Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

SEHEMU YA 285

Ni muda wa mchana juu ya bahari , inaonekana meli kubwa ya kivita ikiambaa ambaa kwenye ‘International water”, upepo na mawimbi ndio kitu pekee kilichoweza kusikika Zaidi kuliko injini zilizokuwa zikiendesha meli hio

Juu kabisa ya meli wanaonekana wanajeshi takribani ishirini hivi wenye vyeo tofauti tofauti huku wakiwa wamesimama kwa namna ya wasiwasi sana wakimwangalia mwanaume kijana aliesimama mbele yao.

Kwa jinsi walivyokuwa wakionekana ni kama wanajeshi ambao wamekamatwa na adui na sasa walikuwa wakisubiria adhabu ya kifo.

Kijana aliekuwa mbele yao aliwaangalia kwa kuwakagua mmoja mmoja kwa macho ambayo yalikuwa hayaonyeshi kuwa na hasira au furaha , yaani alikuwa akionekana kama mtu ambaye akili yake ipo lakini haipo ndani ya hilo eneo , alikagua kila mmoja kwa rangi zao tofauti , aliangalia waafrika walikuwepo , alikagua wazungu waliokuwepo na akakagua waarabu waliokuwepo , wote waliovalia nguo za jeshi zinazofanana.

“Since you guys took the money from someone else to deal with my people you should have expected this to happen , so stop giving me the look , I will give you all the chance to kill me too”

“Kwasababu nyie watu mmelipwa pesa ili kuja kudili na watu wangu , mlipaswa kutegemea hili kutokea , achene kuniangalia kwa macho yenu , Nitawapa nafasi ya kuniua na mimi pia”Aliongea, na kwa jinsi alivyoongea ni Dhahiri kabisa kwamba watu waliokuwa mbele yake walikuwa wamemchokoza kwa kuua baadhi ya watu wake na alikuwa juu ya meli hio kwa ajili ya kulipiza kisasi , lakini pia haikuwa hivyo tu ilionekana ndani ya meli hio kulikuwa na mateka wengine ambao wote hao walikuwa ni baadhi ya watu wake na alitaka awaokoke , lakini aikuwa akitaka kuwapa nafasi wanajeshi hao wachokozi wajaribu kumuua na yeye pia.

“Ni baadhi ya wanajeshi wachache sana kutoka kikosi chetu ambao wamehusika na kuuwa watu wako , lakini kwanini mpango wako ni kuua watu wote waliopo kwenye hii meli , lakini sio hivyo tu umeua pia familia zetu makao makuu”Aliongea moja ya mwanajeshi ambaye alikuwa na cheo cha Kanali , alikuwa ni mtu mzima kama miaka hamsini hivi.

“Huna chochote wewe kitu pekee kinachokusumbua ni kiu yako ya kutaka kuua watu kwa sababu zako za kipumbavu , wewe ni muyama na hupaswi kuwa katikati ya binadamu”Aliongea jamaa mmoja kwa lugha ya kijerumani akimnanga kijana aliekuwa mbele yao , alionekana kujiamini mno licha ya kumuogopa mtoa hukumu.

“Tunajua kwamba ni kweli unauwezo usio kuwa wa kawaida , lakini kitendo chako cha kuuwa watu bila hatia ni ushetani na naapa kwa kifo changu mbele ya maji haya , yote unayoyafanya sasa hivi yatakurudia”Aliongea kwa hasira na kabla hajasubiria jibu alijirusha baharini bila ya kusubiri adhabu yake na kufanya wenzake kuanza kupatwa na hofu Zaidi.

“Nilichosema kwenu ni kutumia mikono yenu kuniua na sio kunitamkia maneno ya laana”Aliongea kwa sauti na palepale alipotea alipo kuwa amesimama na kila anapoibuka yupo mbele ya mwanajeshi na ni damu pekee ambazo zilikuwa zikiruka hewani huku wanajeshi wale wakitenganishwa vichwa vyao kwa upanga, na zoezi lake lilichukua dakika mbili tu alikamilisha kila kitu , damu zilisambaa kwenye maji yote ya karibu na kufanya hata rangi yake kubadilika na kuwa nyekundu , kilikuwa ni kitendo cha kikatili mno ambacho kijana huyo alikuwa akikifanya na hakujali , alichokifanya ni kuinama na kuchukua kichwa cha mwanaume ambaye alimjua kama Jenerali wa jeshi hilo na kisha alitumia mkono wake na kupasua jicho lililokuwa likimwangalia kwa namna ya kumlaani kwa kumchinja na kisha akakitupa baharini.

Baada ya kuona karidhika na kazi yake ya chinja chinja alitoa kitambaa kilichokuwa kwenye mfuko wake wa suruali yake na kisha akajifuta damu zilizomchafua usoni na akamalizia na upanga wake na ile anatupa kitambaa kile chini , mlango wa meli hio ya kivita ulifunguliwa na anaonekana mwanamke mwenye tumbo kubwa akitoka , alikuwa ni mwanamke mrembo sana , lakini urembo wake ulififia kutokana na wasiwasi na mshangao aliokuwa nao , alimwangalia mwanaume kijana aliekuwa mbele yake na kisha macho yake akayahamishia kwenye miili na vichwa vya watu vilivyokuwa vimesambaa juu ya meli hio ya kivita na kujikuta akiziba mdomo na kuanza kutoa machozi , lakini licha ya hivyo mwanaume aliekuwa mbele yake hakumuhurumia hata kidogo wala kiguswa na machozi yake , yeye alikuwa akiangalia upanga wake na kuukinga na jua upande wa makali yake na kujikuta akitabasamu , ni kama moyo wake umeridhika sana kwa kitendo alichokuwa amekifanuya.

“Thirteen don’t kill anymore , haven’t you killed enough people ?”Aliongea akimaanisha kwamba Thirteen hupaswi kuua tena , kwani watu uliowaua hawakutoshi?.Aliongea kwa kuweweseka.

“My Dear Seventeen its not that I haven’t killed enough of them , there seems to be peaple constantly looking to die”

“Kipenzi changu Seventeen sio kwamba sijaua watu wa kutosha bali kuna watu ambao muda wote wanakitafuta kifo”Aliongea pasipo ya kujali.

“Miaka minne nyuma baada ya kuua wanajeshi wote wa Zero na kuharibu kambi yao , uliniahidi mwenyewe kama hautokuwa mkatili tena na kuuwa watu bila sababu , lakini kwanini .. kwanini kila mtu unaona anastahili kifo , hawa watu hawajakuchokoza na ni baadhi yao tu , kwanini ukaua familia zao zote na wao pia ?”Aliongea huku akianza kulia kwa kwikwi , alikuwa mrembo sana kiasi kwamba hata kulia kwake kulikuwa kukikipendeza lakini kijana aliefahamika kwa jina la Thirteen alionekana kutojali kabisa , kwanza hakujali ahadi yake aliowekeana na mrembo aliekuwa mbele yake, pili hakujali hisia zake wakati anapofanya mauaji”

“Seventeen unakumbuka mara ya mwisho nilikuuliza kwanini unapanda kuvaa mavazi ya rangi ya bluu mara zote na ulivyonijibu?”Aliouliza Thirteen lakini Seventeen hakumjibu Zaidi ya kuendelea kulia.

“You told me that when you were dressed in a blue clean looking shirt, you1`d feel a sense of achievement when blood got on your shirt”

“Uliniambia mwenyewe kwamba unapenda kuvaa vazi la bluu safi ili pale damu ya mtu inapokurukia kwenye nguo zako safi basi utajisikia mtu uliekamilisha jambo kubwa”

“Hayo mambo niliongea zamani , sasa hivi sitamani kabisa kuua binadamu mwenzangu napenda kuishi Maisha ya amani”Alionea Seventeen ambaye tumbo lake la ujauzito lilionekana wazi.

“Kama wewe unajihisi hupendi kuua kama zamani haimaanishi mimi sipendi, Seventeen najisikia vizuri sana pale matone ya damu ya moto yanaponirukia usoni mwangu, hizi hisia hazielezeki kabisa, kuchukua Maisha ya binadamu kwa mkono wangu huu ni kitu pekee ambacho hapa duniani kinanifanya nijihisi nimetimiza kusudi maalumu”

“You are the woman I trust the most also the woman I like the most , I’ll get really angry if you oppose me from killing , so I don’t allow you to try to stop me again”

“Wewe ndio mwanamke ninae kuamini sana na ndio mwanamke ambaye nakupenda kuliko , nitapatwa na ghadhabu kuu sana kama tu utanizuia mimi kuua , hivyo naomba usije ukajaribu tena kunizuia kufanya kitu ninachokipenda”Aliongea Thirteen na pasipo hata ya kusubiria jibu alitembea na kumpita Seventeen ambaye alikuwa akibubujikwa na machozi na kuingia ndani ya meli hio ya kivita. Alionekana sio mwenye kujali kabisa hisia za mwanamke huyo mjamzito na alikasirishwa na namna ambavyo anamzuia kuua.

………..

Ni siku nyingine juu ya meli hio hio ya kivita ndani ya chumba chenye kitanda kikubwa anaonekana Thirteen akijiinua kivivu na kilichomfanya kuamka ni njaa aliokuwa nayo , lakini pia alikuwa na ‘Hangover’ ya hatari kwani jana yake mara baada ya kumuacha Seventeen nje hakuongea nae tena na alishindia kunywa bia nyingi alizokutana ndani ya meli hio ya kivita ambayo hata haikuwa ya kwake.

Sasa baada ya kujiinua kivivu huku macho yake yakiwa bado na hali ya ukungu unaotokana na usingizi alijikuta akihisi kitu kigumu pembeni yake , aligeuza mkono wake na kushika kile kitu kigumu na kugundua ni karatasi mfano wa kama gazeti gumu kama yale ya kutegenezea kalenda , alilichukua kipande kile cha karatasi na kisha akakiweka mbele yake ili kuona kwanini kipo juu ya kitanda , baada ya kuangalia mbele yake alijikuta macho yake yakianza kuongezeka ukubwa , kwani karatasi hio ilionekana kuwa na maandishi ambayo yalimshitua mno.

“Thirteen mimi naondoka ,siwezi kuendea kuishi na wewe na kumfanya mwanangu alietumboni kuzaliwa juu ya damu zinazomwagwa kwa mikono yako , umesema huna mpango wa kuacha roho yako ya kikatili , roho ya kimauaji na mimi pia siwezi kuishi na muuaji , nitaenda kusihi mbali na wewe mpaka siku ambayo mtoto wangu atakapo zaliwa na kufahamu baba yake amebadilika. Kwa heri Thirteen”Hayo ndio maandishi yaliokuwepo kwenye barua hio na kumfanya Thirteen kukunja kunja karatasi hio kwa hasira kali mno , hakuamini karatasi hio likuwa na ujumbe wa Seventeen ambao ulikuwa ukimpa maneno ya mwisho ya kwaheri.

******

Masaa kadhaa mbele baada ya Thirteen kusoma barua ilioachwa na Seventeen na kumfanya kuomboleza kwa kuondoka kwake , kwenye kilele kimoja juu ya mwamba pembezoni mwa bahari ya Pasific wanaonekana watu baadhi wakionekana kuvuja damu nyingi mno huku wakiangalia maji yaliokuwa chini yao juu ya mwamba mkubwa waliokalia , sehemu ambayo kama ukidodonka tu basi moja kwa moja unakwenda kuzama kwenye kina kirefu cha bahari.

Watu hao ambao walikuwa wakihisi maumivu ya kuchanwa na kisu mwilini mwao walikuwa wakilazimishwa kujirusha juu ya mwamba huo kwenda chini baharini, na kwakua mtu aliekuwa akiwalazimisha alikuwa akigopesha hakuna mtu ambaye alikuwa na ujasiri wa kujiuliza mara mbilimbili , kila mmoja alijirusha chini ya mwamba huo uliokuwa juu mlimani kila ilipofikia zamu yake.

Thirteen aliekuwa na macho yaliokuwa yamebadilika rangi na kuwa ya kijani, hakuonyesha hali ya kuridhishwa na vifo vya watu ambao wamejirusha na sasa walikuwa wamebakia watu wawili ambao walionekana kuwa ndio viongozi katika kundi hilo la watu ambao amejeruhi kwa mapanga.

“Sijali sana nyie watu mnatokea kwenye kundi lipi la kigaidi , wala nguvu za giza mnazotumia , lakini mmefanya kosa kubwa sana kumteka mwanamke wangu”

“Thirteen even you kill all of us your woman and the child in her belly will be buried with us ,So what if we can’t defeat you even when we cooperate?,once we die while you are still alive you will suffer more than dying”

Ukweli ni kwamba kilichomfanya Thirteen kukamata watu hao ni kutokana na uepepelezi wake ambao ulimpa majibu kwamba baada ya Seventeen kumkimbia kwenye meli hio ya kivita , alitekwa akiwa kwenye meli ndogo na majambazi hao wa baharini (pirates) , sasa alichokuwa akitaka kwa hao watu ni kumueleza ni upande gani Seventeen walikuwa wamemficha , lakini hawakuwa tayari kuongea, ndio maana alianza kuua mmoja mmoja baada ya mbinu zake zote za mateso kukwama.

Wakati akiendelea kuongea na watu wawili wa mwisho ambao walimpandisha hasira za kutamani kuwaua muda huo huo mara mita kadhaa kutoka alipo aliweza kumuona mwanamke akiongea na simu ya upepo na ilionekana mwanamke yule alikuwa akifanya makusudi ili Thirteen aweze kuona na kusikia kwa wakati mmoja.

“Mission failed , initiate Explosion”Aliongea yule mwanamke ndani ya fukwe hii na palepale upande wa pili juu ya mwamba alionekana Seventeen akijirusha majini na wakati huo huo ulionekana mlipuko mkubwa eneo lilelile ambalo amejirusha na kufanya mawimbi ya maji kuongezeka kwa kiasi kikubwa , Thirteen alijikuta akitoa macho mara baada ya kushuhudia Seventeen akijirusha majini na sehemu ile kulipuka.

“Thirteen although our alliance failed to kill you this time, letting you go through the pain of losing the woman and child you love can be considered our victory”

“Thirteen ijapokuwa tumeshindwa kukufanya mtu wetu lakini kukuacha kuendelea kuishi ukiwa na maumivu kwetu ni ushindi pia”Aliongea mwanaume mmoja na pasipo kuruhusu Thirteeen kuwaua , walijirusha kwenye mwamba na kuambaa ambaa kwenda chini ya maji , huku Thirteen akiwa haamini macho yake kama Seventeen aliekuwa mjamzito ndio basi tena.

