SIMULIZI: Nilipata nafasi ya kuongea na Gurus wawili wenye mitizamo miwili tofauti kuhusu Kuzaliwa, Kifo na uwepo wa Mungu pamoja na Dini

SIMULIZI: Nilipata nafasi ya kuongea na Gurus wawili wenye mitizamo miwili tofauti kuhusu Kuzaliwa, Kifo na uwepo wa Mungu pamoja na Dini

Haya mambo huwezi ukayajadili kwa kutumia standard mbili zilizo na base kwenye imani / source tofauti. Ukianza kujadili dini kwa kutumia tuseme Biblia na Kurani, lazima mtakosea tu. Tuishie hapa tukiendelea zaidi lazima tutafanya makosa!

Empirical Science na Sprituality haviwezi kuwa discused kwa kutumia Biblia, au kwa kutumia Phsical observation, experimental methods. Discussions za namna hii zina limitations zake ambazo haziwezi kuwa resolved kwa urahisi sana na kwa kiwango kikubwa zinaonyesha possibly limitations zake haziwezi kabisa kuwa resolved

Si kila dini ina connect to THE RIGHT HIGHER POWERS. Mimi nachukulia SPRITUALITY kama njia ya kuji-coonect na THE RIGHT HIGHER POWERS, na si vinginevyo
Hyo nguvu uanayoiita wewe HIGHER POWERS mimi naijua kuwa ni RM ila wewe huji kama ni RM na hivyo wewe nawe uko sahihi pia;

Na hizo POWER zingine BELOW THE RIGH HIGHER POWEERS, ni manifestations tu ya DEVIL in its highest form. Shetani ana uwezo wa kufanya mambo mengi muno ya ajabu isipokuwa vitu viwili; KUUMBA NA KUFUFUA. Hivi vingine vilivyobaki almost anaweza kufanya. Kingine cha pekee ambacho hawezi kufanya, ni KUKAA NDANI YA MWAMINI ALIYE NDANI YA YESU. Hayupo mtu ambaye yuko ndani ya YESU ambaye yuko under posseession of the devil. A

Haya yote ninayoyasema hapa, wewe una uelewa tofauti na UKO SAHIHI 100% na mimi vile vile pia niko sahihi 100%. Unajua kwa nini? Ni kwa sababu tunajadili jambo moja kwa kutumia STANDAD MBILI TOFAUTI, wewe una ya kwako na mimi pia ya kwangu. Kwa hali hii tunatengeneza UNNECESSARY DISCREPANCY ambayo NO ONE CAN RESOLVE.

KAWAIDA NI KWAMBA WATU WAWILI AU ZAIDI HAWAWEZI KUANZA KUJADILI KITU KIMOJA AMBACHO UELEWA WAO NI TOFAUTI KWA NIA YA KUKI-RESOLVE HUKU KILA MMOJA AKIWA ANATUMIA PRINCIPLES AMBAZO NI TOFAUTI NA ZA MWENZAKE, NA KATIKA NAMNA AMBAYO KILA MMOJA ANAAMINI KUWA PRINCIPLES ZA MWENZAKE HAZIKO SAHIHI. HAPA NI KUJARIBU KUTENGENEZA TATIZO JINGINE KUBWA ZAIDI KULZIDI LILE AMBALO LIMEKUWEPO SIKU ZOTE
Okay mkuu.

Japo bado sijashawishika kama tunatumia base mbili tofauti lkn nnachoweza kusema ni kwamba wewe unatumia moja ya 'Abstraction' ilotengenezwa kuelezea hiki kitu.

Sina uhakika kama uko kwenye field ya computing lkn kwenye hii field kuna mfano mmoja ngoja nitoe labda unaweza kunielewa coz nataka kuelezea hio Abstraction ambapo kwako wewe unadhan ni base lkn sio bali ni abstraction tu.

Computer ni very complicated lkn ni very powerful pia, so inaweza fanya vitu vingi. Waliodizain computer walitengeneza vitu vinaitwa Abstractions ambapo sisi programmers hatuna haja ya kujua underlying mechanisms lkn tunatumia hizo interface za hizo abstractions kucommand computer ifanye kazi tofauti tofauti. Mfano mm nikitaka kuandika program ya kupiga picha kwa camera ya computer sihitaji wala kujua hardware details za hio camera lkn natumia interface ya abstraction ilodizainiwa na hao walotengeneza computer au operating system.

Sasa hizo abstrations na interface zao kwenye computing ziko za aina nyingi na zinaweza fanya kazi nyingi. Kazi moja inaweza fanywa na interface zaidi ya moja, so mm kama nimechagua interface X kupiga picha lkn mtu mwngne anaweza chagua Interface Y pia kufanya kazi hiohio, lkn base ni ileile japo tumekuja kutofautiana kwenye hizo abstractions tulizotumia. Ukienda mbali zaidi hizo interfaces na abstractions utakuta ziko tofauti kabisa coz zimeandikwa kwa languages tofauti tofauti. LAKINI to their lowest levels zina base moja.

Sasa nmeamua kutumia mfano huu kwa sababu ndo naona unaweza elezea situation hii kiurahisi, hatutumii base tofauti bali wewe unatumia Abstraction na hautaki kukubali kama ni abstraction kwa sababu umeshikilia dini yako.

Kama umesoma vzr bandiko langu la mwanzo kabisa hata mm niko hvohvo na ndo maana niliharibu kabisa kile kitabu beyond recovering, sikutaka kukubali abstraction nloitumia toka utotoni nije nii-question.

Tuishie hapo lkn nimejifunza kitu kwako na naamini pia umejifunza kitu kwangu.
 
Unachosema kina ukweli wake, pia sio tu uzinzi lkn roho mbaya, chuki, negativity etc.. ni kati ya vitu vinavyoweza kukuletea mikosi sana kwa sababu unapoteza nguvu ambayo otherwise ingekulinda au kukupa hisia fln hv (Kuna jamaa kaziita machale) dhidi ya mazingira hatarishi.

