Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHIRINI SABA : alikoki ile bunduki aina Automatic Kalashnikov, kwa kifupi AK-47, yenye sifa kubwa ya kuwa na Malengo mazuri, ambayo ilitengenezwa na askari wenye cheo cha sanjent taji, au unaweza kusema staff sagent bwana Mikhal Kalashnikov wa jeshi la Urus mwaka 1947 na baadae viwanda toka burgaria na uchina kama vile norico, nao wanaunda smg kwa mfano wake, japo wenyewe wanasema zinautofauti katika ubora wa Malengo, ..ENDELEA…


Deus akaminya trigger na kuachia risasi moja tu, ambayo ilienda sehemu aliyoilenga yaani kwenye kikoba cha makombora, kilicho tokea hata yule aliekuwa anakoki bunduki yake ili amshambulie Deus akajikuta analala chini kwa uoga.


Maana ilizuka milipuka mitano iliyoachiana nukta, ndani ya sekunde tatu tayari makombora tano yalikuwa yamesha lipuka, huku watu wale watatu wote wakiwa hawaonekani zaidi ni vipande vya nyama za miili yao na viungo mbali mbali kama utumbo na buti chakavu za jeshi, zilizokuwa zinaanguka toka juu ungesema ni mvua.


Na hiyo ndiyo nafasi ambayo Deus aliitumia kumaliza kazi, maana aligeuka haraka na kuelekeza bunduki kwa yule askari aliekuwa na doctor wa Burundi akampa ya kichwa, na wakati huo huo yule aliemnyang’anya bunduki alikuwa anainuka toka chini, akampa ya kichwa, kuona hivyo yule kiongozi wa waasi aliona asingeweza kuwahi kuchukuwa bunduki na kumshambulia Deus, hvyo akaanza kukimbia kuelekea porini, hata hivyo alikula risasi ya kichwa, “msinyayuke” alipiga kelele Deus, huku anageuka kutazama kule kwenye gari la mizigo ambako kulikuwa na mtu mmoja alie jeruhiwa na bomu, ni mmoja kati ya wale waliokuwa wanakagua gari, nadhani nikutokana kuwa karibu kidogo na mlipuko, aliekuwa anawatazama kwa macho ya huruma, akiomba msaada Deus hakumpa nafasi ya zaidi, akamchapa risasi ya kichwa ambayo ilitawanya ubongo wake nakuchafua barabara hii ya lami iliyojengwa kwa kodi za wananchi wa ukanda huu wakivu ya kaskazini.


Naam ndani ya sekunde saba, sura ya eneo ilikuwa imebadilika vibaya sana, na kuonekana kama eneo la kutisha, lililotapakaa damu na miili isiyo na pumzi, harufu ya baruti na sura za kutisha za marehemu waasi, sura za uoga na mitetemeko ya wasi wasi na khofu toka kwa madoctor wale watatu, ambao licha ya kuona watu wakiwa katika hali mbaya huko mahospitalini, lakini sio kushuhudia kilicho tokea hapa,


“kuna yoyote alieumia” aliuliza Deus, huku anageuka kutazama kule alikokuwepo doctor wakike, ambae yeye pamoja na wenzake walikuwa wanamtazama kwa macho ya mshangao, kama vile wanatazama mzimu, hakuna aliemjibu zaidi ya kumtazama kwa macho ya mshangao, huku yule wakike akimtazama Deus kwa macho flani hivi yakutamani kuuliza kitu.


Siyo kwamba Deus alimtazama yule mwanamke, ila alikuwa anamtazama yule jamaa alielala pembeni ya doctor wa kike, ambae alionekana amelala chali huku mpini wa kisu ukiwa umegota shongoni mwake, adamu zime tapakaa pembeni yake huku macho yamemtoka kama vifi alie kwamwa na mfupa kooni, “naamini kila mmoja wenu anauwezo wa kuendesh gari, kusanyeni silaha ingizeni kwenye gari dogo” alisema Deus huku anatembea kumsogelea doctor wakike, “tukiwa madereva kuna maanisha nini?” aliuliza mmoja wao, huku akiinuka toka chini, kama wenzake ambao pia waliinuka huku wakiendelea kumshangaa Deus, “tunahitaji kumaliza safari Ilingeti, maana tumebakiza umbali mfupi kuliko tulikotoka” alisea Deus huku anachuchumaa karibu na yule marehemu mwenye kisu shingoni, ambacho Deus alikishika na kukichomoa kwanguvu huku damu zaidi zikiruka, kitendo ambacho hakipendizi moyoni mwa wenye mioyo miepesi, “tunawezaje kuendesha gari katika mazingira kama haya?” aliuliza doctor toka Kenya huku anamtazama Deus ambae baada ya kukichomoa kisu, akakifuta kwenye nguo za yule marehemu muasi, “itabidi muweze kwa maana hauwezi kuacha kitu nyuma” alijibu Deus huku anasimama na kuanza kukagua vizuri miili ya waasi huku anaipekuwa na kutoa vitu mbali mbali.


“mimi nitaendesha” alisema yule doctor toka Burundi huku wakimtazama Deus ambae alikuwa anaendelea kupekuwa waasi waliokuwa tayari wamesha poteza maisha, ambao hawa kuwa na vitu vya maana sana, sana sana misokoto ya bangi na vibiriti, ambazo alizichukuwa zote zilizo patikana na hata wakati anaufwata mwili wa kiongozi wa waasi ambao ulikuwa mita chache toka pale walipo, ndipo akasikia simu yake toka mfukoni ikianza kuita, alipoitazama akaona jina la major Felix, huyo ni mmoja kati ya wale maafisa wakuu aliotoka nao Tanzania, ambae leo mpaka Deus anatoka pale Mavivi hakuwa ameonana nae, uso kwa uso, ila alikuwepo mavivi kwenye ofisi za MONUSCO.


Naam wakati Deus akaipokea ile simu, mara moja na kuiweka sikioni huku anaendelea kutembea, “hallow ni major Felix wa MONUSCO Mavivi, naongea na nani tafadhari” alisikika major Felix akiuliza kwa sauti tulivu yenye busara na tahadhari nyingi, ilimshangaza sana Deus ambae aliitoa simu sikioni na kuitazama kama ni ya kwake au amechukuwa ya mtu mwingine, ukweli simu ilikuwa ni ya kwake, sasa inakuwaje major Felix ajiambulishe kama vile ndio mara ya kwanza anapiga simu ile na kwamba mwenye simu hamfahamu, “afande kwani hujaisave hii namba?” aliuliza Deus kwa sauti tulivu kama kawaida yake, lakini yenye kujawa na mshangao, “mh! we dogo si nimesikia mumetekwa nyie?” aliuliza kwa mshangao Major Felix na kuendelea kufafanua kuwa muda mfupi ulipita idara ya habari ya umoja wa mataifa, imepokea simu, toka kwa mtu aliekataa kutoa utambulisho wake akidai kuwa anatoka kwenye kundi la waasi wa IDFNALU, alieleza kuwa wanawashikilia maafisa wanne wa MONUSCO, wakiwemo madoctor watatu, na askari mmoja toka mchini Tanzania, “yaani hivi ninavyokuambia gun ship (ni helicopter au chopper ya kivita, ikiwa ni moja ya silaha kubwa zenye nguvu, katika mashambulizi ya anga) mbili zipo hewani zinakuja na team tatu za SA Special Force, wanakuja na magari” alisema major Felix akionyesha mshangao ulioambatana na furaha.


“Nikweli tulivamiwa, na bado tupo eneo la tukio” alisema Deus ambae sasa alikuwa anaanza kuupekuwa mwili wa yule kiongozi wa waasi ambao mpaka sasa Deus alisha gundua kuwa walikuwa ni IDFNALU, Deus akaendelea kueleza jinsi tukio lilivyotokea, huku akipeleka shutuma zake kwa askari wale waovu wa FARDC, ambao waliziba barabara na kukimbia zao, “pia kuna kijana mmoja hapo ofisini yule alieniletea makaratasi naamini alikua anafahamu kila kitu” alisema Deus na wakati huo akasikia ngurumo ya gari, ikitokea upande wa mavivi, alipotazama akaona lilikuwa ni gari la kiraia tena ni gari la abiria.


Gari ambalo lilipofika eneo latukio, ambapo barabara ilikuwa imefungwa na lile gari kubwa KAMAZ, abiria ambao licha ya kumalizika kwa mapigano, lakini kwa hali waliyoiona pale, walisalia kwenye gari wakishangaa kwa macho ya uoga, wakati huo tayari Deus alikuwa amesha acha anacho kifanya na kusimama kuwatazama wale raia kwenye gari la abiria, “ni hatari sana hiyo hivi ni nani alietoa wazo la kutumia escort ya jeshi la serikali, yaani hivi ninavyokuambia mashirika makubwa yote ya habari yanatangaza habari yenu kama breaking news (habari zinazochipuka, au zilizoibuka)” aliuliza major kwa sauti ya kutilia shaka. “ni mpango ulioandaliwa, na waliofanya hivyo walikuwa wanafahamu kila kitu” alisema Deus kwasauti yake ile ile ya upole, huku anatazama gari la abiria lililokuwa linaonekana kidogo upande wa pili Kamaz, “lazima tulifikishe ubarozini, huu ni ujinga tunavikosi vingi ambavyo vingeweza….” alisema major Felix na kabla hajamaliza Deus akakatisha, “samahani afande nitakupigia baadae” alisema na kukata simu kisha akaiweka mfukoni, huku anawatazama wale madoctor ambao sasa walikuwa wamesha maliza kukusanya zile AK47 na lile RPG ambalo ilionekana kama chuma chakavu, na kusimama pembeni ya gari lao, huku zile bunduki wakiwa wamezikusanya pembeni ya gari lao hilo hilo, “ingieni ndani ya gari zibeni sura zenu” alisema Deus kwa sauti yake tulivu, ungesema alikuwa katika maongezi ya kawaida.


Hapo haraka sana, wale madoctor wakaingia ndani ya gari na kufunika sura zao kwa vitambaa vyao vya mikononi, yaani handchief, wakifunga kamavile mask, huku Deus aliebakia nje ya gari, akisikia mvumo wa mtetemo wa simu toka kwa yule kiongozi wa waasi ambae pia tayari alikuwa ameshapoteza maisha kwa risasi moja tu ya kichwa, akausogelea mwili wa marehemu na kutoa simu ambayo ilikuwa inaita, akatazama mpigaji, ilikuwa namba ambayo iliseviwa kwa jina la chief Fardc, akaipokea, “na kupigia masaa yote na ukamati simu, fanya mbio mtoke hapo UN wapo munjia bhanakuya (wapo njiani wanakuja), na ile migun ship yao nayo inakuya” ilisikika sauti ya upande wapili na simu ikakatika, “wapuuzi walidhania tumeshanasa kwenye mtego wao” alisema Deus huku anaichukuwa ile simu na kuiweka mfukoni, na kuanza kutembea kurudi kwenye gari na wakati huo huo, akasikia ngurumo za helicopter zikija kwa fujo mita chache toka usawa wa aridhi na kupita kwa kasi sana eneo lile kiasi cha kufanya mtetemo.