“Seventeen…. noooo…..!!!”Alijikuta akitoa kilio cha maumivu makali mno , hakuamini mwanamke ambaye alikuwa akimpenda kwa moyo wake wote ndio huyo ambaye amelipuliwa na bomu na kutumbukia kwenye maji

****

Roma alirudi kutoka kwenye kumbukumbu zake ambazo zilimkumbusha mbali sana na kujikuta moyo ukimuuma na kumwangalia mwanamke ambaye yuko mbele yake.

“Yalikuwa makosa yangu kukuacha kupitia maumivu makali kipindi kile , kutotaka kwako kuniona tena ijapokuwa ulikuwa unaishi na pia kupelekea mtoto wetu kufa , hayakuwa makosa yako , lakini hata hivyo nashukuru sana nimekuona ukiwa hai kwa mara nyingine”Aliongea Roma huku akinyanyuka kivivu.

“Thirteen naomba uondoke nyumbani kwangu , siku ya leo itakuwa mara ya mwisho ya mimi kuonana na wewe tena”Aliongea yule mwanamke hulu hasira zikionekana katika macho yake.

“Seventeen ijapokuwa najua nimesababisha yote yale , lakini baada ya tukio lile la ule mlipuko na namna ulivyomezwa na baada ya kudondokea baharini, nilijikuta nikifahamu mambo mengi sana , mambo ambayo yalinifanya nikabadilika kimtazamo kwa asilimia mia moja , niliomboleza kifo chako kwa muda mrefu na niliishi kwa majuto , na baada ya kuona siwezi kupona maumivu ambayo yalisababishwa na kifo chako nilifanya maamuzi ya kurudi nchini Tanzania ambako nilihisi ndio nilipozaliwa na nilivyoweza kukutana na mwanamke ambaye anafanana kama wewe kwa kila kitu , nilihisi ni Mungu pekee ndio aliemleta kwangu kama mbadilishano , lakini mwisho wa siku nilikuja kugundua mwanamke yule licha ya kwamaba mnafanana lakini nafasi zenu kwenye Maisha yangu ni tofauti kabisa , wewe ni kama wewe na yeye ni kama yeye , Seventeen niamini mimi nafasi yako kwenye Maisha yangu haiwezi kufutika

Roma baada ya kuongea risala zake alianza kugeuka na kupiga hatua kuondoka ndani ya nyumba hio , hakutaka kuongea na Seventeen tena.

“Thirteen”Aliita Seventeen na kumfanya Roma kugeuka na kumwangalia na pale ndipo aliposhuhudia machozi kutoka kwa mwanamke aliekuwa mbele yake na mwanamke yule pasipo ya kujiuliza alimkimbilia na kisha akamkumbatia.

“Naomba usiniache tena tafadhari”Aliongea yule mwanamke huku akimkiumbaita Roma na kumfanya kuhisi joto la mwanamke huyo lakini pia pumzi ilitoka katika pua za mrembo huyo mwenye kufanana kwa asilimia mia moja na Seventeen.,

Lakini sasa wakati Roma akijisikia faraja kukumbatiwa na mwanamke anaempenda , mwanamke anaenda kwa jina la Seventen , mara alijikuta akigundua kitu ambacho sio cha kawaida na hio ni mara baada tu ya mwanamke yule kutoka kwenye mwili wake.

Roma aliekuwa amesimama alishitukia kuna Kisu aina ya Dagger kikiwa kimetumbukizwa kwenye moyo wake , huku mwanamke ambaye alikuwa akiuonekana kwa asilimia mia moja kufanana na Seventeen akimwangalia kwa macho ya dharau ni kama vile alikuwa akimdhihaki.

Ni kwamba Roma alishindwa kuelewa ni muda gani ambao amechomwa na kisu hiko kwani mwanzoni hakuhisi aina yoyote yale ya maumivu , lakini baada ya mwanamke yule kuacha kumkumbatia ndio alihisi maumivu makali kutoka kwenye moyo wake na alianza kukosa nguvu na macho kuanza kujaa ukungu na sekunde sitini zilikuwa nyingi sana kwa Roma kwani damu zililoanisha shati lake na palepale akadondoka chini na kufumba macho na haikueleweka kama amekufa ama amefumba macho , ila kwa jinsi kisu kile kilivyozama eneo la moyoni ni dhahiri kabisa kuna uwezekano mdogo wa kuwa hai.

“Hahahahah….. hahahaha….”Alianza kucheka yule mwanamke kwa namna ya dharau kubwa na palepale sura yake ilibadilika na akaonekana kuwa mwanamke wa kijapani , mwanamke ambaye sasa alionekana kuwa ni mmoja ya wanawake kutoka kwenye kundi la Yamata Sect kutokana na aina ya mavazi yake.

“Hii mbinu aliopendekeza Chief sikuamini inaweza kuwa nzuri namna hii , Hades ulieaminika huwezi kufa hatimae leo nimeweza kutekeleza kifo chako , hahahaha….”Aliongea kwa furaha sana huku akijiona kama moja ya watu ambao wametekeleza jambo kubwa kwenye Maisha yake.

ITAENDELEA

ITAENDELEA SIKU YOYOTE , NICHEKI WATSAPP KAMA UMECHOKA KUSUBIRIA 0687151346
Kwahiyo roma ndio kakufa eeh[emoji849]
 
Bwana Singano sie tupo hapahapa tunakusubiri umwage vitu!!
 
Shkamoo buraza! Mi natumia ka itel ka button! Wasapu naziona kwa masista duu na washua wachache wanaofika hapa bugomba misungwi! Please nionee huruma buraza! Post sasa hiv buraza singan6
 
SEHEMU YA 286

Mpango wa Roma kuchomwa kisu uliandaliwa kutoka mbali na ulikuwa ni mpango wa siku nyingi sana.

Muda ambao Roma alikuwa akitoka Tanzania akipanda ndege ya Shirika la Qatar Airways kuelekea Japani alikuwa akifuatiliwa kwa usiri sana na vijana wawili ambao walikwa kwenye gari nyeusi aina ya Toyota Crown, na hata ndege wakati inapaa mmoja ya vijana hao , mjapani alitoa simu yake na kupiga na alionekana alikuwa akiwasiliana na wenzake upande wa pili.

“Anakuja Tokyo , yupo kwenye dege ya shirika la Qatar Airways , ndege imetoka saa tano kamili”Aliongea kijana huyo wa kijapani na kisha akakata simu pasipo kusubuia jibu upande wa pili.

………….

Roma licha ya kwamba alikuwa amedondoka chini hakuwa amekufa wala kuzimia , mwili wake haukuwa kama wa binadamu wa kawaida mpaka kufa mara tu ya kuchomwa kisu , alikuwa na virusi kwenye mwili wake virusi ambavyo vinakuwa na uwezo wa kufanya cell za mwili wake kupitia ‘Proliferation’ ya hali ya juu sana na kufanya damu ziache kumtoka kwa haraka sana lakini kile kisu kushikana na nyama za mwili..

Kisu kilichokuwa kimemchoma hakikuwa cha kawaida , kilikuwa na sumu ndani yake na ndio maana Roma alijihisi kuwa mnyonge kweli na kushindwa kuinua hata mikono , zaidi ya kufungua macho yake kivivu.

“Mfalme Pluto , hakika wewe ni kama wanavyo kuzungumzia , hakuna binadamu ambaye atachomwa na kisu kwenye moyo na kuendelea kupumua kama kawaida”Aliongea yule mwanamke ambaye sasa hakuwa kama Seventeen , ila moja ya wanawake ambao Roma baada ya kumwangalia vizuri ndio anaona mwanamke yule ni kutoka kwa kundi la Yamata Sect.

Roma alijikuta akishangaa na kuwakubali Yamata kwa wakati mmmoja kwa mbinu yao waliotumia mpaka kumkamata na sasa yupo chini akigulia maumivu , huku kisu kikiwa ndani ya moyo wake.

“So you were not Seventeen?”Aliuliza Roma.

“Hahaha… Hahahaa…”Alianza kucheka huku kicheko kile kikimfanya mpaka kusogea mbele na kurudi nyuma, ni kama mtu ambaye amesikia kauli ya kipuuzi ya karne kwa namna alivyocheka.

“Ofcourse I am not the bitch, the woman had long sunk somewhere in the ocean after getting knocked unconscious”Aliongea kwa furaha huku akionyesha hali ya kuridhishwa na jambo ambalo amekwisha kulifanya.

Kwa upande wa Roma aliekuwa amedondoka chini kadri alivyokuwa akijaribu kujiinua ama kuinua mkono hakuwa akiweza kabisa , yaani akili yake pekee na midomo ndio vilivyokuwa vikifanya kazi , ila viungo vyake vya mwili kama mikono vilikuwa ni kama vimekufa ganzi na alishindwa hata kujiinua na mpaka hapo aliamini kisu hiko kina sumu kali ambayo inamfanya kuwa katika hali kama hio , mwanzoni alitegemea atapona hata kama amechomwa kisu kwenye moyo kutokana na mwili wake ulivyotengenezwa kisayansi , lakini sasa matarajio yake yalikuwa tofauti kwani kadri alivyojitahidi uwezo wake wa kujiponya haukuwa ukimsaidia hata kidogo.

Dakika chache nyuma Roma alitamani mwanamke aliekuw ambele yake kuwa Seventeen halisi , kifo cha Seventeen ni moja ya vifo ambavyo vinamuumiza sana.

“Najua una maswali mengi sana juu yangu , lakini naweza kukujibu baadhi ya maswali yako kabla ya wenzangu hawajafika hapa”Aliongea yule mwanamke huku akiketi kwenye Sofa.

“Jina lako ni nani?”Aliuliza Roma kwa sauti iliojawa na uvivu nani yake.

“Nafaamika kama Kawanako”Alijitambulisha yule mwanamke na kumfanya Roma kutomtambua vizuri au kuwahi kusikia hilo jina.

“Umewezaje kujiigiza kama Seventeen na jambo kubwa ninalotaka kujua ni..”

“Nimewezaje kujua Maisha yako na Seventeen ya nyuma , nadhani hilo ndio swali ambalo unataka kuuliza”Aliongea Kawanako na kumfanya Roma atingishe kichwa kuashiria kwamba alikuwa akihitaji majibu ya aina hio.

“Mfalme Pluto unakumbuka moja ya mwanamke mrembo sana uliemuua miaka kadhaa nyuma kwenye kisiwa kando ya bahari ya Pasific?”Aliuliza yule mwanamke na Roma aliweza kweli kukumbuka mwanamke mrembo sana ambaye alimuuaga siku kadhaa kabla ya kufariki kwa Seventeen.

“What is your relationship with her?”Aliuliza Roma.

“Yule ni dada yangu anafahamika kwa jina la Snow Girl na mimi ni mdogo wake na unaweza kuniita kwa jina la utani kama Mbweha mwenye mikia tisa(Nine tailed Fox)”Aliongea yule mwanamke na kumfanya Roma sasa kumfahamu.

“You are from Takamagahara?”Aliuliza Roma kwa mshangaa kwani hakudhania mwanamke huyo anaweza kutokea kwenye moja ya kundi la kininja la Takamagahara , kundi ambalo linasifika kwa kutumia nguvu za kichawi.

“Sikutarajia kama Mfalme Pluto ungeweza kufahamu jina langu..”

“Kwahio leo unaniambia kwamba tukio la miaka ile na kundi lenu lilihusika pia?”Aliuliza Roma na mpaka hapo alijua kundi hilo lilihusika na ndio maana walikuwa na maelezo ya kutosha kuhusu Maisha yake na Seventeen na ndio maana alitumia mbinu kama za michoro ili kumfanya ashindwe kutumia uwezo wake kunusa hatari.

Takamagahara kama ilivyokuwa kwa The Eagles na wao wenyewe walikuwa ni mkusanyiko wa kundi la watu wenye roho mbaya ambao wanaishi japani , kundi hili liliamua kujipa jina la Takamagahara kwa kufuatia historia ya miungu ya kizamani ya kijapani iliofahamika kwa jina la Takamagahara, sasa moja ysa sifa kubwa ya hili kundi ni uwezo wao wa kusoma mawazo ya mtu.

Sasa picha na mambo mengine ambayo yamewekwa hapo ndani yalikuwa ni kumfanya Roma kukumbuka Maisha yake ya nyuma ili mwanamke Kanawako kuweza kusoma kile ambacho ana kiwaza na kukamilisha kazi yake ambayo haikueleweka anaweza kunufaika nini kwa kupitia mawazo ya Roma.

“Kama umeweza kuigiza vizuri sana muonekano wa Seventeen mpaka ukanifanya nikashindwa kukutofautisha , je uliwezaje pia kufahamu kumbukumbu zake , lakini pia muonekano wake?”Aliuliza Roma.

“Mfalme Pluto nadhani unasahau jambo moja , dada yangu siku ile ndio alietoa oda ya bomu lile kulipuliwa na mimi nilikuwa upande wapili na Seventeen alikuwa ni mateka wangu , hivyo nilizinasa kumbukumbu zake kabla ya kumsukumia baharini”Aliongea na sasa kumfanya Roma kuelewa kwamba siku ileSeventeen hakujirusha kwa hiari yake baharini bali alisukumwa.

“Kwahio unakili kwamba wewe ndio ulimuua Seventeen , si ndio?”Aliuliza Roma huku akitabasamu kwa uchungu.

“Mfalme Pluto mimi sijamuua Seventeen bali matendo yako mwenyewe ndio yaliomuua , acha kuhamisha lawama kwa watu wengine”Aliongea na muda huo huo mlango ulifunguliwa na watu wanne walionekana wakiingia , Roma aliwatambua wawili kati yao , kwani alikuwa amekutana nao , mmoja alikuwa ni Tannya mrembo kutoka kundi la Yamata Sect na wa pili alikuwa ni Tengu.

“Mbona mmechelewa sana , au mlidhania mpango unaweza kufeli?”Aliuliza yule mwanamke afahamikae kwa jina la Kawanako huku akiwaangalia wenzake kwa sura ya kuwakebehi.

“Wewe Mbweha ushawahi kukamilisha nini kwenye Maisha yako , tulikuwa na wasiwasi mpaka sasa unaweza kuwa mfu , lakini kwahali inavyoonekana hapa ndani inaonyesha umefanya kazi nzuri”Aliongea Tanya kwa namna ya kumkebehi Kanawako.

“Paka mpumbavu wewe , unafikiri mimi ni kama wewe unaejua kupigana tu , lakini akili huna”Aliongea Kanawako akimjibu Tanya kwa kejeli .

“Kama kweli unajihisi una akili nyingi , vipi kuhusu Noriko Okawa master , wangu , je unao uwezo wa kupigana nae?”