Universe iko guided na very simple principles na ni principles ambazo unazikuta kila mahala. Mfano Newton alisema kwenye third law kwamba "For Every Action there's Equal but opposite reaction', hio ni kwenye Physics lkn Kwenye Spirituality hio tunaiita KARMA. Na siku zote ukijifanya unaingilia kazi ya karma basi yatakayokuja yatakuchukiza. Sasa ni nini kinaweza kukusaidia kutambua hii ni kazi ya Karma au la? Hapo ndipo kuna somo khs 'Instincts' ambazo kwa kiswahili wanaita Machale. The quality of your instincts ndiyo itafanya uweze kufanya maamuzi sahihi bila kuwa na reason yyt ile. Wangapi wamewasaidia watu kwenye shida zao lkn hao walosaidiwa wakaja kuwafanyia mabaya yasoelezeka waokoaji wao? That was the price of interfering with karma's work.
Piah hili la ku interfere karma umeniongezea knowledge mkuu.
 
Dah! Wengine tupo mbali sana na dunia!

Niulize swali:- kuna matukio au image fulani hua zinanitokea kiasi kwamba hua na stack kwa muda kujiuliza maswali ambayo huo sipati majibu, inakua ni kama matukio flani au mahala fulani nimesha wahi kuhudhuria kabla na kila kitu kwenye mazingira hayo kinakua sawa kabisa na mazingira ya kabla sio watu nitakao kutana nao nguo, mavazi, hata nitakayo zungumza ama kujibiwa ila huisha ghafla pale ninapo gutuka na kujiuliza maswali hua nahisi kama ni ndoto. Je hii situation ina husiana na moja ya vitu kwnye hii mada yako au hua nakutana na nini haswa!!!!?
Aisee hii hali pia huwa inanipata naweza fika mahala au kufanya jambo kisha mawazo yanikuja na ninaona mbona hili jambo nilisha lifanya na hili eneo nilisha kuwepo kabla na huyu mtu nakumbuka nilisha kutana nae..
 
Okay mkuu.

Japo bado sijashawishika kama tunatumia base mbili tofauti lkn nnachoweza kusema ni kwamba wewe unatumia moja ya 'Abstraction' ilotengenezwa kuelezea hiki kitu.

Sina uhakika kama uko kwenye field ya computing lkn kwenye hii field kuna mfano mmoja ngoja nitoe labda unaweza kunielewa coz nataka kuelezea hio Abstraction ambapo kwako wewe unadhan ni base lkn sio bali ni abstraction tu.

Computer ni very complicated lkn ni very powerful pia, so inaweza fanya vitu vingi. Waliodizain computer walitengeneza vitu vinaitwa Abstractions ambapo sisi programmers hatuna haja ya kujua underlying mechanisms lkn tunatumia hizo interface za hizo abstractions kucommand computer ifanye kazi tofauti tofauti. Mfano mm nikitaka kuandika program ya kupiga picha kwa camera ya computer sihitaji wala kujua hardware details za hio camera lkn natumia interface ya abstraction ilodizainiwa na hao walotengeneza computer au operating system.

Sasa hizo abstrations na interface zao kwenye computing ziko za aina nyingi na zinaweza fanya kazi nyingi. Kazi moja inaweza fanywa na interface zaidi ya moja, so mm kama nimechagua interface X kupiga picha lkn mtu mwngne anaweza chagua Interface Y pia kufanya kazi hiohio, lkn base ni ileile japo tumekuja kutofautiana kwenye hizo abstractions tulizotumia. Ukienda mbali zaidi hizo interfaces na abstractions utakuta ziko tofauti kabisa coz zimeandikwa kwa languages tofauti tofauti. LAKINI to their lowest levels zina base moja.

Sasa nmeamua kutumia mfano huu kwa sababu ndo naona unaweza elezea situation hii kiurahisi, hatutumii base tofauti bali wewe unatumia Abstraction na hautaki kukubali kama ni abstraction kwa sababu umeshikilia dini yako.

Kama umesoma vzr bandiko langu la mwanzo kabisa hata mm niko hvohvo na ndo maana niliharibu kabisa kile kitabu beyond recycling, sikutaka kukubali abstraction nloitumia toka utotoni nije nii-question.

Tuishie hapo lkn nimejifunza kitu kwako na naamini pia umejifunza kitu kwangu.
Maelezo yako haya yako sahihi kabisa nakubaliana na wewe. Kwenye physical world hizi abstractions unazozisema hapa zinafanya kazi.
Tofauti na mfano wako huu, hapa tunajadili mambo kwenye ulimwengu wa roho na si kwenye ulimwengu wa mwili. Kwa mfano, ulishawahi kuota ndoto? Kama ulishawahi, mimi hapa nilipo unaweza ukanihakikishiaje kuwa huwa unaota? Nikisema kuwa huwa huoti ndoto wakati kumbe huwa unaota, nitakuwa nimefanya makosa? Nilichokuwa najaribu kusema ni kwamba unatumia principles za physics kuelezea vitu ambavyo viko kwenye realm ambayo ni metaphysical
Still, nafurahi kwamba wewe ni programmer; utakuwa uko vizuri sana

By the way, hii issue ya wataalamu wa AI kutengeneneza computer inayokua (yaani yenye uwezo wa kujiongeza yenyewe akili mithili ya ambavyo binadamu huwa anafanya anapokuwa anakua kuanzia utotoni kwenda kwenye utu uzima), imefikia wapi? Maana nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 2000, hii ndiyo ilikuwa ni MAIN CHALLENGE ya CENTURY kwenye ulimwengu wa IT au AI
 
Unachosema kina ukweli wake, pia sio tu uzinzi lkn roho mbaya, chuki, negativity etc.. ni kati ya vitu vinavyoweza kukuletea mikosi sana kwa sababu unapoteza nguvu ambayo otherwise ingekulinda au kukupa hisia fln hv (Kuna jamaa kaziita machale) dhidi ya mazingira hatarishi.

