza mambo bure-Intelligence Intelligence -Yaani kama wewe ni muadilifu, hupendi ngono kupitiliza hata kama hujaingia chekechea hawawezi kukupata; ila wanaume wengi kwa wanawake ni kama mbwa na chatu tunajipeleka kirahisi sana
Sikuzi mambo kama unayofikiria, nchini Urusi mitego Kama hii wanategwa Hadi Mabalozi wa nchi za nje ambao wanaishi nchini humo na bado wananasa, Visa kama hivi ni vingi Sana nchini Urusi na hata katika nchi zingine washirika wa Urusi.
Kwa taarifa yako, yawezekana kabisa kwa asilimia kubwa zaidi kwamba hata Balozi wetu mmoja ambaye alirudishwa hapa nchini kutoka kwenye nchi fulani hivi huko ughaibuni na siku chache baada ya Balozi huyo kuwasili (kurudi) hapa nchini Tanzania tulitangaziwa kwamba amefariki kwa ajali ya gari akiwa safarini kurudi kijijini kwao. Kutokana na uzoefu wangu binafsi, Nina wasiwasi mkubwa sana kwamba Balozi huyo huko ughaibuni alikokuwa huenda alipigwa tukio la namna hii ili kumchafulia CV na ili kuchafua Jina la nchi alikotoka huyo Balozi kwani michezo kama hiyo huwa inafanyika sana huko.

Inavyoonekana wewe hujui kitu chochote kuhusu michezo ya namna hii. Nchini Urusi Wana Chuo Chao maalumu kinaitwa The Red Banners Institute ambacho kinatoa Mafunzo juu ya taaluma ya Mambo Kama haya pamoja na masuala ya Assassination. Tembea uone!
 
Mimi bado namlaumu Ex RC kwa ukubwa alionao,wadhifa,heshima aliyonayo anaenda kwa KITOTO kama HICHO ???? iwe aliingiliwa kwa ridhaa au laah .

Wanaume manacho Cha kujifunza, wanawake wenye akili timamu wapo wengi,kama mkiendelea kukisikilza kichwa Cha chini mtaendelea kudhalilika kilasiku
 
Mkuu wa mkoa tena mwenye mke na watoto unaenda kuzini kwenye gari? Acha yamkute tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…