Simulizi ya kipelelezi: Jiji la kamari (gambling city)

Simulizi ya kipelelezi: Jiji la kamari (gambling city)

Huu uzi ni mkali ila niseme tuu ule uzi wa Alen au zakaria mansour ni the best of all the time
 
Bro, Kwanza heshima yako kaka mkubwa!!? Kweny Life langu sijawahi kuona mtu anaweza kusimulia mapigano makali na yanayoeleweka Kama wew kaka!! We kweny Hilo ni Legend kaka! Then bro GEREZA la HAZWA ndo story ambayo nimekutana na watu wa kutisha sana duuh... Nimesoma story zako nying sana!! Bravo bravo
 
Bro, Kwanza heshima yako kaka mkubwa!!? Kweny Life langu sijawahi kuona mtu anaweza kusimulia mapigano makali na yanayoeleweka Kama wew kaka!! We kweny Hilo ni Legend kaka! Then bro GEREZA la HAZWA ndo story ambayo nimekutana na watu wa kutisha sana duuh... Nimesoma story zako nying sana!! Bravo bravo
I'm speechless. Asante sana kwa appreciation mkuu, support yenu ni mhimu sana tuweze kulipeleka mbali hili gurudumu 👏

Nadhani kuna haja ya kuileta GEREZA LA HAZWA CHAPTER 2 haraka kwani mpaka sasa inaonekana kuwa ndiyo favorite yenu.

#Maandishiyanaishi 🙏
 
Pongezi nyingi kwako mwamba, hii simulizi nimeikubali sana maana iko very straight
 
Kesho tunaianza wikiendi hivyo nitaleta episodes 5 za simulizi hii ili mkomae nazo.

Lakini kesho hiyo hiyo tunaianza simulizi mpya ambayo inaitwa BADO NINAISHI (ASHRAFU NDILO JINA LANGU)

Naomba support yako kubwa ya likes, comments pamoja na support ya kununua ikikupendeza ili tuendeleze gurudumu hili pamoja.

See you tomorrow [emoji872]

CIAO
FB_IMG_1713700409446.jpg
 
Kesho tunaianza wikiendi hivyo nitaleta episodes 5 za simulizi hii ili mkomae nazo.

Lakini kesho hiyo hiyo tunaianza simulizi mpya ambayo inaitwa BADO NINAISHI (ASHRAFU NDILO JINA LANGU)

Naomba support yako kubwa ya likes, comments pamoja na support ya kununua ikikupendeza ili tuendeleze gurudumu hili pamoja.

See you tomorrow [emoji872]

CIAOView attachment 3016756
Naam, pamoja sana mkuu
 
Back
Top Bottom