Universe iko guided na very simple principles na ni principles ambazo unazikuta kila mahala. Mfano Newton alisema kwenye third law kwamba "For Every Action there's Equal but opposite reaction', hio ni kwenye Physics lkn Kwenye Spirituality hio tunaiita KARMA. Na siku zote ukijifanya unaingilia kazi ya karma basi yatakayokuja yatakuchukiza. Sasa ni nini kinaweza kukusaidia kutambua hii ni kazi ya Karma au la? Hapo ndipo kuna somo khs 'Instincts' ambazo kwa kiswahili wanaita Machale. The quality of your instincts ndiyo itafanya uweze kufanya maamuzi sahihi bila kuwa na reason yyt ile. Wangapi wamewasaidia watu kwenye shida zao lkn hao walosaidiwa wakaja kuwafanyia mabaya yasoelezeka waokoaji wao? That was the price of interfering with karma's work.
Mkuu hili somo ni zito na tunashukuru sana kwa kupata uelewa zaidi. Swali kidogo, umesema kwamba hizi energies watu wanazitape na kuzimanipulate kwa namna watakavyo wao, na pia negativity na matendo mengine uliyotaja hapa yanazififisha au kuziondoa kabisa! Nani anayedetermine matendo fulani ni negative? Na Kama ndivyo, tunaamini wachawi ndio wana negativity zaidi ya wengine kiafrika, kwa nini sasa wanaweza kuzichukua na kuzitumia pia? Au kuna namna pia nyingine? Ahsante kwa ufafanuzi
 
Mkuu hili somo ni zito na tunashukuru sana kwa kupata uelewa zaidi. Swali kidogo, umesema kwamba hizi energies watu wanazitape na kuzimanipulate kwa namna watakavyo wao, na pia negativity na matendo mengine uliyotaja hapa yanazififisha au kuziondoa kabisa! Nani anayedetermine matendo fulani ni negative? Na Kama ndivyo, tunaamini wachawi ndio wana negativity zaidi ya wengine kiafrika, kwa nini sasa wanaweza kuzichukua na kuzitumia pia? Au kuna namna pia nyingine? Ahsante kwa ufafanuzi
Hapo sasa utambaue jamaa kazungumzia nguvu za asili ambazo waweza kuwa nazo wakati mwingine usitambue kama unazo, na zile za kujipatia kwa kuforce, kama hizo za kishirikina.
 
By the way, hii issue ya wataalamu wa AI kutengeneneza computer inayokua (yaani yenye uwezo wa kujiongeza yenyewe akili mithili ya ambavyo binadamu huwa anafanya anapokuwa anakua kuanzia utotoni kwenda kwenye utu uzima), imefikia wapi? Maana nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 2000, hii ndiyo ilikuwa ni MAIN CHALLENGE ya CENTURY kwenye ulimwengu wa IT au AI
Hii kitu wanaiita AI Singularity lkn bado hatujafikia huko coz kuna wanaharakati wanadai kwamba AI ikifikia hio level basi inaweza kuangamiza Humanity na ndo ukawa mwisho wetu. Hio ni kwasababu uwezo wa AI ni mkubwa sana na speed of operation ni kubwa sana. Kwenye system inayofanya kazi kutumia AI sekunde moja kwake ni kama mwezi mzima. So AI ikifikia level ya kujitambua na kufanya self-growth watu baadhi wanaogopa kwamba hizo system zitafanya mapinduzi na kutuua sisi binadamu, na hio vita hatutoiweza kamwe.

Matajiri na watu wenye ushawishi kama vile Elon Musk wanapinga sana hio kitu na kiukweli madhara yake yalishaonekana kwenye baadhi ya labs huko USA.
 
Nani anayedetermine matendo fulani ni negative? Na Kama ndivyo, tunaamini wachawi ndio wana negativity zaidi ya wengine kiafrika, kwa nini sasa wanaweza kuzichukua na kuzitumia pia? Au kuna namna pia nyingine? A
Okay swali challenging sana ambalo hata mm niliwahi kuuliza watu baadhi walokua wananifafanulia hili jambo, mwisho nikaja kupata maelezo ambayo naona yanakaribia kuwa jibu sahihi na kwa sasa kwangu hilo ndio jibu sahihi.

Iko hivi, kuna standards 2 unazoweza kutumia kujua kwa kitu fln ni neg au positive kwanza kuna kitu kinaitwa GOLDEN RULE, inasema kwamba USIMFANYIE MWENZAKO KITU AMBACHO HUTOTAKA WEWE KUFANYIWA.

Ya pili ni Natural Order, hii ni kwamba inabidi tufuate nature inachotaka. Nitie mfano kdg, nature inataka tuzaliane na ili kuzaliana lazima mtu mme na mke washiriki. Sasa ukienda nnje ya hapo ujue ni kosa na nature siku zote ni "Merciless and Unforgiving" so ukienda against natural order ujue kuna feedback utaipata tu. Angalia mambo yote yanayoenda against natural order then utatambua kuna mateso wahusika hupitia.
 
Hii kitu wanaiita AI Singularity lkn bado hatujafikia huko coz kuna wanaharakati wanadai kwamba AI ikifikia hio level basi inaweza kuangamiza Humanity na ndo ukawa mwisho wetu. Hio ni kwasababu uwezo wa AI ni mkubwa sana na speed of operation ni kubwa sana. Kwenye system inayofanya kazi kutumia AI sekunde moja kwake ni kama mwezi mzima. So AI ikifikia level ya kujitambua na kufanya self-growth watu baadhi wanaogopa kwamba hizo system zitafanya mapinduzi na kutuua sisi binadamu, na hio vita hatutoiweza kamwe.