Tanya na Tengu walimwangalia Roma ambae amelala chini , kwa upande wa Tengu ni kama ameona kituko lakini kwa upande wa Tanya hakueleweka alikuwa akifikiria nini kutokana na muonekano wake.

Roma aliangalia watu wengine wawili ambao aliwatambau kwa asilimia mia moja hawakuwa kutoka kwenye kundi la Yamata Sect , walikuwa ni wazungu mwanamke na mwaume , hawa hawakuwa wengine bali ni Jesie na Jasoni moja ya majasusi kutoka kikosi cha Dhoruba nyekundu ambao mara nyingi walikuwa wakipenda sana kumfuatilia Roma.

Sasa mpaka hapo Roma anaelewa kwanini mwili wake ulikuwa ni kama umepalalaizi , aliamini huenda chai aliopewa na Kawanako ilikuwa na sumu ambayo kwa asilimiua mia moja watu ambao wanaweza kuitegeneza na kumzuru ni kikosi hiko cha Dhoruba nyekundu.

“Mfalme Pluto upo kwenye hali hio kutokana na kunywa sumu ambayo tumeitengeneza kwa ajili yako pekee kutokana na mwili wako ulivyo , kama tungetumia sumu ya kawaida ya Dutu zilizozoeleka isingekua na madhara kwako na ndio maana tukaamua kutumia kiwango kikubwa cha sumu kutoka kwenye ‘Radioactive element’ zinazofahamika kwa jina la Polunium, Sumu yenyewe Pamoja na mchanganyiko wake imetugharimu kiasi cha milioni kumi za kimarekani(Bilioni ishirini na tatu za kitanzania”Aliongea Jesie

“Roma alijikuta akigeukia kile kikome na kukumbuka kimiminika kile na kujiuliza kama kweli ni Polonium basi ni kweli kwani sumu hio ni ngumu sana kuigundua ikiwekwa kwenye maji wala soda au chai.

“Mh yaani mmetumia pesa zote hizo kutengeneza tu sumu ya kunidhuru nayo , mbona mmepoteza kiasi kikubwa sana cha pesa?”Aliuliza Roma kwa sauti yake dhaifu.

“Wala hatujapoteza pesa nyingi kama unavyofikiria mfalme Pluto”Aliongea Jasoni

“Your majesty Pluto haven’t you noticed that your senses became realy slow , hukuweza kuhisia uhatari aliokuwa nao Kwanako hapa , lakini sio hivyo tu hata wakati anakuchoma kisu haukuelewa imetokeaje , yote hayo yamesababishwa na hii sumu inayofahamika kwa jina la Polonium , ni sumu yenye chembechembe za Alpha ambazo zinazuia mwili wako kupona haraka, Mpaka sasa hivi Pluto wewe ni dhaifu sana huenda kuliko watu wote waliopo hapa ndani”Aliongea Jasoni na sasa Roma alishaelewa kila kitu kinachoendelea.

“Mfalme Pluto moja ya nguvu ambazo mnazo nyie miungu watu ni kutokana na miili yenu ilivyo na uwezo wenu mkubwa wa kutumia akili zenu kwa Zaidi ya asilimia hamsini , Sumu ambayo ipo kwenye mwili wako imepunguza uwezo wako wa kufikiria mpaka asilimia kumi ambayo ni ya binadamu wa kawaida , hivyo kwa maneno marahisi ni kwamba kwasasa uwezo wako ni kama wetu sisi binadamu”Aliongea Jessie.

Ni kweli kabisa maneno ambayo ameongea Jessie , moja ya sababu kubwa ambayo inamfanya Roma kuweza hata kuteleport kutoka sehemu moja Kwenda nyingine , lakini pia kuwa na uwezo mkubwa usio wa kawaida ni uwezo wake mkubwa wa akili ambao umesababiswa na Devine Light.

Mpaka sasa inaaminika binadamu wa kawaida hajaweza kutumia ubongo wake kwa asilimia zinazozidi kumi na mbili na hio ndio inatofuatisha kati ya miungu na binadamu wa kawaida , mingu watu kwa mfano Athena anao uwezo mkubwa wa kuitumia akili yake na ndio maana anaweza kugundua na kutumia kanuni za anga kusafiri na hata kupigana pasipo kuonekana, yote hayo ni kucheza tu na kanuni ambazo kwa binadamu bao hazijafahamika.

“Kwahio mnaamini mnaweza mkaniua kwa kutumia hio sumu ya Polonium?”Aliuliza Roma na ukumbuke hapa alikuwa amelala bado akiwa sakafuni.

“Hatuwezi?”Ilisikika sauti kutoka nje ikiingia ndani ya nyumba hio.









SEHEMU YA 287

Alikuwa ni mwanaume mmoja hivi mrefu wa kijapani ambaye kwa muonekano wake ki umri sio chini ya miaka sabini hivi , Roma baadaya kuona sura ya mwanaume huyo hapo hapo aliweza kumfahamu , alikuwa ni Noriko Okkawa mkuu wa kundi la Yamata Sect.

“Both of us we used to be in zeros organisation , even though we weren’t close , I understand you more than anyone else”Aliongea yule mzee ambaye alikuwa amevalia mavazi ya kawaida tu ya suti nyeusi hakuwa akitisha sana , lakini alikuwa akisambaza ‘Aura’ ambayo ilidhihirisha kwamba yeye hakuwa mtu wa kawaida hata kidogo.

“Hades nakujua nje ndani , najua namna mwili wako unavyofanya kazi najua hata ulivyoeza kupata cheo cha Upluto , lakini swala hilo sijaja kulizungumzia leo hii eneo hili , mipango huu wa kuziua nguvu zako ni kukumaliza na mengine kufuatia”Aliongea Noriko Okawa kwa kingereza.

“Mnataka nini kutoka kwangu?”

“Mfalme Pluto tunachohitaji kutoka kwako ni kile kile cha siku zote tulichokuwa tukikiwinda , tunahitaji God’stone”Aliongea na kumfanya Roma kutabasmau kidogo.

“Lakini si niliwapatia lile jiwe , mnataka jiwe gani lingine tena”

“Acha kuongea ujinga wkati unajua kabis lilikuwa ni feki , vijana wangu walivyoniletea lile jiwe nilitembelea wataalamu wengi wenye ujuzi mkubwa wa kutmia Ant-Matter energy na wote walinieleza jiwe lile lilikuwa feki”Aliongea Noriko Okawa na Roma alishindwa kujitetea

“Mr Roma sitaki kupoteza muda sana kuongea na wewe unachaguzi mbili tu kwa sasa aidha utuambie jiwe lile liko wapi na kwenye maeneo yapi tukusaidie kupona au tukuue na sisi wenyewe tulitafute kwa kutumia mbinu zeu , kwani pia hatushindwi juu ya hilo”Aliongea Noriko.

“Sina God’stone mimi na hata kama ningekuwa nalo nisingelitoa”

“Mfalme Pluto haupo kwenye nafasi ya kuleta ubishi muda huu , hauna nguvu yoyoyte ya kujitetea , acha kiburi na utueleze jiwe la Kimungu liko sehemu gani?”Aliongea Jassie na Roma alimwangalia.

“Nyie watu wa Dhoruba nyekundu siamini kama mpo hapa kwa maagizo ya Zeros, kwani kwa Zeros ninayoijua mimi wasingeungana na shetani kama huyu Noriko Okkawa kuwinda jiwe la kimungu”

“Haijalishi tunaungana na nani au tumetumwa na nani tunachoangalia hapa ni faida zinazotokana na jiwe la kimungu na lazima tulipate kwa namna yoyote ile”Aliongea Jasoni.

Noriko Okawa ukweli ni kwamba hakuwa na mpango wa kuongea sana na Roma , alikuwa hamu ya kuwa mtu wa kwanza kutumia upanga wake kuua moja ya watu wanaofahamika miungu, ambaye Roma Ramoni ni mmoja wapo na adhima yake hakutaka kabisa kuichelewesha kwani alivuta upanga aina ya Katana ambao ulikuwa uking’aa sana na ulionekana kuwa na maandishi ya kijapani yaliosomeka ‘Mystical Masamura’.

Hades ijapokuwa wewe ni mmoja katika miungu kumi na mbili lakini kupitia huu upanga wangu siku hii ya leo siamini kama unaweza kupona , upanga huu unaweza kuonekana ni wa kawaida lakini umezindikwa na nguvu za kichawi za kimababu wa kijapani kama vile lotus Sutra , huu upanga unawakilisha mamlaka na ni urithi kutoka kwa Kamanda Masamura katika enzi zake , hivyo kuutumia huu kukuua ni heshima kubwa kwa mababu”Aliongea Noriko Okawa kiongozi wa Yamata Sect na kisha akamnyooshea Roma ule upanga, alionyesha alikuw ana dhamira ya kweli ya kumuua Roma na hakuwa tayari kubembelezana nae kuhuzu jiwe la Kimungu , ila kwake aliamini kumua Roma kupitia upanga huo wa ‘Mystical Masamura’ basi angekuwa ametimiza jambo kubwa sana kwenye Maisha yake.

Roma yeye alionekana pia kukosa nguvu vilevile , alikuwa akijitahidi kurudisha uwezo wake , lakini sumu ilikuwa ikisambaa kwenye mwili kwa kasi mno na kuzuia akili yake kushindwa kufanya kazi na kuweza kutumia uwezo wake , kila mmoja alikuwa akitarajia kuona kama Roma anaweza kujiokoa mbele ya mikono ya Noriko Okawa , ambaye anaonekana kunuia kumuua.

“Hades nakupa nafasi ya mwisho kuchagua”Aliongea Noriko Okawa huku akimwangalia Roma kwa macho ya dharau.

“Nishasema kwamba sina jiwe la kimungu na hata nignekuwa nalo nisingelitoa kwa watu wa aina yenu ,, unaweza kuendelea na unachotaka kukifanya kama kweli unaweza kuniua”Aliongea Roma aliekuwa sakafuni.

“How ignorant..”Aliongea Noriko Okawa na kisha akainua panga lake na kulikita sehemu ile ile ambayo Roma ametumbukizwa kisu na kumfanya Roma aliekuwa amelala chini kutema damu nyingi chini huku sehemu ile ikitoa damu mfululizo.

Jasoni na Jesie wenyewe walionekana kuwa katika hali ambayo haikuelezeka, ni kama walikuwa wakijutia kushirikiana na kundi la Takamagahara..

Roma macho yake yalijaa ukungu kwa dakika na kadri alivyokuwa akishindana na mwili wake , haikuwa ikiwezekana kabisa , kwa mfano Roma alikuwa na uwezo wa kijini kutoka ‘Hongmeng’ na uwezo huo ili aweze kutumia alitakiwa kutamka baadhi ya maneno ambayo ameyakariri , lakini kwasababu ya sumu ambayo ishasambaa kwenye mwili wake alishindwa kabisa kuyakumbuka hayo maneno na sekunde sitini mbele alifumba macho yake.

Noriko Okkawa aliangalia mwili wa Roma ulokuwa hauna uhai kwa sekunde kadhaa na palepale alivuta upanga wake wa Masamura nje.

“Master hongera kwa kutimiza kazi kubwa ya kumuua Hades , huu ni muda wa kutafuta sasa God’stone”Aliongea Tengu na Noriko Master wao aliangalia panga lake kwa macho ya kuridhika.

“Hakuna mtu wala miungu atakaeweza kupona na upanga huu”Aliongea .

“Lakini ukumbuke umeweza kumua kutokana na kwamba kuna sumu iliokuwa ndani ya mwili wake”Aliongea Jasoni kama vile alikuwa akmdhihaki Noriko Okkawa, lakini mzee huyo hakujali.

“Kwanzia leo hii hakuna mtu ambaye atakuwa anaitwa Pluto tena , labda miaka mia mbili ijayo anaweza kutokea, kizuizi cha kupata jiwe la kimungu tushakiondoa na sasa kazi iliobaki ni kulitafuta”Aliongea pasipo ya kuwa na wasiwasi wa aina yoyote.

Hawa wanaonekana hawakujua kama Roma jiwe halisi la Kimngu alikuwa tayari ashalipoteza kwa mtu anaefahamika kwa jina la Athena.

“Master Okawa lakini lazima tufikie muafaka ni nani ambaye atachukua jukumu la kutafuta hilo jiwe, lakini pia atakaelitumia mara baada ya kupatikana kwake?”Aliuliza Jasie.

“Hilo lisikupe shida kabisa , labda nyie watu kutoka Dhoruba nyekundu mnayo nia ya kutaka jiwe hilo na kama hio ndio nia yenu basi sidhani kama natakiwa kuwaacha muondoke hapa mkiwa hai”Aliongea na kumfanya Jasie na Jasoni kuanza kuogopa kwani walimuona Noriko Okawa akianza kubadilika.

Noriko Okawa alionekana kutokuwa na utani , kwani aliwanyooshea Jasie na Jasoni panga lake akiashiria kwamba yupo tayari kuwaangamiza muda wowote , hakujali kwamba mpango wa kumuua Roma umefanikuwa kwa sababu yao , lakini aliwaona kama maadui ambao wapo tayari kuchukua God’stone kutoka kwake.

“Leader the two of us will be enough to kill them”Aliongea Tanya akimwambia Noriko boss wao kwamba yeye na mwenzake watakuwa na uwezo wa kuwaua Jasie na Jasoni.

“Killing these rubbish won’t make any differences , now Hades is dead, you two shall head to Tanzania again in search of God’stone after few days , you have to find it this time”

“Kua hizi takataka halitoweza kuleta maana ya tofauti hata kidogo , sasa Hades ni mfu hivyo nyie wawili mnapaswa Kwenda Tanzania kwa ajili ya kutafuta jiwe la Kimungu ndani ya siku chache zijazo , awamu hii mnapaswa kulipata”

“Boss vipi kuhusu mwili wa Hades?”.

“Bado tunahitaji mwili wake kwa ajili ya kuufanyia majaribio , tunaweza pia kuuza mwili wake kwa kiasi kikubwa cha pesa , kwani ni wanasayansi wengi wanahitaji kuufanyia utafiti”Aliongea Noriko Okawa na kisha aliwaangalia Jasie na Jasoni kwa dakika kadhaa na kisha akaamua kuachana nao na kuondoka.

Dakika chache mbele , ikiwa sasa ni saa kama mbili za usiku ndani ya nyumba ile mwili wa Roma haukuonekana tena , ilionyesha Tanya na Tengu washaondoka nao na sasa watu pekee waliokuwa wamebaki ndani ya nyumba hio ni Jasie na Jasoni.

“So Jason what was our mission?”Aliuliza Jasie na Jasoni hakumjibu Zaidi ya kutoa simu yake mfukoni na kisha akatafuta jina na kupiga.