Siyo tu raia wa waliokuwepo ndani ya gari, la abiria pia hata wale madoctor waliokuwepo ndani ya gari la UN nao walishtuka na kuzitazama zile chopper, ambazo zilikuwa zinaruka pembezoni mwa barabara, moja kushoto moja kulia, na zilienda umbari wa mita kama 2000 hivi, zika geuka kwa kila mmoja ikitokea upande wake, yaani wakushoto aligeukia kushoto, na wakulia aligeukia kulia, kisha wakaendelea kuzunguka eneo hilo kwa upana wa kilomita mbili mzunguko, ni kama zilikuwa zinafanya uchungu na ulinzi wa eneo lile, kuna wakati waliruka juu zaidi na kuna wakati zilipita chini chini.


Dakika kumi na tano baadae yakaingia magari matatu, aina ya STCAV (Special Force Team Carrier Amoured Vehicle) ambayo yalikuwa wazi, na kufanya Deus aweze kuwaona askari wa nne wenye silaha, kwa kila gari moja, kati ya magari manne, wakiwa wamevaa miwani nyeusi zenye camera zenye uwezo wa kurecord na kutuma matukio moja kwa moja, wakiongozwa na askari mwenye cheo cha luten. ..yap! Mpenzi msomaji kumbuka kisa chetu bado hatujakianza, hii ni historia ya kijana Deus Frank Nyati, mtoto wa askari wa zamani wa ML Army, kanali Frank Nyati, wakati tunasubiri kujuwa nini kilitokea siku ya kikao cha bwana James na wajumbe wa bwana Chitopelah, basi wewe endelea kupata utangulizi wa Deus katika Mkasa huu Wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa Jamii Foroms na Good Night 😴
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHILRINI NANE : Dakika kumi na tano baadae yakaingia magari matatu, aina ya STCAV (Special Force Team Carrier Amoured Vehicle) ambayo yalikuwa wazi, na kufanya Deus aweze kuwaona askari wa nne wenye silaha, kwa kila gari moja, kati ya magari manne, wakiwa wamevaa miwani, nyeusi zenye camera, zenye uwezo wa kurecord na kutuma matukio moja kwa moja, wakiongozwa na askari mwenye cheo cha luten. ENDELEA……


Mara baada ya kushuka tu, wakatanyika na kujigawa makundi mawili nane wakikaa katika muundo wa duara wakilizunguka eneo lile na mitutu ya silaha zao aina ya Micker galiry zikielekezwa kwenye vichaka na mapori tayari kukabiliana na chochote kitakacho jitokeza, huku wengine nane akiwepo kiongozi wao, yaani yule luten mwenye nyota mbili kila upande wa kola ya shati lake, (hii ni tofauti na Tanzania, wao cheo uweka kwenye ukosi wa shati) wakikagua na kuhakikisha kama kuna chochote kilichobakia eneo lile lililozungukwa na wenzao,


SA Special Force, wanafanikiwa kukagua kwa sekunde chache tu, kisha wanasimama na kutazamana kwa mshangao kabla hawaja mtazama Deus aliesimama akiwatazama, huku ameshikilia AK 47 mkononi mwake, wawili wakamsogelea Deus, akiwepo yule luten na mwenzie mwenye cheo cha koplo, na Deus alipoona wame msogelea akapiga salut “good after noon lieutenant?” alisalimia Deus, akimaanisha habari za mchana luteni, naomba niweke sawa hapo.


Katika nchi nyingi ambazo hazitumii lugha ya English wanajeshi huitana kwa vyeo vyao, na wanapo pokea amri huitikia kwa jina la mheshimiwa yani Sir, hiyo pia ni kwa baadhi ya nchi zinazotumia Kiswahili, ila kwa nchi kama Tanzania utumika neno afande neno ambalo halina tafsiri kwa lugha yote duniani, ila ni neno ambalo waswahili walilidadavua toka kwenye neno AFFENDI toka katika lugha ya kituruki, kupitia askari wa sudani walioshiriki vita vya kwanza vya dunia, likiwa na maana ya neno KUSAMEHEWA, hiyo ni endapo utaweka I mwishoni mwa neno, na ukitoa I ikabaki AFFEND maana yake ni MSHIKAMANO, wakati neno hilo hilo ukilitaja hivyo kwa lugha ya English lina maana ya KUUDHI.


Hivyo kwa Deus ambae alisha kaa nchi kadhaa akifanya mafunzo, na hata hapa nchini Congo, alikutana na mataifa mbali mbali, anafahamu jinsi wenzao wanavyoitana, tofauti na nchini kwetu, OC akutane na RPC halafu aseme habari za asubuhi RPC, au koplo akutane na captain aseme habari yako captain, hakika nikosa la kinidhamu, maana neno afande lipo na linapaswa kutumika, ila kumbuka ni afande siyo affend au affendi.


“priate Nyati were is your back up?” aliuliza yule Luteni ambae kifuani kwake kwenye mfuko wa kulia shati lake, lilikuwa na jina limeandikwa, HD Thabo wa AS mwenye kuongoza makomando wa south Africa ambae alisoma jina la Deus kwenye tag yake iliyowekwa kwenye shati, juu ya mfuko wa kulia, akimaanisha kuulizia watu waliokuja kuwasaidia, “no sir, there is no any back up, you and your team is the only backup here” alijibu Deus kwa lugha ile ya English, sina hakika kama nimeandika kama walivyokuwa wanatamka, ila Deus alikuwa ana maanisha kuwa hapa kuwa na watu waliokuja kuwasaidia, zaidi ni kwamba yule lutent na team yake, ndio msaada pekee uliofika, “you mean all this you did by you self?” aliuliza liuetinant Thabo, kwa saut ya mshangao akiuliza kuwa “unamaana haya yote umefanya peke yako?” kumbuka muda wote huo bado zile chopa zilikuwa zinaendelea kufanya doria kule juu ya anga.


Ilishangaza sana, hata wale wengine waligeuka kuwatazama mkuu wao na private Deus Nyati, na kabla Deus hajajibu mwenzao mmoja akadakia, “Deus Frank Nyati i know this man, i met him in cuba at SF intake 116, course, he is a most derous special force in Africa” alisema mmoja wao aliekuwa na cheo cha private kama Deus, ambae alidai kuwa anamfahamu Deus na walikuwa wote cuba kwenye mafunzo ya Sepcial Force kundi la 116, na kwamba ni komando hatari kuliko wote Africa, yaani yeye alivyo amini, nikama mtu anavyo amini yanga ni hatari kuliko simba na mwingine akasema simba ni hatari kuliko yanga, hapo Deus akamtazama na kumwona askari huyo aliesema anamfahamu, walipokutana macho Deus akatabasau kidogo, ni kweli alimkumbuka, “good job Private” alisema yule luten, akimpongeza Deus.


Naam baada ya hapo yule luten akatoa simu ya upepo aina ya motorora ya ya kisasa, akapiga Head Quarter na kuwa julisha kuwa tayari wameshafika eneo la tukio na kwamba hakuna mateka alieshikiliwa na waasi, na wao wamekuta eneo liposalama, ni baada ya waasi kudhibitiwa na Speciali Force DF Nyati, toka Tanzania, nae akapewa maelekezo ya kurudi kambini, “ok! five minutes, to clear every thing” alisema yule luten, na hapo askari wale makomando toka Africa ya kusini, wakaakusanya kila walichoona kinafaa ikiwa pamoja na miili ya wale waasi, ambayo waliipakiza kwenye KAMAZ.


Ilikuwa ni kazi ya dakika tano kweli, “ok! listen to me, get in car for RTB” alisema yule Luteni, akimaanisha kuwa waingie kwenye magari, kwaajili ya RTB, yani Return To Base (kurudi kambini) askari wakaingia kwenye magari, huku wawili wakiingia kwenye KAMAZ, akiwepo yule koplo mmoja akiwa na private akiwa ndie dereva, wengine wakaingia kwenye magari yao yale madogo, huku Deus akiingia kwenye Toyota land Cruize walilokuja nalo pamoja na madoctor wake, ambao bado walikuwa wanamtazama kwa macho ya mshangao na kutoamini kwa kile alicho kifanya muda mfupi uliopita na mpaka hapo hakuna aliesema asante.


Safari ikaanza huku chopa zikiranda angani, hakika ilipendeza machoni pa wapiganaji, huku wale raia wakifunguliwa njia na kuendelea na safari zao, kila mmoja alimchukulia Deus kama shujaa hawakujuwa kuwa huo ndio mwanzo wa kuufikia mwisho wa utumishi wake jeshini.*******


Mashariki mwa congo katika jiji la Goma, kivu ya kaskazini mwa DRC, linaonekana gari aina Nissan patrol linatembea kwa speed kwenye barabara kuu iendayo Rwanda, kupitia mpaka wa Gisenyi, huku ndani yake kukiwa na mtu mmoja tu, ambae ni mzee wamakamo, aliekuwa anaendesha gari hilo kwa speed sana huku simu ikiwa sikioni, “naamini tutafanikiwa Chief ondoa shaka andaa mpago wa kukabidhiwa fedha” aliongea yule jamaa ambae ni mtu mzima, huku anapunguza mwendo kuikaribia barabara iendayo Linda hotel na maeneo ya ziwa Kivu, “lakini hakikisha mpango unaenda kama tulivyo panga na uwe makini kufwatilia kila wanacho ongea, endapo watatuma askari kwenda kuwa komboa tujulishe kabla mpango haujaanza, sisi tunazidi kusisitiza habari kwenye redio na tv zote kubwa duniani, ilikuwapa msukumo MONUSCO wa kutoa hizo fedha haraka” iliskika sauti yenye msisitizo toka upade wa pili wa simu.


Wakati huo tayari mzee huyo alikuwa anakata kona kulia, kuingia upande wa Linda hotel, “Ni sawa haina shida nitafanya hivyo, naamini nitawakuta wanaandaa fedha, madoctor watatu na askari mmoja siyo mchezo, lazima wachanganyikiwe” alisema yule jamaa kisha wakacheka kwa pamoja, huku mzee yule anakata kona kulia kuifwata barabara inayoelekea upande wa Linda hotel mpaka ziwa Kivu, “lakini bwana Seve una uhakika jamaa watatoa fedha?” aliuliza jamaa upande wapili wa simu, lakini katika hali ya furaha na kujiamini.


Sasa mzee huyu alieitwa Seve, ikiwa ni kifupi cha Sevelin, alipunguza wendo kulikaribia lango la eneo la majengo ya ofisi za MONUSCO, “ondoa shaka chief, fedha inapatikana pamoja na dawa mingi sana, vijana hawato hangaika matibabu” alisema kwa kujiamini bwana Seve, huku anasimamisha gari, mbele ya lango kubwa la blue bahari na maandishi makubwa, ya rangi nyeupe MONUSCO DU NORD KIVU, ikiwa na maana ya kwamba MONUSCO KIVU YA KASKAZINI, “imekaa poa sana, cha msingi hakikisha kila kitu kinaenda kama tulivyo panga” alisisitiza mtu upande wapili wasimu, na wakati huo geti lika funguliwa, wakaonekana askari waliovalia mavazi ya kijeshi, yanayo watabulisha utaifa wao wakuwa ni watanzania, sambamba na bendera begani mwao, huku bunduki aina ya SMG zikiwa zimeshikwa imara mikononi mwao, kofia za chuma rangi ya blue bahari, na bullet pluff vifuani mwao, “sawa chief, nimeshafika nitakupigia baadae” alisema Seve, ambae kwa mkadirio alikuwa na miaka kati ya hamsini mpaka hamsini na nne na kukata simu.


Wakati huo askari wawili wakaonekana wakilisogelea gari lile mmoja akiwa ameshika mine detector ambae alianza kulikagua gari, kitendo ambacho Seve aliona kama anacheleweshwa kwenda kujuwa kinachoendelea hukondani, “kitambulisho tafadhari” alisema yule askari mwingine, hapo haraka sana Seve akaonyesha kitambulisho chake ambacho kilimtambulisha kama mfanyakazi wa umoja wa taifa ofisi ya msimizi wa mipango ya kiraia.


Baada ya hapo wakamruhusu apite, na hapo gari lile aina ya NISSAN likaingia ndani, huku mzee yule akionyesha kitambulisho chake na kuelekea moja kwa moja mpaka mbele ya ofisi za wasimamizi wa maswala ya kijeshi wa umoja wa mataifa, ambapo aliwaona wenzake wakitembea kwa haraka kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano, wakiwepo maafisa wa majeshi mbali mbali ambayo yanashiriki operation ile ya kuondoa waasi kivu ya kaskazini, pia na maafisa wa kiraia wakike na wakiume, “yes! mambo yanapamba moto” alijisemea Seveline, usowake ukijawa na tabasamu, huku anashuka haraka toka kwenye gari na kuungana na wenzake kuelekea kwenye ukumbi wa mikutano.*******


Beni Mavivi, ndani ya eneo la uwanja wa ndege, mbele ya ofisi za MONUSCO walionekana watu wengi sana, askari kwa raia, wafanyakazi wa airport na wafanyakazi wa MONUSCO wa maitafa mbali mbali, wahindi waarabu faransa wa filipino, na wenyeji yaani waafrica, wakiwa wamekaa kwa vikundi vikundi, wakijadiri tukio la kutekwa kwa madoctor wa WHO, pamoja na askari mmoja wa Tanzania, hakika sura za watu wale zilionekana kunyongea sana kasoro kijana mmoja tu ambae anafahamika kwa jina la Kisonge, ambae shuguri zake ni usafi katika ofisi za MONUSCO, yeye alionekana kuwa katika hali ya kawaida kabisa, “NALU siyo wamchezo wanatisha wale watu” alisema yule kijana, ambae katika kumbu kumbu zetu ndie alieenda kumpelekea Deus karatasi.


Kauli ile nikama ilimchomoka tu, na hakuna alietegemea kusikia kauli ilee kutoka miongoni mwao, hivyo karibu watu wote pale waligeuka na kumtazama kijana huyo, hata major Felix aliekuwa karibu yake, alimtazama kwa macho ya mashaka kijana huyu, huku yeye Felix na maafisa wachache toka Tanzania wakiwa wanajuwa kuwa tayari kijana wao ameshamaliza kazi, alitamani kumweleza jambo kijana yule mfagizi wa maofisini lakini kabla hajasema lolote wakaona magari mawili madogo ya FARDC yakiingia kwa mwendo wa speed ya kutisha, speed ambayo ingekutambulisha kuwa huko walikotoka hakukuwa salama, hakuna alieshangaa kwanini yanarudi magari mawilikati ya matano yaliyoondoka pale mavivi.


Naam ile magari yale yana simama tu, askari wakashuka toka kwenye magari yao, kila mmoja akawasogelea, akiwepo Kisonge alieonyesha hamu kubwa ya kujuwa kilichotokea, akihitaji kujuwa kilichotokea huko pori la Ituli, “kwa kweli ilikuwa hatari sana” alisema yule major ambae nikiongozi wa msafari uliotekwa na IDFNALU, Felix na wenzake waliokuwa wanajuwa kinachoendelea walimsikiliza Major huyo aliefahamika kwa jina la Kashumba, “ilikuwaje chief mbona wengine hawapo?” aliuliza yule kijana, swali ambalo liliwashangaza watu waliokuwepo pale maana kila mmoja alikuwa anafahamu kuwa wametekwa.


Hapo major Kashumba, akaanza kusimulia kilichotokea, tofauti na vile tulivyo shuhudia sisi, major Kashumba alisema kuwa, wakiwa njiani wakashtuka waasi wa NALU wakiibuka toka porini na silaha zao na kuanza kulishambulia gari la mbele, bahati nzuri askari wakaruka toka kwenye gari, na kukimbilia kwenye magari ambayo haya kushambuliwa, “tukalazimika kugeuza magari na kukimbia tulishindwa kugeuza gari kubwa kutokana na ufinyu wa barabara, ila yule mtanzania sijuwi kwanini alishindwa kugeuka na kuondoka, wakati ilionyesha wazi tuna shambuliwa, maana hata gari la mbele lilipigwa kombora” alisema Kashumba kwa sauti ambayo ungesema alikuwa katika masikitiko makubwa.


Habari ile iliwasikitisha wengi ila habari ile ilikuwa burudani kwa wakina Felix, ambao, walichekea kwapani, “ule Tanzania ni mzembe sana anashindwaje kukimbia ambushi, anasababisha wale madoctor wanaingia mikononi mwa Nalu” alisema Kisonge akishusha lawama kwa Deus hapo Major Felix uvumilivu ukafikia mwisho, maana alimsogelea Kisonge, na alipomfikia akasogeza mdomo sikioni mwake, “Deus hajawai kupoteza, subiri matokeo” alisema Felix na kumfanya Kisoge ambae hakutarajia ujumbe huo, ashtuke na kumtazama Felix kwa mshangao, ambae alimwona akiwa anatabasamu. ….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa …NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA THELATHINI
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA : Habari ile iliwasikitisha wengi ila habari ile ilikuwa burudani kwa wakina Felix, ambao walichekea kwapani, “ule Tanzania ni mzembe sana anashindwaje kukimbia ambushi, anasababisha wale madoctor wanaingia mikononi mwa NALU” alisema Kisonge, akishusha lawama kwa Deus na hapo Major Felix uvumilivu ukafikia mwisho maana alimsogelea Kisonge na alipomfikia akasogeza mdomo sikioni mwake, “Deus hajawahi kupoteza, subiri matokeo” alisema Felix na kumfanya Kisoge, ambae hakutarajia ujumbe huo, ashtuke na kumtazama Felix kwa mshangao, ambae alimwona akiwa anatabasamu. endelea….

“inashangaza eeh?” aliuliza Felix kwa utani, kisha huyoo akaondoka zake, huku Kisonge akimsindikiza kwa macho mpaka alipoenda kusimama na wenzake.

Kisonge alikuwa anajiuliza Felix anamaana gani, mara zika sikika ngurumo za helicopter zikija kwa mwendo wa kawaida, wote wakatazama uelekeo ule wa kaskazini zilikotokea zile Helcopter na kuweza kushuhudia vyombo hivyo vya angani, vikiingia kwa mwendo wa taratibu usawa wa anga la airport na kuanza kuzunguka, baadhi ya watu wakawa makini kuzitazama zile Helcopter, ambazo zilienda mbele kidogo, kama zinataka kumaliza eneo lile la airport kisha zote zika elekea upande wa kushoto na kuzunguka eneo lolete la Airport zunguko mzima yaani 360, na kurudia tena mala ya pili, halafu zikaenda kutua.

Hapo ukazuka ukelele wa shangwe kwa baadhi ya watu, hasa askari wa majeshi ya ulinzi toka nchi mbali mbali huku raia wakishangaa kwanini wanajeshi hawa wanashangilia na kupeana pongezi, “imeisha hiyo, dogo ametengeneza jina lake na la nchi” alisema luteni kanali wa Tanzania, akiwaeleza wakina major Felix, ambao furaha zao zilionekana wazi wazi, katika nyuso zao.

Shida ilikuwa kwa wale askari wa FARDC, na kijana Kisonge, maana wakati kijana Kisonge akiwa anashangaa kwa nini hawa watu wanashangilia wakati kuna tukio la utekaji limetokea, “au wale wasouth wamewakomboa?” alijuliza Kisonge ambae, siyo tu aliamini kufanikisha kwa mpango ule kungempatia fedha flani, pia alikuwa anapanga baadae akapekuwe chumba cha Deus, aone kitu gani kingemfaa.

Huku wale askari wa FARDC, wasaliti wasio na nidhamu, ambao walishaelewa ishara ya Helcopter zile kuzunguka mara mbili, eneo lile ni kuwa hakukuwa na tatizo lolote, kwamba watu wapo salama, walitazamana kwa mshangao, huku wakichanganywa na maongezi ya wale askari wenzao toka nchi mbali mbali, waliopo chini ya umoja wa mataifa, “inamana dakika hii tu, wamesha wakomboa?” aliuliza mmoja toka Malawi akionyesha mshangao uliochanganyika na furaha, “inashangaza maana kwa muda walio ondoka hapa, ni vigumu kuwakuta eneo la tukio” alisema mwingine kwa mshangao, pia na yeye akiwa katika furaha, “lakini inawezekana vipi, mbona nilimpigia Kabhango nikamweleza waondoke haraka” alinong’ona major Kashimba, afisa mkuu katika jeshi la FARDC, “chief, itakuwa bien tukiondoka hapa” alishauri mmoja wao, “hapana wanaweza kutushtukia kwamba tulihusika, hebu subiri kwanza tuone mwisho wake” alisema major Kashumba, kwa sauti ile ile ya kunong’ona, wakati huo kijana Kisonge, alitazama kushoto na kulia alipoona hakuna anae mtazama akachomoka kimya kimya, pasipo kujuwa anatazamwa na major Felix kutoka Tanzania akazunguka nyuma ya jengo la ofisi, ambako alitoa simu nakupiga namba iliyoandikwa chief Seveline.*******

Wakati huo huo makao makuu ya MONUSCO, mjini Goma, mashariki mwa DRC, Seveline akiwa mmjo kati wa jumbe na maafisa wa umoja wa taifa ukanda huu wa DRC yaani MONUSCO, ndani ya ukumbi wa mikutano ambao ulikuwa kimya kabisa, wote macho yao wakiyaelekeza mbele, ambako alisimama mwanajeshi mmoja mtu mzima mwenye cheo cha brigedia mwenye asili ya Africa ya kusini, Filipo Mosi Thabo, aliekuwa ameingia ukumbini hapo sekunde chache zilizopita, “habari za mida hii wajumbe?” alisalimia bwana Thabo, ambae anakifahamu Kiswahili vyema kabisa, ni kutokana na kukaa Tanzania, miaka ya 1980, wakati wa kupigania uhuru wa nchi yao, wakati ule ikiwa chini ya utawala wa makaburu, (kaburu sio neno zuri kulitumia, ni neno la kiholanzi lenye maana ya mshenzi) huku tabasamu angavu likionekana usoni pake, iliwashangaza baadhi ya watu walikuwepo mle ndani, maana dakika chache zilizopita walipokea taarifa za kutekwa ma maafisa wa UN.