Matajiri na watu wenye ushawishi kama vile Elon Musk wanapinga sana hio kitu na kiukweli madhara yake yalishaonekana kwenye baadhi ya labs huko USA.
Kwa nini isiwe designed tu for experimtal purposes kwa muda huu halafu ikawa archived somewhere kwenye maabara ikisubiria muda muafaka utakapofika (kama itatokea hivyo) iweze kutumika? Huoni kuwa hili swala la NWO kuna uwezekano likaja likapunguza 1/2 of the entire wordl population? Huoni kwamba hiki kitu kikifikia hatua ya utelekezaji SUPERCOMPUTERS za aina hii zinaweza kuhitajika kuanza kutumika?
 
Mkuu hili somo ni zito na tunashukuru sana kwa kupata uelewa zaidi. Swali kidogo, umesema kwamba hizi energies watu wanazitape na kuzimanipulate kwa namna watakavyo wao, na pia negativity na matendo mengine uliyotaja hapa yanazififisha au kuziondoa kabisa! Nani anayedetermine matendo fulani ni negative? Na Kama ndivyo, tunaamini wachawi ndio wana negativity zaidi ya wengine kiafrika, kwa nini sasa wanaweza kuzichukua na kuzitumia pia? Au kuna namna pia nyingine? Ahsante kwa ufafanuzi
Pia kuna 4 virtues ambazo ukizi-cultivate zitakusaidia kujua kama kitu ni neg au positive, hizo ni WISDOM, JUSTICE, COURAGE and MODERATION
 
So AI ikifikia level ya kujitambua na kufanya self-growth watu baadhi wanaogopa kwamba hizo system zitafanya mapinduzi na kutuua sisi binadamu, na hio vita hatutoiweza kamwe.
AI is just a program, so one can simply programme it the way he likes. Kwa mfano, mimi ningeweza kui-programme iwe tofauti kidogo na mwanadamu; kwamba isiwe na hasira wala wivu, na izidi kuongeza upendo kwa binadamu kadri inavyokzidi kukua. Sasa hizi hofu zingine zinatoka wapi?

Isije ikawa ni challenge ambayo watu wame-ipose halafu uwezekano wa kuirtekeleza ukaksoekana halafu watu wakaanza kutafuta visingizio!
 
Kwa nini isiwe designed tu for experimtal purposes kwa muda huu halafu ikawa archived somewhere kwenye maabara ikisubiria muda muafaka utakapofika (kama itatokea hivyo) iweze kutumika? Huoni kuwa hili swala la NWO kuna uwezekano likaja likapunguza 1/2 of the entire wordl population? Huoni kwamba hiki kitu kikifikia hatua ya utelekezaji SUPERCOMPUTERS za aina hii zinaweza kuhitajika kuanza kutumika?
Ni sawa lakini kuna magroup mawili hapa, kuna wanaokubali Advancement ya AI na vilevile kuna wanaokataa. Na wote hao wanafanya harakati kwa vitendo pia kuonesha msimamo wao, nikimaanisha wanaokubali Advancement kwenye hii kitu bado wanawekeza mabilion ya fedha ili kuendeleza utafiti.

In my Opinion hii NWO haifuati natural order, so kuna adjustments tu zitafanyika na isitekelezeke au kama ikitekelezeka basi itakua ndio mwanzo wa mwisho wa hii phase ya humanity tuliopo sasa kama phase nyngne zilivyoisha na viumbe kuangamia. Kuna jamaa huwa anasema kwamba "If New World Order is not based on Natural Order then it's not something to last"
 
Okay swali challenging sana ambalo hata mm niliwahi kuuliza watu baadhi walokua wananifafanulia hili jambo, mwisho nikaja kupata maelezo ambayo naona yanakaribia kuwa jibu sahihi na kwa sasa kwangu hilo ndio jibu sahihi.

Iko hivi, kuna standards 2 unazoweza kutumia kujua kwa kitu fln ni neg au positive kwanza kuna kitu kinaitwa GOLDEN RULE, inasema kwamba USIMFANYIE MWENZAKO KITU AMBACHO HUTOTAKA WEWE KUFANYIWA.

Ya pili ni Natural Order, hii ni kwamba inabidi tufuate nature inachotaka. Nitie mfano kdg, nature inataka tuzaliane na ili kuzaliana lazima mtu mme na mke washiriki. Sasa ukienda nnje ya hapo ujue ni kosa na nature siku zote ni "Merciless and Unforgiving" so ukienda against natural order ujue kuna feedback utaipata tu. Angalia mambo yote yanayoenda against natural order then utatambua kuna mateso wahusika hupitia.
Ahsante kwa ufafanuzi mkuu, Kama ulivyosema hili challenging! Ukisikiliza wanazuoni wengine hasa wa manifestation kwa imagination wanasema neno linaumba na neno linatokana na thoughts be them negative or positive haijalishi so long as umeliumba in details na ukalijengea feelings! Some kind of confusion, Msikilize huyu Neville Goddard kwnye imagination creates reality! Anatoa mada complex kweli
 
Habari kali linux ni njia gani/zipi za kiroho zitakazoweza nisadia kucrack interview bila kujali ni wapi au ni lini?
Mkuu hii ina mambo mengi japo kwa mimi kilichokua kinanisumbua ni kwamba nilikua sina mvuto fln hv, kama nlivyosema hapo juu kuna nguvu (impure) ambazo mtu anaweza kuzaliwa nazo au akawekewa akiwa anaishi. Hizo zinaweza kuingia na kuharibu Nguvu asilia za kiroho ulizonazo then ukawa mtu wa mikosi, huna mvuto, etc....

Siwezi endelea zaidi coz sitaki watu waje kusoma na kunishutumu kwa kufanya endorsing ya baadhi ya vitu na mwisho ikaleta picha mbaya, pia hilo halikua lengo la mie kuleta huu uzi humu lakini natumaini nimekujibu kwa kiasi fln.
 
Mkuu hii ina mambo mengi japo kwa mimi kilichokua kinanisumbua ni kwamba nilikua sina mvuto fln hv, kama nlivyosema hapo juu kuna nguvu (impure) ambazo mtu anaweza kuzaliwa nazo au akawekewa akiwa anaishi. Hizo zinaweza kuingia na kuharibu Nguvu asilia za kiroho ulizonazo then ukawa mtu wa mikosi, huna mvuto, etc....