“Misshion Accomplished”Aliongea Jasoni akimaanisha kwamba Misheni imemalizika na kisha akakata simu pasipo ya kupokea maagizo mengine.

“Misheni yetu Jessie ilikuwa ni kuhakikisha tunakishuhudia kifo cha Hades”Aliongea na kumfanya Jasie kumwangalia Jasoni.

“Jasoni kila tukipata misheni mara nyingi unapenda kuniweka gizani na nisijue kinachoendelea , naomba unieleze kama ni kweli Hades amekufa”Aliongea Jasie kwa namna ya wasiwasi , licha ya kwamba alishuhudia kifo cha Roma , lakini ni kama akili yake ilikuwa ikimweleza kama Roma hajafa , alikuwa ashawahi kushuhudia uwezo wa ajabu wa Roma hivyo alijiambia hawezi kufa kwa kuchomwa na kisu Pamoja na Mystical Masamura.

“Jasie nadhani swali lako ni la kipuuzi kwani wote hapa tumeshuhudia kifo cha Hades”Aliongea Jasoni na kisha alitangulia mbele kutoka kwenye nyumba hio.
 
SEHEMU YA 288

Dodi Fayezi licha ya kwamba Amina alimsaliti kwa kulala na Roma Ramoni na kuvunja sheria za kiutamaduni za familia yao , lakini kwake kumuoa mwanamke huyo lilikuwa ni jambo la lazima kufanyika.

Sasa haikueleweka aliokuwa nayo ni mapenzi ama ni ‘Obsession’ ya kutaka kummiliki mrembo Amina , ila aliapia kwa miungu yote lazima atimize azma yake ya kumuoa Amina.

Familia ya Dodi Fayezi , yaani familia ya Khalifa kutoka Dubai hawakua na taarifa juu ya jambo ambalo Amina amelifanya huko Tanzania , tukio la kulala na Roma Ramoni , wao waliamini Bi Amina alikuwa akimpenda Dodi Fayezi hivyo ndoa ilikuwa ikifanyika kwa hiari na alikuwa ni bikra.

Lakini wasichokuwa wakikijua ni kwamba Dodi Fayezi mtoto wao hakuwa akiepndwa kabisa na mrembo huyo na alikuwa tayari hata kujiua kwa ajili ya kutotaka kuolewa na Dodi Fayezi bin Khalifa.

Dodi Fayezi aliwaaminisha wazazi wake kama Amina anampenda na yupo tayari kuolewa nae na wazazi kwakuwa walimwamini mtoto wao hawakuwa na tatizo na walitaka kutaka kujua ni lini alitaka ndoa yake na Bi Amina kutoka Tanzania kufungwa, na hapo ndio Dodi Fayezi alipoelezea nia yake ya kutaka ndoa hio kufungwa mwezi wa kumi tarehe 26.

Sasa licha ya Dodi Fayezi kuweka wazi tarehe ya ndoa yake , jambo moja lililowashangaza wazazi wake ni juu ya Fayezi kutaka ndoa yake kufungwa kwa siri , lakini pia taratibu zote za ndoa kubakia siri ya familia zote mbili yaani famiia yao na ile ya Mzee Kanani anayotokea Bi Amina , wazazi walijaribu kuuliza ni sababu gani anataka kufanya hivyo , lakini Dodi hakuwa tayari kusema ukweli , aliwapa sababu ambayo licha ya kwamba ilieleweka lakini pia iliibua maswali , lakini baba yake Khalifa kwakua alikuwa mzee na pia hata akili zake hazikuwa zikifanya kazi vizuri kama mwanzo basi hakutaka saa kuuliza maswali na hio yote ni ktuokana na kwamba alikuwa akimwamini mtoto wake.

Dodi Fayezi hatua ya kwanza aliimaliza hatua ya kushawishi familia yake kukubaliana na mpango wake wa kumuona Amina kwa siri hatua ya pili ni kuhakikisha sasa Anamuoa Amina kwa namna yoyote ile hata kama hataki.

Mwezi mmoja kabla ya tarehe hio ya 26 kutimia yaani siku kadhaa tokea afanikiwe kuongea na familia yake juu ya dhamira yake ya kumuoa Amina Bin Kanani, alionekana ndani ya jengo la Burj Khalifa , jengo ambao lipo chini ya kampuni yao, siku hio alikuwa ndani ya chumba cha VVIP , akiwa ameketi kwenye meza ndani ya hoteli hio, alionekana kuna mtu ambaye alikuwa akimsubiria kwani kila baada ya dakika alikuwa akiangalia saa yake.

Alikuwa amevalia suti safi siku hio na kumfanya kupendeza mno kwa macho ya mtu atakae mtizama , Dodi alikuwa ni Handsime boy na ilishangaza kwanini mwanamke mrembo kama Amina alikuwa akimkataa, na hata yeye mweneywe hilo lilimshangaza , kwani aliamini kama ni wanawake wengine basi wangemkimbilia na kutaka kuolewa nae , lakini ghafla tu inakuwa tofauti kwa mrembo mwandishi wa Habari Amina Kanani, hio inaonekana moja ya sababu kuu ya kumfanya Fayezi kumtaka Amina kwa nguvu zote.

“Amina nitakufanya kuwa mke wangu kwa namna yoyote ile , nitahaikisha nalipiza maumivu ya dharau ulizonionyeshea kulala na yule nguruwe haramu”Aliwaza Fayezi katika kichwa chake.

Yaani kwa jinsi alivyokuwa akionekana ,nje hakuwa akifanana na alivyokuwa ndani , bwana huyu moyo wake ulikuwa ukiugua sana tokea siku ambayo Amina alionyesha dharau mbele yake , dharau za Amina kulala na Roma na pia kitnendo cha kumdharau mbele yake kilimuuma mno na alijiapiza kwa namna yoyote ile lazima kisasi chake kilipwe , yaani alikuwa na kisasi na Amina lakini pia alikuwa na kisasi na Roma.

Fayezi unaambiwa hata baba yake anamugopa na hio yote ni kutokana na tabia yake ya kuficha kile anachojihisi moyoni mwake , Fayezi alikuwa na uwezo wa kucheka na adui yake na kumfanyia wema huku wakati huo huo akiwa na mkakati wa kulipa kisasi na hio ndio tabia ambayo baba yake alikuwa akiiogopa sana, na yote hio ni baada ya kushuhudia baadhi ya matukio ya kikatili ambayo Fayezi ashawahi kufanya nyuma na pasipo mtu yoyote kufahamu.

Sasa Fayezi kumuonyesha mapenzi yake ya dhati kwa Amina licha ya kwamba amemkosea sio kwamba alikuwa amependa sana kama mwanaume bwege , alichokuwa akitaka ni jambo moja kwanza kukamilisha ndoto yake ya kumuoa Amina mwanamke ambaye amemhangaikia kwa muda mrefu na akiwa ni mke wake amfanyie kitu ambacho kitafanya moyo wake kuridhika lakini wakati huo huo akipanga mpango wa kumdhibiti Roma Ramoni.

Fayezi tokea akutane kwa mara ya pili na Roma Ramoni kwenye tukio la Mnada ndani ya ukumbi wa Mlimani alikuwa ashaanza kuchimba taarifa za Roma Ramoni , mwanzoni taarifa alioletewa ilikuwa nyepesi sana kiasi kwamba ilimfanya asiiamini na ndio maana alitumia pesa alizokuwa nazo Pamoja na konekeshi kumfahamu Roma Vizuri , hakutaka kulipiza kisasi chake kwa adui ambaye hakuwa akimfahamu na ndio maana alitumia pesa na muda kumfahamu.

“Mr Fayezi mgeni amefika”Aliongea mwanamke wa kiarabu muhudumu ndani ya hoteli hio na Fayezi alimpa ishara ya kumruhusu na ndani ya dakika kadhaa alionekana mwanaume mzungu alievalia suti , mwanaume huyu hakuwa mwingine bali ni Jasoni , Jasusi kutoka Dhoruba nyekundu na kwa muonekano wake siku hio alikuwa kama sio yeye , kwanza kabisa alikuwa ameongezea ndevu bandia na kumfanya kuonekana mtu mzima kidogo.

Walisalimiana kwa bashasha na kisha Fayezi alimkaribisha mgeni wake kuketi kwenye kiti.

“Mr Fayezi taarifa ya Hades uliipata kutoka kwangu na mimi ndio nilikuuzia”Aliongea Jasoni kwa lugha ya kingereza na kumfanya Fayezi kumeza mate.

“Is it Legit?”Aliuliza Fayezi akimaanisha kwamba je ile taarifa ni ya ukweli ni halisi na mwanaume Jasoni alitabasamu.

“Kipi kinakufanya uhisi taarifa ile kutokuwa yenyewe , nadhani kila nilichokuuzia niliambatanisha na Ushahidi”Aliongeana Fayezi alitingisha kichwa kuashiria kwamba anakubali.

“Mr Fayezi najua unania ya kulipiza kisasi kwa Hades , lakini kama ulivyoweza kusoma faili lake nadhani umegundua ni ngumu sana kutekeleza kisasi chako”

“Ni kweli Mr Franco kutokana na faili la Roma Ramoni nawiwa kuamini kwamba kisasi changu ni ngumu sana kutekelezeka , lakini haimaanishi kwamba its impossible , wewe ndio umenipatia taarifa ya Hades Pamoja na Ushahidi hivyo naamini pia unao uwezo wa kujua namna ya kumuangamiza”Aliongea Fayezi na kumfanya Mr Franco ambaye alikuwa ni Jasoni kutabasamu.

“Umepatia vyema Fayezi , hakika wewe unastahili kabisa kuwa katika nafasi yako ya kuongoza kampuni kubwa ya Emaar”Aliongea na kisha aliingiza mkono wake mfukoni na kisha akatoa kadi na kumsogezea Fayezi.

“Hio ni kadi ya mawasiliano na mtu ambaye naweza kusema mnashea malengo sawa ya kumdhibiti Roma”Aliongea na Fayezi aliinua kile kikaratasi na kusoma yaliomo.

Noriko Okawa ndio jina ambalo lilikuwa kwenye kikadi hiko , jina ambalo Fayezi hakuwahi kulisikia.

“Natakiwa kufanya nini na mawasiliano ya huyu mtu?”

“Kama nilibvyosema kwamba mtu huyo ana malengo sawa na wewe hivyo unachotakiwa kufanya ni kuwasiliana nae na kumueleza nia yako na atakuelewa , mengine utamuachia yeye, unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha unamhudumia mgeni wangu atakaekuja ofisini kwako siku ya jumatatu na dili letu litaanza rasmi”Aliongea Jasoni kwa kingereza na Fayezi alielewa alichokuwa akimaanisha kwani moja ya kanuni ya dunia ni kwamba hakuna Free Lunch , yaani hakuna cha bure.

Sasa hayo ndio mazungumzo kati ya Jasoni kutoka Dhoruba nyekundu Pamoja na Fayezi mtoto wa Tajiri Khalifa.

*******

Ni usiku wa saa sita kamili Blandina akiwa amelala alijikuta akiota ndoto mbaya sana ndoto ambayo ilimfanya kushituka usingizini huku jasho likimtoka sana.

“Romaa..!!!”Aliongea Blandina kwa wasiwasi mno kwa kulitamka jina la mtoto wake Roma , alikuwa akijua safari ya Roma Kwenda Japani kwani alikuwa amemwaga , lakini usiku huo anajikuta ni mwenye kuota ndoto mbaya sana na kupata hisia ambazo alizihisi miaka kadhaa nyuma mara baaada ya kusikia ndege ya shirika la M-Arline kupotea.

Blandina kwa woga aliokuwa nao alishindwa kabisa kuendelea kulala na alitoka kwenye chumba chake na kupanda juu mpaka kwenye mlango wa chumba cha Edna na kisha akagonga kwa dakika kadhaa na mlango ulifunguliwa na Edna ambaye alikuwa na macho yaliojaa usingizi.

“Mama Mbona unalia ..”Aliongea Edna huku akishangazwa na hali ya mama mkwe wake, hakuelewa ni kwanini alikuwa akitoa machozi , licha ya kwamba macho yake yamejaa ukungu unaotokana na usingizi lakini aliweza kuona machozi ya mama mkwe wake.

“Edna nina wasiwasi kuna kitu kibaya kimetokea Roma”Aliongea Blandina na kumfanya Edna moyo wake kushituka ila alijikaza.

“Unamaanisha nini Roma kapatwa na tatizo , Roma katuaga kaelekea Jaoamni lakini kwa ninavyomjua siamini kama anaweza kukumbwa na balaa”Aliongea Edna lakini Blandina bado roho yake haikuwa ni yenye kutulia kabisa ‘Mother Intuition’ ndio kilichokuwa kikimfanya Blandina kujua kuna tatizo limemtokea mtoto wake.

“Edna mwanangu nimeota ndoto mbaya kweli ,, nimeota Roma..”Kabla hajamaliza kuongea Edna alimsogelea mama mkwe wake na kumkumbatia ni kama alijua nini ambacho ameota hivyo hakutaka kusikia wala kumruhhusu kuongea.

Ilibidi Edna na Blandina kulala kitanda kimoja Pamoja na Lanlan ambaye alikuwa kwenye usingizi mzito , Lanlan aligoma kabisa kulala kwenye chumba chake na kung’ang’ania kulala na mama yake jambo ambalo Edna hakukataa kwani hata yeye alipenda kuwa karibu na Lanlan kwani anamfanya kuwa na furaha.

Wanawake watatu yaani Blandina , Edna na Lanlan walionekana wote wakipitiwa na usingizi wakiwa wamelala Pamoja.
 
NILIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA

MTUNZI😀R SINGANOJR

SEHEMU YA 289

GOBI-DESERT

Ni jangwa lifahamikalo kwa jina la Gobi kuna mchanga mwingi usiokuwa na mwisho , lakini vilevile baadhi ya milima midogo midogo ilioinuka pande zote za hili jangwa , lakini pia uwepo wa mawe yaliooza kutokana na ukale wake ukijumlisha na michongoko ya mawe hayo yanalifanya jangwa hili kuwa moja ya kivutio kikubwa sana, jangwa hili linapatikana kusini mwa nchi ya Mongolia.

Juu ya jiwe pembezoni mwa kijimlima anaonekana kijana mdogo wa makadirio ya miaka kumi hivi akiwa ameegamia kwenye mwamba wa rangi ya njano , kijana huyu alionekana kuvalia mavazi ya kitamaduni ya Mongolia ya kale, kwenye mikono yake alikuwa ameshikilia chupa ya pombe , Remy Martin xo akiwa anakunywa taratibu huku akiangalia upande wa mashariki akiwa ni kama mtu ambaye anashangazwa na namna ambavyo jua huchomoza.