Wote wakaitikia kwa pamoja, “nzuri” huku minong’ono chini chini, ikifumuka toka kwa baadhi ya wajumbe waliopo mle ndani, wakionekana kujiuliza juu ya tabasamu la brigedia Thabo, ambae alikuwa tofauti na dakika kumi zilizopita, wakati alipowaita wajumbe wa idara mbali mbali kuwaleza juu ya taarifa toka kwa msemaji wa kikundi cha IDFNALU, aliedai kuwa awamewateka nyara, maafisa wa nne wa UN, wakiwemo madoctor watatu na mwanajeshi mmoja toka Tanzania, “tuliitana muda mfupi uliopita, kwaajili ya kuepana taarifa juu ya wenzetu waliotekwa nyara, na watu walio jitambulisha kuwa ni IDFNALU” alisema brigedia Thabo ambae uongeaji wake, ulionyesha wazi kuwa hakuwa na wasi wasi wala shaka lolote, kitu ambacho kilimshangaza zaidi bwana Seveline, ambae alikuwa miter chache toka alipokuwepo brigedia huyo.

Bwana Seveline akawatazama maafisa wengine wakijeshi, waliokuwepo mle ndani kama vile afisa utawala wa brigedi ile maalumu ya MONUSCO, na afisa wa usalama na utambuzi, pia wakuu wa vikosi vyote vinavyoshiriki operation ile ya kung’oa waasi mashariki mwa congo.

Nao akawaona wakiwa na nyuso za kawaida tofauti na vile alivyotegemea, na kumfanya bwana Seveline, afikirie mambo mawili, moja ni kwamba pengine wameshapata fedha za kwenda kuwa komboa mateka, hivyo wanauhakika kuwa mateka watapatikana, pili pengine ni seleka za kiaskari kwamba hata kama kuna hatari kubwa mbele yako hakuna kuonyesha sura ya kugopa au kuhuzunika, mbele ya watu wanaokutegemea.

“tumeitana tena ilikupeana taarifa za mwenendo wa tukio hilo, kama ilivyo utamaduni wetu wa kupeana habari” alisema Thabo, huku anawatazama watu waliokaa mbele yake, akaona wapo makini wanamsikiliza akaendelea, “ni kweli tukio hilo limetokea nusu saa iliyopita, waasi wali jitambulisha IDFNALU, waliwateka wenzetu yaan madoctor watatu na askari mmoja, na sisi tulikafanya juhudi za kutuma Special Force, ambao walienda eneo la tukio kwa haraka,
huku wakisaidiwa ulinzi wa anga na gun ship mbili” alisema tena brigedia Thabo, kwa sauti ile ile ya kikamanda isiyo na wasi wasi wala hofu yoyote na watu wakizidi kutega macho na masikio kwa brigedia huyo ambae aliendelea kuelezea “Special Force ambao walikuwa team nne, japo walifika haraka eneo la tukio, lakini walikuwa wameshachelewa” alisema yule brigedia na hapo Seveline akajihisi moyo wake ukikumbwa na tabasamu mwanana la furaha.


Brigedia Thabo, akamtazama askari mwenye cheo cha Captain, aliekaa mbele ya watu wote, huku mbele yake kukiwa na meza yenye computer na projector (kikuza video hutumika kuamisha video toka kwenye kisimbuzi, kwenda ukutani au kwenye ubao wowote ambao, umeandaliwa kwa kazi hiyo) nikama alimpa ishara flani nae akawasha ile projector, “video hii tumeipata kwa msaada wa miwani maalumu ya kingozi waspecial force troop ambayo ilikuwa na team nne, zilizoenda huko Ituli” alisema brigedia Thabo, wakati huo video ikianza kuonyesha gari moja la mbele aina ya STCAV (Special Force Team Carrier Amoured Vehicle) ambalo lilikuwa na askari wanne wa special force wakiwa FBO, yani Full Battle Oder, (vifaa kamili vya kivita) yakitembea kwa kasi ya ajabu yakiwa yanaingia eneo la tukio, ambalo siyo tu kuwaacha watu midomo wazi, ila lilimshangaza bwana Seveline ambae hakuamini macho yake.


Maana aliweza kuna miili ya askari wa msituni wa IDFNALU, ikiwa imelala barabarani, juu ya vidimbwi vya damu, huku eneo la mbele la gari la mizigo, likinekana kutapakaa damu na vipane vya binadamu, “ni kweli special folce walishachelewa, maana private Deus Frank Nyati ambae ni dereva wa MONUSCO, alikuwa tayari amesha wathibiti waasi hao na kusaidia yeye na wenzake kujitoa toka mateka” alisema Thabo na kuzidi kumshtua Seveline, na mshtuko mkubwa zaidi, ni baada ya bwana Seveline kumwona askari alievalia sare za jeshi la ulinzi la Tanzania akiwa ameshika bunduki na kusaluti kwa luteni wa special force, “mungu wangu, nini hiki” alijiuliza Seveline ambae pasipo kujijuwa aliinuka na kutoka nje moja kwa moja akaelekea kwenye gari lake, akaingia ndani na kutoa simu yake, ambayo aligundua kuwa ilikuwa na missed call kama kumi hivi, toka kwa Kisonge, akaona ni vyema akampigia Kisonge kwanza kabla hajampigia chief.*******


Naam baada ya kuona kuwa, amepiga simu mara kumi, bila kupokelewa lakini kabla hajaelekea kule waliko wenzake, mara akasikia simu yake inaita, alipoitazama akaona kuwa anaempigia ni Chief Seveline, akaipokea haraka na kuiweka sikioni, “hallow chief mambo siyo mazuri” alisema Kisonge, kwa sauti ambayo licha ya kuwa ya chini, lakini likuwa yenye pupa, na wasi wasi, “nimesikia Kisonge hivi imetokeaje hiyo?” aliuliza Seveline, kwa sauti ya mshangao na wasi wasi, “hata mimi sielewi yule mtazania ni mtu wa aina gani, mpaka aweze kupiga watu wote hao” alisema Kisonge na wakati huo akasikia ngurumo za magari, yalikuwa yanaingia eneo lile la ofisi za UN.


Haraka sana Kisonge akachungulia, na macho yake yakaona magari sita yakiingia pale kwenye ofisi za UN, manne yakiwa ni STCAV na moja Toyota Land Cruizer jeupe la UN, na lile KAMAZ, lililoondoka na mizigo ya WHO, “haoooo wanaingia ni kweli wamerudi na kila kitu” alisema Kisonge, kwa sauti ya kukaa tamata…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums

Tukutane Kweny Sehemu Inayofuata...
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI : Haraka sana Kisonge akachungulia na macho yake yakaona magari sita yakiingia pale kwenye ofisi za UN, manne yakiwa ni STCAV, na moja Toyota Land Cruizer jeupe la UN na lile KAMAZ, lililoondoka na mizigo ya WHO, “haoooo wanaingia ni kweli wamerudi na kila kitu” alisema Kisonge kwa sauti ya kukata tamaaa…….endelea….


Huku bado anaendelea kuchungulia, ambapo aliona yale magari yakipitiliza na kuzunguka upande wa nyuma kabisa wa jengo la ofisi za MONUSCO, wakipita kwenye gate dogo lililoshikizwa kwenye kuta za uzio mdogo wa ofisi hizo. wenye eneo la mita za mraba arobaini kwa thelathini, “Imekuwaje wameweza kuchomoka hao! mbona taarifa za huyo mtanzania hazielezi kuwa ni mtu hatari hivyo! au walikuwa na silaha wakati haluhusiwi?” aliuliza Seveline kwa sauti ya nshangao iliyo hamaki, “kwakweli hata mimi nashangaa, yaani ukimwona mtu mwenyewe, utajiuliza amewezaje kupambana na wakina Kabhago” alisema Kashimba kwa sauti yakutilia mashaka, “kwahiyo unataka kusema lazima kuna msaada aliupata sehemu?” aliuliza Seveline kwa sauti ya ung’amuzi “pengine mpango ulisha gundulika na wakaamua watangulize majeshi, lakini kwa yule mmoja asingeweza kupambana na Kabhango” alisemama Kashumba kwa sauti yenye kuonyesha kuwa anaamini anachokisema, “hawawezi kuwa wajanja zaidi yetu, lazima walipie hii kuanzia huyo mtanzania mpaka MONUSCO kwa ujumla” alisema Seveline na kukata simu.********


Siku kama hizo huko #Mbogo Land, nyakati za mwisho za utawala wa king Eric wa pili, ambako mpaka mwaka huu wa 2014 walikuwa na jeshi imara, ambalo lilikuwa limesha shiriki kazi nyingi za nje ya nchi kwa ushirikiano wa nchi nyingine za umoja wa nchi za Africa, yaani AU, na hata za umoja wa mataifa, UN, moja ya operatio waliyoshiriki ilikuwa ni ile ya visiwa vya Comoro, miaka ya 2006/ 2007 nyingine ni huko Sudan, operation Darfu, pia siyo operation zote walikuwa wanapeleka askari nyingine walikuwa wanachangia vyakula na dawa, kwa chini shiriki.


Hii ilikuwa ni miaka minne toka King Elvis, aanze kutawala nchi hiyo ndogo na tajiri, king Elvis akionekana mwenye wasi wasi mwingi na mashaka juu ya jambo flani, alikuwa peke yake, ndani ya chumba chake kikubwa mfano wa ukumbi mdogo wa mikutano, chumba chenye kila kitu, licha ya kitanda kikubwa cha futi nane kwa nane, kilicho nakishiwa na uji wa dhahabu, kwenye kingo na miguu yake pia kulikuwa na seatting room, swimming poor, ofisi ndogo, na sehemu nyingine ambazo ni nimuhimu kwa maisha ya kila siku ya binadamu, kamavile dianing table, bar counter ndogo yenye shelfu zilizojaa vinywaji vya kila aina,


King Elvis wakwanza, aliekuwa amekaa peke yake chumbani mwake, mbele ya meza kubwa ya ofisi ndogo ya mle chumbani kwake, sura yake iliyojawa na mashaka akiwa ameinamisha kichwa kwenye meza akikodolea macho file (jarida) lililopo mezani kwake, jarida ambalo ni maalumu kwaajili ya taarifa toka katika jeshi lake la ulinzi la nchi yake yani ML Army ikiwa na maana ya #Mbogo_Land Army, ni wazi ilionyesha kuwa, taarifa ya leo haikuwa nzuri kwake, “inawezekana vipi haya mambo yanaendelea mpaka leo, imaana waziri wa ulinzi hawa kumwelewa tu, mbona changamoto zao zimesha tatuliwa?” alijiuliza King Elvis, kwa sauti ya chini yenye kuchanganyikiwa, huku akitazama karatasi ndani ya jarada lile, lenye majina hamsini na nane, yaliyopo chini ya kichwa cha habari, askari waliotoroka ML ARMY NA ML SA MWAKA 2013/14 “kwanini haya mambo yanatokea wakati huu wa uongozi wangu” aliongea Elvis mfalme kijana, mwenye umri mdogo kuwahi kungoza #mbogo_land, toka kuanzishwa kwake, akionyesha kushtushwa na taarifa ile.