Siwezi endelea zaidi coz sitaki watu waje kusoma na kunishutumu kwa kufanya endorsing ya baadhi ya vitu na mwisho ikaleta picha mbaya, pia hilo halikua lengo la mie kuleta huu uzi humu lakini natumaini nimekujibu kwa kiasi fln.
umenijibu kwa kiasi fulani, asante.
 
Ndio, Einstein aliongelea dini lkn alikua anamaanisha spirituality pia. Huwezi ongelea DINI(Religion) Bila Spirituality lkn Unaweza Ongelea Spirituality bila DINI(Religion). What is spirituality? Mie najua ni njia ya kujiunganisha na kitu chcht kile unachodhani ni kikubwa zaidi yako kwa ajili ya sababu kadhaa, kwa kiingereza ina-sound vzr kwamba "Spirituality is about seeking a meaningful connection with something bigger than yourself, which can result in positive emotions, such as peace, etc..........

Sasa Dini ni kama njia ya kutafuta hio 'Something Bigger' (Spirituality) Lakini kuna wababe ambao hawatumii Dini bali wanaenda directly na hawatumii dini. Na wengi wakifanikiwa tunaona walianza kuitwa miungu zama za zamani. Na kwa sababu hio ndio maana nikasema Huwezi ongelea dini bila spiritiality lkn unaweza ongelea spirituality bila dini. Kama sipo sahihi I stand to be corrected mkuu........, but with facts


Kitu ambacho wewe unakosea sana pia pamoja na watu wowote waloshika dini ni kwamba wanachukulia knowledge walonayo khs Spirituality ndio sahihi kuzidi za wengine na hio ndio chanzo cha kukomaza udini na dharau kwenye jamii. Na Lengo la kuleta huu uzi ilikua ni kutoa hio wrong mindset. Kitu kingine unachokosea ni kwamba unafanya Generalization sana ya mambo, nmeshasema huwezi kumtajia muisam Roho Mtakatifu akakuelewa, lkn kwao wanae ila kwa jina jingine. So Tumia General Term na ndo maana hapa mm natumia Nguvu Kuu ambayo ndio inaendesha kila kitu na ndio chanzo cha kila kitu.

Nikirudi kwenye kuchambua hoja yako nloiquote hapo juu ni kwamba Umetumia neno la dharau kidogo hapo 'Lack of Proper Knowledge', Je una uhakika knowledge yako khs Spirituality iko sawa? Mtu wa kukurupuka atajibu 'Yes' au 'No' lkn mtu ambae kafikia level fln ya kuweza kujiweka karibu yy mwenyewe na hio Nguvu bila kupitia watu au njia nyngne atakujibu kwamba 'Hana jibu la hilo swali na hilo swali halina umuhimu kwake'.

Kwa nini atakujibu hivo kwa sababu kuna wachungaji hawawezi kumletea mtu Nguvu itakayompa mali au mvuto lkn kuna waganga wanaweza hicho kitu na bila masharti magumu sana kutokana na nature ya mtu. Kuna maombi atafanya muislamu yakafanikiwa lkn mkristu akafanya yasifanikiwe, the reverse may also be true. Sasa kwa nini uiite hio lack of proper knowledge eti kwa kuwa wewe ni mkristu bas unasema knowledge fln kwenye quran au bible sio sawa while kuna mwingine anatumia hiohio knowledge kudeliver results?

Ndo maana kwangu mm dini hazina nafasi, I'm proud with my religion kwa sababu ni culture na inanipa identification kwenye jamii pia lkn as long as spirituality is concerned I cannot be biased by it coz tayari najua kiasi fln undani wa mambo na inatosha kujiongoza mwenyewe. Mtu akifikia level niliopo hata akisikia mchungaji/mapadre wake wamefanya vitu viovu hatoathiriwa sana kimtazamo kwa sababu ukishafikia level hio unakua umejua kwamba duniani kuna principles chache tu za kufuata, ukizifuata thn hizi dini zitabaki kuwa kama culture tu lkn hazina ulazima kukufanya kuwa mtumwa wake.

Note ukiendelea kuelezea kila kitu hapa kwa kutumia Roho Mtakatifu basi utakua unazidi kupotosha lengo la uzi, with all due respect let's stick to the general terms. Narudia tena Dini zote zinapoint kitu kimoja lkn kutofahamu hilo ndipo kumeleta vita, mauji, jihads etc.... na fujo zisizo na maana
taarifa mhe speaker: uislamu unamtambua roho mtakatifu. rejea suratul qadri : 3
 
Hello bosses....... Nimekaa na hii experience kwa muda mrefu ila leo nikakutana jamaa fln wanabishana khs dini nimeona ni bora niisimulie labda inaweza kusaidia. Ni story ndefu ila nitajitahidi kufupisha na pia sina uzoefu sana kuandika makala za namna hii hivyo kiswanglish na typos tutavumiliana.

Baada ya janga la Corona makampuni mengi yameamua kuchukua utaratibu wa 'Work From Home' hii ilifanya wafanyakazi wengi kwenye nyanja ya technology hasa hasa programming, pentesting na designing kufanyia kazi makwao. Silicon valley(Center of tech in USA) ilibakiwa na ofisi tupu nyingi kwa sababu ya hili jambo. Basi maampuni mengi yakaanza kutumia sana mitandao maalum kama vile zoom, github etc.. ili kufanikisha kazi zao na mikutano. Mwaka 2021 mwanzoni nikapata mdau mmoja online yeye alikua ni Senior Software developer kwenye kampuni fln la usafiri USA (jina kapuni) akaanza kunipa mentorship na namna ya kufanikiwa kucrack interviews mbali mbali ili kupata kazi coz baada ya kuanza remote working makampuni mengi yaliamua kuanza kuajiri watu 'remotely', yaan mfano kama ww ni designer au programmer unaotea tu chance then unatuma CV na project zako then wakikukubali mnafanya interview kupitia ZOOM meeting, ukicrack hio interview basi unapewa kazi. Niliamua kutafuta mentor coz nilifail interview 3 in a row na zote nilifail hatua ya mwisho tu (Hio face to face interview kupitia zoom). Hivyo ikawa lazima kuwa na mentor wa kizungu ili anisaidie na kunipa mentorship. Ila namna nilivyompata hadi akanikubali ni story nyingine lkn leo nitawasimulia kama title inavyosema...


Huyo mentor (tumuite Mr C) ni mzungu (info inatosha kuhusu yeye) niliwasiliana nae kwa kupitia DM kwenye forum fln hv lakini ilichukua miezi miwili hadi akaja kunijibu. Baada ya hapo tukaanza kuwasiliana sana kupitia DM ya hio forum na emails. Baada ya kumset vizuri na akakubali kuwa mentor tulianza kufanya kazi baadhi pamoja, alikua ananitumia vitabu baadhi ambavyo vingenisaidia kuwa deep zaidi kwenye hii field yangu ya software development.

Sasa siku moja akanitumia vitabu vitatu kimoja wapo kilikua ni cha mambo ya Spirituality, hiki kitabu kiukweli kilikua ni very addictive. Baada ya kukisoma kwa juujuu nilimuuliza kwenye email ".........Why did you send <Book Title>........" jamaa alinambia "Were you not rejected 3 times in a row ?, that book is an integral part of your key to cracking any of your future interviews no matter where & when". Sikudadisi zaidi coz sio vizuri kumdadisi mentor wako, ni bora uangalie kama anachokwambia kitakusaidia na hakipo nje ya principle zako kisha utaona kama ukifuate au kukiacha kimya kimya.

Jibu lake lilinipa hamasa sana ya kusoma hicho kitabu kwa sababu najua niko vizuri sana kwenye kazi yangu na nmefanya projects nyingi sana nikiwa kama freelancer, sasa kwa nini nakataliwa na huwa napita steps zote hadi mitihani yao navunjavunja lkn mwisho hizo meeting na hao HR wa kizungu natolewa njee? Nikiangalia nina hamu kweli ya kufanya kazi za Software kwenye kampuni ya kizungu hasahasa zenye chimbuko lao Silicon Valley coz skills zangu zinaruhusu hilo, lkn kwa nini nakataliwa?

So nikasema potelea pote ngoja nianze kusoma hiki kitabu. Sasa nilichokikuta humo aisee... Sijawahi kufunguliwa macho kiasi kile tangu nijitambue.... Sisemi kama nilikubaliana na yalioandikwa humo. Lakini yalikua yanashawishi sana. Baada ya kuona falsafa za kwenye hicho kitabu nikajikuta naanza ku-question sana imani ya dini yangu. Lakini mie nimezaliwa na hio dini na ni dhambi kufanya hivyo (kutokana na dini, inaitwa kukufuru) so nikaamua kuachana na hicho kitabu. Baada ya wiki mbili nikajikuta na-miss kusoma zile concepts ikabidi nikirudie, The more I read, the more I felt going against my faith & the more I had confidence on my own abilities. Daah baada ya wiki akili ikarudi kwenye imani yangu nikasema this time sikisomi tena, So nikachukua maamuzi magumu nikakifuta kwenye storage yangu na nikafuta ile email message alonitumia hivyo vitabu kutoka kwenye inbox yangu. I regret this coz ningeweza kukishare na nyinyi hapa, na mbaya zaidi nakiita kitabu coz kinadeserve kuwa kitabu lkn actually ilikua ni kama Academic Paper fln hivi wanazoandika scholar (wahusika mtanielewa) ambayo haikuwa officially published.

Ila kuna muda nikawa bado nakikumbuka na natamani tena kukisoma coz kiukweli kimetaja practices ambazo baadhi nilishajaribu kuzitumia (sio exactly zilivyo ila from my memory) na zikanipa effect kubwa ambayo sikutegemea hata kama effect ingekua kubwa kiasi hicho. Baada ya siku kadhaa nikafikiria nikaona ni bora nichukue zile practice na beliefs ambazo haziendi kinyume na principles zangu coz baadhi ya practice na beliefs kutoka kwenye kile kitabu zimeleta matokeo chanya na pia baadhi naziona zikitumiwa na watu maarufu wanapoongea au kufanya kazi zao (iwe sanaa, siasa, technology etc....) ili kupata ushawishi na mafanikio.

Baada ya kukikumbuka hicho kitabu nikatamani kumrudia yule mentor anitumie tena. Kiukweli nilifikiria sana sababu ya kumwambia ili anipe tena ile PDF ya hiko kitabu lkn baada ya kufikiria sana, (huku mafunzo baadhi ya kwenye kile kitabu yakizidi kunikalia akilini, na polepole rohoni) nikaamua kumwambia reason halisi bila kumdanganya. Niliamua kumwambia hivyo kwa sababu mbili Kwanza nilijua ni mtu mwenye akili saana coz ni wale developer (computer programmer) ambao hawafanyiwi interview bali wanaalikwa kupewa kazi, yaani wanaombwa wakafanye kazi sehemu hio. Pili kwa nilichokiona kwenye kile kitabu Page ya Authors haikuwepo so nadhani ilikua imekatwa coz page number zilizo pale chini imeruka kutoka v (5) hadi vii(7) nikimaanisha page vi(6) haikuwepo yaan imekua cut-out. Hio niliigundua coz nna tabia ya kuandika quotes na kuhighlight kila interesting fact ninayosoma, so lazima nijue page number. Hio imenifanya kuwa lazima napitia page number kabla au baada kusoma page fln ya kitabu. So nikiwa na observation hio wakati nafikiria reason ya kumwambia akilini kwangu nikabet kwamba inawezekana jamaa ni mojawapo ya authors wa hio makala na hakutaka nijue. Kiukweli I have been making Computer Systems tangu nikiwa teenager so I have dealt with many Ifs.....and elses....... kutokana na hilo pia nikaunganisha factors nyingine na mwisho wa siku nikaja kubashiri huyo jamaa ni moja wa authors by 90%.

