Mlipita njiani laini sana....marangu! Hongera kwa kukuza jiografia yako.......
Mie nilishapanda kwa kupitia njia machame
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio Kasie mpaka umri huo ulionao haujawahi kufika kileleni?
Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Mi nilipanda 2013 nikapata na cheti kabisa njia ya marangu nlikua nafanya field kinapa..ule mlima kinachowaua watu ni change of altitude hautaki harakaharaka mwili unaweza shindwa stahimili..ila ni mlima hata mtu wa miaka 12 anapanda..nmepanga nipande tena mwezi wa nne Mungu saidia
READERS ARE LEADERS
Jiwe la kubusu liko njia ya machame.....sitaisahau hiyo sehemu........[emoji28][emoji28][emoji28]
Hongera mremboMY JOURNEY TO THE ROOF OF AFRICA
Kabla ya mwaka kuisha napenda ku share na nyie experience yangu ya kupanda mlima Kilimanjaro nitaambatanisha baadhi ya picha na video za safari yangu yote. Kama kuna watu wamewahi kupanda Mlima Kilimanjaro wanaweza ku share pia uzoefu wao.
Kampuni niliyotumia inaitwa Origin Trails.. Kundi letu tulikua 21, Njia niliyotumia ni MARANGU.. Cost ilikua ni 560$ hii ili include kila kituu.. kuanzia usafiri Dar-Moshi Dar, chakula, hoteli.. vifaa.. fees za getini... personal guides... etc etc.. gharama zinapungua kutokana na huduma unayohitaji..
MAANDALIZI YA SAFARI.
Baada ya ku confirm ushiriki wangu kupanda Mlima Kilimanjaro. Jambo la kwanza nilifanya Medical check up.. nikawa 100% fit kupanda mlima na hadi kufika kileleni... Nikaanza mazoezi nakimbia uwanja nazunguka mara 7-10. Mazoezi ya kupandisha ngazi wanaojua jengo la UHURU HEIGHTS.. Nimepanda na kushuka hizo ngazi saana.. Pia tulikua tunafanya SEA CLIFF WALK haya yalikua matembezi kutoka Upanga hadi Sea cliff kwenda na kurudi kila jumamosi Kwa mwezi mara mbili. Kim beach kigamboni kutembea katika michanga Etc etc.
Pia nilijisajili na kitengo cha Flying Doctors Africa wako chini ya Amref.. wanatoa huduma ya helicopter kwa ajili ya ku rescue mlimani incase of emergency. Kusema ukweli nilikua muoga saana kwa sababu ya stories unazosikia so ilikua ni tahadhari maana ilikua ndio first time kupanda mlima.. & you never know nini kitatokea huko juu milimani. Fee ni 50$ kwa mtu mzima.
Nilisoma kila habari kuhusu kilimajaro na kupanda Mlima.. vifo vinavyotokea.. risk ukiwa mlimani..
KUPANDA MLIMA ULUGURU:Uluguru height ni kama 8600ft na hii ilikua ni moja ya majaribio kabla ya kupanda Mlima... Uluguru was the easiest tulienda Ijumaa.. Jumamosi tukapanda Mlima... Jumapili tukarudi Dar.. Mandhari ya Uluguru ni bomba sana...Kuna memories nyingi ila mojawapo ni kuoga alfajiri katika water falls...... Jambo ambalo sikupenda Uluguru ni hali ya choo pale.. Nilibanwa haja kubwa ila mzigo wangu niliubana hadi nilivyorudi town maana kushusha gogo porini nilikua siwezi. I wonder kwanini SUA hawarekebishi.
Tent tulizotumia kulala
Hii ndio camp kunaitwa Morning Site..tulikofikia.. humo kuna chata za watu wengi
The View
Nitaendelea Next post.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Njia ya Machame sina hamu nayo kabisa, vyoo vibovu, mnalala kwenye mahema tu, hakuna kuoga, mnajifuta na tishu tu zile za watoto (Whipes). Mnatumia siku nyingi kuliko wanaopita Marangu.