Ukweli nikwamba kwa kupindi cha miezi kumi sasa kumekuwa na taarifa ya kuzuka kwa utoro mfululizo wa askari wa majeshi ya ulinzi na usalama wa nchi hiyo ya kifalme, yaani utoro huo ulikuwa kwa askari wa jeshi la ulinzi na wale wa kitengo cha usalama wa taifa wa nchi hiyo, na kilichoshangaza zaidi ni kwamba, kati ya hamsini na nane waliotoroka kwa upande wa jeshi la ulinzi ni thelathini na mbili, na kati yao kumi na moja tu, wakiwa ni askari wa vyeo vya chini, yaani kuanzia private mpaka sajent, na maafisa ishirini na moja, maafisa wakuu kuanzia cheo cha major mpaka kanali, wakiwa sita, na wengine ni kuanzia luteni usu, mpaka captain.


Miongoni mwao wakiwa askari na maafisa wazuri na mahili kiutendaji, walioshiliki operation mbali mbali za ndani na nje ya nchi, kati yao akiwepo Afisa mpelelezi mwenye cheo cha luteni kanali, bwana Ramadhan Mbwambo, ambae licha upelelezi wake lakini katika operatio Comoro, aliongoza vyema kikundi cha wapelelezi sita waliofanikisha kwa kiasi kikubwa, kubaini maficho ya kiongozi muasi wa Comoro mwaka 2007, ukiachana na kanali Mbwambo, pia mtoro mwingine aliemshtua King Elvis, ni Major Zaid Tambwe, ambae umahili wake katika majukumu ya kijeshi chini ya umoja wa mataifa huko Africa ya kati, ulimfanya apande cheo toka luteni mpaka major, ni baada ya kuongoza platoon yake, katika operation kadhaa na kumaliza operation hizo, kwa mafanikio makubwa.


Mwingine alikuwa ni kijana mdogo aliekuwa katika kitengo cha usalama wa taifa, huyu ni kijana Enock Kafulu, aliezaliwa mwaka 1987, hapo Trench Town, ambae taifa la #Mbogo_Land, lilimwandaa kuwa mtendaji mzuri, kwa kumpeleka vyuo mbali mbali vya kiusalama, katika nchi mbali mbali duniani, huku serikali hiyo ikitumia gharama kubwa kuhakikisha kijana wao lilimgharamia katika mafunzo makubwa ya nchi mbali mbali, Israel, ambako alienda kujifunza ujasusi.


Ufaulu wake wa hali ya juu, ulimfanya king Elvis ajivunie kijana huyo na kukubaliana na wazo la mkuu wa kitengo cha ML SA, bwana Dickson Chitopelah kwa kuchukuwa uamuzi wa kumpendekeza kijana huy akapate mafunzo hayo, maalumu ya kijasusi na upelelezi wa siri, “inakuwaje miaka mitatu tu, anaacha kazi bila sababu za msingi?” alijiuliza King Elvis, ambae mwaka mmoja uliopita alibadili waziri wa ulinzi, kutokana na sababu kama hizi za mienendo mibaya ya uongozi katika vyombo vya ulinzi na usalama na kumweka bwana Chitopelah, ambae wakati huo alikuwa mkuu wa kitengo cha MLSA, “kwanini haya mambo yanaendelea?” alijuliza tena king Elvis, kwa sauti ambayo ungesema anaongea na mtu mwingine pale alipo.


Naam baada ya kuwaza na kuwazua kwa dakika kadhaa, ndipo Elvis alipopata wazo la kwenda kupata ushauri kwa mfalme aliemtangulia, yaani king Eric wa pili.*******


Yap! sasa turudi mashariki mwa DRC, jijini Goma, pembezoni mwa ziwa Kivu, ndani uzio wa eneo la ofisi za MONUSCO, bado kikao kilikuwa kinaendelea ndani ya jumba la mikutano, kikao kilicokuwa kinaendeshwa na brigedia Thabo, ambae alisha pokea simu ya toka Ben Mavivi, kwamba madoctor wa WHO na askari toka Tanzania wamewasili mavivi wakiwa salama kabisa na hakuna kitu kilichoibiwa kati yao, nae akatoa maagizo kuwa madoctor wale wapelekwe Goma haraka kwa usafiri wa ndege, maana yule askari wa Tanzania angekuja na wale maafisa walioenda kule Ben.


Wakati hayo yanaendelea huko ndani, huku nje bwana Seveline akiwa ndani ya gari lake akiongea na na mtu aliemwita Chief kwa kutumia simu yake, “imemshangaza kila mmoja hata wao wenyewe wameshangaa hyo kijana amewezaje kupambana na vijana wetu” alisikika Sevelie akiongea na chief kupitia simu yake, “kwahiyo tutakaa tu pasipo kuwaonyesha kuwa sisi siyo wadhaifu?, na vipi kuhusu watu wetu wa FADRC, unampango gani kuhakikisha hawaingizwi kwenye hili?” iliuliza sauti upande wapili, “kuna mambo nimesha yafikiria, kwanza tuna hakikisha lawama zote zinaenda UN, ili kumchafua mtanzania, kabla hatuja mfyekelea mbali, hilo litakuwa ni somo kwao na hawataenda tofauti na kile tutachowaambia” alisema Seveline na yule anaeitwa chief akahitimisha kwa kukubaliana na Seveline kisha wakakata simu.*******


Deus alipongezwa sana na makamanda wenzake wa jeshi ambao ndio pekee walio ruhusiwa kuingia mle ndani ya uzio wa ofisi ya MONUSCO, “umetisha dogovhiyo ndiyo inatakiwa, wakileta ujuwaji ni kucheza nao tu” alisema mmoja kati ya makamanda huku Felix akidakia, “yani kila safari ya nje nitaomba uwe Dereva wangu” alisema Felix, na wote wakacheka, kasoro Deus alieishia kutabasamu, wakaendelea kuongea hili na lile.


Wakati huo wote yule doctor wakike wa kihabeshi, aliekuwa amesimama na wenzake, mita chache toka pale walipo wakina Deus, wakikaguliwa na madoctor wenzao kuhakikisha kama hawajapatwa na madhara yoyote,, muda wote macho ya mrembo huyo, yalikuwa yameelekea upande walipo wakina Deus, ambae muda wote alionekana kutabasamu, tofauti na wenzake waliokuwa wanacheka kwanguvu, ukweli ni vigumu kufahamu mschana huyu, alikuwa anawaza nini pale alipokuwa ana mtzama Deus, ila kilichoonekana ni macho ya mshangao na kama vile kuna jambo alikuwa anahitaji kumweleza kijana wetu.


Wakati doctor wa kike anaendelea kumtazama Deus Frank Nyati, kijana aliewakomboa toka kwenye mikono hatari ya waasi wa IDF, mara akamwona muhudumu mmoja wa airport, akifika pale walipokuwepo wao, na moja kwa moja akaenda pale kwake, “Maadam, checkup imekamilika na ndege yenu imebakiza dakika kumi kuondoka” alisema yule mhudumu wa airport, “sawa” aliitikia yule mwanamke mrembo sana, kisha akageuka kutazama kule walikokuwepo wakina Deus, ambapo safari hii, macho yao yakakutana, kila mmoja alimtazama mwenzie kama vile anataka kumweleza jambo flani, lakini nikama walishindwa la kufanyiana, hivyo kila mmoja akageuka kuwa tazama wenzake, pasipo hata kutabasamuliana, “jamani tunatakiwa kuingia ndani ya ndege, zime bakia dakika kumi tu” alisema, yule doctor wakike, “hooo safari ya goma tayari?” aliuliza doctor wa Kenya, kwa sauti ya kushangilia huku anainuka toka sehemu aliyokaa, kama mwenzie toka burudi alivyofanya, “maadam naomba dakika moja, nikamuage yule jamaa” alisema Doctor toka Burundi, akionyesha kidole alipokuwa Deus, “ni sawa unaweza kufanya hivyo” alisema yule doctor wakike ambae toka mwanzo tuliona kuwa nikama kiongozi wao.


Hapo mara moja, yule doctor toka Burundi akaanza kutembea kumsogelea Deus ambae alikuwa bado amesimama na wakina Major Felix, wakiendelea kuongea, “wacha na mimi nikaseme asante, alifanya kazi kubwa sana” alisema doctor toka Kenya, huku na yeye anaelekea kule alikokuwepo Deus, doctor kusikia maneno hayo ya mganga mwenzake, doctor wa kike anageuka kumtazama Deus, kule alikokuwepo.…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums

Tukutane Mchana Kwaajili Ya Episode Moja Zawadi Ya Mwaka Mpya Kwa Udhamin Wa Maadamu Doctor 💊 😅
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI : Haraka sana Kisonge akachungulia na macho yake yakaona magari sita yakiingia pale kwenye ofisi za UN, manne yakiwa ni STCAV, na moja Toyota Land Cruizer jeupe la UN na lile KAMAZ, lililoondoka na mizigo ya WHO, “haoooo wanaingia ni kweli wamerudi na kila kitu” alisema Kisonge kwa sauti ya kukata tamaaa…….endelea….


Huku bado anaendelea kuchungulia, ambapo aliona yale magari yakipitiliza na kuzunguka upande wa nyuma kabisa wa jengo la ofisi za MONUSCO, wakipita kwenye gate dogo lililoshikizwa kwenye kuta za uzio mdogo wa ofisi hizo. wenye eneo la mita za mraba arobaini kwa thelathini, “Imekuwaje wameweza kuchomoka hao! mbona taarifa za huyo mtanzania hazielezi kuwa ni mtu hatari hivyo! au walikuwa na silaha wakati haluhusiwi?” aliuliza Seveline kwa sauti ya nshangao iliyo hamaki, “kwakweli hata mimi nashangaa, yaani ukimwona mtu mwenyewe, utajiuliza amewezaje kupambana na wakina Kabhago” alisema Kashimba kwa sauti yakutilia mashaka, “kwahiyo unataka kusema lazima kuna msaada aliupata sehemu?” aliuliza Seveline kwa sauti ya ung’amuzi “pengine mpango ulisha gundulika na wakaamua watangulize majeshi, lakini kwa yule mmoja asingeweza kupambana na Kabhango” alisemama Kashumba kwa sauti yenye kuonyesha kuwa anaamini anachokisema, “hawawezi kuwa wajanja zaidi yetu, lazima walipie hii kuanzia huyo mtanzania mpaka MONUSCO kwa ujumla” alisema Seveline na kukata simu.********


Siku kama hizo huko #Mbogo Land, nyakati za mwisho za utawala wa king Eric wa pili, ambako mpaka mwaka huu wa 2014 walikuwa na jeshi imara, ambalo lilikuwa limesha shiriki kazi nyingi za nje ya nchi kwa ushirikiano wa nchi nyingine za umoja wa nchi za Africa, yaani AU, na hata za umoja wa mataifa, UN, moja ya operatio waliyoshiriki ilikuwa ni ile ya visiwa vya Comoro, miaka ya 2006/ 2007 nyingine ni huko Sudan, operation Darfu, pia siyo operation zote walikuwa wanapeleka askari nyingine walikuwa wanachangia vyakula na dawa, kwa chini shiriki.