Kijana huyu hakuwa peke yake bali pembeni yake alikuwa amesimama pia mwanaume wa kichina makamo ambaye pia amevalia mavazi ya kitamaduni ya Kimongolia kale , kwa muonekano wao ni kama walikuwa wakiishi kwa mitazamo ya karne nyingi zilizopita , tofauti kati ya watu hawa wawili ni kwamba mwanaume alikuwa ni mchina huku mtoto wa miaka kama kumi akiwa ni wa ngozi nyeusi akiashiria asili yake ni kutoka bara la Afrika.

“Master ile mbinu ulionifundisha usiku inaitwaje , mbona inaonekana kama mazingaombwe?”Aliongea kijana yule kwa lugha ya kichina kabisa , alionekana kukielewa vyema kwani rafudhi yake haikuwa na utofauti na wazawa.

Mzee yule wa kichina wa miaka kama arobaini hivi alitabasamu kidogo na kisha kumwangalia kijana yule usoni.

“Kwanini unasema ni kama mazingaombwe?”

“Master nimejaribu kuifanyia mazoezi saa kumi na moja ya leo kwa kujichoma na kisu mguuni lakini ajabu baada ya mazeozi ya dakika mbili niliweza kupona kwa haraka sana”Aliongea yule kijana na yule mwanaume wa kichina alimshika kijana kichwani.

“Uko mbali sana kufikia levo za juu kwenye hii mbinu mpya nilioanza kukuelekeza , inakubidi kuzingatia kwa kila ninachokufundisha na akili yako yote kufikiria jambo moja”Aliongea

“Master hii mbinu inaitwaje?”

“Ina majina mengi sana , ni mbinu ambayo nimejifunzia ujinini , unaweza kuita kwa jina unalotaka wewe”Aliongea Master

“Master kitatokea nini kama nitaweza kufikia kwenye levo ambayo ulinieleza jana?, levo namba tisa , nini kinaweza kutokea na wewe sasa hivi upo kwenye levo ipi?”Aliuliza huku akionekana kuwa na shauku kubwa mno..

“Sifahamu nini kitatokea ila mimi nipo levo namba saba na levo yangu inafahamika kwa jina ‘Lango’ namba nane inafahamika kwa jina la Kifo na Uhai, namba tisa inafahamika kwa jina la Kuzaliwa upya(Ribirth)”Aliongea Master na kijana kushangaa.

“Master kwahio mpaka nitakapofikia umri kama wako ndio nitaweza kufika kwenye levo namba saba?”

“Hii mbinu niliokufundisha haizingatii umri, inazingatia uwezo wako mwenyee wa kuweza kutoka kwenye hatua ya kwanza Kwenda nyingine , unaweza ukafika mpaka namba tisa ukiwa na miaka ishirini na tatu mpaka tano”Aliongea Yule Master na kumfanya kijana kutabasamu , alikuwa na shauku kubwa ya kujua nini kitatokea kama atafikia kwenye levo ya tisa ambayo Master wake alizungumzia , hakujua nini kitatokea kwenye levo ya Kifo naUhai , lakini pia alishindwa kuelewa itakuwaje akifikia kwenye levo namba tisa ya Kuzaliwa Upya(Rebirth) lakini pia inakuwaje levo namba tisa ikaitwa Kuzaliwa upya.

********

KYOTO –NIJO CASTLE.

Ngome ya Nijo kama inavyotamkwa kwa kiswahili ni moja ya ngome ambazo zilijengwa kipindi cha Edo huko Japani , ngome hii mpaka leo hii bado ipo na ni moja ya maeneo ambayo yanapendwa sana na watalii kutembelea.

Sasa pembezoni mwa ngome hii ndio makao makuu ya siri ya kundi la Yamata Sect.

Ni siku ya pili sasa mwili wa Roma Ramoni tokea ufikishwe ndani ya ngome hii ya Yamata Sect, mwili wake ukiwa umehifadhiwa kwenye chumba maalumu chenye baridi kali sana ili kuufanya usioze.

Mwili wa Roma Ramoni bado ulikuwa ndani ya mavazi yake yaleyale ambayo amefika nayo Japani na utofauti tu ni kwamba muda huu kile kisu ambacho kilikuwa kimechomwa sehemu ya moyoni kilikuwa kimeondolewa.

Upande wa jengo ambalo linaaminika kama moja ya ofisi ya Chifu mkuu wa kundi la Yamata Sect , Noriko Okawa alioekana akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi huku akijipatia taratibu kahawa yake.

Nje ya eneo la Ngome hili ulinzi ulikuwa mkali sana, vijana wa kundi la Yamta Sect walikuwa wakionyesha hali ya umakini sana katika kulinda eneo la ngome hii ya Yamata Sect.

“Chief wanasayansi kutoka Italy wamefika”Aliongea Tanya akiwa ndani ya Baraza hili kubwa ambalo ndio ofisi ya Noriko Okawa.

Yaani kwa muonekano wa hii ofisi yake ni kama vile yupo nyakati za zama za kale na ofisi yake ilionekana kama zile ofisi ambazo zilikuwa zikitumiwa na wafalme enzi hizo kufanyia mikutano inayohusu viongozi wa juu wote kwenye ufalme.

Noriko Okkawa alimwangalia Tanya na kisha akavuta kidogo fumba moja la chai yake na kisha akaweka chini.

“Unaweza kuwaruhusu wakaingia”Aliongea kwa kijapani na Tanya aliinamisha kichwa chake kwa heshima na kisha akatoka nje ya ofisi hio na sekunde chache mbele walionekana wanaume wawili wakiwa wamevalia mavazi ya suti tupu wakiingia ndani ya jengo hilo , wote wakiwa vijana kati ya miaka therathini hivi mpaka therathini na tano , walikuwa wazungu wote.

Noriko Okawa hakujisumbua kunyanyuka kwenye kiti chake mfano wa kiti cha enzi , aliendelea kuketi vilevile huku awamu hii akiwa ameshikilia panga lake la Mystical Masamura.

“Tumetumwa hapa na kampuni ya INNOVA kutoka Italy kwa ajili ya kuzungumza dili”aliongea kijana mmoja ambaye ameshikilia Briefcase mbili nyeusi.

“What is your Proposal?”Aliongea Noriko Okawa kwa Lugha ya kingereza huku akimwangalia yule kiijana alieshikilia Briefcase.

“We want to Close the deal once and for all , the Institution agreed with your terms ,we are only here for the delivery”Aliongea akimaanisha kwamba wapo hapo kwa ajili ya kukamilisha dili moja kwa moja na taasisi ya Innova imekubaliana na masharti yake .

“What is your name boy?”Aliuliza Noriko huku akiangalia panga lale la Mystical Masamura , alikuwa akijiamini mno na alionekana alikuwa akifanya kila linalowezekana kuwafanya vijana waliokuwa mbele yake kumuogopa.

“I am Bruno Helinx”Aliongea na Noriko Okawa aliweka panga lake na kisha alimpa ishara Tanya aliesimama mita kadhaa nyuma ya wageni hao akiwa na baadhi ya vijana wengine wakitoa ulinzi.

Tanya alisogea mbele mpaka waliposimama wale vijana na kisha aliwapa ishara ya kumkabidhi Briefcase ile na vijana wale hawakuwa na shida walitoa zile Briefcase na Tanya aliziweka chini na alitumia utundu wake na ndani ya sekunde kumi zilikuwa zimefunguka na ndani yake kulikuwa na mabrungutu ya pesa nyingi zilizopangwa kwa ustadi mkubwa sana , zilikuwa ni pesa nyingi sana ukiziangalia kwa macho.

Tanya baada ya kuzikagua kwa dakika kumi alimgeukia Noriko Okawa na kisha akampa ishara kwamba amemaliza kazi yake.

“Master Okawa tumeleta kiasi kamili cha Dollar milioni kumi kama malipo ya Cash na Dollar milioni mia tano zitatumwa kwako kwa kutumia ‘BlockChain System’ na muamala utakamilika mara baada ya sisi kufanikisha kuukagua mwili”Aliongea Bruno na Okawa alionekana kuridhika na aliwapa ishara vijana wake, ni kama walikuwa wakijua kinachotakiwa kufanyika kwani walitoka ndani ya eneo hilo huku wakimuacha Tanya na wale wazungu wawili kutoka kampuni ya INNOVA.

Kwa jinsi ilivyoonekana hapa ni kwamba Noriko Okawa alitafuta mteja wa kununua mwili wa Roma Ramoni na kati ya wateja ambao wamekubali dili lake ni kampuni ya Innova kutoka Italy na walikuwa wameweka ahadi ya kuununua kwa kiasi cha Dola milioni mia tano na kumi , pesa ambazo dollar milioni kumi zilitakiwa kufika kwake kwa mfumo wa keshi na dolla zingine mia tano zilitakuwa kutumwa kwa njia ya BlockChain.

BlockChain ukisikia maana yake ni namna flani ya malipo ya kisasa ambayo hutumia mfumo maalumu wa kodi ambao ni ngumu sana kwa mtu wa nje kutambua kama malipo yamefanyika.

Kama umeshawahi kusikia Bitcoin basi hela hio ya kidigitali inatumia mfumo unaofahamika kwa jina la Blockchain system , ni moja ya njia ya kisasa ya kutuma pesa kutoka kwa mtu mmmoja Kwenda kwa mtu mwingine kwa namna ya siri sana na hii yote ni kutokana na kwamba mfumo huu hakuna serikali ambayo inaweza kuuongoza kwani unajitegemea kiuendeshaji, ni malipo ambayo yanfanyika kati ya taakishi na tarakishi ,sasa ukisikia ulimwengu wa Underwold malipo mengi yanafanyika kwa kutumia huu mfumo , hii yote ni kutoruhusu serikali kufatilia miamala ya watu wanaofanya biashara haramu kama vile madawa ya kulevya , kuuza mili na viungo vya binadamu kwenye Black Market.

Zilipita dakika kadhaa mbele mwili wa Roma uliokuwa juu ya toroli ulisukumwa kuingizwa hapo ndani ya ofisi ya bwana Noriko Okawa kwa ajili ya kuruhusu vijana kutoka kampuni ya Innova kuhakikiha kama ni wenyewe.

“Mnaonjae ni yeye halisi au sio yeye?”Aliongea Noriko na kijana yule wa upande wa kushoto aliuangalia mwili wa Roma kwa sekunde kadhaa.

“Master Noriko napaswa kuupiga picha na kutuma makao makuu na kama wataconfirm kama ni yeye basi malipo yatafanyika mara moja”Aliongea na Noriko Okawa hakuwa na shida kabisa yeye alimpa ishara kijana yule kufanya kama anavyotaka.

Na ndani ya dakika kama kumi na tano hivi kijana alipokea simu iliokuwa ikiita na aliweka sikioni na kusikiliza kwa sekunde na kisha akatabasamuna kumwangalia mwenzake na akatingisha kichwa.

“Your payment has Confirmed Sir”Aliongea na Noriko Okawa alimpa ishara Tanya na mwanadada huyu wa kijapani alipanda kwa ngazi mpaka upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Noriko, ilionekana tarakishi ndogo ya mapakato na Tanya aliifungua ‘Lid’ na ilionekana ilikuwa imewaka tayari na alichokifanya ni kuingia kwenye mfumo na kuangalia kama pesa imeingia.

“Master Pesa imeingia tayari”Aliongea Tanya kwa sauti .

Muda uleule mlango ulifunguliwa na alionekana Kawanako , Jassie na Jasoni wakiingia hapo ndani wakiwa chini ya ulinzi wa vijana wa Yamata Sect.

Sasa haikueleweka ilikuwaje sema wote kwa Pamoja walionekana kama vile ni mateka , kwani walikuwa wamefungwa na Kamba ngumu kwenye mikono yao na ikarudishwa nyuma.

Noriko Okawa aliwaangalia kwa kebehi kwa dakika kadhaa na kisa aliwapa ishara vijana wale kuwasogeza mbele.

“Mr Bruno kwasababu kazi kwa upande wenu imekwisha kukamilika , basi sina budi kuwaachia hawa mateka wawili kutoka kundi la Dhoruba nyekundu, kuhusu huyu mwanamke kutoka kundi la Takamagahara atabakia hapa ndani mpaka pale kile mabosi wake ninachowadai kitakapolipwa”Aliongea na Bruno aliwaangalia Jesie na Jasoni ambao walionekan kuwa wanyonge na wenye kuhitaji msaada na kisha alimgeukia Noriko Okawa na kutingisha kichwa.

“Jasie na Jasoni tutaondoka nao , kuhusu mwili wa Hades kama yalivyo makubaliano mtahusika katika kuusafirisha mpaka makao makuu”Aliongea na Noriko kwasababu alishalipwa hakutaka kuleta mtifuano , kwanza kabisa hakutaka ugomvi na kundi kutoka Dhoruba nyekundu na ndio maana hakupanga kuwaua Jesie na Jasoni.

“Kabla ya kuondoka nina ombi moja?”Aliongea Jessie na kufanya kila mmoja kushangaa ni ombi gani anataka kwani hakuwa kwenye nafasi ya kuongea kabisa na kukubaliwa na kundi hilo , lakini kwa jinsi alivyokuwa akijiamini alifanya hata Noriko Okawa kutaka kumsikiliza.

“Ombi lako ni lipi?”Aliuliza Bruno.

“Nahitaji kuona jeraha lililopo kwenye mwili wa Hades”Aliongea na kufanya kila mmoja kushangaa mpaka Noriko Okawa kwanini mrembo huyo anahitaji kuona jeraha.

ITAENDELEA WRITTEN BY DR SINGANOJR, MAWASILIANO YA WATSAPP :0687151346.
 
NILIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA

MTUNZI😀R SINGANOJR

SEHEMU YA 289

GOBI-DESERT

Ni jangwa lifahamikalo kwa jina la Gobi kuna mchanga mwingi usiokuwa na mwisho , lakini vilevile baadhi ya milima midogo midogo ilioinuka pande zote za hili jangwa , lakini pia uwepo wa mawe yaliooza kutokana na ukale wake ukijumlisha na michongoko ya mawe hayo yanalifanya jangwa hili kuwa moja ya kivutio kikubwa sana, jangwa hili linapatikana kusini mwa nchi ya Mongolia.

Juu ya jiwe pembezoni mwa kijimlima anaonekana kijana mdogo wa makadirio ya miaka kumi hivi akiwa ameegamia kwenye mwamba wa rangi ya njano , kijana huyu alionekana kuvalia mavazi ya kitamaduni ya Mongolia ya kale, kwenye mikono yake alikuwa ameshikilia chupa ya pombe , Remy Martin xo akiwa anakunywa taratibu huku akiangalia upande wa mashariki akiwa ni kama mtu ambaye anashangazwa na namna ambavyo jua huchomoza.

Kijana huyu hakuwa peke yake bali pembeni yake alikuwa amesimama pia mwanaume wa kichina makamo ambaye pia amevalia mavazi ya kitamaduni ya Kimongolia kale , kwa muonekano wao ni kama walikuwa wakiishi kwa mitazamo ya karne nyingi zilizopita , tofauti kati ya watu hawa wawili ni kwamba mwanaume alikuwa ni mchina huku mtoto wa miaka kama kumi akiwa ni wa ngozi nyeusi akiashiria asili yake ni kutoka bara la Afrika.

“Master ile mbinu ulionifundisha usiku inaitwaje , mbona inaonekana kama mazingaombwe?”Aliongea kijana yule kwa lugha ya kichina kabisa , alionekana kukielewa vyema kwani rafudhi yake haikuwa na utofauti na wazawa.

Mzee yule wa kichina wa miaka kama arobaini hivi alitabasamu kidogo na kisha kumwangalia kijana yule usoni.

“Kwanini unasema ni kama mazingaombwe?”

“Master nimejaribu kuifanyia mazoezi saa kumi na moja ya leo kwa kujichoma na kisu mguuni lakini ajabu baada ya mazeozi ya dakika mbili niliweza kupona kwa haraka sana”Aliongea yule kijana na yule mwanaume wa kichina alimshika kijana kichwani.

“Uko mbali sana kufikia levo za juu kwenye hii mbinu mpya nilioanza kukuelekeza , inakubidi kuzingatia kwa kila ninachokufundisha na akili yako yote kufikiria jambo moja”Aliongea

“Master hii mbinu inaitwaje?”

“Ina majina mengi sana , ni mbinu ambayo nimejifunzia ujinini , unaweza kuita kwa jina unalotaka wewe”Aliongea Master

“Master kitatokea nini kama nitaweza kufikia kwenye levo ambayo ulinieleza jana?, levo namba tisa , nini kinaweza kutokea na wewe sasa hivi upo kwenye levo ipi?”Aliuliza huku akionekana kuwa na shauku kubwa mno..

“Sifahamu nini kitatokea ila mimi nipo levo namba saba na levo yangu inafahamika kwa jina ‘Lango’ namba nane inafahamika kwa jina la Kifo na Uhai, namba tisa inafahamika kwa jina la Kuzaliwa upya(Ribirth)”Aliongea Master na kijana kushangaa.

“Master kwahio mpaka nitakapofikia umri kama wako ndio nitaweza kufika kwenye levo namba saba?”

“Hii mbinu niliokufundisha haizingatii umri, inazingatia uwezo wako mwenyee wa kuweza kutoka kwenye hatua ya kwanza Kwenda nyingine , unaweza ukafika mpaka namba tisa ukiwa na miaka ishirini na tatu mpaka tano”Aliongea Yule Master na kumfanya kijana kutabasamu , alikuwa na shauku kubwa ya kujua nini kitatokea kama atafikia kwenye levo ya tisa ambayo Master wake alizungumzia , hakujua nini kitatokea kwenye levo ya Kifo naUhai , lakini pia alishindwa kuelewa itakuwaje akifikia kwenye levo namba tisa ya Kuzaliwa Upya(Rebirth) lakini pia inakuwaje levo namba tisa ikaitwa Kuzaliwa upya.

********

KYOTO –NIJO CASTLE.

Ngome ya Nijo kama inavyotamkwa kwa kiswahili ni moja ya ngome ambazo zilijengwa kipindi cha Edo huko Japani , ngome hii mpaka leo hii bado ipo na ni moja ya maeneo ambayo yanapendwa sana na watalii kutembelea.

Sasa pembezoni mwa ngome hii ndio makao makuu ya siri ya kundi la Yamata Sect.

Ni siku ya pili sasa mwili wa Roma Ramoni tokea ufikishwe ndani ya ngome hii ya Yamata Sect, mwili wake ukiwa umehifadhiwa kwenye chumba maalumu chenye baridi kali sana ili kuufanya usioze.

Mwili wa Roma Ramoni bado ulikuwa ndani ya mavazi yake yaleyale ambayo amefika nayo Japani na utofauti tu ni kwamba muda huu kile kisu ambacho kilikuwa kimechomwa sehemu ya moyoni kilikuwa kimeondolewa.

Upande wa jengo ambalo linaaminika kama moja ya ofisi ya Chifu mkuu wa kundi la Yamata Sect , Noriko Okawa alioekana akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi huku akijipatia taratibu kahawa yake.

Nje ya eneo la Ngome hili ulinzi ulikuwa mkali sana, vijana wa kundi la Yamta Sect walikuwa wakionyesha hali ya umakini sana katika kulinda eneo la ngome hii ya Yamata Sect.

“Chief wanasayansi kutoka Italy wamefika”Aliongea Tanya akiwa ndani ya Baraza hili kubwa ambalo ndio ofisi ya Noriko Okawa.

Yaani kwa muonekano wa hii ofisi yake ni kama vile yupo nyakati za zama za kale na ofisi yake ilionekana kama zile ofisi ambazo zilikuwa zikitumiwa na wafalme enzi hizo kufanyia mikutano inayohusu viongozi wa juu wote kwenye ufalme.

Noriko Okkawa alimwangalia Tanya na kisha akavuta kidogo fumba moja la chai yake na kisha akaweka chini.

“Unaweza kuwaruhusu wakaingia”Aliongea kwa kijapani na Tanya aliinamisha kichwa chake kwa heshima na kisha akatoka nje ya ofisi hio na sekunde chache mbele walionekana wanaume wawili wakiwa wamevalia mavazi ya suti tupu wakiingia ndani ya jengo hilo , wote wakiwa vijana kati ya miaka therathini hivi mpaka therathini na tano , walikuwa wazungu wote.

Noriko Okawa hakujisumbua kunyanyuka kwenye kiti chake mfano wa kiti cha enzi , aliendelea kuketi vilevile huku awamu hii akiwa ameshikilia panga lake la Mystical Masamura.

“Tumetumwa hapa na kampuni ya INNOVA kutoka Italy kwa ajili ya kuzungumza dili”aliongea kijana mmoja ambaye ameshikilia Briefcase mbili nyeusi.

“What is your Proposal?”Aliongea Noriko Okawa kwa Lugha ya kingereza huku akimwangalia yule kiijana alieshikilia Briefcase.

“We want to Close the deal once and for all , the Institution agreed with your terms ,we are only here for the delivery”Aliongea akimaanisha kwamba wapo hapo kwa ajili ya kukamilisha dili moja kwa moja na taasisi ya Innova imekubaliana na masharti yake .

“What is your name boy?”Aliuliza Noriko huku akiangalia panga lale la Mystical Masamura , alikuwa akijiamini mno na alionekana alikuwa akifanya kila linalowezekana kuwafanya vijana waliokuwa mbele yake kumuogopa.

“I am Bruno Helinx”Aliongea na Noriko Okawa aliweka panga lake na kisha alimpa ishara Tanya aliesimama mita kadhaa nyuma ya wageni hao akiwa na baadhi ya vijana wengine wakitoa ulinzi.

Tanya alisogea mbele mpaka waliposimama wale vijana na kisha aliwapa ishara ya kumkabidhi Briefcase ile na vijana wale hawakuwa na shida walitoa zile Briefcase na Tanya aliziweka chini na alitumia utundu wake na ndani ya sekunde kumi zilikuwa zimefunguka na ndani yake kulikuwa na mabrungutu ya pesa nyingi zilizopangwa kwa ustadi mkubwa sana , zilikuwa ni pesa nyingi sana ukiziangalia kwa macho.

Tanya baada ya kuzikagua kwa dakika kumi alimgeukia Noriko Okawa na kisha akampa ishara kwamba amemaliza kazi yake.

“Master Okawa tumeleta kiasi kamili cha Dollar milioni kumi kama malipo ya Cash na Dollar milioni mia tano zitatumwa kwako kwa kutumia ‘BlockChain System’ na muamala utakamilika mara baada ya sisi kufanikisha kuukagua mwili”Aliongea Bruno na Okawa alionekana kuridhika na aliwapa ishara vijana wake, ni kama walikuwa wakijua kinachotakiwa kufanyika kwani walitoka ndani ya eneo hilo huku wakimuacha Tanya na wale wazungu wawili kutoka kampuni ya INNOVA.

Kwa jinsi ilivyoonekana hapa ni kwamba Noriko Okawa alitafuta mteja wa kununua mwili wa Roma Ramoni na kati ya wateja ambao wamekubali dili lake ni kampuni ya Innova kutoka Italy na walikuwa wameweka ahadi ya kuununua kwa kiasi cha Dola milioni mia tano na kumi , pesa ambazo dollar milioni kumi zilitakiwa kufika kwake kwa mfumo wa keshi na dolla zingine mia tano zilitakuwa kutumwa kwa njia ya BlockChain.

BlockChain ukisikia maana yake ni namna flani ya malipo ya kisasa ambayo hutumia mfumo maalumu wa kodi ambao ni ngumu sana kwa mtu wa nje kutambua kama malipo yamefanyika.

Kama umeshawahi kusikia Bitcoin basi hela hio ya kidigitali inatumia mfumo unaofahamika kwa jina la Blockchain system , ni moja ya njia ya kisasa ya kutuma pesa kutoka kwa mtu mmmoja Kwenda kwa mtu mwingine kwa namna ya siri sana na hii yote ni kutokana na kwamba mfumo huu hakuna serikali ambayo inaweza kuuongoza kwani unajitegemea kiuendeshaji, ni malipo ambayo yanfanyika kati ya taakishi na tarakishi ,sasa ukisikia ulimwengu wa Underwold malipo mengi yanafanyika kwa kutumia huu mfumo , hii yote ni kutoruhusu serikali kufatilia miamala ya watu wanaofanya biashara haramu kama vile madawa ya kulevya , kuuza mili na viungo vya binadamu kwenye Black Market.

Zilipita dakika kadhaa mbele mwili wa Roma uliokuwa juu ya toroli ulisukumwa kuingizwa hapo ndani ya ofisi ya bwana Noriko Okawa kwa ajili ya kuruhusu vijana kutoka kampuni ya Innova kuhakikiha kama ni wenyewe.

“Mnaonjae ni yeye halisi au sio yeye?”Aliongea Noriko na kijana yule wa upande wa kushoto aliuangalia mwili wa Roma kwa sekunde kadhaa.

“Master Noriko napaswa kuupiga picha na kutuma makao makuu na kama wataconfirm kama ni yeye basi malipo yatafanyika mara moja”Aliongea na Noriko Okawa hakuwa na shida kabisa yeye alimpa ishara kijana yule kufanya kama anavyotaka.

Na ndani ya dakika kama kumi na tano hivi kijana alipokea simu iliokuwa ikiita na aliweka sikioni na kusikiliza kwa sekunde na kisha akatabasamuna kumwangalia mwenzake na akatingisha kichwa.

“Your payment has Confirmed Sir”Aliongea na Noriko Okawa alimpa ishara Tanya na mwanadada huyu wa kijapani alipanda kwa ngazi mpaka upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Noriko, ilionekana tarakishi ndogo ya mapakato na Tanya aliifungua ‘Lid’ na ilionekana ilikuwa imewaka tayari na alichokifanya ni kuingia kwenye mfumo na kuangalia kama pesa imeingia.

“Master Pesa imeingia tayari”Aliongea Tanya kwa sauti .

Muda uleule mlango ulifunguliwa na alionekana Kawanako , Jassie na Jasoni wakiingia hapo ndani wakiwa chini ya ulinzi wa vijana wa Yamata Sect.

Sasa haikueleweka ilikuwaje sema wote kwa Pamoja walionekana kama vile ni mateka , kwani walikuwa wamefungwa na Kamba ngumu kwenye mikono yao na ikarudishwa nyuma.

Noriko Okawa aliwaangalia kwa kebehi kwa dakika kadhaa na kisa aliwapa ishara vijana wale kuwasogeza mbele.

“Mr Bruno kwasababu kazi kwa upande wenu imekwisha kukamilika , basi sina budi kuwaachia hawa mateka wawili kutoka kundi la Dhoruba nyekundu, kuhusu huyu mwanamke kutoka kundi la Takamagahara atabakia hapa ndani mpaka pale kile mabosi wake ninachowadai kitakapolipwa”Aliongea na Bruno aliwaangalia Jesie na Jasoni ambao walionekan kuwa wanyonge na wenye kuhitaji msaada na kisha alimgeukia Noriko Okawa na kutingisha kichwa.

“Jasie na Jasoni tutaondoka nao , kuhusu mwili wa Hades kama yalivyo makubaliano mtahusika katika kuusafirisha mpaka makao makuu”Aliongea na Noriko kwasababu alishalipwa hakutaka kuleta mtifuano , kwanza kabisa hakutaka ugomvi na kundi kutoka Dhoruba nyekundu na ndio maana hakupanga kuwaua Jesie na Jasoni.

“Kabla ya kuondoka nina ombi moja?”Aliongea Jessie na kufanya kila mmoja kushangaa ni ombi gani anataka kwani hakuwa kwenye nafasi ya kuongea kabisa na kukubaliwa na kundi hilo , lakini kwa jinsi alivyokuwa akijiamini alifanya hata Noriko Okawa kutaka kumsikiliza.

“Ombi lako ni lipi?”Aliuliza Bruno.

“Nahitaji kuona jeraha lililopo kwenye mwili wa Hades”Aliongea na kufanya kila mmoja kushangaa mpaka Noriko Okawa kwanini mrembo huyo anahitaji kuona jeraha.

ITAENDELEA WRITTEN BY DR SINGANOJR, MAWASILIANO YA WATSAPP :0687151346.
Kwa madini haya hata jina la udokta halikufai, wewe ni Professor SINGANOJR [emoji91][emoji91][emoji109][emoji109]
 
NILIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA

MTUNZI😀R SINGANOJR

SEHEMU YA 289

GOBI-DESERT

Ni jangwa lifahamikalo kwa jina la Gobi kuna mchanga mwingi usiokuwa na mwisho , lakini vilevile baadhi ya milima midogo midogo ilioinuka pande zote za hili jangwa , lakini pia uwepo wa mawe yaliooza kutokana na ukale wake ukijumlisha na michongoko ya mawe hayo yanalifanya jangwa hili kuwa moja ya kivutio kikubwa sana, jangwa hili linapatikana kusini mwa nchi ya Mongolia.

