unknown guy
Member
- Aug 26, 2024
- 88
- 78
Bongee la Hadith mpk njaa inakata an [emoji120][emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu Kama hao wanakuwaga na sura ya upole sana!! Unaweza kuzan ni mtu flani wa dini sanaHahaha mwamba anaupiga mwingi sana mkuu.
Mwamba kabisa 🔥
Uzi makini sana huu, raia wanaukubali mnooo,Uzi umefufuka
Acha tuone itakuajeYohan Mawenge atakapokutana na Edison
Respect mkuuBongee la Hadith mpk njaa inakata an [emoji120][emoji120]
Yeah ni kweli...Watu Kama hao wanakuwaga na sura ya upole sana!! Unaweza kuzan ni mtu flani wa dini sana
Nilionaga hakuna engagement (likes, comments) nikaona Uzi umepotezewa hivyo nikaamua kuupiga chini.Uzi makini sana huu, raia wanaukubali mnooo,
Ishu ni huduma talajiwa;
Kuna mda mambo hayakuwa maazuri ila sasa naona siyo mbaya.🤝🤝🤝
Nimekuelewa mkuu, maana me mwenyewe kwa mda ule nilikuwa nafatilia kimyakimya👏👏👏.Nilionaga hakuna engagement (likes, comments) nikaona Uzi umepotezewa hivyo nikaamua kuupiga chini.
Mwenyew nilikua nafuatilia kimya kimya ila ngoja saiv nianze ku like [emoji106]Nilionaga hakuna engagement (likes, comments) nikaona Uzi umepotezewa hivyo nikaamua kuupiga chini.
Mi pia Kuna jamaa angu flani ni ostadhi mtu wa swala nyingi tu!!.. mstarabu kinomaYeah ni kweli...
Kuna mwanangu mmoja Mabibo hapo alitaka kujichanganya kwa baharia mmoja hivi mara ooh kama vipi tulibwage kwa sababu tu mwamba mstaarabu....
Kumbe yule mwana ana black belt ila mstaarabu sana, ni watu walikuja kumtonya kwamba wewe fala utakuja kufa sio mwenzako huyo...
Mpaka sasa naona Kawa na heshima, hakurupukii watu.
Vp mkuu. Leo tutegemee mwendelezo?Nilionaga hakuna engagement (likes, comments) nikaona Uzi umepotezewa hivyo nikaamua kuupiga chini.
Watu wengi huwa wanasoma bila kucoment chochote, ila hii simulizi kwangu ni moja ya simulizi zako Bora Sana, naipenda mnoNilionaga hakuna engagement (likes, comments) nikaona Uzi umepotezewa hivyo nikaamua kuupiga chini.
Shukrani sana sana mkuuNimekuelewa mkuu, maana me mwenyewe kwa mda ule nilikuwa nafatilia kimyakimya👏👏👏.
Tokea Sasa tegemea comment kibao mkuu maana raia kama me wapenzi wa hizi kazi, wapo wengi naamini mwitikio utakuwa Bora zaidi ya Sasa.
RespectMwenyew nilikua nafuatilia kimya kimya ila ngoja saiv nianze ku like [emoji106]
Hahahah haya maisha yanahitaji kuishi kitaalamu sana kiongozi...Mi pia Kuna jamaa angu flani ni ostadhi mtu wa swala nyingi tu!!.. mstarabu kinoma
Dini anaijua halafu sio ile ya mihemko, ye Yuko very smart!!
ila upande wake wapili jamaa alipata mafunzo mengi sana!! Ikiwemo Ninjutsu yenyewe ya mkorea!! Anatembeza panga hatari!!
ila kitambo sana jamaa sijamwonaga alipoteaga tuu..
🤣 Ubaya UbwelaVp mkuu. Leo tutegemee mwendelezo?
Au tuendelee kufuatilia draw za CAF😂🤣😂🤣🤣😂
Nimekuja kugundua hilo mkuu.Watu wengi huwa wanasoma bila kucoment chochote, ila hii simulizi kwangu ni moja ya simulizi zako Bora Sana, naipenda mno