Hii ilikuwa ni miaka minne toka King Elvis, aanze kutawala nchi hiyo ndogo na tajiri, king Elvis akionekana mwenye wasi wasi mwingi na mashaka juu ya jambo flani, alikuwa peke yake, ndani ya chumba chake kikubwa mfano wa ukumbi mdogo wa mikutano, chumba chenye kila kitu, licha ya kitanda kikubwa cha futi nane kwa nane, kilicho nakishiwa na uji wa dhahabu, kwenye kingo na miguu yake pia kulikuwa na seatting room, swimming poor, ofisi ndogo, na sehemu nyingine ambazo ni nimuhimu kwa maisha ya kila siku ya binadamu, kamavile dianing table, bar counter ndogo yenye shelfu zilizojaa vinywaji vya kila aina,


King Elvis wakwanza, aliekuwa amekaa peke yake chumbani mwake, mbele ya meza kubwa ya ofisi ndogo ya mle chumbani kwake, sura yake iliyojawa na mashaka akiwa ameinamisha kichwa kwenye meza akikodolea macho file (jarida) lililopo mezani kwake, jarida ambalo ni maalumu kwaajili ya taarifa toka katika jeshi lake la ulinzi la nchi yake yani ML Army ikiwa na maana ya #Mbogo_Land Army, ni wazi ilionyesha kuwa, taarifa ya leo haikuwa nzuri kwake, “inawezekana vipi haya mambo yanaendelea mpaka leo, imaana waziri wa ulinzi hawa kumwelewa tu, mbona changamoto zao zimesha tatuliwa?” alijiuliza King Elvis, kwa sauti ya chini yenye kuchanganyikiwa, huku akitazama karatasi ndani ya jarada lile, lenye majina hamsini na nane, yaliyopo chini ya kichwa cha habari, askari waliotoroka ML ARMY NA ML SA MWAKA 2013/14 “kwanini haya mambo yanatokea wakati huu wa uongozi wangu” aliongea Elvis mfalme kijana, mwenye umri mdogo kuwahi kungoza #mbogo_land, toka kuanzishwa kwake, akionyesha kushtushwa na taarifa ile.


Ukweli nikwamba kwa kupindi cha miezi kumi sasa kumekuwa na taarifa ya kuzuka kwa utoro mfululizo wa askari wa majeshi ya ulinzi na usalama wa nchi hiyo ya kifalme, yaani utoro huo ulikuwa kwa askari wa jeshi la ulinzi na wale wa kitengo cha usalama wa taifa wa nchi hiyo, na kilichoshangaza zaidi ni kwamba, kati ya hamsini na nane waliotoroka kwa upande wa jeshi la ulinzi ni thelathini na mbili, na kati yao kumi na moja tu, wakiwa ni askari wa vyeo vya chini, yaani kuanzia private mpaka sajent, na maafisa ishirini na moja, maafisa wakuu kuanzia cheo cha major mpaka kanali, wakiwa sita, na wengine ni kuanzia luteni usu, mpaka captain.


Miongoni mwao wakiwa askari na maafisa wazuri na mahili kiutendaji, walioshiliki operation mbali mbali za ndani na nje ya nchi, kati yao akiwepo Afisa mpelelezi mwenye cheo cha luteni kanali, bwana Ramadhan Mbwambo, ambae licha upelelezi wake lakini katika operatio Comoro, aliongoza vyema kikundi cha wapelelezi sita waliofanikisha kwa kiasi kikubwa, kubaini maficho ya kiongozi muasi wa Comoro mwaka 2007, ukiachana na kanali Mbwambo, pia mtoro mwingine aliemshtua King Elvis, ni Major Zaid Tambwe, ambae umahili wake katika majukumu ya kijeshi chini ya umoja wa mataifa huko Africa ya kati, ulimfanya apande cheo toka luteni mpaka major, ni baada ya kuongoza platoon yake, katika operation kadhaa na kumaliza operation hizo, kwa mafanikio makubwa.


Mwingine alikuwa ni kijana mdogo aliekuwa katika kitengo cha usalama wa taifa, huyu ni kijana Enock Kafulu, aliezaliwa mwaka 1987, hapo Trench Town, ambae taifa la #Mbogo_Land, lilimwandaa kuwa mtendaji mzuri, kwa kumpeleka vyuo mbali mbali vya kiusalama, katika nchi mbali mbali duniani, huku serikali hiyo ikitumia gharama kubwa kuhakikisha kijana wao lilimgharamia katika mafunzo makubwa ya nchi mbali mbali, Israel, ambako alienda kujifunza ujasusi.


Ufaulu wake wa hali ya juu, ulimfanya king Elvis ajivunie kijana huyo na kukubaliana na wazo la mkuu wa kitengo cha ML SA, bwana Dickson Chitopelah kwa kuchukuwa uamuzi wa kumpendekeza kijana huy akapate mafunzo hayo, maalumu ya kijasusi na upelelezi wa siri, “inakuwaje miaka mitatu tu, anaacha kazi bila sababu za msingi?” alijiuliza King Elvis, ambae mwaka mmoja uliopita alibadili waziri wa ulinzi, kutokana na sababu kama hizi za mienendo mibaya ya uongozi katika vyombo vya ulinzi na usalama na kumweka bwana Chitopelah, ambae wakati huo alikuwa mkuu wa kitengo cha MLSA, “kwanini haya mambo yanaendelea?” alijuliza tena king Elvis, kwa sauti ambayo ungesema anaongea na mtu mwingine pale alipo.


Naam baada ya kuwaza na kuwazua kwa dakika kadhaa, ndipo Elvis alipopata wazo la kwenda kupata ushauri kwa mfalme aliemtangulia, yaani king Eric wa pili.*******


Yap! sasa turudi mashariki mwa DRC, jijini Goma, pembezoni mwa ziwa Kivu, ndani uzio wa eneo la ofisi za MONUSCO, bado kikao kilikuwa kinaendelea ndani ya jumba la mikutano, kikao kilicokuwa kinaendeshwa na brigedia Thabo, ambae alisha pokea simu ya toka Ben Mavivi, kwamba madoctor wa WHO na askari toka Tanzania wamewasili mavivi wakiwa salama kabisa na hakuna kitu kilichoibiwa kati yao, nae akatoa maagizo kuwa madoctor wale wapelekwe Goma haraka kwa usafiri wa ndege, maana yule askari wa Tanzania angekuja na wale maafisa walioenda kule Ben.


Wakati hayo yanaendelea huko ndani, huku nje bwana Seveline akiwa ndani ya gari lake akiongea na na mtu aliemwita Chief kwa kutumia simu yake, “imemshangaza kila mmoja hata wao wenyewe wameshangaa hyo kijana amewezaje kupambana na vijana wetu” alisikika Sevelie akiongea na chief kupitia simu yake, “kwahiyo tutakaa tu pasipo kuwaonyesha kuwa sisi siyo wadhaifu?, na vipi kuhusu watu wetu wa FADRC, unampango gani kuhakikisha hawaingizwi kwenye hili?” iliuliza sauti upande wapili, “kuna mambo nimesha yafikiria, kwanza tuna hakikisha lawama zote zinaenda UN, ili kumchafua mtanzania, kabla hatuja mfyekelea mbali, hilo litakuwa ni somo kwao na hawataenda tofauti na kile tutachowaambia” alisema Seveline na yule anaeitwa chief akahitimisha kwa kukubaliana na Seveline kisha wakakata simu.*******


Deus alipongezwa sana na makamanda wenzake wa jeshi ambao ndio pekee walio ruhusiwa kuingia mle ndani ya uzio wa ofisi ya MONUSCO, “umetisha dogovhiyo ndiyo inatakiwa, wakileta ujuwaji ni kucheza nao tu” alisema mmoja kati ya makamanda huku Felix akidakia, “yani kila safari ya nje nitaomba uwe Dereva wangu” alisema Felix, na wote wakacheka, kasoro Deus alieishia kutabasamu, wakaendelea kuongea hili na lile.


Wakati huo wote yule doctor wakike wa kihabeshi, aliekuwa amesimama na wenzake, mita chache toka pale walipo wakina Deus, wakikaguliwa na madoctor wenzao kuhakikisha kama hawajapatwa na madhara yoyote,, muda wote macho ya mrembo huyo, yalikuwa yameelekea upande walipo wakina Deus, ambae muda wote alionekana kutabasamu, tofauti na wenzake waliokuwa wanacheka kwanguvu, ukweli ni vigumu kufahamu mschana huyu, alikuwa anawaza nini pale alipokuwa ana mtzama Deus, ila kilichoonekana ni macho ya mshangao na kama vile kuna jambo alikuwa anahitaji kumweleza kijana wetu.


Wakati doctor wa kike anaendelea kumtazama Deus Frank Nyati, kijana aliewakomboa toka kwenye mikono hatari ya waasi wa IDF, mara akamwona muhudumu mmoja wa airport, akifika pale walipokuwepo wao, na moja kwa moja akaenda pale kwake, “Maadam, checkup imekamilika na ndege yenu imebakiza dakika kumi kuondoka” alisema yule mhudumu wa airport, “sawa” aliitikia yule mwanamke mrembo sana, kisha akageuka kutazama kule walikokuwepo wakina Deus, ambapo safari hii, macho yao yakakutana, kila mmoja alimtazama mwenzie kama vile anataka kumweleza jambo flani, lakini nikama walishindwa la kufanyiana, hivyo kila mmoja akageuka kuwa tazama wenzake, pasipo hata kutabasamuliana, “jamani tunatakiwa kuingia ndani ya ndege, zime bakia dakika kumi tu” alisema, yule doctor wakike, “hooo safari ya goma tayari?” aliuliza doctor wa Kenya, kwa sauti ya kushangilia huku anainuka toka sehemu aliyokaa, kama mwenzie toka burudi alivyofanya, “maadam naomba dakika moja, nikamuage yule jamaa” alisema Doctor toka Burundi, akionyesha kidole alipokuwa Deus, “ni sawa unaweza kufanya hivyo” alisema yule doctor wakike ambae toka mwanzo tuliona kuwa nikama kiongozi wao.


Hapo mara moja, yule doctor toka Burundi akaanza kutembea kumsogelea Deus ambae alikuwa bado amesimama na wakina Major Felix, wakiendelea kuongea, “wacha na mimi nikaseme asante, alifanya kazi kubwa sana” alisema doctor toka Kenya, huku na yeye anaelekea kule alikokuwepo Deus, doctor kusikia maneno hayo ya mganga mwenzake, doctor wa kike anageuka kumtazama Deus, kule alikokuwepo.…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums

Tukutane Mchana Kwaajili Ya Episode Moja Zawadi Ya Mwaka Mpya Kwa Udhamin Wa Maadamu Doctor 💊 😅
Ni 🔥 🔥 🔥 🔥
 
Nimewaleta watoto kula urojo kwanza kisha tutaedelea
 
  • Thanks
Reactions: Sax
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI : Haraka sana Kisonge akachungulia na macho yake yakaona magari sita yakiingia pale kwenye ofisi za UN, manne yakiwa ni STCAV, na moja Toyota Land Cruizer jeupe la UN na lile KAMAZ, lililoondoka na mizigo ya WHO, “haoooo wanaingia ni kweli wamerudi na kila kitu” alisema Kisonge kwa sauti ya kukata tamaaa…….endelea….


Huku bado anaendelea kuchungulia, ambapo aliona yale magari yakipitiliza na kuzunguka upande wa nyuma kabisa wa jengo la ofisi za MONUSCO, wakipita kwenye gate dogo lililoshikizwa kwenye kuta za uzio mdogo wa ofisi hizo. wenye eneo la mita za mraba arobaini kwa thelathini, “Imekuwaje wameweza kuchomoka hao! mbona taarifa za huyo mtanzania hazielezi kuwa ni mtu hatari hivyo! au walikuwa na silaha wakati haluhusiwi?” aliuliza Seveline kwa sauti ya nshangao iliyo hamaki, “kwakweli hata mimi nashangaa, yaani ukimwona mtu mwenyewe, utajiuliza amewezaje kupambana na wakina Kabhago” alisema Kashimba kwa sauti yakutilia mashaka, “kwahiyo unataka kusema lazima kuna msaada aliupata sehemu?” aliuliza Seveline kwa sauti ya ung’amuzi “pengine mpango ulisha gundulika na wakaamua watangulize majeshi, lakini kwa yule mmoja asingeweza kupambana na Kabhango” alisemama Kashumba kwa sauti yenye kuonyesha kuwa anaamini anachokisema, “hawawezi kuwa wajanja zaidi yetu, lazima walipie hii kuanzia huyo mtanzania mpaka MONUSCO kwa ujumla” alisema Seveline na kukata simu.********


Siku kama hizo huko #Mbogo Land, nyakati za mwisho za utawala wa king Eric wa pili, ambako mpaka mwaka huu wa 2014 walikuwa na jeshi imara, ambalo lilikuwa limesha shiriki kazi nyingi za nje ya nchi kwa ushirikiano wa nchi nyingine za umoja wa nchi za Africa, yaani AU, na hata za umoja wa mataifa, UN, moja ya operatio waliyoshiriki ilikuwa ni ile ya visiwa vya Comoro, miaka ya 2006/ 2007 nyingine ni huko Sudan, operation Darfu, pia siyo operation zote walikuwa wanapeleka askari nyingine walikuwa wanachangia vyakula na dawa, kwa chini shiriki.


Hii ilikuwa ni miaka minne toka King Elvis, aanze kutawala nchi hiyo ndogo na tajiri, king Elvis akionekana mwenye wasi wasi mwingi na mashaka juu ya jambo flani, alikuwa peke yake, ndani ya chumba chake kikubwa mfano wa ukumbi mdogo wa mikutano, chumba chenye kila kitu, licha ya kitanda kikubwa cha futi nane kwa nane, kilicho nakishiwa na uji wa dhahabu, kwenye kingo na miguu yake pia kulikuwa na seatting room, swimming poor, ofisi ndogo, na sehemu nyingine ambazo ni nimuhimu kwa maisha ya kila siku ya binadamu, kamavile dianing table, bar counter ndogo yenye shelfu zilizojaa vinywaji vya kila aina,


King Elvis wakwanza, aliekuwa amekaa peke yake chumbani mwake, mbele ya meza kubwa ya ofisi ndogo ya mle chumbani kwake, sura yake iliyojawa na mashaka akiwa ameinamisha kichwa kwenye meza akikodolea macho file (jarida) lililopo mezani kwake, jarida ambalo ni maalumu kwaajili ya taarifa toka katika jeshi lake la ulinzi la nchi yake yani ML Army ikiwa na maana ya #Mbogo_Land Army, ni wazi ilionyesha kuwa, taarifa ya leo haikuwa nzuri kwake, “inawezekana vipi haya mambo yanaendelea mpaka leo, imaana waziri wa ulinzi hawa kumwelewa tu, mbona changamoto zao zimesha tatuliwa?” alijiuliza King Elvis, kwa sauti ya chini yenye kuchanganyikiwa, huku akitazama karatasi ndani ya jarada lile, lenye majina hamsini na nane, yaliyopo chini ya kichwa cha habari, askari waliotoroka ML ARMY NA ML SA MWAKA 2013/14 “kwanini haya mambo yanatokea wakati huu wa uongozi wangu” aliongea Elvis mfalme kijana, mwenye umri mdogo kuwahi kungoza #mbogo_land, toka kuanzishwa kwake, akionyesha kushtushwa na taarifa ile.


Ukweli nikwamba kwa kupindi cha miezi kumi sasa kumekuwa na taarifa ya kuzuka kwa utoro mfululizo wa askari wa majeshi ya ulinzi na usalama wa nchi hiyo ya kifalme, yaani utoro huo ulikuwa kwa askari wa jeshi la ulinzi na wale wa kitengo cha usalama wa taifa wa nchi hiyo, na kilichoshangaza zaidi ni kwamba, kati ya hamsini na nane waliotoroka kwa upande wa jeshi la ulinzi ni thelathini na mbili, na kati yao kumi na moja tu, wakiwa ni askari wa vyeo vya chini, yaani kuanzia private mpaka sajent, na maafisa ishirini na moja, maafisa wakuu kuanzia cheo cha major mpaka kanali, wakiwa sita, na wengine ni kuanzia luteni usu, mpaka captain.


Miongoni mwao wakiwa askari na maafisa wazuri na mahili kiutendaji, walioshiliki operation mbali mbali za ndani na nje ya nchi, kati yao akiwepo Afisa mpelelezi mwenye cheo cha luteni kanali, bwana Ramadhan Mbwambo, ambae licha upelelezi wake lakini katika operatio Comoro, aliongoza vyema kikundi cha wapelelezi sita waliofanikisha kwa kiasi kikubwa, kubaini maficho ya kiongozi muasi wa Comoro mwaka 2007, ukiachana na kanali Mbwambo, pia mtoro mwingine aliemshtua King Elvis, ni Major Zaid Tambwe, ambae umahili wake katika majukumu ya kijeshi chini ya umoja wa mataifa huko Africa ya kati, ulimfanya apande cheo toka luteni mpaka major, ni baada ya kuongoza platoon yake, katika operation kadhaa na kumaliza operation hizo, kwa mafanikio makubwa.


Mwingine alikuwa ni kijana mdogo aliekuwa katika kitengo cha usalama wa taifa, huyu ni kijana Enock Kafulu, aliezaliwa mwaka 1987, hapo Trench Town, ambae taifa la #Mbogo_Land, lilimwandaa kuwa mtendaji mzuri, kwa kumpeleka vyuo mbali mbali vya kiusalama, katika nchi mbali mbali duniani, huku serikali hiyo ikitumia gharama kubwa kuhakikisha kijana wao lilimgharamia katika mafunzo makubwa ya nchi mbali mbali, Israel, ambako alienda kujifunza ujasusi.


Ufaulu wake wa hali ya juu, ulimfanya king Elvis ajivunie kijana huyo na kukubaliana na wazo la mkuu wa kitengo cha ML SA, bwana Dickson Chitopelah kwa kuchukuwa uamuzi wa kumpendekeza kijana huy akapate mafunzo hayo, maalumu ya kijasusi na upelelezi wa siri, “inakuwaje miaka mitatu tu, anaacha kazi bila sababu za msingi?” alijiuliza King Elvis, ambae mwaka mmoja uliopita alibadili waziri wa ulinzi, kutokana na sababu kama hizi za mienendo mibaya ya uongozi katika vyombo vya ulinzi na usalama na kumweka bwana Chitopelah, ambae wakati huo alikuwa mkuu wa kitengo cha MLSA, “kwanini haya mambo yanaendelea?” alijuliza tena king Elvis, kwa sauti ambayo ungesema anaongea na mtu mwingine pale alipo.


Naam baada ya kuwaza na kuwazua kwa dakika kadhaa, ndipo Elvis alipopata wazo la kwenda kupata ushauri kwa mfalme aliemtangulia, yaani king Eric wa pili.*******


Yap! sasa turudi mashariki mwa DRC, jijini Goma, pembezoni mwa ziwa Kivu, ndani uzio wa eneo la ofisi za MONUSCO, bado kikao kilikuwa kinaendelea ndani ya jumba la mikutano, kikao kilicokuwa kinaendeshwa na brigedia Thabo, ambae alisha pokea simu ya toka Ben Mavivi, kwamba madoctor wa WHO na askari toka Tanzania wamewasili mavivi wakiwa salama kabisa na hakuna kitu kilichoibiwa kati yao, nae akatoa maagizo kuwa madoctor wale wapelekwe Goma haraka kwa usafiri wa ndege, maana yule askari wa Tanzania angekuja na wale maafisa walioenda kule Ben.


Wakati hayo yanaendelea huko ndani, huku nje bwana Seveline akiwa ndani ya gari lake akiongea na na mtu aliemwita Chief kwa kutumia simu yake, “imemshangaza kila mmoja hata wao wenyewe wameshangaa hyo kijana amewezaje kupambana na vijana wetu” alisikika Sevelie akiongea na chief kupitia simu yake, “kwahiyo tutakaa tu pasipo kuwaonyesha kuwa sisi siyo wadhaifu?, na vipi kuhusu watu wetu wa FADRC, unampango gani kuhakikisha hawaingizwi kwenye hili?” iliuliza sauti upande wapili, “kuna mambo nimesha yafikiria, kwanza tuna hakikisha lawama zote zinaenda UN, ili kumchafua mtanzania, kabla hatuja mfyekelea mbali, hilo litakuwa ni somo kwao na hawataenda tofauti na kile tutachowaambia” alisema Seveline na yule anaeitwa chief akahitimisha kwa kukubaliana na Seveline kisha wakakata simu.*******


Deus alipongezwa sana na makamanda wenzake wa jeshi ambao ndio pekee walio ruhusiwa kuingia mle ndani ya uzio wa ofisi ya MONUSCO, “umetisha dogovhiyo ndiyo inatakiwa, wakileta ujuwaji ni kucheza nao tu” alisema mmoja kati ya makamanda huku Felix akidakia, “yani kila safari ya nje nitaomba uwe Dereva wangu” alisema Felix, na wote wakacheka, kasoro Deus alieishia kutabasamu, wakaendelea kuongea hili na lile.


Wakati huo wote yule doctor wakike wa kihabeshi, aliekuwa amesimama na wenzake, mita chache toka pale walipo wakina Deus, wakikaguliwa na madoctor wenzao kuhakikisha kama hawajapatwa na madhara yoyote,, muda wote macho ya mrembo huyo, yalikuwa yameelekea upande walipo wakina Deus, ambae muda wote alionekana kutabasamu, tofauti na wenzake waliokuwa wanacheka kwanguvu, ukweli ni vigumu kufahamu mschana huyu, alikuwa anawaza nini pale alipokuwa ana mtzama Deus, ila kilichoonekana ni macho ya mshangao na kama vile kuna jambo alikuwa anahitaji kumweleza kijana wetu.


Wakati doctor wa kike anaendelea kumtazama Deus Frank Nyati, kijana aliewakomboa toka kwenye mikono hatari ya waasi wa IDF, mara akamwona muhudumu mmoja wa airport, akifika pale walipokuwepo wao, na moja kwa moja akaenda pale kwake, “Maadam, checkup imekamilika na ndege yenu imebakiza dakika kumi kuondoka” alisema yule mhudumu wa airport, “sawa” aliitikia yule mwanamke mrembo sana, kisha akageuka kutazama kule walikokuwepo wakina Deus, ambapo safari hii, macho yao yakakutana, kila mmoja alimtazama mwenzie kama vile anataka kumweleza jambo flani, lakini nikama walishindwa la kufanyiana, hivyo kila mmoja akageuka kuwa tazama wenzake, pasipo hata kutabasamuliana, “jamani tunatakiwa kuingia ndani ya ndege, zime bakia dakika kumi tu” alisema, yule doctor wakike, “hooo safari ya goma tayari?” aliuliza doctor wa Kenya, kwa sauti ya kushangilia huku anainuka toka sehemu aliyokaa, kama mwenzie toka burudi alivyofanya, “maadam naomba dakika moja, nikamuage yule jamaa” alisema Doctor toka Burundi, akionyesha kidole alipokuwa Deus, “ni sawa unaweza kufanya hivyo” alisema yule doctor wakike ambae toka mwanzo tuliona kuwa nikama kiongozi wao.