Juu ya jiwe pembezoni mwa kijimlima anaonekana kijana mdogo wa makadirio ya miaka kumi hivi akiwa ameegamia kwenye mwamba wa rangi ya njano , kijana huyu alionekana kuvalia mavazi ya kitamaduni ya Mongolia ya kale, kwenye mikono yake alikuwa ameshikilia chupa ya pombe , Remy Martin xo akiwa anakunywa taratibu huku akiangalia upande wa mashariki akiwa ni kama mtu ambaye anashangazwa na namna ambavyo jua huchomoza.

Kijana huyu hakuwa peke yake bali pembeni yake alikuwa amesimama pia mwanaume wa kichina makamo ambaye pia amevalia mavazi ya kitamaduni ya Kimongolia kale , kwa muonekano wao ni kama walikuwa wakiishi kwa mitazamo ya karne nyingi zilizopita , tofauti kati ya watu hawa wawili ni kwamba mwanaume alikuwa ni mchina huku mtoto wa miaka kama kumi akiwa ni wa ngozi nyeusi akiashiria asili yake ni kutoka bara la Afrika.

“Master ile mbinu ulionifundisha usiku inaitwaje , mbona inaonekana kama mazingaombwe?”Aliongea kijana yule kwa lugha ya kichina kabisa , alionekana kukielewa vyema kwani rafudhi yake haikuwa na utofauti na wazawa.

Mzee yule wa kichina wa miaka kama arobaini hivi alitabasamu kidogo na kisha kumwangalia kijana yule usoni.

“Kwanini unasema ni kama mazingaombwe?”

“Master nimejaribu kuifanyia mazoezi saa kumi na moja ya leo kwa kujichoma na kisu mguuni lakini ajabu baada ya mazeozi ya dakika mbili niliweza kupona kwa haraka sana”Aliongea yule kijana na yule mwanaume wa kichina alimshika kijana kichwani.

“Uko mbali sana kufikia levo za juu kwenye hii mbinu mpya nilioanza kukuelekeza , inakubidi kuzingatia kwa kila ninachokufundisha na akili yako yote kufikiria jambo moja”Aliongea

“Master hii mbinu inaitwaje?”

“Ina majina mengi sana , ni mbinu ambayo nimejifunzia ujinini , unaweza kuita kwa jina unalotaka wewe”Aliongea Master

“Master kitatokea nini kama nitaweza kufikia kwenye levo ambayo ulinieleza jana?, levo namba tisa , nini kinaweza kutokea na wewe sasa hivi upo kwenye levo ipi?”Aliuliza huku akionekana kuwa na shauku kubwa mno..

“Sifahamu nini kitatokea ila mimi nipo levo namba saba na levo yangu inafahamika kwa jina ‘Lango’ namba nane inafahamika kwa jina la Kifo na Uhai, namba tisa inafahamika kwa jina la Kuzaliwa upya(Ribirth)”Aliongea Master na kijana kushangaa.

“Master kwahio mpaka nitakapofikia umri kama wako ndio nitaweza kufika kwenye levo namba saba?”

“Hii mbinu niliokufundisha haizingatii umri, inazingatia uwezo wako mwenyee wa kuweza kutoka kwenye hatua ya kwanza Kwenda nyingine , unaweza ukafika mpaka namba tisa ukiwa na miaka ishirini na tatu mpaka tano”Aliongea Yule Master na kumfanya kijana kutabasamu , alikuwa na shauku kubwa ya kujua nini kitatokea kama atafikia kwenye levo ya tisa ambayo Master wake alizungumzia , hakujua nini kitatokea kwenye levo ya Kifo naUhai , lakini pia alishindwa kuelewa itakuwaje akifikia kwenye levo namba tisa ya Kuzaliwa Upya(Rebirth) lakini pia inakuwaje levo namba tisa ikaitwa Kuzaliwa upya.

********

KYOTO –NIJO CASTLE.

Ngome ya Nijo kama inavyotamkwa kwa kiswahili ni moja ya ngome ambazo zilijengwa kipindi cha Edo huko Japani , ngome hii mpaka leo hii bado ipo na ni moja ya maeneo ambayo yanapendwa sana na watalii kutembelea.

Sasa pembezoni mwa ngome hii ndio makao makuu ya siri ya kundi la Yamata Sect.

Ni siku ya pili sasa mwili wa Roma Ramoni tokea ufikishwe ndani ya ngome hii ya Yamata Sect, mwili wake ukiwa umehifadhiwa kwenye chumba maalumu chenye baridi kali sana ili kuufanya usioze.

Mwili wa Roma Ramoni bado ulikuwa ndani ya mavazi yake yaleyale ambayo amefika nayo Japani na utofauti tu ni kwamba muda huu kile kisu ambacho kilikuwa kimechomwa sehemu ya moyoni kilikuwa kimeondolewa.

Upande wa jengo ambalo linaaminika kama moja ya ofisi ya Chifu mkuu wa kundi la Yamata Sect , Noriko Okawa alioekana akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi huku akijipatia taratibu kahawa yake.

Nje ya eneo la Ngome hili ulinzi ulikuwa mkali sana, vijana wa kundi la Yamta Sect walikuwa wakionyesha hali ya umakini sana katika kulinda eneo la ngome hii ya Yamata Sect.

“Chief wanasayansi kutoka Italy wamefika”Aliongea Tanya akiwa ndani ya Baraza hili kubwa ambalo ndio ofisi ya Noriko Okawa.

Yaani kwa muonekano wa hii ofisi yake ni kama vile yupo nyakati za zama za kale na ofisi yake ilionekana kama zile ofisi ambazo zilikuwa zikitumiwa na wafalme enzi hizo kufanyia mikutano inayohusu viongozi wa juu wote kwenye ufalme.

Noriko Okkawa alimwangalia Tanya na kisha akavuta kidogo fumba moja la chai yake na kisha akaweka chini.

“Unaweza kuwaruhusu wakaingia”Aliongea kwa kijapani na Tanya aliinamisha kichwa chake kwa heshima na kisha akatoka nje ya ofisi hio na sekunde chache mbele walionekana wanaume wawili wakiwa wamevalia mavazi ya suti tupu wakiingia ndani ya jengo hilo , wote wakiwa vijana kati ya miaka therathini hivi mpaka therathini na tano , walikuwa wazungu wote.

Noriko Okawa hakujisumbua kunyanyuka kwenye kiti chake mfano wa kiti cha enzi , aliendelea kuketi vilevile huku awamu hii akiwa ameshikilia panga lake la Mystical Masamura.

“Tumetumwa hapa na kampuni ya INNOVA kutoka Italy kwa ajili ya kuzungumza dili”aliongea kijana mmoja ambaye ameshikilia Briefcase mbili nyeusi.

“What is your Proposal?”Aliongea Noriko Okawa kwa Lugha ya kingereza huku akimwangalia yule kiijana alieshikilia Briefcase.

“We want to Close the deal once and for all , the Institution agreed with your terms ,we are only here for the delivery”Aliongea akimaanisha kwamba wapo hapo kwa ajili ya kukamilisha dili moja kwa moja na taasisi ya Innova imekubaliana na masharti yake .

“What is your name boy?”Aliuliza Noriko huku akiangalia panga lale la Mystical Masamura , alikuwa akijiamini mno na alionekana alikuwa akifanya kila linalowezekana kuwafanya vijana waliokuwa mbele yake kumuogopa.

“I am Bruno Helinx”Aliongea na Noriko Okawa aliweka panga lake na kisha alimpa ishara Tanya aliesimama mita kadhaa nyuma ya wageni hao akiwa na baadhi ya vijana wengine wakitoa ulinzi.

Tanya alisogea mbele mpaka waliposimama wale vijana na kisha aliwapa ishara ya kumkabidhi Briefcase ile na vijana wale hawakuwa na shida walitoa zile Briefcase na Tanya aliziweka chini na alitumia utundu wake na ndani ya sekunde kumi zilikuwa zimefunguka na ndani yake kulikuwa na mabrungutu ya pesa nyingi zilizopangwa kwa ustadi mkubwa sana , zilikuwa ni pesa nyingi sana ukiziangalia kwa macho.

Tanya baada ya kuzikagua kwa dakika kumi alimgeukia Noriko Okawa na kisha akampa ishara kwamba amemaliza kazi yake.

“Master Okawa tumeleta kiasi kamili cha Dollar milioni kumi kama malipo ya Cash na Dollar milioni mia tano zitatumwa kwako kwa kutumia ‘BlockChain System’ na muamala utakamilika mara baada ya sisi kufanikisha kuukagua mwili”Aliongea Bruno na Okawa alionekana kuridhika na aliwapa ishara vijana wake, ni kama walikuwa wakijua kinachotakiwa kufanyika kwani walitoka ndani ya eneo hilo huku wakimuacha Tanya na wale wazungu wawili kutoka kampuni ya INNOVA.

Kwa jinsi ilivyoonekana hapa ni kwamba Noriko Okawa alitafuta mteja wa kununua mwili wa Roma Ramoni na kati ya wateja ambao wamekubali dili lake ni kampuni ya Innova kutoka Italy na walikuwa wameweka ahadi ya kuununua kwa kiasi cha Dola milioni mia tano na kumi , pesa ambazo dollar milioni kumi zilitakiwa kufika kwake kwa mfumo wa keshi na dolla zingine mia tano zilitakuwa kutumwa kwa njia ya BlockChain.

BlockChain ukisikia maana yake ni namna flani ya malipo ya kisasa ambayo hutumia mfumo maalumu wa kodi ambao ni ngumu sana kwa mtu wa nje kutambua kama malipo yamefanyika.

Kama umeshawahi kusikia Bitcoin basi hela hio ya kidigitali inatumia mfumo unaofahamika kwa jina la Blockchain system , ni moja ya njia ya kisasa ya kutuma pesa kutoka kwa mtu mmmoja Kwenda kwa mtu mwingine kwa namna ya siri sana na hii yote ni kutokana na kwamba mfumo huu hakuna serikali ambayo inaweza kuuongoza kwani unajitegemea kiuendeshaji, ni malipo ambayo yanfanyika kati ya taakishi na tarakishi ,sasa ukisikia ulimwengu wa Underwold malipo mengi yanafanyika kwa kutumia huu mfumo , hii yote ni kutoruhusu serikali kufatilia miamala ya watu wanaofanya biashara haramu kama vile madawa ya kulevya , kuuza mili na viungo vya binadamu kwenye Black Market.

Zilipita dakika kadhaa mbele mwili wa Roma uliokuwa juu ya toroli ulisukumwa kuingizwa hapo ndani ya ofisi ya bwana Noriko Okawa kwa ajili ya kuruhusu vijana kutoka kampuni ya Innova kuhakikiha kama ni wenyewe.

“Mnaonjae ni yeye halisi au sio yeye?”Aliongea Noriko na kijana yule wa upande wa kushoto aliuangalia mwili wa Roma kwa sekunde kadhaa.

“Master Noriko napaswa kuupiga picha na kutuma makao makuu na kama wataconfirm kama ni yeye basi malipo yatafanyika mara moja”Aliongea na Noriko Okawa hakuwa na shida kabisa yeye alimpa ishara kijana yule kufanya kama anavyotaka.

Na ndani ya dakika kama kumi na tano hivi kijana alipokea simu iliokuwa ikiita na aliweka sikioni na kusikiliza kwa sekunde na kisha akatabasamuna kumwangalia mwenzake na akatingisha kichwa.

“Your payment has Confirmed Sir”Aliongea na Noriko Okawa alimpa ishara Tanya na mwanadada huyu wa kijapani alipanda kwa ngazi mpaka upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Noriko, ilionekana tarakishi ndogo ya mapakato na Tanya aliifungua ‘Lid’ na ilionekana ilikuwa imewaka tayari na alichokifanya ni kuingia kwenye mfumo na kuangalia kama pesa imeingia.

“Master Pesa imeingia tayari”Aliongea Tanya kwa sauti .

Muda uleule mlango ulifunguliwa na alionekana Kawanako , Jassie na Jasoni wakiingia hapo ndani wakiwa chini ya ulinzi wa vijana wa Yamata Sect.

Sasa haikueleweka ilikuwaje sema wote kwa Pamoja walionekana kama vile ni mateka , kwani walikuwa wamefungwa na Kamba ngumu kwenye mikono yao na ikarudishwa nyuma.

Noriko Okawa aliwaangalia kwa kebehi kwa dakika kadhaa na kisa aliwapa ishara vijana wale kuwasogeza mbele.

“Mr Bruno kwasababu kazi kwa upande wenu imekwisha kukamilika , basi sina budi kuwaachia hawa mateka wawili kutoka kundi la Dhoruba nyekundu, kuhusu huyu mwanamke kutoka kundi la Takamagahara atabakia hapa ndani mpaka pale kile mabosi wake ninachowadai kitakapolipwa”Aliongea na Bruno aliwaangalia Jesie na Jasoni ambao walionekan kuwa wanyonge na wenye kuhitaji msaada na kisha alimgeukia Noriko Okawa na kutingisha kichwa.

“Jasie na Jasoni tutaondoka nao , kuhusu mwili wa Hades kama yalivyo makubaliano mtahusika katika kuusafirisha mpaka makao makuu”Aliongea na Noriko kwasababu alishalipwa hakutaka kuleta mtifuano , kwanza kabisa hakutaka ugomvi na kundi kutoka Dhoruba nyekundu na ndio maana hakupanga kuwaua Jesie na Jasoni.

“Kabla ya kuondoka nina ombi moja?”Aliongea Jessie na kufanya kila mmoja kushangaa ni ombi gani anataka kwani hakuwa kwenye nafasi ya kuongea kabisa na kukubaliwa na kundi hilo , lakini kwa jinsi alivyokuwa akijiamini alifanya hata Noriko Okawa kutaka kumsikiliza.

“Ombi lako ni lipi?”Aliuliza Bruno.

“Nahitaji kuona jeraha lililopo kwenye mwili wa Hades”Aliongea na kufanya kila mmoja kushangaa mpaka Noriko Okawa kwanini mrembo huyo anahitaji kuona jeraha.

ITAENDELEA WRITTEN BY DR SINGANOJR, MAWASILIANO YA WATSAPP :0687151346.
mtalaamu roma kaenda na maji
 
NILIMDHANIA KAHABA KUMBE BIKRA

MTUNZI😀R SINGANOJR

SEHEMU YA 289

GOBI-DESERT

Ni jangwa lifahamikalo kwa jina la Gobi kuna mchanga mwingi usiokuwa na mwisho , lakini vilevile baadhi ya milima midogo midogo ilioinuka pande zote za hili jangwa , lakini pia uwepo wa mawe yaliooza kutokana na ukale wake ukijumlisha na michongoko ya mawe hayo yanalifanya jangwa hili kuwa moja ya kivutio kikubwa sana, jangwa hili linapatikana kusini mwa nchi ya Mongolia.

