Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

bila shaka kijana aliekua kwenye mji wa jangwa ni roma kule mongolia, na bila shaka alifika level 9 kwenye mafunzo ya kijini so ameplay dead na ataamka baada ya sumu kupungua mwilini than ataamka
💯 😄
 
Sasa Hades kafa duh, story inaenelekea mwisho nadhani. Roma kawekwa hadi kwenye friji....kuna uhai tena hapo?
Mfalme pluto ni sheeder! We friji kitu gan? Huyo hata ukimchemsha kwenye mafuta kama kyepe anatoka na anapita zake hivi--> kwako kaka singanojr . Unasemaje hili la kutuongezea episode?
 
🏃🏾‍♂️Okawa nakujia na ndoige ya kibongo najua nikikupiga moja tu ya pua mjomba roma lazima aamke, then neteleport kukuachia kisangaaa😳
 
Mfalme pluto ni sheeder! We friji kitu gan? Huyo hata ukimchemsha kwenye mafuta kama kyepe anatoka na anapita zake hivi--> kwako kaka singanojr . Unasemaje hili la kutuongezea episode?
Nafikiri wamekosea kumsimulia walichomfanya.. mwamba lazima kuwa anajua namna ya kufight hiyo hali.. atakapo rejea atawaonesha kwanini anaitwa MFALME WA WAFU.
 
Mkuu kwa heshima na taadhima naomba kukukumbusha kesho uliyoisema Jana imefika na Ni leo
Na inakuwa jion sasa! Kwa maana kama tutarudi jana(by accident) utasema kesho jion! Sasa kaka tunaomba isiwe leo usiku! Arosto ndo inafanya tunakuwa restless kama kuku anayetaka kutaga
 
Mkuu singanojr tumekuwa pamoja kwenye simulizi hii tangu tarehe 10 agust 2022! Ni miez minne sasa tupo pamoja! Fikiria mara 2 uone jins gan umepata follower wengi na pia wateja! Umejenga jina lako na utunzi wako huu umekufanya kujulikana zaidi kama nguli wa riwaya tamu!

Miezi yote hyo naamin kilichobaki ni kidogo! Tafadhal mkuu tunaomba utupostie tupone. Nakuahidi mimi MTENGETI nikifanikiwa kuuza choroko zangu nitanunua smat na ntainunua hii riwaya yote hata kama utakuwa umemalza kupost humu! Tupostie mheshimiwa
 
Back
Top Bottom