Simu zimechangia kuupoteza umuhimu wa kujuana kabla ya mahusiano; siku hizi mapenzi mengi huanza ndani ya siku hiyohiyo bila kujuana vizuri

Simu zimechangia kuupoteza umuhimu wa kujuana kabla ya mahusiano; siku hizi mapenzi mengi huanza ndani ya siku hiyohiyo bila kujuana vizuri

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kwa kweli simu zinaweza kuonekana na umuhimu wake lakini kuna uharibifu pia zimeleeta katika suala zima la mahusiano.

Zamani ile process ya kumsubiria binti chini ya mti kwa masaa ukiombea labda atapita, kujua watu anaoishi nao pale unaporusa jiwe batini na aje kufungua mlango mtu mwengine, kuongea hadi mkutane sehem flani, n.k haya mambo yalikuwa yanafanya mjuane sana zaidi na zaidi.

Siku hizi hali imebadilika sana, kijana atamfata binti na kuomba namba saa 2 asubuhi, si ajabu penzi likaanza saa 6 mchana, jioni watafanya mapenzi na usiku penzi likawa limeisha.
 
Mambo yamekuwa rahisi na mepesi kama unyoya wa kuku
 
Mm huwa sipendi kula sana,,,, huwa nakula sahani 3 za wali maharage na ni baada ya kupata ugali kidogo kama size ya matonge 21 ambayo yameshauliwa kitaalam na hapo asubuhi nakuwa nimekunywa chai na andazi 4 halafu usiku naanza na uji then makande size ya nusu kisado. Hii awamu ya 6 na kazi iendelee
 
Kwa kweli simu zinaweza kuonekana na umuhimu wake lakini kuna uharibifu pia zimeleeta katika suala zima la mahusiano.

Zamani ile process ya kumsubiria binti chini ya mti kwa masaa ukiombea labda atapita, kujua watu anaoishi nao pale unaporusa jiwe batini na aje kufungua mlango mtu mwengine, kuongea hadi mkutane sehem flani, n.k haya mambo yalikuwa yanafanya mjuane sana zaidi na zaidi,

Siku hizi hali imebadilika sana, kijana atamfata binti na kuomba namba saa 23 asubuhi, si ajabu penzi likaanza saa 6 mchana, jioni watafanya mapenzi na usiku penzi likawa limeisha.....
Sio simu, ila watumiaji wake
 
Kwa kweli simu zinaweza kuonekana na umuhimu wake lakini kuna uharibifu pia zimeleeta katika suala zima la mahusiano.

Zamani ile process ya kumsubiria binti chini ya mti kwa masaa ukiombea labda atapita, kujua watu anaoishi nao pale unaporusa jiwe batini na aje kufungua mlango mtu mwengine, kuongea hadi mkutane sehem flani, n.k haya mambo yalikuwa yanafanya mjuane sana zaidi na zaidi,

Siku hizi hali imebadilika sana, kijana atamfata binti na kuomba namba saa 23 asubuhi, si ajabu penzi likaanza saa 6 mchana, jioni watafanya mapenzi na usiku penzi likawa limeisha.....
Ukahaba, uchangudoa, umalaya( prostitution) umekuwa rahisi sana siyo sababu ya simu. Ila usiokuwa na mipaka siku hz kuuza ngono imekuwa sifa mtu anajisifu anadanga? anakula vichwa,anachuna mabuzi etc etc na serikali na jamii hawachukui hatua kwa kisingizio cha haki za binadamu. Simu hazina uhusiano na mwanamke kutongozwa asubuhi na kutoa ngono mchana siku hiyo hiyo ni kushamiri kwa umalaya tu.
 
Hiyo ndio KIDIGITALI nduguzangu [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom