Simu Janja kama Mashine ya EFD - Nafuu kubwa kwa wajasiliamali na wafanya biashara

Simu Janja kama Mashine ya EFD - Nafuu kubwa kwa wajasiliamali na wafanya biashara

Wapi nimesema 50,000 nyingi? TRA hawatoi EFD machine bure. Hata hivyo, nitakuwa mteja wenu soon.

TRA wanatoa bure VFD, tembelea ofisi za tra uliyo Karibu nayo kupata maelezo. Wanakupa app. kazi yako inabaki Kuwa na printer
 
Chief kama utatumia huduma yetu huna haja ya kwenda huko tunakutumia mfano wa barua, unaisaini unaturudishia na TIN certificate yako sisi ndio tunaiomba kwa niaba yako. Kwanini upate tabu? tena kwa sasa pesa zenyewe hatuzichukui mpaka umepata huduma.
 
Akishalipia gharama za mfumo hivyo vifaa mnampatia bure?

Hapana sababu mfumo unaishi milele, Haufungwi na maisha ya kifaaa, Na unahitaji service zao, Kama ungependa upate mfumo bure ulipe vifaaa basi kuna wauza vifaa tunashirikiana nao kwa makubaliano maalum ya kutuwezesha tofauti ni maisha ya mfumo yanafungamanishwa na ya hicho kifaa huku wao wanalipa, wao wanrejesha pesa zao kwa kwanza kuuza kifaa, baadae spare au maboresho. Kimsingi neno Bure ni pana lazima kuna namna nyingine au mtu mwingine analipia, Chukua jamii forum kwa mfano ni bure lakini si unaona hilo tangazo hapo pembeni.

Watu hawawezi kuamini kama mnyakyusa anaweza kuleta huduma yenye quality[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii nalichukulia kwa umakini mkubwa... Ufumbuzi wowote ntakaupata ntaufanyia kazi japokua ukianzisha kampuni kubadili jina haiwezekani.
 
Elimika na wewe hiyo mashine unayonunua unamnufaisha nani na hii hapa unamnufaisha mtanzania mwenzako na kijana akapata elimu ajira hakuna amejiongeza.
Yeye amekuambia kuwa waweza lipa laki nne mazima mkuu.ama 50k kwa mwaka so uchague wewe
Sijui hata kama umewahi kununua efd machine! , Hiyo 590000 unayonunua , unaweza ku iclaim back unapofanua mahesabubya mwisho wa mwaka kama moja ya gharama za uendeahaji,
Hii ya mtoa mada ni laki nne inayozama yote , huwezi kuiweka kwenye gharama na Tra wakakubali., Lakini yote kwa yote mifumo ya IT kwan nchi za Africa bado ni kizumgumkuti ,
Ni juxi tu hapa tulikuwa na tatizo la control number za malipo ya serikali , na limewasumbuabkweli wataalamu .
Efd ipo connected na server zao na hata likitokea la kutokea bado mteja unakuwa mbali na mabalaa, Hii ya kutumia smartphone kama Efd , kuna siku unaeza pata virus attacks , file zikacorupt , ukaanza kutengeneza illigal recepts bila kujua ,halafu uje ubananishwe na uhujumu uchumi kizembe kabisa .

All in all , I just can't.
 
Sijui hata kama umewahi kununua efd machine! , Hiyo 590000 unayonunua , unaweza ku iclaim back unapofanua mahesabubya mwisho wa mwaka kama moja ya gharama za uendeahaji...

Unaweza Claim gharama zozote za uendeshaji kama "gharama za uendeshaji" kwaiyo kama unanafasi ya kuclaim unaruhusiwa kuclaim hata gharama za VFD pia.

Kingine vitu kama virus attacks , file zikacoruption nk vipo kwenye vifaa vyote vya electronic hata EFD na sio common, tena VFD ina namna nzuri zaidi za kumitigate hayo madhara ukilinganisha na EFD. Na VFD sio simu tu unaweka kwenye kifaa chochote unachoona ni salama kwa mazingira yako.

Kingine zote zipo kisheria na zinatolewa na Mamlaka ya Mapato na kwa sasa unaruhusiwa kutumia unayotaka Tofauti na Zanzibar ambao wao hawana option ya EFD ni vizuri kama una hofu ukaulize TRA kabla ya kupost huku

Nimeona unachanganya na kingereza maana umesoma na nirahisi kudadavua kua VFD sio kitu cha Tanzania pekee ni trend ya Dunia nzima hata Kenya wamechelewa kuanza lakini wapo mbali mno.

Tumia Elimu yako kufanya research kabla hujapublish msimamo wako wa sababu watu wanasoma wanadhani unajua unachokiandika.
 