Hapo mara moja, yule doctor toka Burundi akaanza kutembea kumsogelea Deus ambae alikuwa bado amesimama na wakina Major Felix, wakiendelea kuongea, “wacha na mimi nikaseme asante, alifanya kazi kubwa sana” alisema doctor toka Kenya, huku na yeye anaelekea kule alikokuwepo Deus, doctor kusikia maneno hayo ya mganga mwenzake, doctor wa kike anageuka kumtazama Deus, kule alikokuwepo.…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums

Tukutane Mchana Kwaajili Ya Episode Moja Zawadi Ya Mwaka Mpya Kwa Udhamin Wa Maadamu Doctor 💊 😅
Hapa
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA THERASINI NA MBILI
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA THERASINI MOJA: Hapo mara moja, yule doctor toka Burundi akaanza kutembea kumsogelea Deus ambae alikuwa bado amesimama na wakina Major Felix, wakiendelea kuongea, “wacha na mimi nikaseme asante, alifanya kazi kubwa sana” alisema doctor toka Kenya, huku na yeye anaelekea kule alikokuwepo Deus, doctor wa kike kusikia maneno hayo ya mganga mwenzake nae anageuka kumtazama Deus, kule alikokuwepo.…….endelea….


Ambako anamwona yule doctor toka Burundi, akiwa ameshamfikia Deus anaongea nae, huku yule doctor toka Kenya nae akisogea kwa haraka pale alipokuwepo Deus na wenzake, “kaka kiukweli bado sijaona neno ambalo linaweza kumaanisha asante, ila nina hakika ipo siku nitakuja kusema asante” hayo yalikuwa ni maneno ya doctor toka Burundi, ambayo yalisikika vyema masikioni mwa doctor yule wakike, ambae alikuwa bado amesimama anawatazama, huku mara kwa mara anatazama saa yake ya kwenye simu ya mkononi, alijikuta akitabsamu, baada ya kuona tabasamu la Deus, “ni sahihi anachosema doctor Nshimirimana, ukweli siwezi kuacha bila kukuambia asante, maana bila wewe kutuokoa, mpaka sasa naamini wale watu wangekuwa wamesha tuuwa muda mrefu sana” alisema doctor toka Kenya, “msijari ndugu zangu, hilo ni jukumu langu, katika kiapo changu ni kulinda raia na mali zao, hivyo nilichofanya nisehemu ya majukumu yangu” alisema Deus kwa sauti tulivu ya upole, huku akichia tabasamu tulivu, kama ilivyo kawaida yake, “mh! lakini sura yake haifanani na kile alichokifanya kwa wale watu” alinong’ona doctor wakike ambae mpaka sasa hatukuwa tuna lifahamu jina lake, ambalo alikataa kulitaja mbele ya Deus pale Entebe ndani ya ndege, walipokutana kwa mara ya kwanza, huku mwanamke huyu anachukuwa mkoba wake, na kuanza kutembea. kutoka nje ya eneo lile, ambalo sasa lilikuwa linalindwa na Special Force wa SA Army, akiwaaacha wenzake wanaagana na Deus.*******


Naam masaa manne baadae, zilivuma habari kwenye vyombo vingi vya habari vinavyomilikiwa na mashirika makubwa ya habari duniani, pamoja na mitandao ya kijamii, zilizo ambatana na picha au video za watu waliolala barabarani kwenye vidimbwi vya damu iliyotoka kwenye majeraha makubwa ya risasi vichwani mwao, huku video na picha hizo zikionyesha pia, damu zilizo sambaa barabarani sambamba na viungo vya binadamu, vilivyo tawanyika hovyo hovyo eneo lote la ubavu wa kuilia wa KAMAZ.


Habari hizo ziliambatana na vichwa vipana vya habari, UN YASHAMBULIA WAASI MASHRIKI MWA CONGO, wengine walisema MTANZANIA AFANYA MAUWAJI HUKO ITULI, wapo walio andika, EBU ONA JINSI MTAZANIA, ALIVYO GEUZA MTUTU KWA WACONGO, wapo walioenda mbali zaidi na kumshutumu Deus, MLINZI WA AMANI AVURUGA AMANI, siyo kwamba wote waliamua kumchafua, kuna wale walio msifia, MTANZANIA MMOJA ADHIBITI KUNDI LA WAASI, mwingine aliandika, TANZAMA JINSI MTANZANIA ALIVYO WAOKOA MADOCTOR UN.


Ukweli mambo hayakuishia hapo mpaka kufika saa mbili za usiku, tayari wanaharakati kadhaa wa haki za binadamu walisha jitokeza wakilaani kitendo cha afisa wa UN kushambulia waasi wa IDF NALU, wakidai kuwa kilikuwa ni kitendo cha kinyama ambacho hakitakiwi kufanywa na mlinzi wa amani, “kwanini askari asingekuwa mpole na kukaa chini asubiri MONUSCO wakae chini na NALU, wapatiwe wanachotaka na wao wangeachiwa, sasa hii haileti picha nzuri kwa umoja wa mataifa kufanya mauwaji makubwa na mabaya kama haya” alisikika mwanaharakati mmoja, akilaani kitendo kilichofanywa na Deus Nyati, ambae sasa picha zake zilianza kuonyeshwa akiwa amevalia mavazi ya jeshi la Tanzania na nembo zilizomtambulisha kama afisa wa MONUSCO.


Swala hili liliibua hisia tofauti kwa watu na wanahabari dunia nzima, huku wengine wakiwakosoa wanaharakati waliojitokeza kulaani shambulio lile, japo kuna watu walionekana kuunga mkono lawama zile ambazo zilikuwa zinaenda kwa Deus na Umoja wa mataifa.


Lawama na malalamiko hayo hayakuishia hapo, ghafla siku ya pili katika mji wa Ben, yakaibuka maandamano makubwa, yaliyoanzia nje kidogo ya mji, mpaka katika ya mji, vijana wengi waliandamana wakidai MONUCO waondoke mashariki mwacongo, kwasababu wameanza kuleta mapigano.


Maandamano hayo yalizimwa na jeshi la polisi, nusu saa tu baada ya kuibuka kwake, lakini lisaa limoja baadae, maandamano kama hayo yakaibuka tena huko Bhutembo, kilomita zaidi ya sitini toka Ben, nayo yaliendeshwa na vijana wengi sana wakidai hatua kali zichukuliwe kwa askari alieshambulia wacongo, yaani vijana hao waliojiita wapenda amani walipaza sauti, huku wakidai kuwa walioshambuliwa ni vijana raia wa congo hawa kubainisha kuwa ni waasi au vijana waishio msituni wanao hatarisha amani nchini humo.


Hali hiyo ilimuhuzunisha sana kijana Deus, ambae binafsi, alijiona kuwa alifanya kitu ambacho kilitakiwa kufanywa wakati ule, sasa ukizingatia walikuwa katika hatari, cha kufurahisha ni kwamba askari wenzake na baadhi ya wafanyakazi wa matawi mengine ya umoja wa mataifa ya UN, bado walikuwa wanamsifu kwa kitendo alichofanya, hata siku nne baadae, wajumbe wa UN toka, Goma wakiongozwa na brigedia Thabo, walifika Ben kumpatia nishani ya ushujaa na utendaji uliotukuka.


Lakini hiyo haikuwakinga kwa kijina huyu kuzuia shutuma juu yake kwa kile alicho kifanya, maana week moja baadae bwana Deus Nyati, alifikishwa mbele ya kamati maalumu iliyoundwa na mkuu wa UN, Kanda ya Africa kuchunguza ukweli juu ya shutuma za wanaharakati wa haki za binadamu, na endapo itabainika kuwa Deus ana hatia au amekiuka jambo, basi ange shatakiwa kwenye mahaka kuu ya uharifu wa kivita.


Ukweli jopo lile lilikuwa lina ogopesha, maana ukiachilia watu kumi na tano wa mataifa mbali mbali, walizunguka meza wakubwa, huku yeye akiwa amesimama mbele ya ukumbi huo, yani kama ukiwa na na moyo mwepesi unaweza hata kuingia hatiani hata kama haukuwa na kosa lolote, “private Deus Frank Nyati, unatambua kuwa ukiwa kama MILOB hutakiwi kutembea na silaha wala kutumia silaha yoyote?” aliuliza mmoja wa wajumbe ambao walikuwa mchanganyiko mle ndani, wapo waliovalia mavazi ya kijeshi ya mataifa mbali mbali, pia wapo walio valia nguo za kiraia, wapo waarabu wazungu wahindi na wa Africa, “ndiyo nafahamu” alijibu Deus Nyati kwa sauti tulivu lakini ya kikakamavu, “kwahiyo ulifanya makusudi kutumia silaha yako kumwelekezea mwananchi ambae umekuja kumtafutia amani” aliuliza mwingine huku wote wakiwa wanafwatilia kwa umakini, kila swali lililoulizwa na jibu lililo jibiwa.


“nilifanya hivyo kwaajili ya watumishi wa afya, na dawa ambazo zilitakiwa kuwafikia wananchi wenye uhitaji” alijibu Deus ambae alionekana kuwa katika hali ya kujiamini, “hatua uliyo jichukulia imechafua Umoja wa mataifa na maafisa wake kwa ujumla, je uliwahi kuwaza juu ya jambo hilo kabla hujafanya lolote?” aliuliza mwingine huku wakiendelea kumtazama Deus, “sikufikiria na wala sidhani kama kuna shirika au mtu aliechafuliwa na jambo hili, Kwasababu nilijitoa kulinda watu wa UN na mali zake” alijibu Deus, “uliamua kulinda mali kwa kuuwa kikundi cha raia” aliuliza mmoja kati ya wale wajumbe, “walikuwa ni watu wenye silaha na walishaanza mashambulizi ndipo nilipofuata kanuni ya kwamba nitashambulia pale tu nitakapo shambuliwa” alijibu Deus kwa kujiamini, “kwanini usingeondka eneo la tukio kama walivyofanya askari walio wasindikiza wale wa Jeshi la serikali?” aliuliza mmoja wa wajumbe, “tulishindwa kundoka, sababu barabara ilizibwa na gari kubwa la mizigo, na hiyo ilikuwa ni makusudi ili kutuingiza mtegoni” alisema Deus, kwa sauti yake tulivu, ambae alionekana kuzidi kujiamini, “unaweza kuithibitishia tume hicho unacho kisema kwamba ulikuwa ni mpango wa makusudi?” aliuliza mmoja wa jumbe wale, “ndiyo niliyanasa mawasiliano ya mmoja wa waasi akipewa maelekezo kuwa waondoke haraka, gun ship za UN na Special Force wapo njiani wanakuja eneo la tukio” alijibu Deus na mwisho akaomba kuwakilisha ushaidi. …….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
Back
Top Bottom