Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Na tatizo lako ambalo hujalijua bado ni kuhisi ww ni mwandishi mzuri wakati ni mwandishi mbovu[emoji3][emoji3]unajaza visa visivyo na umuhimu

Kwahiyo umetuletea kabla haijamaliza kuhaririwa??

Jitahidi kusoma waandishi wa umri wako nilishakupa mmoja Iron mosenya tafuta kazi zake,kuna mwingine nae muhusuka mkuu huwa ni Martin Nguzu pitia pia uone namna riwaya za ujasusi zinakuwa


Riwaya ya ujasusi unajaza mavisa ya kufikirika mara Majini,mara mashtani[emoji3]
 
Hapa hutopata watakao kuunga mkono , ni kwa watu wenye akili kubwa tu
Na sipo hapa kwa ajili ya kuungwa mkono ndugu mwandishi

Ukitaka kuwa bora pokea yote na sio kila makofi ni ya pongezi...usitegemee kusifiwa na kila mtu lazima wengine wakukosoe ndo utakuwa bora....
 
Kuna mmoja kashindwa kuuelewa uzi kaishia kulalamika ni mrefu sana kumbe kazoea simulizi za kimalaya malaya.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nchi siku hizi imekuwa ya kupenda kuona pongezi kila kona,,hamtaki kukosolewa popote

Hii ni hatari kwa Taifa
 
Nchi siku hizi imekuwa ya kupenda kuona pongezi kila kona,,hamtaki kukosolewa popote

Hii ni hatari kwa Taifa
Mkubwa, hukukosoa bali ulitoa kejeri sio kwa mwandishi tu bali hadi kwa wasomaji.

Ila yameisha tunaweza kuganga yajayo kumbuka jf ni jukwaa huru.
 
Na sipo hapa kwa ajili ya kuungwa mkono ndugu mwandishi

Ukitaka kuwa bora pokea yote na sio kila makofi ni ya pongezi...usitegemee kusifiwa na kila mtu lazima wengine wakukosoe ndo utakuwa bora....
Siwezi kupokea ushauri kwa mtu ambae hajamaliza simulizi yangu yote Ila Shukrani kwa kutoa ya moyoni, kama unamkubali George kamsome , mimi nisomaji mzuri pia kuna waandishi sipendi kazi zao lakini kwangu haimaanishi sio wazuri ni radha tu inatofautiana
Ushauri wako sio lazima ni uchukue so tuishie hapa .
 
Na umemaliza yote kuisoma mkuu yaani wewe ni mpenzi wa simulizi za Singano ila unashupaza shingo tu. Ungekuwa haikubali angeacha muda mrefu wala usingekuwa unaonekana kwenye huu uzi unalalama. Karibu tuendelee kule kwa Hamza
 
Simulizi yako mimi sikuisoma hapa Jf niliinunua kwa 10k nikasoma mwezi mzima haiishi na nikajikuta badala ya kupata burudani inachosha yani inanipa uchovu [emoji848]ikabidi niende Kipande cha mwisho kuona Roma na Edna wataishia wapi na ndo nikajilaumu kupoteza mwezi mzima kusoma Simulizi mbovu ya kiwango chako....

Huwa ninajitahidi sana kuwaunga Mkono wama fasihi mimi nanapokuta Simulizi JF huwa namfata mwandishi na kumwambia aniuzie Katika Soft copy sitaki kusoma Bure na nimenunua Riwaya nyingi sana online katika chache nilizojutia hela yangu ni hii Yako na Ingine ikiitwaga GEREZA LA HAZWA,,yani unaeza sema wewe na yule Aloandika Gereza la HAZWA ni Mwalimu wenu wa Fasihi ni Mmoja

Uandishi Mrefu wa kuchosha badala ya kuburudisha.......


Yote kwa Yote Mambo Yasiwe Mengi Sanaa Mkuu Endelea kuandika ila Badili Mfumo Sifa Moja wapo ya Mwana fasihi ni kubadilika badilika siku utakapo badilika utakula tena Elfu 10 yangu


Uwe na Wakati Mwema
 
Na umemaliza yote kuisoma mkuu yaani wewe ni mpenzi wa simulizi za Singano ila unashupaza shingo tu. Ungekuwa haikubali angeacha muda mrefu wala usingekuwa unaonekana kwenye huu uzi unalalama. Karibu tuendelee kule kwa Hamza
Hii simulizi nimesoma vipande kadhaa nikaishia ROMA anaanda tamasha kwenye kampuni ya Media nikaona inachosha tu mwili

Nikaruka hadi kipande cha mwisho
 
Na umemaliza yote kuisoma mkuu yaani wewe ni mpenzi wa simulizi za Singano ila unashupaza shingo tu. Ungekuwa haikubali angeacha muda mrefu wala usingekuwa unaonekana kwenye huu uzi unalalama. Karibu tuendelee kule kwa Hamza
Hamza mzee😂😂😂
 
Oooooky ndugu
 
Mkuu singanojr hakika kazi yako ni njema sana. Nimeburudika na nimejifunza vitu vingi sana ila nilipatwa na huzuni sana na nilikuwa naogopa kuendelea kusoma baada ya Roma kuanza kufa sikutaka kabisa afe mwamba!
Thank you very much and wishing you all the best.
 
Pomoja sana mkuu it was nice to have you here tuhamie Kwa.Hamza sasa
 
Riwaya ya ujasusi unajaza mavisa ya kufikirika mara Majini,mara mashtani[emoji3]
Hili hata mimi nililiona,
Hii riwaya haikupaswa kabisa kuitwa ya Ujasusi hata kidogo. Yaani sio riwaya mbaya ila haina ujasusi wowote ule.

Ingeitwa SIMULIZI YA KIJINI, NIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA
 
Hili hata mimi nililiona,
Hii riwaya haikupaswa kabisa kuitwa ya Ujasusi hata kidogo. Yaani sio riwaya mbaya ila haina ujasusi wowote ule.

Ingeitwa SIMULIZI YA KIJINI, NIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA
Hii ni contemporary fantansy novel ambapo ndani yake kuna Subgenre za espionage , labda nielekeze tu ujasusi sio lazima uhusishe mambo ya kisiasa hapo sasa kwenye Majini na miungu weka Fantansy maana sio proven facts.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…