Juu ya jiwe pembezoni mwa kijimlima anaonekana kijana mdogo wa makadirio ya miaka kumi hivi akiwa ameegamia kwenye mwamba wa rangi ya njano , kijana huyu alionekana kuvalia mavazi ya kitamaduni ya Mongolia ya kale, kwenye mikono yake alikuwa ameshikilia chupa ya pombe , Remy Martin xo akiwa anakunywa taratibu huku akiangalia upande wa mashariki akiwa ni kama mtu ambaye anashangazwa na namna ambavyo jua huchomoza.

Kijana huyu hakuwa peke yake bali pembeni yake alikuwa amesimama pia mwanaume wa kichina makamo ambaye pia amevalia mavazi ya kitamaduni ya Kimongolia kale , kwa muonekano wao ni kama walikuwa wakiishi kwa mitazamo ya karne nyingi zilizopita , tofauti kati ya watu hawa wawili ni kwamba mwanaume alikuwa ni mchina huku mtoto wa miaka kama kumi akiwa ni wa ngozi nyeusi akiashiria asili yake ni kutoka bara la Afrika.

“Master ile mbinu ulionifundisha usiku inaitwaje , mbona inaonekana kama mazingaombwe?”Aliongea kijana yule kwa lugha ya kichina kabisa , alionekana kukielewa vyema kwani rafudhi yake haikuwa na utofauti na wazawa.

Mzee yule wa kichina wa miaka kama arobaini hivi alitabasamu kidogo na kisha kumwangalia kijana yule usoni.

“Kwanini unasema ni kama mazingaombwe?”

“Master nimejaribu kuifanyia mazoezi saa kumi na moja ya leo kwa kujichoma na kisu mguuni lakini ajabu baada ya mazeozi ya dakika mbili niliweza kupona kwa haraka sana”Aliongea yule kijana na yule mwanaume wa kichina alimshika kijana kichwani.

“Uko mbali sana kufikia levo za juu kwenye hii mbinu mpya nilioanza kukuelekeza , inakubidi kuzingatia kwa kila ninachokufundisha na akili yako yote kufikiria jambo moja”Aliongea

“Master hii mbinu inaitwaje?”

“Ina majina mengi sana , ni mbinu ambayo nimejifunzia ujinini , unaweza kuita kwa jina unalotaka wewe”Aliongea Master

“Master kitatokea nini kama nitaweza kufikia kwenye levo ambayo ulinieleza jana?, levo namba tisa , nini kinaweza kutokea na wewe sasa hivi upo kwenye levo ipi?”Aliuliza huku akionekana kuwa na shauku kubwa mno..

“Sifahamu nini kitatokea ila mimi nipo levo namba saba na levo yangu inafahamika kwa jina ‘Lango’ namba nane inafahamika kwa jina la Kifo na Uhai, namba tisa inafahamika kwa jina la Kuzaliwa upya(Ribirth)”Aliongea Master na kijana kushangaa.

“Master kwahio mpaka nitakapofikia umri kama wako ndio nitaweza kufika kwenye levo namba saba?”

“Hii mbinu niliokufundisha haizingatii umri, inazingatia uwezo wako mwenyee wa kuweza kutoka kwenye hatua ya kwanza Kwenda nyingine , unaweza ukafika mpaka namba tisa ukiwa na miaka ishirini na tatu mpaka tano”Aliongea Yule Master na kumfanya kijana kutabasamu , alikuwa na shauku kubwa ya kujua nini kitatokea kama atafikia kwenye levo ya tisa ambayo Master wake alizungumzia , hakujua nini kitatokea kwenye levo ya Kifo naUhai , lakini pia alishindwa kuelewa itakuwaje akifikia kwenye levo namba tisa ya Kuzaliwa Upya(Rebirth) lakini pia inakuwaje levo namba tisa ikaitwa Kuzaliwa upya.

********

KYOTO –NIJO CASTLE.

Ngome ya Nijo kama inavyotamkwa kwa kiswahili ni moja ya ngome ambazo zilijengwa kipindi cha Edo huko Japani , ngome hii mpaka leo hii bado ipo na ni moja ya maeneo ambayo yanapendwa sana na watalii kutembelea.

Sasa pembezoni mwa ngome hii ndio makao makuu ya siri ya kundi la Yamata Sect.

Ni siku ya pili sasa mwili wa Roma Ramoni tokea ufikishwe ndani ya ngome hii ya Yamata Sect, mwili wake ukiwa umehifadhiwa kwenye chumba maalumu chenye baridi kali sana ili kuufanya usioze.

Mwili wa Roma Ramoni bado ulikuwa ndani ya mavazi yake yaleyale ambayo amefika nayo Japani na utofauti tu ni kwamba muda huu kile kisu ambacho kilikuwa kimechomwa sehemu ya moyoni kilikuwa kimeondolewa.

Upande wa jengo ambalo linaaminika kama moja ya ofisi ya Chifu mkuu wa kundi la Yamata Sect , Noriko Okawa alioekana akiwa ameketi kwenye kiti chake cha enzi huku akijipatia taratibu kahawa yake.

Nje ya eneo la Ngome hili ulinzi ulikuwa mkali sana, vijana wa kundi la Yamta Sect walikuwa wakionyesha hali ya umakini sana katika kulinda eneo la ngome hii ya Yamata Sect.

“Chief wanasayansi kutoka Italy wamefika”Aliongea Tanya akiwa ndani ya Baraza hili kubwa ambalo ndio ofisi ya Noriko Okawa.

Yaani kwa muonekano wa hii ofisi yake ni kama vile yupo nyakati za zama za kale na ofisi yake ilionekana kama zile ofisi ambazo zilikuwa zikitumiwa na wafalme enzi hizo kufanyia mikutano inayohusu viongozi wa juu wote kwenye ufalme.

Noriko Okkawa alimwangalia Tanya na kisha akavuta kidogo fumba moja la chai yake na kisha akaweka chini.

“Unaweza kuwaruhusu wakaingia”Aliongea kwa kijapani na Tanya aliinamisha kichwa chake kwa heshima na kisha akatoka nje ya ofisi hio na sekunde chache mbele walionekana wanaume wawili wakiwa wamevalia mavazi ya suti tupu wakiingia ndani ya jengo hilo , wote wakiwa vijana kati ya miaka therathini hivi mpaka therathini na tano , walikuwa wazungu wote.

Noriko Okawa hakujisumbua kunyanyuka kwenye kiti chake mfano wa kiti cha enzi , aliendelea kuketi vilevile huku awamu hii akiwa ameshikilia panga lake la Mystical Masamura.

“Tumetumwa hapa na kampuni ya INNOVA kutoka Italy kwa ajili ya kuzungumza dili”aliongea kijana mmoja ambaye ameshikilia Briefcase mbili nyeusi.

“What is your Proposal?”Aliongea Noriko Okawa kwa Lugha ya kingereza huku akimwangalia yule kiijana alieshikilia Briefcase.

“We want to Close the deal once and for all , the Institution agreed with your terms ,we are only here for the delivery”Aliongea akimaanisha kwamba wapo hapo kwa ajili ya kukamilisha dili moja kwa moja na taasisi ya Innova imekubaliana na masharti yake .

“What is your name boy?”Aliuliza Noriko huku akiangalia panga lale la Mystical Masamura , alikuwa akijiamini mno na alionekana alikuwa akifanya kila linalowezekana kuwafanya vijana waliokuwa mbele yake kumuogopa.

“I am Bruno Helinx”Aliongea na Noriko Okawa aliweka panga lake na kisha alimpa ishara Tanya aliesimama mita kadhaa nyuma ya wageni hao akiwa na baadhi ya vijana wengine wakitoa ulinzi.

Tanya alisogea mbele mpaka waliposimama wale vijana na kisha aliwapa ishara ya kumkabidhi Briefcase ile na vijana wale hawakuwa na shida walitoa zile Briefcase na Tanya aliziweka chini na alitumia utundu wake na ndani ya sekunde kumi zilikuwa zimefunguka na ndani yake kulikuwa na mabrungutu ya pesa nyingi zilizopangwa kwa ustadi mkubwa sana , zilikuwa ni pesa nyingi sana ukiziangalia kwa macho.

Tanya baada ya kuzikagua kwa dakika kumi alimgeukia Noriko Okawa na kisha akampa ishara kwamba amemaliza kazi yake.

“Master Okawa tumeleta kiasi kamili cha Dollar milioni kumi kama malipo ya Cash na Dollar milioni mia tano zitatumwa kwako kwa kutumia ‘BlockChain System’ na muamala utakamilika mara baada ya sisi kufanikisha kuukagua mwili”Aliongea Bruno na Okawa alionekana kuridhika na aliwapa ishara vijana wake, ni kama walikuwa wakijua kinachotakiwa kufanyika kwani walitoka ndani ya eneo hilo huku wakimuacha Tanya na wale wazungu wawili kutoka kampuni ya INNOVA.

Kwa jinsi ilivyoonekana hapa ni kwamba Noriko Okawa alitafuta mteja wa kununua mwili wa Roma Ramoni na kati ya wateja ambao wamekubali dili lake ni kampuni ya Innova kutoka Italy na walikuwa wameweka ahadi ya kuununua kwa kiasi cha Dola milioni mia tano na kumi , pesa ambazo dollar milioni kumi zilitakiwa kufika kwake kwa mfumo wa keshi na dolla zingine mia tano zilitakuwa kutumwa kwa njia ya BlockChain.

BlockChain ukisikia maana yake ni namna flani ya malipo ya kisasa ambayo hutumia mfumo maalumu wa kodi ambao ni ngumu sana kwa mtu wa nje kutambua kama malipo yamefanyika.

Kama umeshawahi kusikia Bitcoin basi hela hio ya kidigitali inatumia mfumo unaofahamika kwa jina la Blockchain system , ni moja ya njia ya kisasa ya kutuma pesa kutoka kwa mtu mmmoja Kwenda kwa mtu mwingine kwa namna ya siri sana na hii yote ni kutokana na kwamba mfumo huu hakuna serikali ambayo inaweza kuuongoza kwani unajitegemea kiuendeshaji, ni malipo ambayo yanfanyika kati ya taakishi na tarakishi ,sasa ukisikia ulimwengu wa Underwold malipo mengi yanafanyika kwa kutumia huu mfumo , hii yote ni kutoruhusu serikali kufatilia miamala ya watu wanaofanya biashara haramu kama vile madawa ya kulevya , kuuza mili na viungo vya binadamu kwenye Black Market.

Zilipita dakika kadhaa mbele mwili wa Roma uliokuwa juu ya toroli ulisukumwa kuingizwa hapo ndani ya ofisi ya bwana Noriko Okawa kwa ajili ya kuruhusu vijana kutoka kampuni ya Innova kuhakikiha kama ni wenyewe.

“Mnaonjae ni yeye halisi au sio yeye?”Aliongea Noriko na kijana yule wa upande wa kushoto aliuangalia mwili wa Roma kwa sekunde kadhaa.

“Master Noriko napaswa kuupiga picha na kutuma makao makuu na kama wataconfirm kama ni yeye basi malipo yatafanyika mara moja”Aliongea na Noriko Okawa hakuwa na shida kabisa yeye alimpa ishara kijana yule kufanya kama anavyotaka.

Na ndani ya dakika kama kumi na tano hivi kijana alipokea simu iliokuwa ikiita na aliweka sikioni na kusikiliza kwa sekunde na kisha akatabasamuna kumwangalia mwenzake na akatingisha kichwa.

“Your payment has Confirmed Sir”Aliongea na Noriko Okawa alimpa ishara Tanya na mwanadada huyu wa kijapani alipanda kwa ngazi mpaka upande wa kulia wa kiti cha enzi cha Noriko, ilionekana tarakishi ndogo ya mapakato na Tanya aliifungua ‘Lid’ na ilionekana ilikuwa imewaka tayari na alichokifanya ni kuingia kwenye mfumo na kuangalia kama pesa imeingia.

“Master Pesa imeingia tayari”Aliongea Tanya kwa sauti .

Muda uleule mlango ulifunguliwa na alionekana Kawanako , Jassie na Jasoni wakiingia hapo ndani wakiwa chini ya ulinzi wa vijana wa Yamata Sect.

Sasa haikueleweka ilikuwaje sema wote kwa Pamoja walionekana kama vile ni mateka , kwani walikuwa wamefungwa na Kamba ngumu kwenye mikono yao na ikarudishwa nyuma.

Noriko Okawa aliwaangalia kwa kebehi kwa dakika kadhaa na kisa aliwapa ishara vijana wale kuwasogeza mbele.

“Mr Bruno kwasababu kazi kwa upande wenu imekwisha kukamilika , basi sina budi kuwaachia hawa mateka wawili kutoka kundi la Dhoruba nyekundu, kuhusu huyu mwanamke kutoka kundi la Takamagahara atabakia hapa ndani mpaka pale kile mabosi wake ninachowadai kitakapolipwa”Aliongea na Bruno aliwaangalia Jesie na Jasoni ambao walionekan kuwa wanyonge na wenye kuhitaji msaada na kisha alimgeukia Noriko Okawa na kutingisha kichwa.

“Jasie na Jasoni tutaondoka nao , kuhusu mwili wa Hades kama yalivyo makubaliano mtahusika katika kuusafirisha mpaka makao makuu”Aliongea na Noriko kwasababu alishalipwa hakutaka kuleta mtifuano , kwanza kabisa hakutaka ugomvi na kundi kutoka Dhoruba nyekundu na ndio maana hakupanga kuwaua Jesie na Jasoni.

“Kabla ya kuondoka nina ombi moja?”Aliongea Jessie na kufanya kila mmoja kushangaa ni ombi gani anataka kwani hakuwa kwenye nafasi ya kuongea kabisa na kukubaliwa na kundi hilo , lakini kwa jinsi alivyokuwa akijiamini alifanya hata Noriko Okawa kutaka kumsikiliza.

“Ombi lako ni lipi?”Aliuliza Bruno.

“Nahitaji kuona jeraha lililopo kwenye mwili wa Hades”Aliongea na kufanya kila mmoja kushangaa mpaka Noriko Okawa kwanini mrembo huyo anahitaji kuona jeraha.

ITAENDELEA WRITTEN BY DR SINGANOJR, MAWASILIANO YA WATSAPP :0687151346.
Sasa Hades kafa duh, story inaenelekea mwisho nadhani. Roma kawekwa hadi kwenye friji....kuna uhai tena hapo?
 
bila shaka kijana iliekua kwenye mji wa jangwa ni roma kule mongolia, na bila shaka alifika level 9 kwenye mafunzo ya kijini so ameplay dead na ataamka baada ya sumu kupungua mwilini than ataamka
 
Back
Top Bottom