Uzuri wa kule mambo ya jinsia hayana nafasi, tofauti kati ya mwanamke na mwanaume haipo. Mnaweza kulala hema moja na mwanamke wala usiwe na habari kabisa.
Ahahahaha, machame kiboko banaNjia ya Machame sina hamu nayo kabisa, vyoo vibovu, mnalala kwenye mahema tu, hakuna kuoga, mnajifuta na tishu tu zile za watoto (Whipes). Mnatumia siku nyingi kuliko wanaopita Marangu.
Uzuri wa kule mambo ya jinsia hayana nafasi, tofauti kati ya mwanamke na mwanaume haipo. Mnaweza kulala hema moja na mwanamke wala usiwe na habari kabisa.
Nimepanda huo mlima zaidi ya mara tano (5) wengi wa wanaobabuka ngozi zao zinakuwa zimeathirika kwa namna moja ama nyingine, mfano wanaojichuna ngozi n.k
.
KINAPA hawashauri mwendo wa haraka hapa ndipo tulipokuwa tunakosana nataka niende haraka nikitembe taratibu nitachoka, ilifikia wakati nikagombana na tour guides sijawahi kurudi tena.
.
Mwanamke atembee taratibu na kila Stopping center tupumzike huu ujinga ulinishinda, mara mia Mt Margarita Uganda fanya unachoweza.
Sio kweli wanaobabuka ni kujichubua..wengi asubuh wanataka nawa maji ya moto..tatizo kule hewa inamgandamizo so boiking point kubwa ..unaweza ona maji ya baridi kumbe kama kunyonyoa kuku...kuhusu polepole..mi nlivyopanda tulipata case mzungu kufariki....ile haraka mapafu yanashindwa stahimili na ukisema ukae chini ile baridi ikiingia kwe mapafu shida especially kutoka horombo to mandara to gilmans point,.,,anayejua zaidi anaweza jazia
Nimesema "Mfano" ili nipate kueleweka na sio sababu ya moja kwa moja inayosababisha hilo tatizo.Sio kweli wanaobabuka ni kujichubua..wengi asubuh wanataka nawa maji ya moto..tatizo kule hewa inamgandamizo so boiking point kubwa ..unaweza ona maji ya baridi kumbe kama kunyonyoa kuku...kuhusu polepole..mi nlivyopanda tulipata case mzungu kufariki....ile haraka mapafu yanashindwa stahimili na ukisema ukae chini ile baridi ikiingia kwe mapafu shida especially kutoka horombo to mandara to gilmans point,.,,anayejua zaidi anaweza jazia
Unayajua makomeo
Nakumbuka siku moja tukiwa school tulitoroka tukadakwa na askari, kipindi hicho kuna watu walikuwa wanaenda kuvuna asali mlimani, wakawasha moto ule moto ukawazidi wale wavunaji na asali wakakimbia moto ukawa mkubwa sana, vijana wengi walio kuwa mtaani bila kazi walikamatwa na askari tukapandishwa mlimani kwenda kuzima moto aisee, kuna raia walikuwa balaa, tulipitia njia ya rongai, sijui kama hadi sasa hvi bado wanawasha motoNmepanda sana mlima kama porter kuanzia miaka ya 2005...nmepita Machame Route na Rongai ila sikuwahi kupanda na mbongo kama mtalii
Ukifanya kazi za milimani mda mrefu, ukifikisha miaka 55 kwenda juu ndiyo utaanza kuona madhara yake, joint za viungo vya mwili vinaanza kufail kufanya kaziTulifika sehem (Tulitumia njia ya Machame) wakasema Mlima umepumua, unatoa gesi flani inaumiza vichwa sana, watu wengi wanakua na hali mbaya kuliko maelezo. Kuna mzungu kidogo amalize mitungi yote ya oxygen. Alishushwa kwa machela hadi chini.
Ila wale wagumu hawana mapafu ya kawaida. Kule sio kwa kuishi au kufanya kazi muda mwingi.
Yanasaidia sana kule juu
Eeh na karanga kavu kipindi hicho pale kibo hapapikwi mchanaYanasaidia sana kule juu