Unaweza Claim gharama zozote za uendeshaji kama "gharama za uendeshaji" kwaiyo kama unanafasi ya kuclaim unaruhusiwa kuclaim hata gharama za VFD pia.

Kingine vitu kama virus attacks , file zikacoruption nk vipo kwenye vifaa vyote vya electronic hata EFD na sio common, tena VFD ina namna nzuri zaidi za kumitigate hayo madhara ukilinganisha na EFD. Na VFD sio simu tu unaweka kwenye kifaa chochote unachoona ni salama kwa mazingira yako.

Kingine zote zipo kisheria na zinatolewa na Mamlaka ya Mapato na kwa sasa unaruhusiwa kutumia unayotaka Tofauti na Zanzibar ambao wao hawana option ya EFD ni vizuri kama una hofu ukaulize TRA kabla ya kupost huku

Nimeona unachanganya na kingereza maana umesoma na nirahisi kudadavua kua VFD sio kitu cha Tanzania pekee ni trend ya Dunia nzima hata Kenya wamechelewa kuanza lakini wapo mbali mno.

Tumia Elimu yako kufanya research kabla hujapublish msimamo wako wa sababu watu wanasoma wanadhani unajua unachokiandika.
Mkuu
Najua katika mjadala huu ni kama naharibu biashara yako ,ila ukweli ni lazima usemwe kwa manufaa ya wengi , .

Commitment anayopewa mfanyabiashara , anapomiliki Efd , sio ya kitoto, anawajibuka kwenye mambo mengi ikiwemo na baafhi ya faults za machine , kumbuka kuna watu bado wana nia mbaya na wanajaribu ku temper na Efd , hayo yote ni majumkumu ya mfanyabiasharabkuhakikisha yupo upande salama ,
Sijakataa kuna makampuni yanatumia mfumo wa electronic kutoa receipt , ila ni makampuni makubwa yenye kuajiri Experienced expensive IT experts, wanaotumia very expensive softwares kupambana na hackers na virus.
Hii unayoileta hapa ni cheap version ya kitu amabacho ni very fragile na sensitive, platform yenyewe Android , Very weak , unaweza pigwa attack na watoto wa mjini ukajikuta unatengeneza partal receipt , halafu ukawa msala wa kutosha TRA.
 
Mkuu
Najua katika mjadala huu ni kama naharibu biashara yako ,ila ukweli ni lazima usemwe kwa manufaa ya wengi , .

Kwanini umejaza asumption nyingi? Risiti partial ni nini? Expensive software zipo immune kwa virusi? Kampuni kubwa hazihakiwi? Cheap ukilinganisha na nini? Upo general mno hata hujui hii solution ni nini na inafanyaje kazi. Kuwa msomi na uulize kama hujui usione aibu. ungeuliza kama vitu unavyohofia havijaangaliwa ili kuwasaidia wasiojua ningekuona wa maana sana. Kuuliza sio ujinga na ungewasaidia wasio jua.

Kama unauza EFD au unanufaika na mauzo yake basi nikutoe hofu kwamba huu sio mbadala wake bado utaendela kupata pesa. Usije ukatupa na ile TV yako ya chogo na simu ya mshindi.
 
Kwanini umejaza asumption nyingi? Risiti partial ni nini? Expensive software zipo immune kwa virusi? Kampuni kubwa hazihakiwi? Cheap ukilinganisha na nini? Upo general mno hata hujui hii solution ni nini na inafanyaje kazi. Kuwa msomi na uulize kama hujui usione aibu. ungeuliza kama vitu unavyohofia havijaangaliwa ili kuwasaidia wasiojua ningekuona wa maana sana. Kuuliza sio ujinga na ungewasaidia wasio jua.

Kama unauza EFD au unanufaika na mauzo yake basi nikutoe hofu kwamba huu sio mbadala wake bado utaendela kupata pesa. Usije ukatupa na ile TV yako ya chogo na simu ya mshindi.
Mi siuzi Efd mkuu,
Ila katika mihangaiko yangu ya maisha ninejikuta nahitajika kuwa na Efd , tena zaidi ya moja , niliwahi kudeal na jamaa flani kampuni wao walikua wanatoa hizo electronic receipts , kwa kutumia computers, nikadadisi , baadaye nikaona risks zilikuwa nyingi kuliko rewards. especially kama huna computer knowledge nzuri .
Najua una lengo zuri tu, ila pengine labda hujui risk atakazobeba , mfanyabiashara once mambo yakienda ndivyo sivyo.

Kenya wapo mbali sana kwenye mambo kama hayo , huoni wakikurupukia E government payments , ila siku wakifanua hutasikia failures za ajabu ajabu.
 
Mi siuzi Efd mkuu,
Ila katika mihangaiko yangu ya maisha ninejikuta nahitajika kuwa na Efd , tena zaidi ya moja , niliwahi kudeal na jamaa flani kampuni wao

Sisi tumeanza EFD 2018 Kenya wameza 2020 wao wamefanyikiwa sababu watu kama wewe kule Wachache. Kuwa na Hofu ni jambo jema lakini kuponda kabla ya kufanya utafiti ni jambo baya na ndio unachofanya hapa. Kama EFD zinakufaa komaa nazo sana zote zimetolewa na MTU mmoja na kufanya kazi moja.


Electronic receipts ulizodadisi sio VFD hizi siwezi kukupa bila kuwahusisha TRA na kimgine huna haja ya kudadisi sababu ukitoa tu risiti mda huo huo taarifa inaenda na mtu yeyote anaweza kuverify risiti yako. Inasikitika kuona unaonekana msomi na bado hujui chochote na pia hutaki kuuliza.
 
Kwanini umejaza asumption nyingi? Risiti partial ni nini? Expensive software zipo immune kwa virusi? Kampuni kubwa hazihakiwi? Cheap ukilinganisha na nini? Upo general mno hata hujui hii solution ni nini na inafanyaje kazi. Kuwa msomi na uulize kama hujui usione aibu. ungeuliza kama vitu unavyohofia havijaangaliwa ili kuwasaidia wasiojua ningekuona wa maana sana. Kuuliza sio ujinga na ungewasaidia wasio jua.

Kama unauza EFD au unanufaika na mauzo yake basi nikutoe hofu kwamba huu sio mbadala wake bado utaendela kupata pesa. Usije ukatupa na ile TV yako ya chogo na simu ya mshindi.
Boss unajua jamàa anaona kama ni inshu kubwa sana hiyo hadi anaogopa sijui expensive IT, labda siyo mtu wa manunuzi saiz watu wengi tu wanatoa invoice iliyo na efd moja kwa moja
Yeye anaegemea tu kwenye mabaya ambayo yanazidiwa na mazuri mengi.!
 
Smar
Sijui hata kama umewahi kununua efd machine! , Hiyo 590000 unayonunua , unaweza ku iclaim back unapofanua mahesabubya mwisho wa mwaka kama moja ya gharama za uendeahaji,
Hii ya mtoa mada ni laki nne inayozama yote , huwezi kuiweka kwenye gharama na Tra wakakubali., Lakini yote kwa yote mifumo ya IT kwan nchi za Africa bado ni kizumgumkuti ,
Ni juxi tu hapa tulikuwa na tatizo la control number za malipo ya serikali , na limewasumbuabkweli wataalamu .
Efd ipo connected na server zao na hata likitokea la kutokea bado mteja unakuwa mbali na mabalaa, Hii ya kutumia smartphone kama Efd , kuna siku unaeza pata virus attacks , file zikacorupt , ukaanza kutengeneza illigal recepts bila kujua ,halafu uje ubananishwe na uhujumu uchumi kizembe kabisa .

All in all , I just can't.
Kwa vipi EFD iweze kuwa connected na server za TRA na smartphone isiweze?

Ndio, una claim back lakini sio 100%. Uta benefit only 30% ya value, kama ni kampuni, na profit itapungua zaidi kwa hiyo 70%.

Sioni kwa nini laki 4 isiwe allowable deduction kwenye income tax determination na cost ya EFD machine iwe allowable, wakati zote zinafanya kazi moja.
 
Sisi tumeanza EFD 2018 Kenya wameza 2020 wao wamefanyikiwa sababu watu kama wewe kule Wachache. Kuwa na Hofu ni jambo jema lakini kuponda kabla ya kufanya utafiti ni jambo baya na ndio unachofanya hapa. Kama EFD zinakufaa komaa nazo sana zote zimetolewa na MTU mmoja na kufanya kazi moja.


Electronic receipts ulizodadisi sio VFD hizi siwezi kukupa bila kuwahusisha TRA na kimgine huna haja ya kudadisi sababu ukitoa tu risiti mda huo huo taarifa inaenda na mtu yeyote anaweza kuverify risiti yako. Inasikitika kuona unaonekana msomi na bado hujui chochote na pia hutaki kuuliza.
Mkuu uko makini kweli ?
Efd ipi unayozungumzia ilianza 2018?, Mwaka 2014 wafanyabiashara wa kariakoo waliweka mgomo wa kufungua maduka wakipinga hizo Efd , kama sikosei sisi tuneanza 2013

Kenya kufanikiwa kwenye Efd sio kitu cha ajabu , Kra haijazoa kila mtu na kumsajili kwenye mfumo huo kama tulivyofanya sisi,hata Vat registered customers wengi wapo kwenye mfumo mzuri na network inayoeleweka , tofauti na huku kwetu. Wao at some point wameruhusu watu wakue kwanza kibiashara kabla ya kuwarundikia makodi
 
