Kilete mkuu,Hapo kwenye kukifuta ulifeli sana, me nna kitabu kinaelezea namna ya kupractice all the witchcraft around the world, nacho kimekaa km academic paper, nlikisoma kidogo then nkaamua kuachana nacho ila skukifuta
Hapo kwenye kukifuta ulifeli sana, me nna kitabu kinaelezea namna ya kupractice all the witchcraft around the world, nacho kimekaa km academic paper, nlikisoma kidogo then nkaamua kuachana nacho ila skukifuta
Sawa mkuu.Shida ni pale mnapolazimisha hamjui watu tuna kazi za kufanya, na kiufupi hii story nilimaliza page ya kwanza kabisa.
Watu hamliziki, hata kwa hicho kidogo nilichosimulia kuna wengine wamejiongeza wakatafuta zaidi.
All in all nitaendelea ila sio directly sababu nilipewa warnings kwamba kuna mambo sio lazima kila mtu ajue especially kama baadhi ya info nilizotaka kudisclose hapa.
Sio kweli,Guru ni mtu asie sikia, kwa simple language*kiziwi*
Kiongozi naomba jina la huyo Guru wa kwanza. Natanguliza shukrani[emoji120]Hahahaaa aiseeee....
Mkuu nifundishe kuji connect kwenye hiyo energy, maana naona dini zinanichosha nataka nisimame mimi kama mimi
Nahisi kujikonekti na hiyo energy lazima kutahusisha kanuni ya 'kwa haki kutowatenda wengine usiyotaka kutendewa na kuwatendea wengine unayopenda kutendewa na kutii lengo kuu la uwepo wetu.'
Mawazo yako maoni yako yasiwe ya kibinafsi ukiwaumiza wengine bali act kama vile unataka watu woote wafaidike na uwepo wako hapa duniani hiyo energy ni automatic utaiona maana naamini 'With great responsibility comes great powers' jay-millions
Safi natamani sana hizi spiritual power ,nimesoma nina master degree ,na kwa sasa ni mwanafunzi wa P.h.D ,but bado ninafanya kazi ya chini sana.
Akili ya binadamu inauwezo mkubwa sana kuliko wengi wetu tunavyofikilia tujitahidi kusoma sana na bila kujali unakisoma nini. Namaanisha kama wewe Muislam usiogope kusoma vitu tofauti na Imani yako ndio maana mdau amefuta Kwa kuogopa Imani yake lakini now anajua kama Kuna kitu kapoteza.
Kuna energy watu wanakurushia ili kukuzuia katika Mambo mbali mbali. Muhimu kufahamu namna ya kuzitoa izo nguvu bila kuzuia. Vipi unaweza kushare izo Mbinu za kuondoa nguvu hasi ambazo watu uzirusha kwa wengine.
ExactlyHayo maneno yote kwa kifupi ni upendo
Wanasema upendo ndio nguvu pekee rahisi kuattract vitu vyote unavyo vitaka,zipo Nguvu aina nyingi ila hii ni baba lao