Nilimtumia email khs kazi fln ambayo alinipa na baada ya kuireview akanijibu then nikamtumia hilo ombi la PDF. My mentor akanambia hv "Why resending it, dont tell me your antivirus doesn't work" akimaanisha kwamba nisimwambie imeliwa na virus kwamba antivirus yangu haifanyi kazi (We're tech guys so we use techie jokes). Nikamjibu kwamba niliifuta na nikampa detailed answer ya sababu za kuifuta pia nikamwambia nafikiri yy ni author wa hio paper. Jamaa hakujibu kwanza akaniuliza kwa email fupi mno akitaka kujua kwa nn nasema yy ndo author. Nikampa deduction yangu kama nilivyoelezea hapo juu. Kiukweli jamaa hajawai kuni-appreciate hata kwenye kazi nlizokua nafanya nae lkn akasema hakudhani kama ninge-note hio kitu kuhusu pages na flow ya deduction yangu ilikua 'somehow cool'. Mwisho akasema hawezi kunitumia tena coz inaonekana sijamatch na hizo philosophy zilizomo mule na hio itapelekea kunipoteza zaidi ya kunijenga, ni bora nibaki kwenye njia niliopo coz nayo inaweza kuwa sahihi (utaelewa maana yake hapa mbeleni kdg). Aliongezea kusema kwamba "kama kuna vitu baadhi ulivisoma na unavikumbuka tutakua tunadiscuss hivyo hivyo nikipata muda" (in english, nmetafsiri ili ieleweke) mwisho akamalizia "Coding all the time is boring, atleast we've got some new stuffs to talk about"....... Baada ya hapo tukaendelea na issue nyingine na sikumlazimisha sana akitume tena coz hata kuniruhusu tu kuongea nae khs hizo issue ilikua tyr ni nafasi kubwa sana kwangu.

Nikisema niweke mambo yote tuloongea na tunayozidi kuongea khs Spirituality na baadhi ya issues kwenye kile kitabu nitajaza Database bure, ila napenda niongelee mambo baadhi nlojifunza kutoka mule na kutoka kwenye mtazamo wake. Huyu Yeye ndiye namuita Guru wa kwanza na ni Taoist mzuri tu. So concepts zake nyingi utazikuta kwenye Taoism pia. Guru wa pili sitomsimulia zaidi namna nnlivyokutana nae lkn yeye imani yake aisee iliniacha ubongo wazi. Kiufupi kabisa yeye anasema binadamu inabid tupigane na miungu coz wanatula( they feed on us). Yaan hii cycle ya life and death imetengenezwa ili kuipa miungu hio nguvu. Chukulia wewe unavyokuwa na kuku wanazaliana ili uwale. Hii concept nitaielezea tukifika huko, ila kwa sasa nitaongelea concept ya dini hizi zilizopo kutokana na maoni ya Guru wa kwanza.


1)MTAZAMO WAKE KUHUSU UWEPO WA MUNGU NA DINI.
Huyu jamaa yeye anaamini uwepo wa Dao au Tao. Hii ni njia/way ya maisha ambayo ndio inaendesha kila kitu duniani. Haielezeki na haionekani na haishikiki. Kwa maana nyingine kwenye hizi dini utasema ndio Mungu. Kuna msemo kwenye Taoism unasema "The Dao that can be explained is not eternal Dao" Hii inamaanisha chanzo na kiendeshi (Dao au tuseme Mungu au Nguvu Kuu) haielezeki wala haishikiki, na ukiweza tu kuielezea basi inakua sio tena Dao. Yaani kama wewe ni mkristu na ukiweza kumwelezea namna Mungu wako alivyo au anachotaka basi huyo sio Mungu tena, same kwa dini zote. Anasema kwamba kitu kikubwa duniani ni ku-align na nature wala sio kufuata written rules & dogma, yaan kufuata natural order. Kuna energy fln ambayo ipo kwenye nature, hio inaitwa nascent energy. Wachache wanaweza kuiabsorb kutoka kwenye nature. Ukiwa na hio energy unaweza kufanya baadhi ya mambo na hata ukaweza control fikra za wengine(viumbe, wanyama au roho zilizopo kwenye nature) . Kuna practices nlizokua nasemea ndizo zinahusika hapa ili kuvuta na ku-absorb hio energy. Sasa ukishapata hio energy na ukaweza kui-control na kui-manipulate ndipo utaweza kuwa na uwezo fln ambao baadhi hawana. Wengine wamezaliwa na kiasi kadhaa cha hio energy na ndo hawa unakuta wana extra-ordinary talents au wanaweza kuongea na spirits etc...........

Sasa hio energy ni kama reward fln au favor kutoka kwenye nature. Anaiita reward coz kuna mda nature(Dao) inaweka hio energy kwa kiumbe kinachozaliwa au kuanza safari yake kwenye universe, pia anaiita reward coz kuna muda nature inaweka hio energy kwenye kiumbe baada ya hicho kiumbe kufanya practices fln zinazo(ki)align kiumbe hicho na nature/Dao. Mfano kuna aina ya hio nascent energy ambayo mtu/kiumbe akiwa nayo basi anakua na mvuto fln wa ajabu. Unaweza kushangaa mtu kila akipita watu waamuangalia, au kila akiomba kazi watu wanamkubalia, au kila akiongea watu wanamsikiliza etc....... Sitotoa mifano hai khs hizo occurences coz ni wazi tunaona watu ambao wanamvuto tu ghafla yan. Hapa ndipo ilipokuwa sababu ya huyo mentor kunitumia kile kitabu coz kama nilivyosema nilikua nimekosa kazi mara 3 mfululizo japo napita skills test zote ila Face to Face interview inanitoa nje...