Boss unajua jamàa anaona kama ni inshu kubwa sana hiyo hadi anaogopa sijui expensive IT, labda siyo mtu wa manunuzi saiz watu wengi tu wanatoa invoice iliyo na efd moja kwa moja
Yeye anaegemea tu kwenye mabaya ambayo yanazidiwa na mazuri mengi.!
Mkuu
For the records , sisi bado hatujawa na competent IT experts,
Mitandao ya Tra benki nk huwa marq kadhaa inakuwa chini na kusababisha kero., Kuna watu wamelazimika kuacha bidhaa zao bandarini kwa storages ambazo kimsingi huwa zinasababiswa na swala la mtandao kuanguka.. juzintu hapa control numbers zilikuwa hazilipiki.
 
Mkuu uko makini kweli ?
Efd ipi unayozungumzia ilianza 2018?, Mwaka 2014 wafanyabiashara wa kariakoo waliweka mgomo....

Narudia kwa mara ya mwisho hii sio EFD inafanya kazi kama EFD ila ni VFD na ndio ilianza 2018. EFD ni technologia ya mda mrefu ndio maana huwezi acha kuiongelea sababu hujui chochote kuhusu mambo mapya yanayoendelea duniani au una hisa. Mimi sitapoteza muda tena kuongelea EFD nakusihi ijue VFD ni nini ndio urudi tuwe tunaongea lugha moja. Natangaza mfumo wangu unafanya kazi kama EFD kwa sababu VFD inatoa risiti halali kama EFD lakini haujarithi kasoro zake zote. Hata wafanya biashara wa kariakoo hawakua na cha kugoma VFD ingekuwepo sababu inakuruhusu kutumia kifaa unachotaka na TRA wanaitoa BURE


Mkuu
For the records , sisi bado hatujawa na competent IT experts,
Mitandao ya Tra benki nk huwa marq kadhaa....

Naomba jiongelee Mwenywe kwa hapo, Sijawahi ona benki ya Tanzania inatumia System ya Ndani kwenye Core Banking Systems zao wote wanatumia makuampuni makubwa uliyodai ndio wewe yanafaa. Kingine Tuna System za ndani amabzo zinafanya kazi vizuri kwa miaka mingi kama LGRCIS,GEPG, TaxBank n.k kingine sababu kua mjuaji nadhani bila kuuliza hua unachukulia changamoto za miundombinu kama mtandao kama changamoto za mifumo.

Kingine kuwa Great Thinker na uache assumption hiyo issue ya mtandao kuanguka hii haipo huku, Hii system nayotoa unafanya kazi bila mtandao pia, Ujue kitu kinafanyaje kazi kwanza kama una wasiwasi uliza. Unafanya kama watu walionazisha hii Technologia na Nchi zote zinazotumia VFD hawakufikilia mambo madogo kama hayo?

Naomba nikufungue macho kua una hisa kubwa kwenye EFD za zamani sema hujui tu, Kama ulivyosema hapo mwanzo umezinunua nyingi na zote una mkataba wa matengenezo, kwamba huwezi kuzitengeneza sehemu nyingine ila ulikonunua. Hizo mashine huwezi fanyia kitu kingine, Juzi tu umetoka kuzilipia update ili walau zifanane na VFD, huwezi hata badili matumizi yake au kuzihamishia kwenye biashara nyingine utakayofungua, Unatamani zingekua na tachi ili utoe risiti haraka, Pesa zako zinakuuma sana ndio maana unajifariji kwa kudai huku kuna mapungufu ambayo hayapo bila kuuliza kwanza. Sitaki kuongelea EFD za zamani sababu sio nachokiuza hapa na pia nazo zimetolewa na TRA na naamini wao wanjua wanachofanya. Umeanza kuzeeka spidi ya technologia inakuacha na hujui chochote kuhusu hili unajua mambo ya zamani ULIZA kwa mtu yeyote anaejua.
 
Chief kama utatumia huduma yetu huna haja ya kwenda huko tunakutumia mfano wa barua, unaisaini unaturudishia na TIN certificate yako sisi ndio tunaiomba kwa niaba yako. Kwanini upate tabu? tena kwa sasa pesa zenyewe hatuzichukui mpaka umepata huduma.
Kwa hiyo nyie ni madalali tu wa huo mfumo, wabongo bana
 
Kwa hiyo nyie ni madalali tu wa huo mfumo, wabongo bana

Madalali wanaongeza pesa bila kuongeza Thamani, Sisi ni wafanya biashara na Mfumo Tumeuunda wenyewe japokuwa ni kweli kua sehemu kubwa inafanywa na TRA.
 
Back
Top Bottom