Raia mdogo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2018
- 1,387
- 1,518
💯 😄bila shaka kijana aliekua kwenye mji wa jangwa ni roma kule mongolia, na bila shaka alifika level 9 kwenye mafunzo ya kijini so ameplay dead na ataamka baada ya sumu kupungua mwilini than ataamka
Mfalme pluto ni sheeder! We friji kitu gan? Huyo hata ukimchemsha kwenye mafuta kama kyepe anatoka na anapita zake hivi--> kwako kaka singanojr . Unasemaje hili la kutuongezea episode?Sasa Hades kafa duh, story inaenelekea mwisho nadhani. Roma kawekwa hadi kwenye friji....kuna uhai tena hapo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mfalme pluto ni sheeder! We friji kitu gan? Huyo hata ukimchemsha kwenye mafuta kama kyepe anatoka na anapita zake hivi--> kwako kaka singanojr . Unasemaje hili la kutuongezea episode?
Roma Sterling anakufaje kwa mfano anhway kitakacho mkuta Okawa[emoji1787]Sitaki kuamini Hades kafa kuna namna atarudi.
Buraza singanojr mbona wancheka buraza? Fanya mambo yaitwe mambo? Najua hades akirejea kwa mama mjengo bongo lazima edna aguswe uroro! Maana si kwa kipururu (ukame)hicho,
Nasubiri mwendelezo maana yajayo yanafurahishaRoma Sterling anakufaje kwa mfano anhway kitakacho mkuta Okawa[emoji1787]
kesho nitaweka mwendelelezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa heshima na taadhima naomba kukukumbusha kesho uliyoisema Jana imefika na Ni leoRoma Sterling anakufaje kwa mfano anhway kitakacho mkuta Okawa[emoji1787]
kesho nitaweka mwendelelezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri wamekosea kumsimulia walichomfanya.. mwamba lazima kuwa anajua namna ya kufight hiyo hali.. atakapo rejea atawaonesha kwanini anaitwa MFALME WA WAFU.Mfalme pluto ni sheeder! We friji kitu gan? Huyo hata ukimchemsha kwenye mafuta kama kyepe anatoka na anapita zake hivi--> kwako kaka singanojr . Unasemaje hili la kutuongezea episode?
Na inakuwa jion sasa! Kwa maana kama tutarudi jana(by accident) utasema kesho jion! Sasa kaka tunaomba isiwe leo usiku! Arosto ndo inafanya tunakuwa restless kama kuku anayetaka kutagaMkuu kwa heshima na taadhima naomba kukukumbusha kesho uliyoisema Jana imefika na Ni leo