Hapo juu nlisema khs watu kubishana khs ipi dini ni sahihi, kutokana na maono ya huyu mentor yeye anasema wote tunaseek/ tunatafuta hio energy kwa njia mbalimbali. Kwa kuwa hio energy ndio chanzo cha mafanikio sehemu mbalimbali basi watu wako radhi kufanya juu chini ili kuipata. Kutokana na huyo mentor anasema ukikuta watu wapo kanisani wanaomba ujue wana sababu, aidha wanataka kuishi zaidi, kuwa na mali mingi etc...... Pia ukikuta watu wanaabudu shetani (so called) au wanafanya uchawi (sorcery) ujue wanatafuta hio hio energy kwa namna yao wanayoona inafaa. So kiufupi kabisa kutokana na huyo guru(mentor) ni kwamba wote wanaoomba mali, mafanikio, wake wazuri etc... wote wanaoomba hio energy lkn kwa namna tofauti tofauti na pia hio nascent energy inajidhiirisha kutokana na namna unavyoimanipulate wewe. Hapo juu nimesema kuna vitu viwili khs hii energy, Kui-absorb(kuinyonya ikaingia kwako) na kui-manipulate (yaan kuitumia namna fln fln ili ifaye kazi baadhi). Tuongezee kitu cha tatu "Kuicontrol ikae mwilini mwako ili isije ku-backfire na kukuletea madhara", too much money, too much fame tumeona zilivyotupotezea remarkable people hapa duniani, ni mfano tu wa ku-backfire.


Somo khs hii energy ni gumu na refu sana lkn jamaa alisema kwenye ile makala kwamba kuna aina kuu mbili za hii energy moja ni Pure nascent energy na ya pili ni Impure nascent energy. Pure ni ile ambayo ukiipata unaweza kuimanipulate ikafanya kazi zaidi ya moja, hii inaweza kuwa transmitted kwa kufuata baadhi ya practices, impure ni ile ambayo iko specific kufanya mambo fln na haiwezi kuwa transmitted kwa namna yyt. Hii impure pia inaweza kutokea pale mtu mwenye pure nascent energy akaimanipulate na kumuingizia mtu mwilini mwake ili ikafanye specific job tu. Hili somo la hio energy ndilo linalokuja kuelezea pia uwezekano wa mambo yote ambayo kwa kawaida tunaona hayaendani na laws of physics kama vle uchawi, etc.. au tuyaite Metaphysics.

Kitu ambacho alinishangaza ni kwamba kwa wale wanaojua physics ni kwamba hii energy ina uhusiano mkubwa sana na magnetism (usumaku), japo alinambia kuelewa uhusiano uliopo ni ngumu sana na inahitaji akili ya ziada. Ila kwa wale wenye experience na mambo ya majini au spirits kuna vile vifaa vinavyotumika kugundua existence ya hivyo viumbe na vingi hutumia compass (usumaku) au mizani fln hv maalum ya madini kama ya chuma (magnetic materials) coz hivo viumbe vina pattern fln ya nascent energy inayoweza kuwa detected namna hio. Mshana Jr Sijui hapa niko sahihi au nilipigishwa chenga.


So uwepo wa dini yeye haupingi lakini anasema ni njia mbalimbali tu zinazopoint sehemu moja. Nilisema kuna mahala nliposoma hicho kitabu nikawa na confidence sana na uwezo wangu binafsi coz mule alielezea baadhi ya practices ambazo ukizifanya hautakua na ulazima wa kupitia kwenye dini au cults ili kupata unachokitaka (just a form of nascent energy). Coz hizo practices zitaku-align na nature na kisha utapata nascent energy kama reward.

Kwa maelezo yake ni kwamba sie tuko kwenye ecosystem, ni kama food chain. Chanzo cha nishati ni Jua lakin hio hio nishati ambayo ni jua ndiyo unakuja kuila kama dinner au supper coz inakua tyr ishafanyiwa manipulation na kuwa in another special form. Huwezi achama mdomo ukasema unakula jua, lakini kila unapokula tunda lolote wanasayansi watakwambia unakula energy ambayo chanzo chake ni Jua. refer Photosynthesis. The same inaapply kwa hii nascent energy. Mtu ukiwa unaenda kanisani kuomba mali ujue in other ways unaenda kuomba nascent energy fln. Sasa inategemea kama hio source yako itakupa access kweli ya hio energy.

mwisho wa hio part alisema basically kuna aina mbili tu za kupata hio nascent energy. Moja ni Direct access, ambapo mtu anafanya practices ili kujialign yeye kama yeye moja kwa moja na Nature(Dao), hii haihitaji intermediary (dini, cults, shetani, etc....). hapa mtu anafanya kitu kinaitwa 'Cultivation' ambayo huuhusisha meditation na kusoma. Watu ambao wako addicted na hii njia wengi utawakuta wanajiita Atheists. Ila kiukweli kuna namna wanafanya kupata hio nascent energy either kwa kujua au kutokuajua coz ndio energy of nature, Cc with all due respect Mr Kiranga . Njia ya pili ndio hii Indirect ya kutumia dini au cults mbalimbali ambamo wanaamin viongozi wao wanauwezo wa kupata hio energy, kuimanipulate na kuwawekea waumini wao. Hio njia ya pili ndiyo imetutengenezea fujo sasa kwenye jamii coz kila mtu anataka njia yake ionekane ndio sahihi japo kiukweli zote zinapoint kwenye Sehemu moja. Rejea mfano wa energy ya Jua, Food chain na ecosystem.


Nikipata muda nitaendelea ila kwa sasa nlipanga kusema hayo ili kuondoa haya mabishano kuhusu dini coz kiukweli wote tunapoint sehemu moja ila ni maamuzi tu ya njia gani ya kutumia

.... Ciao.
~ kali linux
Thanks mkuu kwa kushea..... I wonder how comes sikuuona huu uzi almost a year now
 
Kali linux ,,naona umepotea kuna muendelezo ulisema utauleta umekua kimya sana.
 
Back
Top Bottom